Ambwene Mwasongwe - Nifungulie Mbingu

  Рет қаралды 81,254

Ambwene Mwasongwe

Ambwene Mwasongwe

Күн бұрын

Пікірлер: 464
@YoungStarWilliams
@YoungStarWilliams 7 ай бұрын
Kama unasikiliza wimbo huu nje ya Tanzania na Afrika like hapa tujuane❤
@ZachariaMhondo
@ZachariaMhondo 7 ай бұрын
SHALOM SHALOM....NIMEUPATA WIMBO MZURI SANA MUNGU AWATUNZE SANA NKO OMANI MUSCAT 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@dorcaseliah
@dorcaseliah 6 ай бұрын
Hongera sana winbo unaupako, Yesu aendelee kukutumia
@violetnasimiyu8718
@violetnasimiyu8718 6 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@NancyAudrine
@NancyAudrine 6 ай бұрын
Amen,umetufikia ata Sisi wa Burundi tunao ishi ulaya.Tunampenda sana Ambwene
@fredrickmuoki5982
@fredrickmuoki5982 6 ай бұрын
Niko hapa naurudiarudia kutoka kenya, Nairobi
@RobsonWisdom
@RobsonWisdom 7 ай бұрын
Kama Kuna msanii wa kiume Tanzania nampenda na kazi zake nazipenda basi huyu baba naomba Aishi maisha marefu Huwa ananigusa sana na nyimbo zake ❤❤❤❤❤❤❤ best all the time
@VAILETHLONJINO
@VAILETHLONJINO 6 ай бұрын
Hunifikii mim ww
@ndayishimiye-jeremiah
@ndayishimiye-jeremiah 7 ай бұрын
Nakupend sana dady
@patrickpastory6216
@patrickpastory6216 7 ай бұрын
Napenda sana uimbaji wako hautumii nguvu kubwa kumshawishi mtu asikilize au kutazama yaani mtu anakuja mwenyewe kwakua nyimbo zimejaa baraka tele zinatia moyo hasa kwenye safari hii ya kwenda Mbinguni. Mtumishi Ambwene unanibariki sana kwa nyimbo zako.
@nkungujackson7092
@nkungujackson7092 7 ай бұрын
Kiukweli nyimbo zako hunitengeneza maisha yangu natamani niwe kama wewe japo YESU aliwauliza unaweza kunyea kikombe changu so kaka wewe ni zawadi kwa watanzania wote
@harold3863
@harold3863 7 ай бұрын
Mwalimu wa muda wote
@nkungujackson7092
@nkungujackson7092 6 ай бұрын
MUNGU ambariki ambwene mwasongwe
@dapesastudiosalon6875
@dapesastudiosalon6875 7 ай бұрын
wa kwanza hapa hongera mtusmishi
@agynoel2846
@agynoel2846 7 ай бұрын
Naitwa Agnes naandika comment hii nikiwa ktk kipind kigumu, mwanangu wa miezi mitatu anapitia changamoto ya kukosa maziwa ya mama napia nilimzaa akiwa njiti wa miezi saba. Naomba Mungu amfungulie mbingu mwanangu maaana njia zote nimemaliza natazama mbingu tu.
@mhogomchungu7882
@mhogomchungu7882 7 ай бұрын
Atakuwa sawa ..amina🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@Usertatu11683
@Usertatu11683 7 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Ni Mwaminifu, njia zake hazichunguziki, na Anaposhindwa Mwanadamu Mungu huanzia hapo
@mtonyole15Officially
@mtonyole15Officially 6 ай бұрын
MUNGU ayafungwe maziwa ili mtoto apate kula chakula toka kwa mama kwa JINA LA YESU na mbingu zikafunguke kwaajili ya mtoto na mama
@furahakavishe6478
@furahakavishe6478 6 ай бұрын
Pole ni kipindi tu usijali
@arnoldkalemela5078
@arnoldkalemela5078 6 ай бұрын
Mungu akutendee mema dada
@nathanizebedayo6561
@nathanizebedayo6561 7 ай бұрын
Kila niwapo kwenye kazi zangu na karedio kangu basi Mwasongwe hunifanya niwe na furaha sana, lakini wewe Mungu waweza vunja jiwe Kwa ya Yai🙌🙌
@aminimgheni8968
@aminimgheni8968 7 ай бұрын
Ulioanza nao huduma wengi wakekata tamaa,wengi wamepotea,wengine hawana tena mafuta,wengine huduma zilikoma,wengine wamepoteza kibali,Mungu amekubariki hadi leo upo na bado ukitoa kazi inatupeleka mahali namna hii,inatufanya tumuone Mungu kwa ukubwa wake na ukuu wake...naomba muungane na mimi kwa kumbariki mtumishi huyu Mungu ampe mafuta zaidi kwa kizazi hikii kwa kusema Amen.
@hezronmukumbwa7275
@hezronmukumbwa7275 6 ай бұрын
Amen.
@ShawnBeatz
@ShawnBeatz 5 ай бұрын
Amen, nyimbo za ambwene ni nyimbo za sifa kwenye kiti cha enzi
@WinfridaJoseph84
@WinfridaJoseph84 6 ай бұрын
Wimbo una ujumbe mkubwa sana ni ibada tosha🙏
@jeromepriest2942
@jeromepriest2942 7 ай бұрын
Kaka WWE ni mwandishi Bora sana wa nyimbo endelea kubaki kwenye misingi yko ntaendelea kujifunza kwako👏👏👏
@barakaemmanuel8247
@barakaemmanuel8247 7 ай бұрын
Mbingu inafunguka kwa jina la Yesu kristo
@exaverymakoye6026
@exaverymakoye6026 7 ай бұрын
Hakika Nyimbo nzuri sana Nikikumbuka Nimewahi pitia kipindi kigumu Niliibiwa Pikipikiangu nilikua naipenda sana Nikawa Nasikiliza Wimbo wako Nimeachilia Ulinitia Moyo sana Nikasahau Mungu akanifanyia Makubwa zaidi nika Nunua Nyingine na Fedha nikapata Nyingi sana Mungu akubaliki sana kaka kwa Nyimbo zako🙏 Amen
@saimonmakasi4148
@saimonmakasi4148 7 ай бұрын
Ahsantee sana Kwa wimbo mzuri kaka Barikiwa sana huduma yako inagusa wengi sana Mungu azidi kukuinua
@ImpressiveFacts
@ImpressiveFacts 7 ай бұрын
Kaka ambwene imetinga wimbo ambao unanigusa 100%. Imefika wakati naona nipo peke yangu sina msaada zaidi ya Mungu tu😣😭
@patrickpastory6216
@patrickpastory6216 7 ай бұрын
Hakika tunatakiwa kufikiria Mbingu tu katika maisha yetu ya kiroho na kimwili pia Kusikiliza Kutazama Kutembea Nk tufikirie Mbingu tu oooh halellujah ❤❤
@stevenhaule6786
@stevenhaule6786 7 ай бұрын
Kaka Ambwene Obadia Mwasongwe nakupenda sana kaka;maaskofu slogan Yao hawataki waumini tusiwapende sana watu mim nakataa alichoweka Mungu ndani Yako kwangu ni baraka kwanin nisikupende au kwann nisimpende?nakupenda kaka Obadia nakupenda sana bro
@daudizacharia4453
@daudizacharia4453 7 ай бұрын
Daima huwa naimarishwa zaidi na huduma yako Mungu azidi kukutunza na kukufunulia nyimbo za kutufundisha ❤ Amen God Bless you
@wahiaboranasari6462
@wahiaboranasari6462 7 ай бұрын
Sitaangalia mapito yangu...nitaangalia mbingu tu nikuone Yesu mwema
@daudmwakyusa89
@daudmwakyusa89 7 ай бұрын
Amina baba
@robertthadeo
@robertthadeo 7 ай бұрын
🎉🎉🎉 AMEN AMEN, SIANGALII MAWE HATA KAMA NAPIGWA NAUMIA NITAANGALIA MBINGU TU
@DidierAKILIMupimbidjumaDidier
@DidierAKILIMupimbidjumaDidier 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa mema ipo kwenye uwaminifu na utukufu barikiwa na bwana
@khalebnathael
@khalebnathael 7 ай бұрын
Nifungulie Mbingu nikuone,,sitasikiliza maneno yao nitasikiliza ya mbingu tu🙇🙏🙏
@majaysjrmtitu5300
@majaysjrmtitu5300 7 ай бұрын
Asante sana Kaka Ambwene. Mungu akubariki sana. Ujumbe umetimia 100%
@ShadrackSanga-jj8pw
@ShadrackSanga-jj8pw 7 ай бұрын
Sitaangalia vidonda vyangu nitaangalia mbingu tuu😢😢😢hoja nyingine yenye nguvu mbele za Mungu hii apa,,, Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU hakika wewe ni zawadi kutoka kwa Mungu juu yetu thanks very much🎉
@HildaMatei-tb7sr
@HildaMatei-tb7sr 7 ай бұрын
MUNGU aendelee kukutumia mtumishi wa MUNGU
@JULIETHSAMILA
@JULIETHSAMILA 7 ай бұрын
Eee MUNGU nifungulieee mbingu
@janethmollel406
@janethmollel406 7 ай бұрын
Hakika ni ombi langu pia Mungu anifungulie MBINGU nimuone katika maisha yangu maana mambo ya Dunia yanachosha. Hakika Ambwene Mungu azidi kukutumia sanaaa hujawai kutoa kitu kisicho na mguso.😌😌😌😌😌😌😌😌😌😌
@tusekilemwaisabila4603
@tusekilemwaisabila4603 7 ай бұрын
Nyimbo zako Ambwene zina kitu cha tofauti sana. Kwa wasomaji wa Biblia wanakuelewa sana. Mungu akubariki sana.
@TasianaCastory
@TasianaCastory 6 ай бұрын
Amen mtumishi kwa ujumbe,Lakini wimbo umetugusa watu wote tunao Muamini Yesu na tuliosikiliza huu kuna hata wale ambao hawa somi neno nao wameguswa vilevile kama wengine,na ndio itakua sababu pia ya kufunguliwa kwetu tusione soma neno,lakn ukisoma kwa wanao soma neno tu haijakaa sawa kama mtumishi wa Mungu sorry lakni ,ubarikiwe.
@matokeomwakibinga3344
@matokeomwakibinga3344 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa wimbo huu hakika nyimbo zako zinanibariki mnoo, huu wimbo umejaa maneno ya kutia moyo sana Mungu akutunze sana
@naamangidion
@naamangidion 7 ай бұрын
Nitasikiliza na kuangalia mbingu tuu ❤ Amen Amenii 🙏
@suzanakitundu3935
@suzanakitundu3935 7 ай бұрын
Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama mbingu tu... Amen Amen Amen
@neemamsafiri3129
@neemamsafiri3129 7 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuone Yesu...barikiwa sana mtumishi,huduma yako ni ya pejee,keep it up ❤❤❤
@elizabethmwakipunda4630
@elizabethmwakipunda4630 7 ай бұрын
Nikiona utukufu nitadharau aibu! Nifungulie MBINGU nikuoneee
@MadukaPoul
@MadukaPoul 7 ай бұрын
Very impressive song God help me to reach in your kingdom and help your servant too
@JoyceFiona-m7q
@JoyceFiona-m7q 4 ай бұрын
Nifungulia mbingu nkuonia Baba katika maisha yangu
@p_photography_tz1
@p_photography_tz1 7 ай бұрын
Amina mtumishi nimebalikiwa najisikia amani moyoni mwangu 🤲🙏🙏🙏
@joshuajustustz
@joshuajustustz 7 ай бұрын
Player song 🎉🎉 Baba nifungulie Mbingu
@QueenMakwela-b2z
@QueenMakwela-b2z 7 ай бұрын
Amen❤❤❤
@farajangogo9125
@farajangogo9125 7 ай бұрын
Wimbo mzurii sana unagusa maisha yangu kwa Sasa "Eee Mungu naomba nifungulie mbingu nikuonee"😢
@magemwaipaja8650
@magemwaipaja8650 7 ай бұрын
Barkiwa sana kaka🙏
@aminimgheni8968
@aminimgheni8968 7 ай бұрын
Ninaona utukufu wa Mungu sioni mawe,sisikilizi maneno yao,natazama ya Mbingu tu....Nitatazama kwako vinatokaga kware,manaaa....magari ya moto yabebayo watu wakoo.....Ambwene tenaa,Mungu akubariki umekuwa baraka sanaa,sijui huwa unafanyaje mpaka Mungu kukupa maneno makubwa hivii yenye kutufanya shujaaa katikati ya tabuu,yenye kutufanya kupasua kicheko hata tukiwa gerezani,yenye kutufanya tuvimbe tukumtazamia Mungu...Mungu atupe wengi wa namna yako
@yusuphmofati
@yusuphmofati 7 ай бұрын
Nifungulie Mbingu🙏🙌
@dafrosambuya8698
@dafrosambuya8698 7 ай бұрын
Sitafikiria kuvunjika,ntafikiria mbingu😊
@michaelmasolwa692
@michaelmasolwa692 7 ай бұрын
Nifungulie mbingu Nikuonee Oooh hallelujah tumebarikiwa kwa hii khalama iliyo ndani yako Kaka
@CloudDiotreph-vd6kj
@CloudDiotreph-vd6kj 7 ай бұрын
Oooh Yesu mtunze mtume wako huyu. Mungu akutunze
@edsonjeconia3257
@edsonjeconia3257 7 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuone.my favorite song from now
@jonisiamdulingwa6900
@jonisiamdulingwa6900 7 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuone👏👏👏Amina🙏🙏🙏
@maicojilili
@maicojilili 7 ай бұрын
Barikiwa Sana kaka ambwene
@meshackcharles17
@meshackcharles17 7 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuonee🙏🏾🙏🏾
@miriamsongora6117
@miriamsongora6117 7 ай бұрын
Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama Mbingu tu sitasikiliza maneno yao nitasikia ya Mbingu tu sitaangalia vidonda vyangu nitaangalia Mbingu tu AMEEN
@harrysawa-kenya4902
@harrysawa-kenya4902 7 ай бұрын
Ombi langu kila siku🙏🙏
@upendomwasamboma7967
@upendomwasamboma7967 7 ай бұрын
Hongera mtumishi wimbo unabariki moyo sana Mungu akutunze🙏💌
@victorhebroni3217
@victorhebroni3217 7 ай бұрын
Utabaki kuwa msanii Bora kwangu ❤❤❤❤ MUNGU akufanyie wepesi upate kila hitaji jema
@donartyaloyce1565
@donartyaloyce1565 7 ай бұрын
Kaka huandiki tu ili mradi umeandika wimbo ila roho mtakatifu yu nawe katika kutunga na kuandika nyimbo zako, ni Mara nyingi imetokea nikiwa nasikiliza nyimbo zako Kuna hisia mseto napata hakika MUNGU anaongea na sisi kupitia wewe ubarikiwe sana na kila lenye kheri liwe nawe 🙏 Mimi ni mwenye dhambi ee baba nifungulie mbingu nikuone 🥺🙏
@jonathanmlinda2580
@jonathanmlinda2580 7 ай бұрын
Nifungulie Mbingu Nikuone, ubarikiwe sana Mtumishi
@innocentmanyinyi2018
@innocentmanyinyi2018 7 ай бұрын
AMINA kaka nyimbo zako tatizo huwa zinanitoa machozi kaka yaani hongera sana ulibarikiwa sauti na uimbaji
@SeverinJanuary-du3oz
@SeverinJanuary-du3oz 7 ай бұрын
Nyimbo zako zako huwa zinanitiaga nguvu sana na zinanijaza Imani kubwa sana ndani yangu
@ignasankoma5383
@ignasankoma5383 7 ай бұрын
Hallelujah, hii NI Ibada tosha, inatukumbusha pia kuwa karibu na mteyezi wetu, Ambaye atakuwa mtetezi Hadi mwisho wa dahari
@JanethSelestini
@JanethSelestini 7 ай бұрын
Hongera Tena mtumishi wa MUNGU, Kazi nzuri
@patrickbaruani4342
@patrickbaruani4342 7 ай бұрын
Sisi djo watu wenye wa me pigwa Mawe, wa ndugu, tu tazame mbingu-tu
@nkungujackson7092
@nkungujackson7092 7 ай бұрын
Nimechelewa kuona ila nakubali nyimbo zako kaka
@nicolasnyandwi9276
@nicolasnyandwi9276 7 ай бұрын
Asante ndugu. Wewe nyimbo zako zinanibariki saana. Mungu akubariki.
@sulupeacecharles1397
@sulupeacecharles1397 7 ай бұрын
Sitaangalia vidonda vyangu ntaangalia mbingu tu😢
@JosueIsamba
@JosueIsamba 7 ай бұрын
Safi Sana sifa kwa Bwana pokea mauwa zako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MkataFrancis
@MkataFrancis 7 ай бұрын
"Haya ni maombi yangu. Mungu nifungulie mbingu na mimi nikuone." Mungu akutlinde na akutunze Mwalimu 🙌🏾
@elizabethmtawa7598
@elizabethmtawa7598 7 ай бұрын
Nifungulie mbingu❤
@emmanuelj7516
@emmanuelj7516 6 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@annahilonga3550
@annahilonga3550 7 ай бұрын
Amen man of God
@FanuelDanford-jb6gc
@FanuelDanford-jb6gc 7 ай бұрын
Hakika bwana anakutumia kwa viwango vya juu sana,,,ee bwana nifungulie mbingu nikuone,,,
@MariaWaYesu
@MariaWaYesu 7 ай бұрын
ASANTE YESU MWAMINIFU KWA KUNIFUNGULIA MBINGU🙏🙏🙏
@patientrichmarhegane1836
@patientrichmarhegane1836 7 ай бұрын
Naufatiliya kwaumakini
@marcelineluundo3009
@marcelineluundo3009 7 ай бұрын
Nifungulie Mbingu nikuone Mungu❤❤ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
@NormanMcguire-tn5lt
@NormanMcguire-tn5lt 7 ай бұрын
Mungu Akuinue Zaid na Zaid Nimebarikiiwa Sana Na Huu Wimbo Nifungulie Mbingu Nikuonee...!
@wanjikujoy-xm3ki
@wanjikujoy-xm3ki 7 ай бұрын
Only God knows how much I love Mr Mwasongwe's songs Nifundishe kuomba,misuli ya Imani....plus this one too it's Grace and it's really amazing#🇰🇪
@lamekalbert6648
@lamekalbert6648 7 ай бұрын
Kataika magumu tunato pitia hatutakiwi kuangalia magumu bali tumtazame MUNGU anaye tupa nguvu za kuyashinda endelea kutuponya mtumishi wa MUNGU Ambwene mwasongwe ❤
@samweljames
@samweljames 7 ай бұрын
Nakupenda ❤Sana Ambwene Mungu azidi kukumiminia mafuta ya Baraka ❤
@alex_vincent
@alex_vincent 7 ай бұрын
Hallelujah
@patientkighoma3753
@patientkighoma3753 5 ай бұрын
Ni Mungu alikutuma kwangu n'a ujumbe wa wimbo huu. Nifungulie mbingu nikuone wangu Baba. Sitakaza macho kitazama mawe, nitatazama mbingu tu. Amen
@HappinesAmos-m1t
@HappinesAmos-m1t 7 ай бұрын
Hongera sana Kwa wimbo mzuri wenye kuvutia na wenye kufundisha
@petermfingwa1077
@petermfingwa1077 7 ай бұрын
Nifungulie mbingu Bwana
@Gospelmichaelshija2247
@Gospelmichaelshija2247 7 ай бұрын
Waooh hongera sana mwl wangu ❤️
@mbisostationery5838
@mbisostationery5838 7 ай бұрын
Kaka Ambwene nafurahishwa na ujumbe ambao Mungu anaubebesha katika nyimbo zako, japo kuna wakati ukitaka kuziishi watu wa karibu nawe wanaweza wasikuelewe, na huo ndio wakati wa kujenga msingi imara.(mfano wimbo wa tai)
@PromesseMuhindo-bx5to
@PromesseMuhindo-bx5to 7 ай бұрын
Ubarikiwe na Mungu kwaku Titia moyo nakutuongeza nguvu zidi ya safari yakwenda mbinguni. 🙏🇨🇩
@hellenrichard-m9y
@hellenrichard-m9y 7 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@happymlima5289
@happymlima5289 7 ай бұрын
Hongeraa Mwl
@aime6186
@aime6186 7 ай бұрын
MUNGU AKUBALIKI SAANA na kulinde Kwa Kila jambo ❤ tumebarikiwa saana kweli ❤
@LeonFlorian-nt9js
@LeonFlorian-nt9js 7 ай бұрын
Huku ndiko kutumika kwaa ajili ya Mungu yani nyimbo inaupako sana. barikiwa sana mtumishi na Sifa zibaki kwa MUNGU alieye juu sana kwa njia ya Bwana wetu YESU kristo
@NaomieMasoka-xp4ob
@NaomieMasoka-xp4ob 7 ай бұрын
Ni nani anae amini kuwa muimbaji huu amekua baraka kwa kizazi hiki 🤲nyimbo zake ni baraka kwangu zinanirejesha nguvu na tumaini jipya pale nikiwa nimepoteza tumaini ❤wimbo huu umebeba unabii wote jamani mungu akufungulie mbingu ukiona utukufu wake kila shida yako itaisha 🙏
@debdahchannel9159
@debdahchannel9159 7 ай бұрын
ONE of the great AMBWENE YOUR THE GREATEST the revalation never stop
@JULIETHSAMILA
@JULIETHSAMILA 7 ай бұрын
Be blessed mtumishi 🙋🙋
@ladislausmwaya2616
@ladislausmwaya2616 7 ай бұрын
mungu akubariki kwa huduma yako mtumishi💯
@rahelynocha642
@rahelynocha642 7 ай бұрын
🙌🏾🙌🏾 Wimbo mzuri sana huu Wimbo wa maombi Be blessed man of God
@joselinezephaniah1336
@joselinezephaniah1336 7 ай бұрын
Mungu aendelee kutusimamia kwakwel ...Silaha yangu itakua wewe 😢
@nelumwakasege5155
@nelumwakasege5155 7 ай бұрын
Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama mbingu... Mungu akubariki mwalimu
@farajasamwel6926
@farajasamwel6926 7 ай бұрын
"naangalia mbingu tu..." hongera na barikiwa sana kaka @ambwene
@jacksonmagogwa6496
@jacksonmagogwa6496 7 ай бұрын
Hongera sana mwalimu. Mungu akubariki kwa kazi nzuri hii
@JoboyTz
@JoboyTz 7 ай бұрын
Barikiwa sana🎉🎉🎉🎉❤
@ElizabethCry-w3p
@ElizabethCry-w3p 7 ай бұрын
Nice song mtumishi barikiwa sanaaaa🙏🙏
@254Lynah
@254Lynah 5 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuoone*2 Kama stephano wakati wa mawe Nifungulie mbingu nikuoone Giza likitanda nisifuate njia yangu Bwana Nifungulie mbingu nikuoone Naona mbingu zimefunguka,na mwana wa adaaamu ninamuonaaa,ninauuona utukufu wa Mungu pia naona utukufu wa Yesu amesimama mkono wa kuume wa Mungu,amejawa nguvu na utukufu na heshima,amesimama amejawa nguvu na utukufu na heshima Mwilimi mwangu watesi wamezunguka Naona mwiba unanichoma,wameweka mashahidi wa uongo juu yanguu,wamenirukiiia kwa nia moja,wamechomwa mioyo wanasaga meno wana hasira,wameshika mawe wanrusha ovyo toka pande zote,wamechomwa mioyo wanadaga meno wana hasiraa,wameshika mawe wanarusha ovyo toka pande zotee. Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama mbinguni, Sitasikiliza maneno yao ntaskia ya mbingu tu Sitaangalia vidonda vyangu ntaangalia mbingu tu Sitafikiria kuvunjika kwangu ntafikiria mbingu tu Nifungulie mbingu nikuonee Nikiona mbingu,sitatetereeka teena Nifungulie mbingu nikuonee Nikiona mbingu sitakuwa na swaali teena Nifungulie mbingu nikuoone Nikionaa utukufu nitadharau aibu Nifungulie mbingu nikuoone Nikikuona Yesu sitaonaa aibu yanguu Nifungulie mbingu nikuoone Naweza bakia pekeeyangu Walionizunguka wakaniachaa Vita yangu ikatwetea upande wangu kelele za watu nazo zikwa wewe Silaha yangu itakuwa wewe Ufadhili wangu utakuwa wewe Namjua yeye Namjua yy ninayemwabudu Nakijua kile ninachokionaa Ninaona utukufu wa Mungu sioni Mawe eeehh Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama mbingu tu Sitasikiliza maneno yao ntaskia ya mbingu tu Sitaangalia vidonda vyangu ntaangalia mbingu tu Sitafikiria kuvunjika kwangu ntafikiria mbingu tu Nikikosa mavazi chakula na ada nikiachwa na rafiki familia initenge nitatazama mbingu huko kwenye msaada nitatazama kwako huko kwenye maji huko vinatokaga mvua kware na mana huko vinatokaga mikate na samaki huko vinatokaga mafuta mavazi na unga huko wanatokaga malaika wa habari njema huko wako kunguru waletao nyama kwetu na magari ya moto yabebao watuu wakoo Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama mbingu tu Sitasikiliza maneno yao ntaskia ya mbingu sitaangalia vidonda vyangu ntaangalia mbingu tu Sitafikiria kuvunjika kwangu ntafikiria mbingu tu NIFUNGULIE MBINGU NIKUOONEE🙏
@martinehussein7261
@martinehussein7261 7 ай бұрын
Mimi ni murundi ila napenda sana nyimbo zako ubarikewe sana na mungu azidi kukupa nguvu
AMBWENE MWASONGWE_MOYO WA IBADA
8:10
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 310 М.
Nikurejeshee
12:42
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 495 М.
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 7 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 24 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 126 МЛН
Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke (Official Music Video)
7:56
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 937 М.
Ambwene Mwasongwe - Ukae Nami (Official Audio)
9:24
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 70 М.
Yanitosha (Live)
13:22
Israel Mbonyi
Рет қаралды 249 М.
AMBWENE MWASONGWE: BINTI WA IMANI
7:37
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 329 М.
Nina Siri
11:10
Israel Mbonyi
Рет қаралды 976 М.
Yeriko (Live)
12:04
Israel Mbonyi
Рет қаралды 229 М.
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
UFUNUO CHOIR
Рет қаралды 5 МЛН
Israel Mbonyi - Kaa Nami
13:40
Israel Mbonyi
Рет қаралды 1,5 МЛН
Ambwene Mwasongwe - Nifundishe Kuomba (Official Music Video)
7:15
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 244 М.
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 7 МЛН