Kama unasikiliza wimbo huu nje ya Tanzania na Afrika like hapa tujuane❤
@ZachariaMhondo7 ай бұрын
SHALOM SHALOM....NIMEUPATA WIMBO MZURI SANA MUNGU AWATUNZE SANA NKO OMANI MUSCAT 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@dorcaseliah6 ай бұрын
Hongera sana winbo unaupako, Yesu aendelee kukutumia
@violetnasimiyu87186 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@NancyAudrine6 ай бұрын
Amen,umetufikia ata Sisi wa Burundi tunao ishi ulaya.Tunampenda sana Ambwene
@fredrickmuoki59826 ай бұрын
Niko hapa naurudiarudia kutoka kenya, Nairobi
@RobsonWisdom7 ай бұрын
Kama Kuna msanii wa kiume Tanzania nampenda na kazi zake nazipenda basi huyu baba naomba Aishi maisha marefu Huwa ananigusa sana na nyimbo zake ❤❤❤❤❤❤❤ best all the time
@VAILETHLONJINO6 ай бұрын
Hunifikii mim ww
@ndayishimiye-jeremiah7 ай бұрын
Nakupend sana dady
@patrickpastory62167 ай бұрын
Napenda sana uimbaji wako hautumii nguvu kubwa kumshawishi mtu asikilize au kutazama yaani mtu anakuja mwenyewe kwakua nyimbo zimejaa baraka tele zinatia moyo hasa kwenye safari hii ya kwenda Mbinguni. Mtumishi Ambwene unanibariki sana kwa nyimbo zako.
@nkungujackson70927 ай бұрын
Kiukweli nyimbo zako hunitengeneza maisha yangu natamani niwe kama wewe japo YESU aliwauliza unaweza kunyea kikombe changu so kaka wewe ni zawadi kwa watanzania wote
@harold38637 ай бұрын
Mwalimu wa muda wote
@nkungujackson70926 ай бұрын
MUNGU ambariki ambwene mwasongwe
@dapesastudiosalon68757 ай бұрын
wa kwanza hapa hongera mtusmishi
@agynoel28467 ай бұрын
Naitwa Agnes naandika comment hii nikiwa ktk kipind kigumu, mwanangu wa miezi mitatu anapitia changamoto ya kukosa maziwa ya mama napia nilimzaa akiwa njiti wa miezi saba. Naomba Mungu amfungulie mbingu mwanangu maaana njia zote nimemaliza natazama mbingu tu.
@mhogomchungu78827 ай бұрын
Atakuwa sawa ..amina🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@Usertatu116837 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Ni Mwaminifu, njia zake hazichunguziki, na Anaposhindwa Mwanadamu Mungu huanzia hapo
@mtonyole15Officially6 ай бұрын
MUNGU ayafungwe maziwa ili mtoto apate kula chakula toka kwa mama kwa JINA LA YESU na mbingu zikafunguke kwaajili ya mtoto na mama
@furahakavishe64786 ай бұрын
Pole ni kipindi tu usijali
@arnoldkalemela50786 ай бұрын
Mungu akutendee mema dada
@nathanizebedayo65617 ай бұрын
Kila niwapo kwenye kazi zangu na karedio kangu basi Mwasongwe hunifanya niwe na furaha sana, lakini wewe Mungu waweza vunja jiwe Kwa ya Yai🙌🙌
@aminimgheni89687 ай бұрын
Ulioanza nao huduma wengi wakekata tamaa,wengi wamepotea,wengine hawana tena mafuta,wengine huduma zilikoma,wengine wamepoteza kibali,Mungu amekubariki hadi leo upo na bado ukitoa kazi inatupeleka mahali namna hii,inatufanya tumuone Mungu kwa ukubwa wake na ukuu wake...naomba muungane na mimi kwa kumbariki mtumishi huyu Mungu ampe mafuta zaidi kwa kizazi hikii kwa kusema Amen.
@hezronmukumbwa72756 ай бұрын
Amen.
@ShawnBeatz5 ай бұрын
Amen, nyimbo za ambwene ni nyimbo za sifa kwenye kiti cha enzi
@WinfridaJoseph846 ай бұрын
Wimbo una ujumbe mkubwa sana ni ibada tosha🙏
@jeromepriest29427 ай бұрын
Kaka WWE ni mwandishi Bora sana wa nyimbo endelea kubaki kwenye misingi yko ntaendelea kujifunza kwako👏👏👏
@barakaemmanuel82477 ай бұрын
Mbingu inafunguka kwa jina la Yesu kristo
@exaverymakoye60267 ай бұрын
Hakika Nyimbo nzuri sana Nikikumbuka Nimewahi pitia kipindi kigumu Niliibiwa Pikipikiangu nilikua naipenda sana Nikawa Nasikiliza Wimbo wako Nimeachilia Ulinitia Moyo sana Nikasahau Mungu akanifanyia Makubwa zaidi nika Nunua Nyingine na Fedha nikapata Nyingi sana Mungu akubaliki sana kaka kwa Nyimbo zako🙏 Amen
@saimonmakasi41487 ай бұрын
Ahsantee sana Kwa wimbo mzuri kaka Barikiwa sana huduma yako inagusa wengi sana Mungu azidi kukuinua
@ImpressiveFacts7 ай бұрын
Kaka ambwene imetinga wimbo ambao unanigusa 100%. Imefika wakati naona nipo peke yangu sina msaada zaidi ya Mungu tu😣😭
@patrickpastory62167 ай бұрын
Hakika tunatakiwa kufikiria Mbingu tu katika maisha yetu ya kiroho na kimwili pia Kusikiliza Kutazama Kutembea Nk tufikirie Mbingu tu oooh halellujah ❤❤
@stevenhaule67867 ай бұрын
Kaka Ambwene Obadia Mwasongwe nakupenda sana kaka;maaskofu slogan Yao hawataki waumini tusiwapende sana watu mim nakataa alichoweka Mungu ndani Yako kwangu ni baraka kwanin nisikupende au kwann nisimpende?nakupenda kaka Obadia nakupenda sana bro
@daudizacharia44537 ай бұрын
Daima huwa naimarishwa zaidi na huduma yako Mungu azidi kukutunza na kukufunulia nyimbo za kutufundisha ❤ Amen God Bless you
@wahiaboranasari64627 ай бұрын
Sitaangalia mapito yangu...nitaangalia mbingu tu nikuone Yesu mwema
@daudmwakyusa897 ай бұрын
Amina baba
@robertthadeo7 ай бұрын
🎉🎉🎉 AMEN AMEN, SIANGALII MAWE HATA KAMA NAPIGWA NAUMIA NITAANGALIA MBINGU TU
@DidierAKILIMupimbidjumaDidier7 ай бұрын
Ni kweli kabisa mema ipo kwenye uwaminifu na utukufu barikiwa na bwana
@khalebnathael7 ай бұрын
Nifungulie Mbingu nikuone,,sitasikiliza maneno yao nitasikiliza ya mbingu tu🙇🙏🙏
@majaysjrmtitu53007 ай бұрын
Asante sana Kaka Ambwene. Mungu akubariki sana. Ujumbe umetimia 100%
@ShadrackSanga-jj8pw7 ай бұрын
Sitaangalia vidonda vyangu nitaangalia mbingu tuu😢😢😢hoja nyingine yenye nguvu mbele za Mungu hii apa,,, Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU hakika wewe ni zawadi kutoka kwa Mungu juu yetu thanks very much🎉
@HildaMatei-tb7sr7 ай бұрын
MUNGU aendelee kukutumia mtumishi wa MUNGU
@JULIETHSAMILA7 ай бұрын
Eee MUNGU nifungulieee mbingu
@janethmollel4067 ай бұрын
Hakika ni ombi langu pia Mungu anifungulie MBINGU nimuone katika maisha yangu maana mambo ya Dunia yanachosha. Hakika Ambwene Mungu azidi kukutumia sanaaa hujawai kutoa kitu kisicho na mguso.😌😌😌😌😌😌😌😌😌😌
@tusekilemwaisabila46037 ай бұрын
Nyimbo zako Ambwene zina kitu cha tofauti sana. Kwa wasomaji wa Biblia wanakuelewa sana. Mungu akubariki sana.
@TasianaCastory6 ай бұрын
Amen mtumishi kwa ujumbe,Lakini wimbo umetugusa watu wote tunao Muamini Yesu na tuliosikiliza huu kuna hata wale ambao hawa somi neno nao wameguswa vilevile kama wengine,na ndio itakua sababu pia ya kufunguliwa kwetu tusione soma neno,lakn ukisoma kwa wanao soma neno tu haijakaa sawa kama mtumishi wa Mungu sorry lakni ,ubarikiwe.
@matokeomwakibinga33447 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa wimbo huu hakika nyimbo zako zinanibariki mnoo, huu wimbo umejaa maneno ya kutia moyo sana Mungu akutunze sana
@naamangidion7 ай бұрын
Nitasikiliza na kuangalia mbingu tuu ❤ Amen Amenii 🙏
Wimbo mzurii sana unagusa maisha yangu kwa Sasa "Eee Mungu naomba nifungulie mbingu nikuonee"😢
@magemwaipaja86507 ай бұрын
Barkiwa sana kaka🙏
@aminimgheni89687 ай бұрын
Ninaona utukufu wa Mungu sioni mawe,sisikilizi maneno yao,natazama ya Mbingu tu....Nitatazama kwako vinatokaga kware,manaaa....magari ya moto yabebayo watu wakoo.....Ambwene tenaa,Mungu akubariki umekuwa baraka sanaa,sijui huwa unafanyaje mpaka Mungu kukupa maneno makubwa hivii yenye kutufanya shujaaa katikati ya tabuu,yenye kutufanya kupasua kicheko hata tukiwa gerezani,yenye kutufanya tuvimbe tukumtazamia Mungu...Mungu atupe wengi wa namna yako
@yusuphmofati7 ай бұрын
Nifungulie Mbingu🙏🙌
@dafrosambuya86987 ай бұрын
Sitafikiria kuvunjika,ntafikiria mbingu😊
@michaelmasolwa6927 ай бұрын
Nifungulie mbingu Nikuonee Oooh hallelujah tumebarikiwa kwa hii khalama iliyo ndani yako Kaka
@CloudDiotreph-vd6kj7 ай бұрын
Oooh Yesu mtunze mtume wako huyu. Mungu akutunze
@edsonjeconia32577 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuone.my favorite song from now
@jonisiamdulingwa69007 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuone👏👏👏Amina🙏🙏🙏
@maicojilili7 ай бұрын
Barikiwa Sana kaka ambwene
@meshackcharles177 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuonee🙏🏾🙏🏾
@miriamsongora61177 ай бұрын
Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama Mbingu tu sitasikiliza maneno yao nitasikia ya Mbingu tu sitaangalia vidonda vyangu nitaangalia Mbingu tu AMEEN
@harrysawa-kenya49027 ай бұрын
Ombi langu kila siku🙏🙏
@upendomwasamboma79677 ай бұрын
Hongera mtumishi wimbo unabariki moyo sana Mungu akutunze🙏💌
@victorhebroni32177 ай бұрын
Utabaki kuwa msanii Bora kwangu ❤❤❤❤ MUNGU akufanyie wepesi upate kila hitaji jema
@donartyaloyce15657 ай бұрын
Kaka huandiki tu ili mradi umeandika wimbo ila roho mtakatifu yu nawe katika kutunga na kuandika nyimbo zako, ni Mara nyingi imetokea nikiwa nasikiliza nyimbo zako Kuna hisia mseto napata hakika MUNGU anaongea na sisi kupitia wewe ubarikiwe sana na kila lenye kheri liwe nawe 🙏 Mimi ni mwenye dhambi ee baba nifungulie mbingu nikuone 🥺🙏
@jonathanmlinda25807 ай бұрын
Nifungulie Mbingu Nikuone, ubarikiwe sana Mtumishi
@innocentmanyinyi20187 ай бұрын
AMINA kaka nyimbo zako tatizo huwa zinanitoa machozi kaka yaani hongera sana ulibarikiwa sauti na uimbaji
@SeverinJanuary-du3oz7 ай бұрын
Nyimbo zako zako huwa zinanitiaga nguvu sana na zinanijaza Imani kubwa sana ndani yangu
@ignasankoma53837 ай бұрын
Hallelujah, hii NI Ibada tosha, inatukumbusha pia kuwa karibu na mteyezi wetu, Ambaye atakuwa mtetezi Hadi mwisho wa dahari
@JanethSelestini7 ай бұрын
Hongera Tena mtumishi wa MUNGU, Kazi nzuri
@patrickbaruani43427 ай бұрын
Sisi djo watu wenye wa me pigwa Mawe, wa ndugu, tu tazame mbingu-tu
@nkungujackson70927 ай бұрын
Nimechelewa kuona ila nakubali nyimbo zako kaka
@nicolasnyandwi92767 ай бұрын
Asante ndugu. Wewe nyimbo zako zinanibariki saana. Mungu akubariki.
@sulupeacecharles13977 ай бұрын
Sitaangalia vidonda vyangu ntaangalia mbingu tu😢
@JosueIsamba7 ай бұрын
Safi Sana sifa kwa Bwana pokea mauwa zako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MkataFrancis7 ай бұрын
"Haya ni maombi yangu. Mungu nifungulie mbingu na mimi nikuone." Mungu akutlinde na akutunze Mwalimu 🙌🏾
@elizabethmtawa75987 ай бұрын
Nifungulie mbingu❤
@emmanuelj75166 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@annahilonga35507 ай бұрын
Amen man of God
@FanuelDanford-jb6gc7 ай бұрын
Hakika bwana anakutumia kwa viwango vya juu sana,,,ee bwana nifungulie mbingu nikuone,,,
@MariaWaYesu7 ай бұрын
ASANTE YESU MWAMINIFU KWA KUNIFUNGULIA MBINGU🙏🙏🙏
@patientrichmarhegane18367 ай бұрын
Naufatiliya kwaumakini
@marcelineluundo30097 ай бұрын
Nifungulie Mbingu nikuone Mungu❤❤ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
@NormanMcguire-tn5lt7 ай бұрын
Mungu Akuinue Zaid na Zaid Nimebarikiiwa Sana Na Huu Wimbo Nifungulie Mbingu Nikuonee...!
@wanjikujoy-xm3ki7 ай бұрын
Only God knows how much I love Mr Mwasongwe's songs Nifundishe kuomba,misuli ya Imani....plus this one too it's Grace and it's really amazing#🇰🇪
@lamekalbert66487 ай бұрын
Kataika magumu tunato pitia hatutakiwi kuangalia magumu bali tumtazame MUNGU anaye tupa nguvu za kuyashinda endelea kutuponya mtumishi wa MUNGU Ambwene mwasongwe ❤
@samweljames7 ай бұрын
Nakupenda ❤Sana Ambwene Mungu azidi kukumiminia mafuta ya Baraka ❤
@alex_vincent7 ай бұрын
Hallelujah
@patientkighoma37535 ай бұрын
Ni Mungu alikutuma kwangu n'a ujumbe wa wimbo huu. Nifungulie mbingu nikuone wangu Baba. Sitakaza macho kitazama mawe, nitatazama mbingu tu. Amen
@HappinesAmos-m1t7 ай бұрын
Hongera sana Kwa wimbo mzuri wenye kuvutia na wenye kufundisha
@petermfingwa10777 ай бұрын
Nifungulie mbingu Bwana
@Gospelmichaelshija22477 ай бұрын
Waooh hongera sana mwl wangu ❤️
@mbisostationery58387 ай бұрын
Kaka Ambwene nafurahishwa na ujumbe ambao Mungu anaubebesha katika nyimbo zako, japo kuna wakati ukitaka kuziishi watu wa karibu nawe wanaweza wasikuelewe, na huo ndio wakati wa kujenga msingi imara.(mfano wimbo wa tai)
@PromesseMuhindo-bx5to7 ай бұрын
Ubarikiwe na Mungu kwaku Titia moyo nakutuongeza nguvu zidi ya safari yakwenda mbinguni. 🙏🇨🇩
@hellenrichard-m9y7 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@happymlima52897 ай бұрын
Hongeraa Mwl
@aime61867 ай бұрын
MUNGU AKUBALIKI SAANA na kulinde Kwa Kila jambo ❤ tumebarikiwa saana kweli ❤
@LeonFlorian-nt9js7 ай бұрын
Huku ndiko kutumika kwaa ajili ya Mungu yani nyimbo inaupako sana. barikiwa sana mtumishi na Sifa zibaki kwa MUNGU alieye juu sana kwa njia ya Bwana wetu YESU kristo
@NaomieMasoka-xp4ob7 ай бұрын
Ni nani anae amini kuwa muimbaji huu amekua baraka kwa kizazi hiki 🤲nyimbo zake ni baraka kwangu zinanirejesha nguvu na tumaini jipya pale nikiwa nimepoteza tumaini ❤wimbo huu umebeba unabii wote jamani mungu akufungulie mbingu ukiona utukufu wake kila shida yako itaisha 🙏
@debdahchannel91597 ай бұрын
ONE of the great AMBWENE YOUR THE GREATEST the revalation never stop
@JULIETHSAMILA7 ай бұрын
Be blessed mtumishi 🙋🙋
@ladislausmwaya26167 ай бұрын
mungu akubariki kwa huduma yako mtumishi💯
@rahelynocha6427 ай бұрын
🙌🏾🙌🏾 Wimbo mzuri sana huu Wimbo wa maombi Be blessed man of God
@joselinezephaniah13367 ай бұрын
Mungu aendelee kutusimamia kwakwel ...Silaha yangu itakua wewe 😢
@nelumwakasege51557 ай бұрын
Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama mbingu... Mungu akubariki mwalimu
@farajasamwel69267 ай бұрын
"naangalia mbingu tu..." hongera na barikiwa sana kaka @ambwene
@jacksonmagogwa64967 ай бұрын
Hongera sana mwalimu. Mungu akubariki kwa kazi nzuri hii
@JoboyTz7 ай бұрын
Barikiwa sana🎉🎉🎉🎉❤
@ElizabethCry-w3p7 ай бұрын
Nice song mtumishi barikiwa sanaaaa🙏🙏
@254Lynah5 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuoone*2 Kama stephano wakati wa mawe Nifungulie mbingu nikuoone Giza likitanda nisifuate njia yangu Bwana Nifungulie mbingu nikuoone Naona mbingu zimefunguka,na mwana wa adaaamu ninamuonaaa,ninauuona utukufu wa Mungu pia naona utukufu wa Yesu amesimama mkono wa kuume wa Mungu,amejawa nguvu na utukufu na heshima,amesimama amejawa nguvu na utukufu na heshima Mwilimi mwangu watesi wamezunguka Naona mwiba unanichoma,wameweka mashahidi wa uongo juu yanguu,wamenirukiiia kwa nia moja,wamechomwa mioyo wanasaga meno wana hasira,wameshika mawe wanrusha ovyo toka pande zote,wamechomwa mioyo wanadaga meno wana hasiraa,wameshika mawe wanarusha ovyo toka pande zotee. Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama mbinguni, Sitasikiliza maneno yao ntaskia ya mbingu tu Sitaangalia vidonda vyangu ntaangalia mbingu tu Sitafikiria kuvunjika kwangu ntafikiria mbingu tu Nifungulie mbingu nikuonee Nikiona mbingu,sitatetereeka teena Nifungulie mbingu nikuonee Nikiona mbingu sitakuwa na swaali teena Nifungulie mbingu nikuoone Nikionaa utukufu nitadharau aibu Nifungulie mbingu nikuoone Nikikuona Yesu sitaonaa aibu yanguu Nifungulie mbingu nikuoone Naweza bakia pekeeyangu Walionizunguka wakaniachaa Vita yangu ikatwetea upande wangu kelele za watu nazo zikwa wewe Silaha yangu itakuwa wewe Ufadhili wangu utakuwa wewe Namjua yeye Namjua yy ninayemwabudu Nakijua kile ninachokionaa Ninaona utukufu wa Mungu sioni Mawe eeehh Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama mbingu tu Sitasikiliza maneno yao ntaskia ya mbingu tu Sitaangalia vidonda vyangu ntaangalia mbingu tu Sitafikiria kuvunjika kwangu ntafikiria mbingu tu Nikikosa mavazi chakula na ada nikiachwa na rafiki familia initenge nitatazama mbingu huko kwenye msaada nitatazama kwako huko kwenye maji huko vinatokaga mvua kware na mana huko vinatokaga mikate na samaki huko vinatokaga mafuta mavazi na unga huko wanatokaga malaika wa habari njema huko wako kunguru waletao nyama kwetu na magari ya moto yabebao watuu wakoo Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama mbingu tu Sitasikiliza maneno yao ntaskia ya mbingu sitaangalia vidonda vyangu ntaangalia mbingu tu Sitafikiria kuvunjika kwangu ntafikiria mbingu tu NIFUNGULIE MBINGU NIKUOONEE🙏
@martinehussein72617 ай бұрын
Mimi ni murundi ila napenda sana nyimbo zako ubarikewe sana na mungu azidi kukupa nguvu