Huyu sasa ndio mwanaume kamili lonah usiache bonny amefanya kazi nzuri sana congratulations bonny hakuna mwanaume anaweza vitu hivi vyote aki❤❤❤
@SylviaWechuli2 сағат бұрын
True Infact he's the frst guy
@UlenjeNyamvula34 минут бұрын
Kabisa
@fatma-bn5ji2 сағат бұрын
Lona rudi kwa boni anakupend hakuna aliyekamilika❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@NyachwoEvelyn3 сағат бұрын
Guys this boy is better than some of our parents 😢😢 he is one in a million
@julietsoita14013 сағат бұрын
He is one in million ❤️ ♥️
@christinekayosa2224Сағат бұрын
Indeed 😢❤❤❤
@sarahwambui6256 минут бұрын
True
@Eddy_wamishey12 сағат бұрын
Congratulations bonny good job sio wote wanafanya vile umefany🎉🎉
@HchJev6 сағат бұрын
Mm ningekuwa lona ningerudi kwa bwanangu coz uchawi ndo ulikuwa umemfunga bony mungu akubarika kakangu 🙏🙏🙏🙏
@KamikaziSalma3 сағат бұрын
Wallah huyu kijana anaakili sana apewe ulinzi wakutosha 👏👏👏 furahi mama nihaki ya mwanawo 💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗
@MoureenKhamis2 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kabisa❤❤❤❤❤❤
@Ashleykaudencia41 минут бұрын
Kabisa ako.na.akiki.kumbe aikuwa kupenda kwake
@BettybiozСағат бұрын
MAY GOD BLESS THIS BOY.I LOVE THE WAY HE 'S HUMPLE SIKAMA WALE WENGINE WANAKULA PESA NA MALAYA KISHA WANAUZA WATOTO.🙏🙏🙏
@SilviaS-ys6om8 сағат бұрын
Aki lornah please usiwache bonney unaona akuaribu pesa zako alitumia vizuri .🥰🥰🥰
@catrhine9332 минут бұрын
Congratulations 🎊 👏 bonny lonah usiwaje huyo bonny sio wote utakanyo tumia pesa wakufanyie maendeleo
@JosephineBiyaki-t4o2 сағат бұрын
Ooh my God ata mmi sitatoka Saudi waaaau Sasa magaidy tufanya bidii❤❤❤❤❤
@neemamwaura822228 минут бұрын
Good job dactari uchunge hio boma wasikuje kulita muchawi uko Bonnie kazi mzuri uchaw Dio ilikuw inakusubua bt haikuzuia ijijenge
@Loice-m4s3 сағат бұрын
Mama pia usiwe na tamaa ukwamilie hapo utajengewa yako 😃 😀
@sarahwambui6255 минут бұрын
Congratulations bonny never give up good job
@Fuzia-w4w2 сағат бұрын
Wow nilikua nasuburia document hapo sasa bonny ni mwanaume bora❤❤❤
@Cynthia-qh8kv3 сағат бұрын
Baba hafeel poa kabsaa
@DorineMoraa24 минут бұрын
🎉🎉🎉🎉arirrrrrr cogratulation kwa lona usiaache bonny
@LLl-p4r3l3 сағат бұрын
Wow we haki bony barikiwa xana lonah rudi kwa bwanako. Kumbe ulikua uchawi
@FronicaMmbasu2 сағат бұрын
CONGRATULATIONS KIJANA🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️,GOOD JOB YOU DID ,,,GLORY TO GOD .LIVE LONG 🙏🙏🙏👍
@RehemaJohnson-d5m3 сағат бұрын
Wanaume n kma hawa congratulations boni mungu akubariki jameni
@emilymideva8783Сағат бұрын
Woow so amazing congratulations Norah nice work.
@Kenyalydiahmonayo2 сағат бұрын
Good job👏👏👏
@violetnamema775347 минут бұрын
Lona please usiache bonny ni one in a million akuna mwanaume anaeza fanya hii
@UlenjeNyamvula38 минут бұрын
Congratulations bonny wewe ni mwanaume
@rizeshiku3 сағат бұрын
Wow so nice ,.aki bonny he is a man ❤❤❤❤❤ Lorna please when you come back , stay with this man ,🎉🎉woi mum musifukuze huyu kijana ,.huwenda ata mama hangefanya hizi vitu zote
@bahatikadzo88962 сағат бұрын
Ndiyo maana lona alitafuta dakitari haki huyu kijana mungu ambariki
@Betty-m5nСағат бұрын
🎉🎉🎉🎉 bony
@julietsoita14014 сағат бұрын
Lonah if you are watching this come back
@SurprisedBirdBath-qh2nn2 сағат бұрын
Wow congratulations bony umefinya kitu muhimu xna walai
@PatriciaKambaleСағат бұрын
Bona usiache bonny ambia daktari akurudishie mme wako
@Emilymama2boys2 минут бұрын
Uyu mama nae tamaa imemuingia 😂😂
@perisnelima-q8p3 сағат бұрын
Mbona siamini bonny😂😂
@MOH-k1e2 сағат бұрын
Same to hii ni drama tu
@emilykwamboka7112 сағат бұрын
Daktari angekuwa Ameona kitamboo aki
@NyamokiJemimah-f4x2 сағат бұрын
Pia mm juu hii nyumba ni yakifahari walai hapa kuna kamchezo
@RAELRAEL-sj1qgСағат бұрын
😂😂😂😂Nashuku pia hii nyumba bonny anafanya kazi hapo mayb wenyewe hawako around ndo akaamua acha awafunike
@marykachisaСағат бұрын
Juu pesa ya Saudi n kidogo aki anunue shamba na ajenge hio nyumba hapa Kuna mchezo@@RAELRAEL-sj1qg
@MARIAMARIA-j3r2 сағат бұрын
Hongera bonny kwa kazi yako
@ChristineEtyang3 сағат бұрын
Bonny❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@MariahNyaboke2 сағат бұрын
Nobody is talking about furaha ya daktari😊
@ambanihilda96362 сағат бұрын
Yah, this has beta smooth journey with bonys support
@Nema-f5d2 сағат бұрын
Good job
@UsilaChepchumbaСағат бұрын
Bonny🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅
@ZenahMonry3 сағат бұрын
Me naonelea hata lonah aendelee kutumia bonny doo amefanya kazi mzuri sana
@Lastbornofficial13872 сағат бұрын
Aki lona rundi kwa bwanako ako hata husirundi gulf walahi....lona msifukuze bonny naona kama mama lona atachukua vitu zote walai
@CatherineAgote-b7l3 сағат бұрын
Wao Good waka
@julietsoita14013 сағат бұрын
Mzee anachungulia nje 😅😅😅
@Theblessed-v9y3 сағат бұрын
Lona plz usiache huyu kijanaaa please please
@mumblessed0013 сағат бұрын
Kumbe huyu kijana alikua ni uchawi ilimfanya awe hivo good job beana ya lonah kazi safi dactari good job kazi safi aki hii yote ingeenda na mchawii lonah fanya kazi bila stress
@EdinahMogire-d4w3 сағат бұрын
Baba ajafurahia na mchawi😂😂 aky bonny ni mwanaume na nusu
Angie nkuulize nataka daktari anikinge mtu yoyote asiwahi nifanyia kitu coz I'm from kisii na my aunt n mchawi,, please atadai pesa ngap?
@JESCAMUHANJI3 сағат бұрын
Ni madawa yalifanya Bonny afanye lonah ivo airport warudiane bana
@AgnesWaringa-w8b2 сағат бұрын
Huuu mama anasema hayoki kwani yeye ndiye alikuwa anatengenezewa amepewa shamba aende ajengewe nauko hii nyumba ni ya lonnah na bonny good job daktari
@PeterKamau-gu1tx2 сағат бұрын
Kweri coz huyu ataeza katalia uku
@DorothyMwendwa-u3mСағат бұрын
Mama aliuza Kila kitu ndio msichana wake aende majuu so akona ruhusa borake mtoto wake anakubali...kumpa room tu moja
@YasminKhamisiСағат бұрын
@@DorothyMwendwa-u3m saudi n bure bana😂😂😂😂
@promiseirene1430Сағат бұрын
Hii boma ni ya bonny na lonah sijui mamake anataka kuingia kwa nyumba ya watoto kwa nini
@YasminKhamisiСағат бұрын
Anasema ety arudi kwake uyu ako sawa kweli😂😂😂😂
@TitusRachael-q5p2 сағат бұрын
I wish lona hangerudi haraka hivo
@KamikaziSalma2 сағат бұрын
Mama anajuwa kunipa raha sana😂😂😂😂😂😂😂 etikulekwangu sirudi 😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 basanja kiroho kinamuuma sana anatamani kumrukia Bonny 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AgnesWaringa-w8b2 сағат бұрын
Wewe mama wacha tamaa huko ni kwa mtoi wako na bwanake tamaa mingi punguza
@MariamNamppija3 сағат бұрын
😂😂❤❤❤❤
@Norah-s9f24 минут бұрын
Lona usiache bwanake hiyo kitu hazishi Bado iko TU poa haikuvujika
@RehemaJohnson-d5m3 сағат бұрын
Bibi wa pili aende Saudi Arabia pia
@EdinahMogire-d4w3 сағат бұрын
Na hii ni saudi gani lona halikua na mimi apa sioni pesa sikitosa😅😅
@zainaburuthzainaburuth33763 сағат бұрын
@@EdinahMogire-d4wlona worked for 6years
@Farinahfavour2543 сағат бұрын
😂😂@@EdinahMogire-d4w😂😂😂😂 walai lkn 7 yrs si mchezo
@LonahLoshСағат бұрын
@EdinahMogire-d4w hakua Na majukumu wengi walio Saud n school fees both Kwa watoi wao Na nduhu Na dada but Lona alipata mwanamme mwaminifu
@BRIANOTOIGO2 сағат бұрын
Baba wewe kuna viti hapo nje kijana anasema ukae aki Dr😂😂😂😂
@jentamacrine5873 сағат бұрын
Mimi naona bony alikuwa mbele ya uchawi Yani alishinda uchawi😅😅juu kama amefanya hizi zote uchawi basi ilichelewa😅😅
@ZenahMonry3 сағат бұрын
Lonah mahali uko kama unanisikia ulipata bwana mzuri n mganga alijribu kumwaribu ila usimwache bonny
@NicIbrahim54 минут бұрын
Huyu kijana natamani nimpee job anijengee nyumba Kama hii
@DianaEtemesi2 сағат бұрын
Aky lonah samehea bonny n mzee mwenye akili
@jentamacrine5873 сағат бұрын
Mama Lona sasa achia brother wa Lona boma lako na shamba kama yake basi kama utoki hapo😂😂😂
@emilykwamboka7112 сағат бұрын
Lonah penye uko Najua unaona venye bwanako ameheshimu jasho lako aki
@nancyrori66372 сағат бұрын
Bonnie nikuharibiwa aliharibiwa na huyo mwanamke
@AishaElizabeth-j6h2 сағат бұрын
Some likes to Bony ❤❤❤❤❤❤ now why mama Lonah wants to stay in this house 😅😅
@Vee_5jiСағат бұрын
Angejengewa yake aki 😂😂😂😂😂wee kijana anakili 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@webbryr556822 минут бұрын
🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆
@DianahMururi7 сағат бұрын
Mm nimefurahia ndio tuko na mangombe hapa wanakula Kukula na pia wanakuletea mwanamke wanaweka Kwa nyumba yenye umejenga na pesa zako za gulf na anakwambia hakujui
@Scolah-i2h6 сағат бұрын
mbona nashuku bony sana ..the way wamesugua izo sufuria inakaa kuna mwanamke mwingine uko
@JulietImujaro6 сағат бұрын
Ujasikia akisema Kuna shamba boy na wewe
@Scolah-i2h6 сағат бұрын
@JulietImujaro nimesema namshuku siyuko sure juu wanaume awasuguangi ivo sufuria ..sijesema unijibu ivo kuja pole pole😒😒
@JulietImujaro4 сағат бұрын
@Scolah-i2h sawa acha niaje kihehere🫶
@ambanihilda96362 сағат бұрын
@@JulietImujaroitabidi aondoke
@mlynamylna38283 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤wow
@mariamsalim-c5zСағат бұрын
Lona rudi kwa boni anakupend
@totiochieng41163 сағат бұрын
Lorna asimuache uyo mwana mume , sio raisi
@Emily-e2l3 сағат бұрын
Lonah Rudi kwa bwana Yako plz
@MariyamImran-yl1lk3 сағат бұрын
Where is the baby
@FfFf-zw4oy4 сағат бұрын
Lonah koza sio kosa kurudia kosa ni kosa forgive Bonny na mrudiane
@JanethNyaboke-bq5ob3 сағат бұрын
Hapana mama husilale hapo kwa mtoi wako
@MOH-k1e2 сағат бұрын
Mnafanyia drama kwa manyumba za wenyewe miaka saba saudia kwani alikuwa analipwa million ngapi😏😏😏
@JUDYKOSGEI-g7b3 сағат бұрын
Ambia mama alimaliziwa aweke hizo documents kwa bank
@DebraChelangat-p2p49 минут бұрын
Lonar love your husband please
@ZinabAlzinab3 сағат бұрын
Bonny usisubutu kumuingiza huyo bibi wa kichewi kwa nyumba ya lonah usijaribu Yuko na roho ya tamaa
@RebeccaMusau-or6vi3 сағат бұрын
Lona tafuta pesa ujenge za wapangaji usirudi saaii
@marymaina52452 сағат бұрын
U mine to say Ann after sleeping with baba yake, Tena Akai nayeye
@Agatha-s4w5x3 сағат бұрын
Lonah usimuache bwanako haki hatakama umempata na mwanamke mwengine lakini pesa yako hajakula
@besonwanda60412 сағат бұрын
Rudi kwako kamama mume wako ni muzuri sana
@linetnyangate13117 минут бұрын
Sasa wewe mama umeanza kujipanga mwanaume wa msichana wako aende wapi wewe ujengewe yako
@Shiie.mwongela3 сағат бұрын
Mama lona anataka kukatalia kwa nyumba ya watoto 😢
@jentamacrine5873 сағат бұрын
Haki😅😅😅arudi home
@pauline10153 сағат бұрын
Smiling alone😊😊😊😊
@Loice-m4s3 сағат бұрын
Aki lona popote ulipo ujue una bwana
@carolchelagat46102 сағат бұрын
Naona hii drama mahindi tena
@WinnieMwaurah-y8k2 сағат бұрын
Hope mumelipa mwenye iyo mali kufanya content nayo ,,,juu hakuna pesa ya saudia inaeza Fanya hii in 2 years,,,alafu in contract mutiachishe uongo
@santakahindi2 сағат бұрын
Wewe lonah alikaa 5years si 2 years
@hadijaangura65722 сағат бұрын
Mm mwenyewe ni na 10 yrs !nasijafika hapo kwani mm ninani😢
@MOH-k1e2 сағат бұрын
😂😂😂😂hata kama ni 10 yrs hope wamelipa na ya sabuni ya kuosha hiyo hao ya wenyewe juu kunuka inanuka huko
@LonahLoshСағат бұрын
@@santakahindialikaa 7yrs
@LonahLoshСағат бұрын
@@hadijaangura6572wewe una majukumu maybe but c unaona Lona hakua Na school fees Na hata hakua anatumia wazazi pesa for 7 yrs it can be possible