Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke (Official Music Video)

  Рет қаралды 934,093

Ambwene Mwasongwe

Ambwene Mwasongwe

Күн бұрын

Ambwene Mwasongwe presents the Official Music for "Unikumbuke"
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke
Nimekuita uambie watu ushuhuda wangu
Miaka tisa nimekaa jela
Nilifungwa kwa kosa la kusingiziwa
Namshukuru Mungu nimetoka
Usiku ule nilikamatwa kama mchezo
Na mke wangu na mtoto mdogo
Nikadhani labda walikuwa wanatania
Labda ilikuwa siku ya wajinga
Hakuna mtu alielewa ukweli wa ushahidi wangu
Wala sikuwa na wakumweleza akanielewa
Mazingira ya kesi, ushahidi, sheria za kazi
Siri ni ban, mpaka mke wangu kaniambia
Kama umefanya kiri kosa tujue moja
Nikumbuke, kumbuka haki yangu, sikufanya ubaya
Nikumbuke, nikumbuke, sikufanya ubaya
Nikumbuke, namna walivyonishtaki kwa hila na wivu
Nikumbuke, bwana unikumbuke nililia
Hey, kumbuka bwana haki yangu
Hey, wakumbuke, walivyo kufanikiwa jela
Uwakumbuke, Mungu wakumbuke washa mshumaa ndani ya nyumba
Mkumbuke mtoto mchanga asiye na hatia
Uwakumbuke, kama ningekuwepo angekonda
Kumbuka Adam, aliyebaki, alikufanya kushtuka kwa ajili yako
Nilidhani Mungu kalisahau faili langu
Nikadhani kwamba nitaaibika
Sikuwa tena na tumaini lililobaki
Haki yangu ilikuwa tumaini pekee
Waweza elewa shahidi wangu alikuwa Mungu
Labda na wale walioua
Mwisho wa siku Mungu alinitetea
Na waliofanya kosa kunikana
Haki yangu ikasitana kama mtende na mwelezi
Pale banoni, walinichimba wakuning'oa sababu ya Mungu
Waliinamisha wakunivunja, walinitikisa sikupukutika
Walinichuma ili niishe
Wewe bwana ulinitetea na haki yangu
Nikumbuke, kumbuka maadui walivyonizunguka
Nikumbuke, kumbuka ushahidi wa maneno yao
Nikumbuke, kumbuka walivyonichafua jina langu
Nikumbuke, kumbuka walivyoniona
Mi ni mhalifu, hey ukalisafishe jina langu
Hey bwana, uwakumbuke! Uwakumbuke Ukarehemu makosa yao
Uwakumbuke! Japo walifanya ubaya bwana na uwasamehe
Uwakumbuke! Nilienda jela nikiwa bado sikujui
Uwakumbuke! Nimetoka nimeokoka nimekujua
Nikumbuke! Bwana unikumbuke usinisahau
Natengeza fadhili zako, niimbe Mungu baba
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
#AmbweneMwasongwe #Unikumbuke

Пікірлер: 1 100
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 Жыл бұрын
Nmemwona huyo mwanajeshi aliyefungwaga bila hatia i hope uliimba kwa ajili yake, kama umemnotice huyo mjeda...nipe likes
@beatriceminja2148
@beatriceminja2148 2 жыл бұрын
😭😭😭 Kuna watu wanapitia pagumu!! Mungu kutana na watu ambao wanapitia pagumu na wanasikiliza huu wimbo, wakumbuke Bwana!!!
@jeniphersichamba545
@jeniphersichamba545 2 жыл бұрын
Mungu uwakumbuke wote wanaopitia magumu.
@dianamuhumba
@dianamuhumba 2 жыл бұрын
Amina🙏
@godfreyluhimbo6555
@godfreyluhimbo6555 Жыл бұрын
Wakumbuke wote Bwana wenye shida mbalimbali
@janemsamati6700
@janemsamati6700 Жыл бұрын
Oooh Haleluya
@mama_mlezi7744
@mama_mlezi7744 Жыл бұрын
Amina
@kettyym9859
@kettyym9859 2 жыл бұрын
Eee Mungu uikumbuke Tanzania yetu Mauwaji yamekua mengi sana 😭😭😭😭 tusamehe uturehemu na ututakase Yesu 🙏🏼🙏🏼 turudishie kupendana na kuchukuliana madhaifu tunaomba Baba 😭😭🤲🏾. Amen
@lusajomwasanga1877
@lusajomwasanga1877 2 жыл бұрын
Amina
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏🙏
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
@@lusajomwasanga1877 Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏🙏
@theresiagasto5240
@theresiagasto5240 2 жыл бұрын
AMEEEEN
@frankrobertkomba2318
@frankrobertkomba2318 2 жыл бұрын
Kwakwel hata kutembea tunaogopa,Mungu tukumbuke
@deodatusmwacha719
@deodatusmwacha719 2 ай бұрын
Kama uliwahi kupita mapito magumu na kudhani kabisa hutoweza kuvuka😭😭😭mara pap! Ukayavuka lazima ukisikia huu wimbo ulie😭😭😭 ASANTE BWANA KWA KUNIKUMBUKA 😭😭😭
@magenisweke3270
@magenisweke3270 14 күн бұрын
Mungu nikumbuke nimefiwa wazazi wote ndoa nayo nanyanyasika kupigwa kila mwezi,ndugu zangu hawaamini wanasena nataka kwenda kufanya umalaya, nikumbuke mungu 😭😭😭
@josephghambi7594
@josephghambi7594 10 күн бұрын
Pole dadangu😢😢😢
@lilianmumbi-h6q
@lilianmumbi-h6q 2 күн бұрын
Mungu akukumbuke na akuondolee dhiki na mahangaiko maishani mwako.Amina
@kelvinlukoo5182
@kelvinlukoo5182 2 жыл бұрын
Hakika sio wote wanaokwenda jela wamekosa, wengine wanasingiziwa tu. Wimbo huu unanikumbusha nina rafiki yangu tuliyesoma wote kozi ya utabibu CO mwaka wa kwanza then akahamia chuo kingine baada ya kumaliza mwaka wa pili akabambikiziwa kesi ya kumbaka hadi kufa mtoto wa kaka yake akaenda jela ila baada ya mwaka mmoja ikabainika amesingiziwa daaah so pain , Mungu ndio mtoa haki ahsante sana kaka ambwene napenda sana tungo zako ujumbe katika nyimbo zako.
@rebydaffi2846
@rebydaffi2846 2 жыл бұрын
Duh
@sharifmtunku4309
@sharifmtunku4309 2 жыл бұрын
Hii pia ni true story
@captainabimelek140
@captainabimelek140 2 жыл бұрын
Hii pia, ni true ctory kabisaaa
@OfficialA83640
@OfficialA83640 2 жыл бұрын
@Martin Kawishe Ndy na askar mwenyewe si yupo humo huyo mwenye macho yaliyolegea aliyefungwa pingu kavaa shati la blue
@cosmasarnold7288
@cosmasarnold7288 2 жыл бұрын
Hakika wimbo ni mkubwa sana huu watanzania,Mungu amtunze hakika
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏🙏
@issamnyika4862
@issamnyika4862 2 жыл бұрын
Huu wimbo kwaajili ya Nazalet,pole bro kikubwa upo huru Rip shemeji na mtoto.
@rogersdavis3058
@rogersdavis3058 2 жыл бұрын
😭😭😭 nakumbuka nilipoambiwa nmeuziwa simu ya wizi kumbe ni mchezo ulichezwa pamoja na mwanamke ambae nilijitoa sana kwake na kuja kuhukumiwa 1year jeal
@moudboss846
@moudboss846 2 жыл бұрын
Nimelia Sana Baba angu alikamatwa Kwa kosa la kusingiziwa Akaenda Segerea 😭😭😭 Alipotoka baada ya miaka miwili akafariki 😭😭😭😭😭 Mungu wangu nakuomba umrehem baba yngu Na uwakumbuke wote wasio na hatia 🙏🙏🙏
@mparanyibagalwa7376
@mparanyibagalwa7376 2 жыл бұрын
Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo God bless you for your supports🙌🏻🙌🏻
@emmymichael7356
@emmymichael7356 2 жыл бұрын
Pole sana😭😭
@oscarngondya8839
@oscarngondya8839 2 жыл бұрын
Tukumbuke eemungu kwakweli umeweza juniliza maana nimefwatilia kisa kilichomtokea muhusika wahuu ujumbe kwakweli nilimwonea huluma eemungu simama nae mpenguvu nauvumilivuz😂😂😂😂😂😂😂😂
@veronicalufingo3513
@veronicalufingo3513 2 жыл бұрын
Aisee pole sana
@mpwapwanewstv8204
@mpwapwanewstv8204 2 жыл бұрын
Huyu mwamba nimeifuatilia story yake ni ya kweli kabisa na nimeona kwe wimbo, Pole chief kwa mapitio wanyakyusa wanasema "UNGAPASYAGA PAPO NDE NUNGWE "Mungu amrehemu Mtoto na shemeji yetu na dada.
@mparanyibagalwa7376
@mparanyibagalwa7376 2 жыл бұрын
Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo God bless you for your supports🙌🏻
@jacquelinemkeremi3009
@jacquelinemkeremi3009 2 жыл бұрын
imenisikitisha mnoo pia😭
@cyprianmkindi7276
@cyprianmkindi7276 2 жыл бұрын
Alikua mwanajeshi Sio??
@Moo1788
@Moo1788 2 жыл бұрын
@@cyprianmkindi7276 ndio
@majaliwacossan3916
@majaliwacossan3916 2 жыл бұрын
Umeiona wapi hiyo historia niifatilie
@frankhella8377
@frankhella8377 2 жыл бұрын
Hallelujah tuliusubiri sana video hii. Hongera sana mtumishi wa Mungu . Utukufu ni kwa BWANA
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏
@georgenathanael
@georgenathanael 5 ай бұрын
Ambwene ni mwimbaji wangu bora kabisa wa gospel tangu ule wimbo misuli ya Imani hajawahi nangusha,,,,, utukumbuke eeh Yesu Kristo wa Nazareth 😭🙏🏻
@letisiabaritazari7606
@letisiabaritazari7606 3 ай бұрын
Ambwene nyimbo zako zote ninzo na aziweza kuzimba zote na kuzipagila Mungu akubaliki zinanifaiji sana
@stivertz7014
@stivertz7014 2 жыл бұрын
Wimbo huu unaniumiza sana kila nkikumbuka hii story ya mauaji mwaka 2006 ubungo mataa (Kijazi Interchange), huyo main character kwenye video ndio alikutana na huu mkasa kukaa miaka tisa kwa kesi ya kusingiziwa an. Ila Mungu mkubwa na anataendelea kumuweka juu ya maadui zake. Amen
@joharijonasi5845
@joharijonasi5845 Жыл бұрын
Aamiin 🙏
@maryabbas5739
@maryabbas5739 Ай бұрын
Dah Mungu ni mwema kila wkt
@NadhifaDauda
@NadhifaDauda 8 ай бұрын
Kupitia wimbo huu MUNGU akawafariji n kuwakumbuka wote wanaopitia magumu amiina
@Joshua-o7d
@Joshua-o7d 4 ай бұрын
Amen
@sevelinamwailanga9391
@sevelinamwailanga9391 Жыл бұрын
MUNGU akufunge mkanda kaka Nazareth kaka ambwene ubarikiwe kwakufariji wengi tuliovunjika moyo
@jacklinenyambura3508
@jacklinenyambura3508 2 жыл бұрын
A great song .Hakika Mungu nikumbuke,kumbuka wote ambao were falsefully accused.🙏 Blessed from Kenya🇰🇪
@malilamusic-tz6097
@malilamusic-tz6097 2 жыл бұрын
Brother ujawai kuaribu mungu azid kutupigania mbeya Tanzania mbeya boy unyakyusa mwing Sana kwa mungu wetu love song
@piussalama5485
@piussalama5485 2 жыл бұрын
@@malilamusic-tz6097 j
@joshualubango2877
@joshualubango2877 2 жыл бұрын
Kweli kabisa Wakumbuke Wote Yesu. ❤from🇰🇪
@tulizomlowe7054
@tulizomlowe7054 2 жыл бұрын
Mawe
@naomimwakapala4655
@naomimwakapala4655 2 жыл бұрын
Unaimba baba, Mungu aliyekukumbuka, anikumbuke Na mimi
@rehemarobert516
@rehemarobert516 2 жыл бұрын
Nimeisikiliza story ya Kaka Nazareth kwa Milard Ayo! Atukuzwe Mungu sana kwa kumuinua na kumuokoa mtumishi wake
@stellajohn5647
@stellajohn5647 2 жыл бұрын
Amen
@racheljob6601
@racheljob6601 Жыл бұрын
Ee mwenyezi Mungu mkumbuke uncle wangu najua hana hatia 😭
@stelahthomas4145
@stelahthomas4145 2 жыл бұрын
UNIKUMBUKE ni moja ya nyimbo ninayoipenda sanaa nikiwa nasikiliza najikuta nafarijika Mungu akubariki ambwene mwasongwe kwa tungo nzuri za nyimbo zako 🙏🙏🙏
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
Nilifatilia history yauyo jamaa mwanajsh aliefungwa bilakosa nakupoteza mke namtt Mungu ambariki bado anampend
@mtindoelias8888
@mtindoelias8888 2 жыл бұрын
YESU NIKUMBUKE NAMIMI Blessed my brother #Ambwene🙌🙌🙌👏👏👏🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏🙏
@maishasimba6193
@maishasimba6193 Жыл бұрын
Umenibariki sanaa.Yesu Nikumbuke
@malaikahansen
@malaikahansen 2 жыл бұрын
I have cried 😢 jamani. Ila nani Kama MUNGU anaetufuta machozi yetu. Nazareth will never be the same, but GOD has already changed his story. Isaiah 61:3 “…to bestow on them a crown of beauty instead of ashes, the oil of joy instead of mourning, and a garment of praise instead of a spirit of despair”. GOD BLESS you all.
@officialnazatv9654
@officialnazatv9654 Жыл бұрын
Amen amen thanx
@queengee4154
@queengee4154 2 жыл бұрын
I pray for my friend who is in jail with her wife and their small beutiful daughter God remember them naomba uwakumbuke ugenini huku nawaombea kila siku🙏🏻
@esteremily2435
@esteremily2435 2 жыл бұрын
MUNGU awakumbuke
@lucysteven8982
@lucysteven8982 2 жыл бұрын
Amen
@doricekadushi3924
@doricekadushi3924 2 жыл бұрын
Amen
@blackqueen3532
@blackqueen3532 2 жыл бұрын
Mungu wa Israel aisikie sauti yako🙏🙏
@fanuelzakayo4463
@fanuelzakayo4463 2 жыл бұрын
Niliingoja kwa mda Sana kaka ubarikiwe Sana kwa kazi nzur Mungu akubariki 🙏🙏🙏
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏
@titopg5299
@titopg5299 2 жыл бұрын
Kaka yangu Ambwene, this song speaks our life, some of us been to jail without having committed a crime! We’ve cried a million times before God and now we here, MUNGU NI MWEMA!! NIKUMBUKE, NIMEKUMBUKWA🙏🏽😭😭
@saveme4551
@saveme4551 2 жыл бұрын
Amina utukufu kwa Mungu
@miamo4789
@miamo4789 2 жыл бұрын
Wewe ni mshindi haki yako istawi kama mtende wa lebanoni,umekita mizizi ndani ya Neema ya Mungu,,,shuhudia wema wake wengine wamjue
@emanuelgavile3503
@emanuelgavile3503 2 жыл бұрын
Wampe mafao yake huyo mwanajeshi
@jimmy8470
@jimmy8470 2 жыл бұрын
Tatizo nikisikilizaga hii nyimbo lazima nitokwe machozi 😭😭😭 nakumbuka mbali sana 😭😭😭
@nahyasulei5951
@nahyasulei5951 2 жыл бұрын
😭😭😭😭
@augustosjr4836
@augustosjr4836 Жыл бұрын
Poleehh 😥😢🙏
@alikomwandoto1258
@alikomwandoto1258 2 жыл бұрын
Kumbe huu wimbo ni true story ya huyo mwanajeshi kweli mungu yupo😭😭😭
@jacobmwankenja-cd7rm
@jacobmwankenja-cd7rm Жыл бұрын
Pole sana kaka Nathareth kwa mapito makubwa na mazito uliyo yapitia hakika ni mungu tu na pia ubarikiwe sana kaka ambwene mwasongwe kwa huu wimbo mzuri wewe kufariji mioyo ya watu iliyovunjika kwa changamoto nzito tunazopitia apa duniani ubarikiwe sana kaka
@justinemico1871
@justinemico1871 Жыл бұрын
Bwana unikumbuke na Mimi japo Ni mdhambi na mchafu nisie faa hata kulitaja jina lako.
@HammyAbdallah-lk4en
@HammyAbdallah-lk4en Жыл бұрын
Hakikaa mungu atukumbukee
@emmahbooooo
@emmahbooooo 5 ай бұрын
Bwana tukumbuke
@dianadaudi5535
@dianadaudi5535 2 жыл бұрын
Watching from Europe 🇪🇺 this song makes my faith 🙏 to God stronger than I thought 🙏 God bless Man of God @Ambwene mwasongwe
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏
@rogathesarwatt
@rogathesarwatt 2 жыл бұрын
Rudi nyumbani kumenoga dada
@marthaeponda833
@marthaeponda833 2 жыл бұрын
Nimekumbukwa
@subiranjohole1935
@subiranjohole1935 2 жыл бұрын
Mungu akutunze akupe hitaji lamoyo wako. Najua baada ya mapito yote. Uliopitia. Mungu nijibu tosha la maisha Yako brother. Mungu anaekupenda sana,kukaa gerezani ilikuwa kusudi la Mungu. Ili umtumikie, usajhigweghe fijho gwa jesu🙏🙏🙏. Najua umeacha kulia 😭umeshaamini sasa, songs mbele🏃🏃🏃
@dorcasessau3401
@dorcasessau3401 2 жыл бұрын
Hakika MUNGU amenikumbukaaaa
@maonezinyagalu9393
@maonezinyagalu9393 2 жыл бұрын
Asante sana Ambwene kwa kunikumbusha juu ya wafungwa. My prayers are with all those who are imprisoned. May the strength of the Lord be with them all.
@isayakayombo3717
@isayakayombo3717 2 жыл бұрын
Nikumbuke mungu wangu barikiwa mtumishiii
@MrLabadias
@MrLabadias 2 жыл бұрын
I fall in love with this song the first time i came across it in KZbin, the song has been an inspiration to me. Keep up with the good work man of God and may you manifest his will. Unikumbuke
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏
@wadhifatv8827
@wadhifatv8827 2 жыл бұрын
Na ni story ya kweli ya huyo Baba aliyeonekana kwenye video
@kelvinjohnbosco-q7x
@kelvinjohnbosco-q7x Жыл бұрын
leo nimefuatilia nimegundua kumbe huu wimbo ni tukio la kweli kabisa!!!!!daah hii dunia mungu ndio mjuzi wa kila kitu
@tonyelshabbaz
@tonyelshabbaz 8 ай бұрын
Na mhusika mwenyewe yupo kwenye video
@SamuelErnest
@SamuelErnest 2 жыл бұрын
"Nimekumbukwa, nimefurahi" Nimeupenda sana wimbo huu! Mungu akubariki sana Brother kwa kazi njeema hiiiii
@sharifmtunku4309
@sharifmtunku4309 2 жыл бұрын
True story
@alphamusyani2844
@alphamusyani2844 2 жыл бұрын
Mungu awaongoze wote watumishi wamungu na Mr Nazareth mungu amludishe kazini mwake aendelee kulijenga taifa
@ikupamwansasu9448
@ikupamwansasu9448 2 жыл бұрын
Nimekumbukwa nimefurahiii
@jeremiahmsangi8215
@jeremiahmsangi8215 Жыл бұрын
Unaweza guswa na Habari ya Yusuphu,kumbe hata sasa Kina Yusuph wengine wangali wakionesha ukuu wa Mungu, Akhsante Mungu kuyashuhudia haya katika macho yangu,Wewe ni Mungu wa Nyakati Zote,Ambwene Ambwene
@rmaryp6269
@rmaryp6269 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu pamoja na woye ulioshirikiana nao. Kazi yenu ni njema sana.
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏
@emanuelmbise2348
@emanuelmbise2348 Жыл бұрын
Sio wote walioko jela n wakosaji ama Wana hatia ila n kwamba tu wamejikuta either kusingiziw ama jumba bovu kuwaangukia ee mungu usikiaye maombi Kila aliejikuta uko bila hatia jua la haki likamzukie na ukamkumbuke...hakika Ambwene mm huwa najikuta nasikilz nyimbo zake natokwa tu na machozi ....
@CosmasLeza
@CosmasLeza 3 ай бұрын
Mungu endelea kunikumbuka katika nyakati hizi ngumu
@JoycePoul-l8y
@JoycePoul-l8y 11 ай бұрын
Hii nyimbo inanifanya nimkumbuke mzazi mwenzangu, pumzika kwa amani kpnz changu 😢😢😢
@FarhanaPimper
@FarhanaPimper 5 ай бұрын
Nikiona sms kama hyo yako napata matumani kweli upendo wakweli bado upo, Kuna sisi upo kwenye ndoa ila mume anakutelekeza na watoto alafu anakuambia yeye aishi ofisini analala huko huko ofisini ingalia ana kwake ataki kurudi nyumbani kwake Huku mkiwa hamna ugovi wowte, Mungu uikumbuke ndoa yangu mim sijui chochte bwana ...😢😢😢
@emmahbooooo
@emmahbooooo 5 ай бұрын
Mungu yupo atasikia haja ya moyo wako atakutetea.
@jacklinemtenga7418
@jacklinemtenga7418 2 жыл бұрын
I found myself crying. God,ur the one who knows every one's need. Answer us according to your will
@didasstanley3769
@didasstanley3769 2 жыл бұрын
Hamu sasa imepata tiba Mungu akutunze mtumishi wa Mungu kazi nzuri na ujumbe ni mzuri sana unamafundisho makubwa🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙌🏻
@emmanuelraphael679
@emmanuelraphael679 2 жыл бұрын
Mungu amtie nguvu namoyo huyo bwana mkubwa kwan story yake inahuzunisha sana kiukweli
@gracemfangavo4824
@gracemfangavo4824 2 жыл бұрын
I cried a lot, but nmekumbukwa na nimefurahi🙏🙏🙏🙏
@fabrisakasongo3277
@fabrisakasongo3277 9 ай бұрын
Daaah hiii ni historia nishapitia Zamani
@jastinmkandala5620
@jastinmkandala5620 2 жыл бұрын
Huu wimbo Umekua Kama wimbo wa taifa kwenye simu yangu ,yamenikuta uliyo imba ,nilimwacha mke wangu tukiwa na miezi miwili tumeoana😭😭😭😭,inauma Ila nauona muujiza ya Mungu ninayo mengi yamekaa moyon
@marthagabriel3417
@marthagabriel3417 2 жыл бұрын
Pole hata hapo kwenye huu wimbo kuna huyo mweusi mwenye macho makubwa ndo stori ya maisha yake alifungwa miaka tisa bila kosa na mkewe na mtt wakaungua ndan ya nyumba nawalikiwa watumishi wajeshi sasa huku mtaani si ndo wamejaa huko magereza Mungu turehemu
@sliminstallerss5127
@sliminstallerss5127 2 жыл бұрын
Huyu main character kwenye hii video hii ni history yake ya kweli kabisa..great work bro ambwene..so touched
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Жыл бұрын
Wangemrudisha kazini jamani
@kweliyakristoyesu
@kweliyakristoyesu 2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe mtu wa Mungu Roho Mtakatifu akutunze sana
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏🙏🙏
@kelvinkasanga1235
@kelvinkasanga1235 2 жыл бұрын
Bro hivi ni wewe sijaamini kama ni mwasonge, nyimbo mbaya pia sauti sijakuelewa
@nichorousmpala5366
@nichorousmpala5366 2 жыл бұрын
Mungu awe nawe na tuzd amini kwel Mungu yupo nasi sote. Nakutakia maisha mema ndg MWAINYEKULE
@Louez24
@Louez24 Жыл бұрын
Ambwene ni miongoni mwa waimbaji wenye upako. Mungu azidi kukuinua Mtumishi. Ambwene est parmi les chanteurs nommés. Que que Dieu continue à t'élever son Serviteur. Ambwene is among the annointed singers. May God continue to raise you up. Jumbe zako sku zote zinagusa nyoyo. Tes messages, toujours touchent la coeur. Your messages are always touching the souls. Que Die te bennisse beaucoup.
@piussimtala5111
@piussimtala5111 2 жыл бұрын
Inasikitisha sana,Wengi wanaonewa!
@enjoysoccer1
@enjoysoccer1 11 ай бұрын
Huu wimbo nimeusikiliza na nimesikiliza na historia ya huyo baba, binafsi namuombea sana kwa Mungu amukumbuke na kila kilichochake kirudi kwake kwa jina la Yesu kristo. ikiwa wana wa Israel walikumbukwa basi na yeye akumbukwe ili sifa na utukufu virudi kwake Yesu.
@davidngutunyi4117
@davidngutunyi4117 2 жыл бұрын
Kisha CHA kweli.. huyo bwana character yalimkuta kweli..Mwasongwe kamtungia wimbo hakika Mungu atukuzwe...
@ErickKimaro-bf8zs
@ErickKimaro-bf8zs 9 ай бұрын
Mwezi mungu nikumbuke baba nime pambana sana jmn lkn sioni tumaini langu
@kabangaonline4523
@kabangaonline4523 2 жыл бұрын
Daaah nmeguswa na story ya nazareth mwainyekule na hapa namuona nahuznka private nazareth , MUNGU ATUKUZWE NA NDO KILA KITU KWA SISI MASKINI
@gracesteven7078
@gracesteven7078 2 жыл бұрын
Amen amen 🙏🏽 Mungu ni mwema na hamtupi kamwe mja wake. YEYE NI ALFA NA OMEGA 🙏🏽 Huwatendea mema walio wema na wasio wema 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 2 жыл бұрын
ONGERA AMBWENE KWA MASHAIRI MAZURY 👏👏👏
@ApiaMpinga-qr1yf
@ApiaMpinga-qr1yf Жыл бұрын
Unanikumbusha mbali kama ulvyo wimbo ndivyo ninavyopitia Sasa Tena aliniacha mjamzto n mpaka Sasa hajatoka yesu akutangulie kaka kea kunifalij
@mogwathbalele9420
@mogwathbalele9420 Жыл бұрын
Mungu azidi kukuimarisha na kuwatunza
@8pistons194
@8pistons194 Жыл бұрын
Akukumbuke Mungu wa amani
@anangisyejaphet5691
@anangisyejaphet5691 Жыл бұрын
Mungu akukumbuke
@mrmartinipaul2464
@mrmartinipaul2464 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee KZbin ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE
@mariammwamaso3984
@mariammwamaso3984 2 жыл бұрын
Mambo ya 2022 🔥 🔥. Unatibu sana mioyo yetu kaka. Mungu akutunze
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏🙏🙏
@geradmuyeka7460
@geradmuyeka7460 2 жыл бұрын
Mungu akubalik kaka abwen barikiwa
@evalynejoel5489
@evalynejoel5489 2 жыл бұрын
Kwa kweliiiiiiih n 🔥 jaman.. wakuwapi waimbaji kumi Kama Huyu Tanzania ety...
@evalynejoel5489
@evalynejoel5489 Жыл бұрын
Jaman jaman.. Kuna watu wameitwa kwenye uipaji,, nikiwa nimesongwa na mawazo.. nasikia rohoni usiruhusu maneno yakuvuruge,, hakika MUNGU akubariki kaka ambwene jamani.
@simonmndeme339
@simonmndeme339 2 жыл бұрын
kaz zur mung kakup kipaj
@isaackiswaga3736
@isaackiswaga3736 2 жыл бұрын
Best artist of Gospel ever I'm from Colombia Bogota
@karakatamuumba4310
@karakatamuumba4310 2 жыл бұрын
Nimekubukwa na mm....Ndugu Abwene Mungu akubariki..Asante Mungu...From Arusha Tanzania..
@mparanyibagalwa7376
@mparanyibagalwa7376 2 жыл бұрын
Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo God bless you for your supports🙌🏻🙌🏻
@exaverymwandabale6667
@exaverymwandabale6667 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, hakika umeubariki Moyo wangu
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏
@mteulemnyama7858
@mteulemnyama7858 2 жыл бұрын
Doh pole sana afande wangu ... Mungu akusimamie kati katikat yote uliyopitia...pole sana mkuuu
@rachelhenry415
@rachelhenry415 2 жыл бұрын
Nimelia sana😭😭😭😭😭😭Unikumbuke Mungu wangu 🙏🙏🙏
@geniezekiel1922
@geniezekiel1922 2 жыл бұрын
Huyo kaka Mungu amkumbuke nimesikia kisa chake nimerudi kusikiliza wimbo tena duuh Mungu yupo na amkumbuke kila kilichoibiwa kikarudishwe katika jina la yesu amina
@harounjc6550
@harounjc6550 2 жыл бұрын
Maisha yanasiri kubwa, Ukubwa wa Mungu ndiyo uzima wetu leo. Mungu utukumbuke leo🙌🫂
@suzanaemanuel3621
@suzanaemanuel3621 2 жыл бұрын
Yesu unikumbuke
@happymwanyika9205
@happymwanyika9205 Жыл бұрын
Mungu unikumbuke na mimi 😭😭😭😭
@dunnybujaa540
@dunnybujaa540 2 жыл бұрын
Ambwene wewe ni Mchungaji na ivi punde Mungu atalidhibitisha.
@honorathandossi5726
@honorathandossi5726 2 жыл бұрын
Huu wimbo ni wa aina yake! Na wa kipekee.. Mungu awakumbuke wote waliowekwa pasipostahili kwa uonevu au kwa dhuluma! Blessed up Brother Ambwene!
@mparanyibagalwa7376
@mparanyibagalwa7376 2 жыл бұрын
Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo God bless you for your supports🙌🏻
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 жыл бұрын
Huu wimbo ni kisa cha kweli kuna jamaa alikuwa anatoa ushuhuda kuhusu mapito aliyopitia, anaonekana kwenye hii clip, Story yake ipo KZbin.
@Benjamintchizungu-s7l
@Benjamintchizungu-s7l Күн бұрын
Mwenzi Mungu ni mkubwa sans ans teteya watu wasiyo na atiya na kuwatowa manjaribuni pôle sana kabisa
@johnbuyobetruegospelchanne4302
@johnbuyobetruegospelchanne4302 2 жыл бұрын
Hakika huu NI wimbo wa baraka sana. Nami nabarikiwa zaidi kwa kazi njema ya mtumishi wa Mungu Ambwene. Huyu aliyepaswa na huu mkasa ninamfahamu sana. Na ndo huyo huyo ambaye ameigiza kwenye huo wimbo. Miaka yote hiyo Tisa nimekuwa naye gerezani. Kwa Sasa anamtumikia Mungu kanisa moja huko KIBEBERU DAR ES SALAAM.
@swahiliandculture6599
@swahiliandculture6599 2 жыл бұрын
Nimefurahi kumwona mwenye ushuhuda huu hapo
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙌🏻
@Segerethom
@Segerethom 2 жыл бұрын
For those who don't know this song is a true story.. a really true story, and the Storry teller is on the song. God remembered Him.
@sophianasri6107
@sophianasri6107 2 жыл бұрын
Nimefulahia pia kumuona kaka yetu aliefungwa miaka 9 katika video hii Yesu ambariki sana ubarikiwe pia kaka ambwene ww wa juu sana
@niyiesther6571
@niyiesther6571 7 ай бұрын
Mtetezi ni YESU KRISTO tuu pekeyeke
@alexmwalingo5020
@alexmwalingo5020 2 жыл бұрын
Hongera mtumishi kwa kumuimbia yule mwanajeshi alieonewa kwa kupewa kesi ya uvamizi
@Blessed_Ann
@Blessed_Ann 2 жыл бұрын
Nimekumbukwa nimefurahi. 🤗🤗🙌🙌
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏🙏
@janetuli3
@janetuli3 2 жыл бұрын
Kyala gwa maka akwimililege kalumbu Ambwene Mwasongwe. Ulwimbo nnunu fijo naloli!!!!
@mparanyibagalwa7376
@mparanyibagalwa7376 2 жыл бұрын
Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo God bless you for your supports🙌🏻🙌🏻
@ibahatikassinge2780
@ibahatikassinge2780 2 жыл бұрын
Huu wimbo ni zaidi ya wimbo. Atukuzwe Mungu juu mbinguni na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia. Hongera brother.
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏🙏🙏
@greenhealth7114
@greenhealth7114 2 жыл бұрын
Amina mtumishu kazi nzurii sanaaa hii utukumbuke na video ya SURRENDER
@josephsadock1911
@josephsadock1911 2 жыл бұрын
Amen, Mungu atukumbuke ktk maisha yetu ya kiroho na kimwili.
@standardtv3494
@standardtv3494 Жыл бұрын
nimemuona huyu jamaa aliyesingiziwa kesi hiyo kweli kweli Mungu huwa anasababu ya kila jambo haijawahi kuwa rahisi kaka samehe kunajambo Mungu ameakuandalia sehemu mwanandamu hakupanga au kupaswa kujua haikuwa bureee, nahisi huzuni sio huruma na ninaamini katika Kristo anayeishi Utakuwa mkuu siku moja, Amen
@Rehynelly3705
@Rehynelly3705 2 ай бұрын
Mungu unikumbuke
@husseinmaula5914
@husseinmaula5914 2 жыл бұрын
Nyimbo nzuri inaendana na stori ya mwamba Mmoja namuona humu mungu atulinde tusibambikiziwe kesi za uongo.
@saramartin1182
@saramartin1182 2 жыл бұрын
Be blessed brother ambwene me and my whole family tunakukubali sana HUDUMA YAKO NI NJEMA INATUBARIKI NA KUTUIMARISHA DAY AFTER DAY @ ambwene Mwasongwe
@kevoowizzy12
@kevoowizzy12 2 жыл бұрын
Pole Sana Kaka Nilickiliza Story Yko Naamin Kuna Cku Utarudishwa Tena Jeshini Dah Pole Aseeh
@Christ_In_Me
@Christ_In_Me 2 жыл бұрын
English translation ON POINT 😇😇 Wimbo wenye mguso sana May God remember everyone falsely accused and vindicate them,AMEN!
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏🙏🙏
@asnethmaythealmightygodbew3570
@asnethmaythealmightygodbew3570 2 жыл бұрын
Nafrahishwa saan na nyimbo zako Mungu azid kukutumia kwa viwango vya juu
@hanifabakari6245
@hanifabakari6245 2 жыл бұрын
Mungu hunikumbuke kwenye magumu nayopitia ,,hunikumbuke kwenye huu ujauzito nilio nao nijifungue salama✍️💆
@SevelinaSimon
@SevelinaSimon Жыл бұрын
Mungu awakumbuke wote waliofungwa bila hatia wewe wajua maumivu wanayopitia katika mioyo Yao huenda umepanga hivyo lakin kibinadamu kukubal matokeo yakitu ambacho hujafanya ningumu wape neema yakukubal matokeo
@JustinKamwite-fd4sw
@JustinKamwite-fd4sw Жыл бұрын
Mungu akumbuke wa fugwa yote kwani Wengi wa mebebwa bila hatiya
@emmahbooooo
@emmahbooooo 5 ай бұрын
Hakika Mungu awakumbuke
@michaelstivin4963
@michaelstivin4963 2 жыл бұрын
Dahh siku ya kwanza kusikia wimbo huu nililia sana nikasem Mungu naomba hili lisinikute
@husseinkiza4177
@husseinkiza4177 2 жыл бұрын
Congratulations my brother Ambweni 🇺🇸 Mungu akutie nguvu 🙏📖🙏🇺🇸🇺🇸💓🇹🇿
@cesyken
@cesyken 2 жыл бұрын
Waooiiiiiiiii nise best songe
@gradientlife
@gradientlife 2 жыл бұрын
Be blessed brother, what a great video what a testimonial song. Singing a story song is among hard stuff, this one has captured all the contents, message, and gospel. Inguluvi yikuvikage, Kyala gwe mololo. #Nimekumbukwa #HongeraKaka wapi likes za Wanyakyusa
@Danielmparanyi
@Danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzbin.info/www/bejne/b6atinSqfaqLiJo🙏
@graceelimario2821
@graceelimario2821 2 жыл бұрын
Mungu akutumie zaidi kwa viwango vya juu zaidii na zaidi
AMBWENE MWASONGWE - ALIKUTA IBADA (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
8:07
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 1,3 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
Двое играют | Наташа и Вова
Рет қаралды 4,2 МЛН
AMBWENE MWASONGWE - NITAAMBATANA (official music video)
7:48
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 407 М.
The Best Of Christopher Mwahangila Songs 2021
1:35:00
CHRISTOPHER MWAHANGILA Official
Рет қаралды 8 МЛН
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
UFUNUO CHOIR
Рет қаралды 5 МЛН
IMENIUMA SANA by Zabron Singers (Official Video)
5:05
Zabron Singers
Рет қаралды 2,7 МЛН
MISULI YA IMANI BY AMBWENE MWASONGWE (Official Music Video)
8:06
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 1,3 МЛН
Ambwene Mwasongwe - Nifundishe Kuomba (Official Music Video)
7:15
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 241 М.
Billie Eilish - BIRDS OF A FEATHER (Official Music Video)
3:51
BillieEilishVEVO
Рет қаралды 25 МЛН
Kazybek Kuraiysh - Баяғы
3:16
Kazybek
Рет қаралды 643 М.
Afruza - Baxtlimisan (Official Music Video)
4:42
Afruza
Рет қаралды 7 МЛН
Sanzhar - Сен жылама | Official Music Video
2:53
Sanzhar Zhumasitov
Рет қаралды 689 М.
Sadraddin - Melodrama (Çiki Çiki) | Official Music Video
2:42
SADRADDIN
Рет қаралды 15 МЛН