Subhannallah Allah atulinde maa haramu mwanamke kupaza sauti hivyo mbele ya wanaume
@saadsalum32535 жыл бұрын
hiyo ni ngoma km ya dimond tofaut yenu mnamtaja mungu na mtume tu hamuoni km mnaupotosha uislam wenyewe nahao wazazi wenye watoto nao wanao mzg
@omarysalehe81555 жыл бұрын
saad salum v
@AsdDsa-kl4iw3 жыл бұрын
Ss maulid ama taarabu vp mbona urembo kibao mavazi balaa alafu mnasifu Allah Subhannaallah
@Zubaiba11 күн бұрын
Mashaallah mashaallah
@ummusamira35186 жыл бұрын
Innalilahi wainnailaihi rajiuni yarabi mola wetu usitughafilishe ktk dunia hakika ya adhabu zako nikali saana hatuziwezi sikuhizi siwanawake siwanaume wanaimba nyimbo Na music Na kuzivalisha shungi wakaziita kasida innalilahi wainnailaihi rajiuni Shekh yussuf abdi Wa kenya anasoma nasheed nzuri bila ya music nakila ukiisikiliza basi unaona kama ndio siku ya mwanzo kuisikia Na inamafunzo makubwa saaana mpaka moyo unashtuka tujirekebisheni
@allyelabad73706 жыл бұрын
Ummu Samira ....inaruhusiwa bana. Kam hairuhusiw una ushahid gan
@SUBU-SCRIBE Жыл бұрын
Mashallah ujumbe madhubuti
@muzneahmad40415 жыл бұрын
mashallah allah akuongoze katika kheri wafikisha ujumbe vyema
mungu akuzidishie mwalm wag wa madaras Ttawba kipind hicho
@husseinchiaseeds26534 жыл бұрын
Aache kuimba miziki Allah hajayaruhusu haya
@jumahamad44192 жыл бұрын
mashallah sauti kinanda ......
@hassanshelukindo2501 Жыл бұрын
Maashaallah
@sabrinaadinani37495 жыл бұрын
Shangazi yangu zaida mungu hakulinde nakila balaha😍😍
@gambigambi72545 жыл бұрын
Sabrina Adinani unamfaham? Ninamtafuta mno nipelele chochote kwa madrasa yake
@saidsaid94636 жыл бұрын
Mashaallah dada mungu awape kila lakheri
@naimaazizi58872 жыл бұрын
mashallah kwa dada nadhifa ila watu bado wanajivunia urudi bukoba jamani maan uliacha pengo bora tuu ulirudi bukoba
@bellbell92944 жыл бұрын
Shukraan bi Dada kwa kazi nzur uliyo ifanya Allah akulipe majazo mema amiin jazaka Allahu kher
@rahmamavura4067 жыл бұрын
mashaallah.ila sijui dufu ziliingia barid.uchezaji sijaupenda.turudii kunepa kizaman jaman
@zaidiakagambo6100 Жыл бұрын
Mashaallah
@saidiyahya64602 жыл бұрын
kasida nzur nimeipenda
@andallaathman38563 жыл бұрын
Hya watanzania makosa mmezidi kila kitu mitandaoni na kukusanyika na wanaume mnaona mnapata thawabu kumbe mnazoa zambi tuu mungu awaongoze inshaa llah
@nadiaanadiaa20516 жыл бұрын
Cjaipenda kbsaa mnatuharibiaa dini yetu
@KarengaHussein2 жыл бұрын
Dini ni ya MUNGU sio ya baba yako
@shamiraomary30606 жыл бұрын
innalillah wa inna ilaih raajiun....huu sio uislam tuliofundishwa na mtume(s.w.a) tuandae majib ya kwenda kujib kwa Allah(s.w)
@gwaluvideo64276 жыл бұрын
co vzur kuwaalaan wnzenu n jmb l kumrekebixha2 na anaelewa jiulz unmmb mngp unamfnyia Allah n mbn hjkupg lana iwj ww utoe hukm umekuw hakim ww mpk umhukm mwnzio
@husnajohn74665 жыл бұрын
Sasa kama we mjuzi ndio utoke hadharani ukawafundishe sio kulaani huku social media huo ni unaaa
@sarahsemwanza20315 жыл бұрын
wewe mbona umemkosoa mtandaon ndomtume katufundisha ivo mkosoaji no Allah
@salmasalimu24635 жыл бұрын
Shamira Omary. ALLAH ndo muukumu sio ww yote muachie ALLAH
@fatoomfatoom55905 жыл бұрын
Hakuna mkamilifu acha kuhukumu wenzio km unaona dhambi ww mbona upo you tube kuna kitabu kimekwambia ujiunge you tube na km kipo tuonyeshe mana you tube zinapostiwa kila kitu kuna vengine havina maadili mbona waviangalia (mkamilifu ALLAH)
@sadathbadru3336 жыл бұрын
mashaallah kwa sauti uko vzl
@zaharanihassan90136 жыл бұрын
kiukweli nilizipenda sana kaswaida na dufu Hizo, kumbe nilikuwa. sijawa na elimu sasa hunidanganyi kwa kaswida za kumuasi Allah kama Hizo,,,,
usimuhukumu mtu ww haujajua bado umetenda mangap kwa mungu yalo mema
@nassirmohamed8492 Жыл бұрын
@@sajidusinani4509 dufu sio baya shida ni hao vijana
@rahmaalkalbani29225 жыл бұрын
Maxhaallah your saund sey thaankxgod
@iddymchekwa1703 жыл бұрын
Masha Allah
@bayaanhumud43284 жыл бұрын
Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun hiyo sio sahihi hatta kidogo
@husnajohn74665 жыл бұрын
Qaswida nyingi za wa bongo ni kiswahili , sababu wakina mama wengi walichelewa kujifunza dini hivyo hivi sasa ndio wameamka na kujitambua nakuitambua thamani ya dini, siwezi hukumu kwa nini wamechanganyika na wanaume , km nilivyosema wengine ndio wameamka ivi sasa hivyo mengine yakuwaelekeza tu sio wengine huku kujifanya kulaani wakati we hapo ulipo pengine hata sheria za udhu hujui
@zulfasalim95724 жыл бұрын
Hahahahahahah udhu hauna sheria kwenye udhu ni sunna na faradhi. ama kama mtu hajui huo udhu ndo dini imemkataa asikemee munkar. jamaa tuacheni ushabiki na dini. hata Mm ni mtu wa twarika ya alawiya lakini sidhani kama hao mabingwa wa twarika kina Imam Ally Bin Mohammad Bin Husein habshy kama walieka twarika katika misingi hii. heri tu wawachane na kumtaja MUNGU na MTUMI na hizo dufu waziweke kando waiite taarabu.
@mishybintsalimsalafiyyun60187 жыл бұрын
INNA LILAH WA INNA ILLAH RAJIUN
@bayaanhumud43284 жыл бұрын
subhanallah hilo ni beni
@abubakarayubu89385 жыл бұрын
Mijimama inajitikisatuuu hukuikouchi
@babyazizayoutube89066 жыл бұрын
subhanaallah!!!
@hakimoumouri40885 жыл бұрын
baby aziza you tube Machallah
@jamilashabani85802 жыл бұрын
Maa shaaa Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Allahu allahu allahu Allah
@ramadhaninurrumtungi44745 жыл бұрын
Yupo vizuri zaidia
@zuhuramerisho30103 жыл бұрын
Maashallah
@jamilakhalifa26926 жыл бұрын
mabrock😗😗✌
@rahmaalkalbani29225 жыл бұрын
Maxhaa llah alla kareem !!!!
@kidotiali94146 жыл бұрын
Niwapi huku jamani
@athumaninchula20203 жыл бұрын
Hapo n ukumbini wakinamama wamejiachiia wapiga dufu n vijanawake was Madras a na n vjana wadogo tu kashfa zote za nn kwan hamuwaon waliopotea?
@ramadhanisadiki47125 жыл бұрын
mashaallah mamaangu unakonga nyoyo
@monday12787 жыл бұрын
mashallah..
@fatinarajabu30436 жыл бұрын
Subhanallah Astaghafirullah 😧😧
@philipfrankmakutsa96635 жыл бұрын
Allah Allahu ashukuriwe ...mama unamtaja unamtukuza Allah wallahi atakulipa kwa utajo wako kwake nyie mnaokashifu anzeni na kina mond na kiba halafu mje na huyu ....
@neemafatu78854 жыл бұрын
Yaani huoni ubaya wake hata kwa kuangalia tu dah!
@neemafatu78854 жыл бұрын
Huyo mond si inajulikana kuwa ni mashetani tu.sasa hawa si wananasibisha na ibada hiyo. wanaume ,wanawake,nani karuhusu hivyo.?
@bxrkeshorts7387 жыл бұрын
.Mashaalla 🙌🙌 nice
@athmanihaji77714 жыл бұрын
Innaalillahi Wainnaailaihi Raajiuun
@mishybintsalimsalafiyyun60187 жыл бұрын
ALLAH TUSAMEHE MADHAMBI YETU KWA KWELI MTUME ALIWAONA WENGI MOTONI TUNUSURU YARABBY
Hongera sana ustadhat wangu mungu akulinde na mabaya yote ya walimwengu uko vizuri huwa na kukubali sana
@bxgdhydydh65055 жыл бұрын
Astaghfirullah
@Cris-Kai7 жыл бұрын
🙌🙌🙌
@jaliabahati395 жыл бұрын
Mashallah Mama wambadara Nazifa ukovizuri
@jaliabahati395 жыл бұрын
Mnao mponda mmechunguza dhambzenu?
@meena-ol6fo5 жыл бұрын
Wajinga tena hawaijui dini na utakutahata juzzu amma hawajamali
@husseinchiaseeds26534 жыл бұрын
Kua na dhambi Kuna kufanya umsapot mwenzio atende dhambi mbona mnazidi kua wajinga
@Raya-em8wz4 жыл бұрын
Mashallah
@mohammadahmed16464 жыл бұрын
Mashaalh
@saadamrisho53966 жыл бұрын
gwalu video ni kweli kabisa
@philipfrankmakutsa96635 жыл бұрын
Hajawaita hao waje kucheza yeye amekaa na watoto wake wananema tu hapo tatizo labda wanalo wanaofanya huo ni mziki wa kucheza lakini mashallah ujumbe mzuri saanaa.....
@jidalddl87877 жыл бұрын
mashaAllaah
@aminaomary9085 жыл бұрын
Masange kondoa huko
@rahmamuhammed67347 жыл бұрын
Ndugu ktk imani hivi kweli ndio uisilam. tulivyofundishwa na Mtumewetu. mohammadi swalallahu aleyhi wassalama.mnachanganyuka wake kwa waume pamoja sauti ya mwanamke iko juu mbele za wanaume. Astaghfirullah. wamama. tusomeni. dini tuacheni kuimba .
@fatmakhamis10187 жыл бұрын
mwanamke na dufu lili kua moja na litengenezawa kwa kitambaa na alipigia kwa kidole kimojaa laki tumetoa uzushi ndani ya uislam hii hali ya huyu mama aliipata eapi?
@rashidsaid70126 жыл бұрын
kinachoshangaza watu mnakosoa kaswida ila waislam wanaoimba bongo fleva mnawasifia tena sana na mnaacha kuswali
@omarimzuzuri47626 жыл бұрын
Fatma Khamis ,Kasome kwanza ukhty halaf utakuja mitandaoni kukosoa
@husnajohn74665 жыл бұрын
We fatma kama umesoma dini haswa tupe dalili ya unachokiharamisha maana hii hukumu itaku hukumu na wewe pia kua ulijua lakini hukutaka kuwajuza wengine, mtume kasema uzuri wa muislamu ni kuijua dini kisha akawajuza na wengine je ulishafanya hivyo?????
@zaitunikweka9795 жыл бұрын
Kakosea wapi mmesahau kuna mwanamke alipiga dufu mbele ya mtume swallahu aleih wasalam?
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Mama unaeimba nakupenda kwa kitunza icho kituo ila kosa na huzuni ni kwanini wametometokea hao wanawake wanachezesha miliiyao na wapo uchi?ushauri mnapotak kufanya jambo la kiimani basi jatibuni kuweka mazingira ya kiimani sio tu kuoneysha yasio na maana
@marizianasumba71107 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@zumbeshauri81146 жыл бұрын
mungu akupe maisha mema acha walibeze lakini unamtaja mungu na mengine mazuri waya fanya
@nnbb84025 жыл бұрын
Mashaallah Allah barik fih
@ahmedyoung73007 жыл бұрын
mm baadhi ya maneno mbon siyaelew iyo lugha gani ipo ndan yake
@medshaa37047 жыл бұрын
jamani naombeni mniambie ni Chou gani hicho jina lake
@yassindeffu885 жыл бұрын
Shekh huyu mama wawapi ?
@husseinchiaseeds26534 жыл бұрын
Unataka kumnusuru
@azzaalmaamry765 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@bahatiyusufu92706 жыл бұрын
nice voice mummy!
@omanmusicomanmusic26205 жыл бұрын
Sio kweli haya si mafundisho ya mtume (s.w)hio ni haram
@nabilamaashaallahmaashaall69776 жыл бұрын
Sasa lkn mbona mmechanganyika nawanaume ilikuwa muwe wanawake pekeenuu
@shabanisaidi88275 жыл бұрын
Mashaalh
@aziziyusufu85924 жыл бұрын
Innallillah wainailaih rajiuun hiyo picha hapo ukiitazana unanuona huyo Dada akiwa amevaa hali yuko uchi,tena yuko kwenye hadhara tukufu kama hiyo hivi mahala kama hapo masheikh wa kuyakataza hayo huwa hawapo
@suleimanmakame80556 жыл бұрын
Kidoti Ali hujambo?
@rajabuselemani35866 жыл бұрын
Allah hawabariki afu waislamu wengine siwaelewi hivi na bongo freva huwa mnazikanusha acheni mbwembwe acheni atajwe mwenyezi mungu na mtume wake
@nassorosalehhazard24506 жыл бұрын
Rajabu Selemani asante make wananikera sana ukiwakuta kwenye vigodoro uwatoi lakini apa wanajifanya kukoment
@sajidusinani45095 жыл бұрын
kweli kabsa
@jozeebonge33417 жыл бұрын
maashaaaalllaah
@sabribalaway60617 жыл бұрын
jamani anasoma vizur lakini nashanga wengine wako mabega wazi
@abdallahhamad2987 жыл бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi rrajiu'n
@sitiali3195 жыл бұрын
ingekua wanawake pekeyao ni sawa na sio kurushwa mitandaoni
@sitiali3195 жыл бұрын
ingekua wanawake pekeyao ni sawa na sio kurushwa mitandaoni
@bintsalimalbimany2872 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄😭
@medshaa37047 жыл бұрын
mashaallah
@sandaljodi27007 жыл бұрын
jadaadu maraatu kuuaura aijuzu dada sati ya mwanake niuke wacheni kupoteza tu dini yetu hairuhusu hivno mnavno fanya haram
@husnajohn74665 жыл бұрын
sand Aljodi ,sasa km in uchi na wale wanaoimba bongo fleva nao ni nini, acheni kuhukumu
@faudhiatwaha14797 жыл бұрын
mama mkwe asante
@fatuminafarah25247 жыл бұрын
mashallah
@myqueen43976 жыл бұрын
mtihani tarabu si tarabu.... mhhh
@ukhtyzainab72545 жыл бұрын
Hahaha
@nazminnazmin72107 жыл бұрын
manxhallah
@zaitunikweka9795 жыл бұрын
Mna mponda uyu na nyie zambi zenu amzioni Bora uyu anaimba nyie mwazini alafu mna mponda
@neemafatu78854 жыл бұрын
Kwani nani mkamilifu ktk binaadamu? Kama ni hivyo basi hakuna haja ya kupeana mawaidha au nasaha kwa sababu hata mashekhe wanadhambi,lkn wanahusia watu tuache dhambi.SEMA TU TUNAPENDA SANA HAYA MAMBO YA PUMBAO YASIYO NA FAIDA yoyote.
@aassmmasd50177 жыл бұрын
manshall
@fatmakhamis10187 жыл бұрын
jamani iko siku tutaenda ya jutia haya kupiga mayowe hivi haujawa ucha mungu nakila kaka mwenye kuona hii alete istighifar
@ramadhaninurrumtungi44745 жыл бұрын
Wanasema husiukum mtu anaeukumu ni mmoja tu allah
@amalali26527 жыл бұрын
na watoto pia mashaallah wamejitahidi kucheza
@marymabubakary15615 жыл бұрын
maashaallah mdada
@popokulika30688 жыл бұрын
nice one mashallah
@fatumayusuph71547 жыл бұрын
mashaallah
@fatmakhamis10187 жыл бұрын
mtume muhammad s.a.w. alipo hama makka kwenda madina alipokewa kwa dufu na kaswida inayo itwa twalaa lbadru alainaaa na alipiga mwana mke na alisoma mwanamke la dufu lilikua moja na liliambiwa kitambaa na alipiga kwa kutumia kidolu kimoja tuuu
@user-kc4sy9dw4l6 жыл бұрын
kama tarabu wanavochexa hawo watu wazima
@amalali26527 жыл бұрын
saut mashaallah
@yusufukwaya62406 жыл бұрын
Amal Ali in sha allah
@musafiahlalbayt99784 жыл бұрын
Audhubillah minasgaytwan rajim bismillah rahman rahim. Music ngoma Ni haram saut ya iblis at a uki Imba kwa carabu ukala capati kama warabu haram yabakiya haram
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
nashaangaa watu wengine kumsifu mtume unakuite msiba jamani?
@khadijazuberi85536 жыл бұрын
naiomba whatsap 0743539032
@zulfasalim95724 жыл бұрын
doooooh tarabu hyo jamaa. Mm ni mtu wa twariqa lakini hapa sasa mwatutukanisha jamaa. wanawake wacheza kama kwenye taarabu. aaaaaaa haram hyo