AMINI USIAMINI: HII NDIO HOTEL YA GHARAMA ZAIDI DUNIANI, MIL 55 KWA USIKU MMOJA, INA HADHI NYOTA 7..

  Рет қаралды 51,873

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

AMINI USIAMINI: HII NDIO HOTEL YA GHARAMA ZAIDI DUNIANI, MIL 55 KWA USIKU MMOJA, INA HADHI NYOTA 7..
Bila shaka umesikia sana kuhusu hoteli zenye hadhi ya nyota tano katika majiji makubwa duniani kama London nchini Uingereza, Paris nchini Ufaransa, Las Vegas na New York nchini Marekani pamoja na maeneo mengine ya kifahari kama katika visiwa vya Bahamas, Hawaii na kwingineko.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 41
@seifmohamed836
@seifmohamed836 2 жыл бұрын
Mbona rahisi hivo mm nikajuwa Angalau bilion kwa siku nigeenda kulala hata miez 3 km nihivo nirahisi ina kunguni na mende hiyo
@gamma9590
@gamma9590 2 жыл бұрын
Milion 55 Ni hela Ndg?
@Reema12-v5j
@Reema12-v5j 5 ай бұрын
Shangaa nawew hana hela huyo ukiona ivyo🤣
@Reema12-v5j
@Reema12-v5j 5 ай бұрын
Masha Allah blessed
@tradamus4158
@tradamus4158 5 ай бұрын
Sio kweli
@AwaziRajab
@AwaziRajab 2 ай бұрын
Kwa Upeo Wako Wa Kuchunguza Umeishia Apo Wa Kuzani Kwamba Iyo Ndio Holet Yenye Gharama Kubwa Lakini Atakuja Mwenzio Atavumbua Hotel Na Gharama Zake Utabaki Mdomo Wazi We Sema Hotel Ya Gharama Kulingana Na Upeo Wako Lakini Ziko Hotel Za Gharama Kuliko Iyo Kwa Watanzania Watakuelewa Kwakua Tumezoea Umasikini Mpaka Wa Akili
@DJrajabuMpare
@DJrajabuMpare 4 ай бұрын
Hatari sana🎉
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
Kuna hoteli Marekani Vegas malipo ni 150k USD sawa na millioni 300+ za kitanzania
@shazilhashim6648
@shazilhashim6648 2 жыл бұрын
Maisha haya bhana😇
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Yn nn
@MarcVelan-z4r
@MarcVelan-z4r Ай бұрын
@kalebumkandi6439
@kalebumkandi6439 2 жыл бұрын
Dah 👐👐
@aisharamadhani9438
@aisharamadhani9438 2 жыл бұрын
Tabora nna nyumba 5 za kupangisha
@archbordygodfrey7770
@archbordygodfrey7770 2 жыл бұрын
Haikuti ile ya Zanzibar Amber luxury resort. $197,000 per 2 or 3 days. Zaidi ya milioni 400!
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Ah wap
@johanesbina1302
@johanesbina1302 2 жыл бұрын
We unaumwa 😂😂😂
@bedaurassa1367
@bedaurassa1367 2 жыл бұрын
hiyo helpad inatumika vipi kwa ajili ya mashindano ya magari?
@murijiSungura
@murijiSungura 3 ай бұрын
Naenda ukoo
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 жыл бұрын
Watu wana pesa jamani duh
@bakarymbega6320
@bakarymbega6320 2 жыл бұрын
No reseach nowright tospeak that is not the most expensive it is the most luxsorous hotel haiingii hata kwenye kumi bora duniani kwagharama ingawa kwa ubora ni ya kwanza rudi Google urekebishe chapisho lako
@roycerolls9641
@roycerolls9641 2 жыл бұрын
Nchi za kiarabu HUWA na vitu vya gharama kuliko nchi yoyot Kwanza iko kweny maji
@abooaboo-rs4uw
@abooaboo-rs4uw 3 ай бұрын
Wacha wee.nitakuja happy na bilioni tango nilale kama ina kunguni silipi
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 5 ай бұрын
Umekosea kuandika badala ya elf tano umeandika milion 55 rekebsha
@MaxmaxAyoMaxmaxAyo-mt5yz
@MaxmaxAyoMaxmaxAyo-mt5yz 4 ай бұрын
Elfu 5 iyo cyo guest bubu
@dallasmusic6465
@dallasmusic6465 4 ай бұрын
Hela kdogo sana hyo 😂😂😂bora tilion kwa siku
@JoshuaLutindi
@JoshuaLutindi 5 ай бұрын
Duuu hili imeenda
@beatricelichoti5028
@beatricelichoti5028 2 жыл бұрын
Iwas there for 1month with my boss
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Mh for whats my friend
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 5 ай бұрын
Mwaka mpya wa mwaka Jana nililalal hapa mwez mzma
@bigtengwemela3153
@bigtengwemela3153 4 ай бұрын
😂😂😂
@ShabaniSuleiman-vd4mi
@ShabaniSuleiman-vd4mi 5 ай бұрын
So kwl hapa hapa tz ipo sandar ipo mafia usk 1 milioni100
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 2 жыл бұрын
Mwandishi unaichambua km ulikuwepo 😄
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@robertlyimo636
@robertlyimo636 2 жыл бұрын
Ina Almasi au
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
So pw
@najimmaalim976
@najimmaalim976 Жыл бұрын
Wazungu hawataki kukubali ila Dubai ni nchi ambayo inauwezo mkubwa kuliko nchi nyingi za ulaya na so Dubai tu Emirate yote ipo saw
@CharlesSimkoma
@CharlesSimkoma 5 ай бұрын
Umewauliza wakakataa?
@KisaMax
@KisaMax 2 ай бұрын
Ushafika elegance wewe ipo sinza mori ni nyota 8 sioo poooa
@privamushi2512
@privamushi2512 Жыл бұрын
Hata mimi kuna siku nilipita apo kuomba tuku ya dalala 😂
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 6 ай бұрын
Nataka niende apo 2027 nikae mwaka mzima.
@allythabit3236
@allythabit3236 2 жыл бұрын
Aduniya sijinu ll muumin waljannatul kafir
Win This Dodgeball Game or DIE…
00:36
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 44 МЛН
IJUE MELI KUBWA KULIKO ZOTE DUNIANI
4:54
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 212 М.
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Global TV Online
Рет қаралды 833 М.
MELI kubwa Duniani Hii hapa, Ni Mji Unaoelea, Inatembea milele bila kusimama,Utashangaa ubunifu wake
2:38
Kona ya Teknolojia - Habari na Maujanja
Рет қаралды 602 М.