Masha Allah , alhamdullillah nakushukuru sheikh wetu kwa kutuamsha nimejifunza . Allah akudidishie uzidi kutuelimisha . You are my favourite one sichoki kukusikiliza hata km sometimes siandiki comments lkn nakusikiliza alhamdullillah may Allah bless you and bless your family
@bibasulesh78662 жыл бұрын
Amiyn
@yusraramji Жыл бұрын
Amin🙏
@MwanaidiJuma-hw8tb6 ай бұрын
Amiin
@gamblilekamau129 Жыл бұрын
Asalaam Alaykum warahmatulah Wabaraqatu, mie nime slimu na pia namshukuru Allah S.W.T kwakutupa Tawfiq sote . Nawakumbukeni nyote kwa Dua Na Allah akupe maisha Marefu Sheikh walid..
@rufaydabaskut22302 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi sheikh wetu ...tunakuskiliza from kenya 🇰🇪
@omarijuma66922 жыл бұрын
Allah akupe kila lakheri sheikh letu tupate kufaidika na wewe pia akupe umri mrefu
@abcmnbb26108 ай бұрын
❤mashaallah tabarakaah ❤ Shukran Sheikh wetu mawaiza mazuri sana ❤
@halimatsumo29093 жыл бұрын
Ma sha Allah Ma sha Allah Ma sha Allah.... sheikh Walid Allah akuzidishi umri mrefu ulo na baraka
@ummusalim1991 Жыл бұрын
Ma shaa Allah TabarakaAllah Nafurahy sanaa kukuskiza... Mola akuhifadhi na azidi kukuafya Yaa Rabb
@mohamedabubakar73974 жыл бұрын
mashaallah mawaidha mazuri yenye faida kubwa washukran sanaa shekhe wetu mpendwa
@nyembojarufu84472 жыл бұрын
Shekh Walid shukrani Sana Allah Akupe Maisha marefu Insha Allah 🙏🙏
@khamismati12704 жыл бұрын
Asante kwa ukumbusho shekh Walid allah Akupe kilalaheri kwenye maisha yako
@nafuumatata54243 жыл бұрын
masha allah
@abdulnuruhassan86112 жыл бұрын
shekh Walid Allah akupe ubri mrefu hasante kwa ukubusho
@mozasaid38694 жыл бұрын
Shukran shekhe kwa ukumbusho Allah akuzidishie kila lenye kheri na akuzishie umri mrefu
Mashallah hakika ni Allah peke yake ndo atakulipa ujira huu Alhamdulilah🤲🙏
@maliksilimtutu19174 жыл бұрын
Allah akusamehe na akupe umri inshallah
@hassanakida37394 жыл бұрын
Allah akuzidishie kwa kutukurubisha kwake kwa daawa
@iddydaruwesh86504 жыл бұрын
Sijali hata bando langu kuisha kumsikiza sheikh wangu walidi. Allah akupe afya njema na umri mrefu
@رياالحجري-ع7ز2 жыл бұрын
Asante shekh kwakutu funzwa tuso ya juwa allah akubarik
@chamaosman15963 жыл бұрын
MashaAllah shk walid
@mbarakahussein91072 жыл бұрын
Anllah akupe umri mrefu wenye kukufaa hapa duniani na kesho akhera
@SalimKombo-xo4pq18 күн бұрын
Shukran sana sheikh wetu walid.
@marwanbakhamis11254 жыл бұрын
A alk..Allah akupe mwisho mwema ..amiin...matirio yak kher tupu na nuru ktk mioyo yetu
@bahatihassan54133 жыл бұрын
Jazzakallahu lkhayra sheikh shukran wajeed
@salmaabdulla52144 жыл бұрын
MashaAllah❤️❤️❤️❤️Allah bless you
@nabiljumbe4 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@aminaibrahim41484 жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe umri tawil
@mwanaimaabdallah78254 жыл бұрын
Baaraqallahu fiyqum Sheikh Walid
@zubedasoud92043 жыл бұрын
Maa Shaa Allah
@korogwetanga8104 жыл бұрын
Masha Allah Taabaraka Rahman
@athumankidole73963 жыл бұрын
Mashallah sheikh warid umenifunza kitu kizuri sana leo
@zeinababdulla81373 жыл бұрын
Amiin amiin amiin.shukran
@Maryam-j1d6u Жыл бұрын
Allah akulipe mema zaid na akupe umri mrefu wenye mwisho mwema
@jarufumuhamed63962 жыл бұрын
Mashaallah
@xamiidaxamiidacabdi26924 жыл бұрын
ماشاالله
@mtumwasharifa62204 ай бұрын
SUBHANA ALLA NAMUOMBA ALLAH ATUPOKELEE SWALA ZETU
@afric01 Жыл бұрын
Aslm alkm ww.... Shukran. Jazakallah kheir 🙏
@fadhilaassey23404 жыл бұрын
Alhamdulillah sheikh ni kweli kabisa ukidumu na istighifar na kumswalia mtume kuna siri kubwa kwa binafs yangu ilifikia kipindi niomba dua inakubaliwa mambo mengi sana yakafunguka alhamdulillah dumuni na huo utaratibu ukiolekezwa na shehe muone maajabu. Shehe nataka nikuone TAFADHALI
@ag30444 жыл бұрын
MashaAllah Allah akubariki
@rahmaabuubakar17512 жыл бұрын
Hakika ukidumu ktk kumswalia mtume Muhammad swala llahu alaih wasalam kuna vitu vyenye kheir vinakujia na pia riziki haikupigi chenga. Alhamdulillah
@Catherine-mh8sw11 ай бұрын
@@rahmaabuubakar1751swala ipi hiyo ya mtume
@HamidukisimboАй бұрын
shukran
@DebalzacOmari Жыл бұрын
Sheikh wetu Mimi Niko Lubumbashi RDC, nakupenda saaaaana Allah akujaliye la heri na mwisho mwema
@bellbell92944 жыл бұрын
Mashaallah shukraan jazaka Allahu kher
@jamaldinabubakary95074 жыл бұрын
حياك الله يا حبيبنا 📚
@rahemaissa98673 жыл бұрын
Mashallah
@nshimirimanadjamilla72704 жыл бұрын
Allah akulipe kheri sheikh wetu
@jumahasan41043 жыл бұрын
Allah akupe mwisho mwema
@raziaramadhan48552 жыл бұрын
Alhamudulillah 🙏 shukuran sheikh.
@rumaukombo64154 жыл бұрын
Shukran Kwa zawadi
@naimatupo29203 жыл бұрын
Shukrani. Sana.
@ziadasadiki81962 жыл бұрын
ALLAHUAKBARU
@hshshsshjdjejjejejejej9823 Жыл бұрын
Alaahumaa Amiin Amiin yarab
@babumsiha15733 жыл бұрын
Mashalla
@salmaalkyumi60302 жыл бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
@alhajnamkopa45973 жыл бұрын
Shekhe umeeleweka sana kazi kwetu
@dezainermedia10353 жыл бұрын
Machalllah
@ramangadu64514 жыл бұрын
Nakuombea Sheikh Letu Umri TWAWILI
@omaryissa-sw3nu Жыл бұрын
Allhamndullah
@fetysukafetysuka90564 жыл бұрын
Shukuran
@OprahSylvester-mt8vj Жыл бұрын
❤❤❤
@tabuhussein43264 жыл бұрын
Assallam aleikum.naomba unijulishe vile ntatuma mchango Niko kenya
@ramlahkadesa25214 жыл бұрын
Nani anaweza fikia Mtume Muhammad (S.A.W), hakika hamna ila kaoa wanawake zaidi ya mmoja, Kwa hivo ndoa ni sunnah sie waislamu yafaa tumuige mtume wetu.
@mswakisaid2320 Жыл бұрын
Rudia tena kusikiliza mpaka utaelewa
@khamismati12704 жыл бұрын
Shekh Walid tunaombo utusome quran
@neemainabikorwa55703 жыл бұрын
Allah azidi kukuhifadhi
@HannanSomaiyah-wp7ny8 ай бұрын
Swadakta hiyoo imewafikia Ujumbe,Watakuja tu bila kuketwa na watu,
@kibokoyao20274 жыл бұрын
Asalamu aleykum nauliza hivi Mimi ni mkenya saa natuma aje sadaqa yangu kwa hyo tego pesa
@DarsaTV.4 жыл бұрын
inshaallah tutakujuza maalim
@rahemaissa98673 жыл бұрын
Western union, Shekh tu akutumie majina yake ya kitambulisho cha taifa Kisha ndio utume
@issahassani50032 жыл бұрын
Inshallah mungu akupe wepesi akutienguvu aamin
@yusraramji Жыл бұрын
@@DarsaTV.Mimi ni mkenya Sheikh nitume sadaka kwa namba Gani , @yusraramji
@wisesimple8083 жыл бұрын
Asalaam alaykum, je kutamka maneno hayo ni alazima uwe na udhu ama bila udhu inaswihi?
@kherimacksood6342 жыл бұрын
Asalaam alaykum.ujenzi ushakamilka? Na kama hujakamlika naweza tuma?