Huyu ambokile Si ndiyo alisema Simba Haina quality ya wachezaji?Leo anaanza kusema Simba inawachezajinbora tuamini kipi
@abdallahshariff65553 сағат бұрын
Kabisaaaa,alikuwa akiiponda Simba sana,wanaona aibu vijana wanachapa kazi,kitaeleweka tu
@michaelkaphipa43542 сағат бұрын
Kuna vitu vingi vimebadilika kwa kikosi Cha Simba ndo maana nae kabadilika. Simba wameimprove
@emmanuelmayunga1518Сағат бұрын
Kwel kabisa hapa hamna mchambuzi
@yesgood3491Сағат бұрын
Ni kweli aisee huyu jamaa hajielewagi aisee ,kigeigue sana!
@yesgood3491Сағат бұрын
Huyu jamaa kigeugeu aisee!
@hakimundabila79403 сағат бұрын
Mzunguko wa kwanza Yanga walifungwa refa akawabeba na kuwanyima ushindi ken gold
@AhmedmussaMussa2 сағат бұрын
Kitoka gusa achia twende kwao. Hadi kwenye kanyaga twende jangwani...😂😂😂
@msamijoel69166 сағат бұрын
Sahihi
@dawayao28373 сағат бұрын
mchambuzi wangu bora wa muda wote🎉🎉
@anithawidambe7543Сағат бұрын
KAMWE ALITAKA SIMBA IFUNGWE NA TABORA UPO SAHIHI SANA AMBOKILE WEWE NI MCHAMBUZI BORA SANA
@EliasCosmas-qp6gn4 сағат бұрын
Gusa achia turudi Ligi kuu😂😂😂
@anithawidambe7543Сағат бұрын
UPO SAHIHI SANA CHUMA CHA MJERUMANI YANGA NDY INAYOONGOZA KWA MBELEKO SASA HV KAMWE ANALALAMIKA AACHE MALALAMIKO
@anithawidambe7543Сағат бұрын
WAKIWAKABA HAO UNAOSEMA ATAFUNGA MTU MWINGINE. WACHEZAJI WA SIMBA ANAFUNGA YEYOTE YULE
@MwajumaNgaruma6 сағат бұрын
Kanyaga twende fc😂😂😂😂😂
@SelemaniAmiri-n8j5 сағат бұрын
😂😂😂😂kanyaga twende
@FatumaIbrahim-u5k3 сағат бұрын
😂😂😂😂mbona kanyaga twende
@SeiphMwanga4 сағат бұрын
😂😂😂 kanyaga twende
@AbdallahHussein-e4w2 сағат бұрын
Kaka baka Maradona watazania kaka
@christinawarioba82264 сағат бұрын
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@EnockTuza5 сағат бұрын
Chuma cha mjerumani, tungepata wachambuzi wa kweli kama wewe,mpir wa TZ ungekua mbali. Umekuwa hupendelei upande wowote. Hadi leo sjajua ni mshabiki wa timgani.
@IsraelMwakagire-hn8pn2 сағат бұрын
Wape ambokile
@Husna-x1d4 сағат бұрын
Chuma cha mjerumani Leo umeongea ukweli mtupu
@EnockTuza5 сағат бұрын
Wewe ni mkweli, hasa ulipoongea kuhusu makipa wawili. Wewe ni mwalimu wa wachabuzi.
@EnockTuza5 сағат бұрын
WChabuzi wetu wengi wanachambua huku wakionesha upenzi. Kosa kubwa.
@SwalhaYusuf6 сағат бұрын
Wewe ndumila kuwili hujielew mara uwasifie yanga uwaponde simba mara uwasifie simba uwaponde yanga wew sio mchambuzi niwahovyo sana hujielewi na hueleweke wewe ni bendera fwata upepo
@ndayi74 сағат бұрын
Kwa hiyo we ulitaka ashabikie timu Moja,!!? we ndio hujielewi.