Jioni moja tulivu Noah alikuwa akipata vinywaji na Bwana Ferdinand ambaye ni moja ya watu waliokuwa wanapenda mchezo wa boxing kwa muda mrefu, wakiwa wanaendelea kupata vinywaji mazungumzo pia yaliendelea.
Пікірлер: 141
@ankojay_4 ай бұрын
PART 01 HII HAPA ISIKILIZE kzbin.info/www/bejne/l5_bfpWop5d2fa8si=Jg6B9p97DlIQTLg6
@AminaHussein-vy4gx4 ай бұрын
Anko mapesa tuletee emmy❤❤❤❤
@NsimireMurumbi4 ай бұрын
Ankojey uko wapi jamani mbona mimiesipate simulizi hizi siku sijuwe kama sim yangu mbovo je, One Mistakes sehemu ya 3 Bado hata sehemu ya 6 ya Mr Love bado
@Ntihebuwayotaty-t1s4 ай бұрын
Kwamara ya kwanza nakuwa watano bora namboni like hata2 wapenzi from burundi
@RahmaNiyonkuru4 ай бұрын
Wow leo nime kuwa wa kwanza asant sana kwa simulizi nzuri 🥰🥰na mimi leo nataka Like zetu 🎉Nawapenda sana
@sephrinewarenga27454 ай бұрын
Leo nmewahi Sana,kazi nzuri kaka,🎉🎉🎉.
@Lucy-vp8pm4 ай бұрын
Leo nmechelewa😢😢ila nmefika hongera akoj hatuboeki kwa kweli hata stress za mwarabu hatuzioni ❤❤❤❤kwako kipenzi chetu wale wanakubaliana na mm stress kwa mwarabu hakuna juu ya simulizi za akoj wp like zenu
@RakaPk4 ай бұрын
Wooh Asante Sana Anko wetu kwa kutupa kitu roho inapenda ila jina lilinichanganya nikajuwa simulizi mpya kumbe 😱 aya twende nayo sasa barikiwa sana anko ❤❤🎉🎉
@DorcasMuomba-gd3sw4 ай бұрын
Kwakweli Leo umetufurahisha tunakupenda zaidi hatimae umeachia mzigo ❤❤❤leo ni full furaha
@Tracepeter07234 ай бұрын
Leo htr aisee anko unatuweza
@fatimafoaani22634 ай бұрын
Nice story be blessed anko Jay wetu kipenzi thank youuuuuuu so much kwa kazi nzuri ❤❤❤🎉🎉🎉
@RoseMbuya-cn5dg4 ай бұрын
Asante Sanaa ankojay kwa simulizi mzuri wadau mpoo na anko jay naomba Leo like zenu
@zenaathumani81444 ай бұрын
Tupo mdau ❤❤❤🎉🎉😂😂
@TeklaNdekeja4 ай бұрын
🎉🎉🌹💯
@Lucy-vp8pm4 ай бұрын
Tupo ❤❤🎉
@Khijratkhijrat-eq1px4 ай бұрын
Wa kumi jmn ❤❤❤❤❤
@OmarNzohabonayo4 ай бұрын
Kutoka Burundi sijacerewa sana 🇧🇮
@Zeina-y9i4 ай бұрын
Tangu nianze kusikiza anko jay sijawai pata36 nashukuru sana anko God bless you 😂😂🎉🎉🎉❤
@MwajumaToh4 ай бұрын
Asante sana anko tuko pamoja kazi mzuli ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sulemanbama93334 ай бұрын
❤
@dsoka42924 ай бұрын
❤❤❤ Thanks Anko kwa simulizi tamu sana 🎉🎉🎉 daah hakika unajua sana pia nikikosa kusikiliza simulizi zako naumwa kabisa❤❤❤
@ZaiZainabu-o4p4 ай бұрын
Asante ancojey kwasimulizi yenye mafonzo namuongozo katika maisha🧚♀️🙏
@binthassan91914 ай бұрын
Ahsante Anko jay kwa muendelezo wa simulizi yetu nzuri, nimelala sana kumbe 😂😂😂😂
@RitaannyManegabe4 ай бұрын
Wow ❤❤❤❤❤❤❤
@TeklaNdekeja4 ай бұрын
Mama victa jaman mbona hupemdi furaha yamwanao unacheza karata gani hy toka mwanzo hupendi aowe, unampa moyo knafki. inauma kua mzazi km wewe, jacline wampa maumivu jaman Mungu msaidie Victa apone🙏🙏
@zenaathumani81444 ай бұрын
Asante sana ankojy kwa kutuletea simulizi hii tamu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️🎉 from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao wote wanafamily wa ankojy
@zenaathumani81444 ай бұрын
Patamu hapo ❤❤❤😂😂
@TeklaNdekeja4 ай бұрын
🔥🔥👏
@zenaathumani81444 ай бұрын
@@TeklaNdekeja ❤️❤️🎉
@zenaathumani81444 ай бұрын
Kusema ukweli tu jamani ugojwa wa kansa kwa sasa imetapaka Duniani kote inatesa sana watu daaah 😶😶😶😶
@zenaathumani81444 ай бұрын
Aivan penye nia pana jia mungu atakusaidia tu 🙏🙏🙏
@AishaHussein-w5c2 ай бұрын
Natamani uko juwa je kipenezi chake jacqueline 🎉🎉❤❤❤
@aumuelly29094 ай бұрын
Ahsante bwana anko Jay simulizi ❤❤❤❤😂😂😂
@elizabethkatoko88674 ай бұрын
wow niliingoja sana hata kama nmechelewa Borake nmefka uku kwa jay thanks
@Kellyperry9474 ай бұрын
Haya maisha bana
@RizikiNyaboke4 ай бұрын
Tunaingoja
@Alya-np7gm4 ай бұрын
Ankojey asee hongeraaa saaana saaana unaweza baba
@ankojay_4 ай бұрын
Ahsante sana 🙏
@RahelIbrahim-id2li2 ай бұрын
@@ankojay_ una watu na watu wa kujibu coment zao?
@MamakeJanetuser-ds8sz1mw4r4 ай бұрын
mr Love please 😢
@EmmeMrrras4 ай бұрын
Kaz kazi ankoo❤❤❤🎉🎉🎉😂
@rebeccazagabe4 ай бұрын
leo ni mwendo waku enjoy tu
@usterbae4 ай бұрын
Wanne good job ankojay may God bless you🙏😘
@puritykananu99204 ай бұрын
Kwa kingereza tupo sawa ankoy 🇰🇪
@HappyBeltod4 ай бұрын
31 hapo nipo like zije nyingi naomba. Anko tunakupenda❤
@مريمكينيا-ش8ح4 ай бұрын
Asante anko j mungu abarik kz yako
@aminarama16334 ай бұрын
Shukran sanaa kipenzi
@EvaJohn-t1d4 ай бұрын
Asatee ankojay❤❤
@OmanOmz-qg5lj4 ай бұрын
Kwakila anae sikiliza simulizi za ankojay MUNGU awape maisha marefu wazazi wetu na kwa ale WASIO na wazazi MUNGU azidi kuwapa kauli sabili uku wapo MUNGU walinda wazazi wetu
@ChakoriChakori-z1x3 ай бұрын
😢😢😢 amina Amina
@prettyjenny-b2j4 ай бұрын
Mbona Leo maajabu Mimi ndo wa kuwa wa nne
@hamidabaliyanga25844 ай бұрын
Asante sana Ankojay 🎉🎉🎉
@LuwonekoLupaya4 ай бұрын
Asante sana anko tunakupenda sana
@mussamasesa21184 ай бұрын
Mbona part 2 part one tayari ee
@zenaathumani81444 ай бұрын
Ndio part 1 ilitoka juzi tarehe 17 mpendwa wangu ❤❤❤😂😂
@LyidiaSilayo4 ай бұрын
Asante anko Kwa kutuelewesha❤❤❤
@samsungoman56264 ай бұрын
Pole vinta utakuwa sawa
@DamariJohn4 ай бұрын
Anko j wetu❤
@Salma-id4yl4 ай бұрын
Woowwwww🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@victoriaedfonss7274 ай бұрын
😂😂 acha nijicheke t maana nilisha pagawa
@CeciliaChuwa-q2k4 ай бұрын
Nimuone Jacline na mkasa wake❤
@susansamira81374 ай бұрын
Shukran kaka Ankojay ❤❤❤
@SophianaKadaga4 ай бұрын
Simulizi zuri
@FaithPeter-j4w4 ай бұрын
❤❤❤❤
@TeklaNdekeja4 ай бұрын
Nakuona ulishafka upo st zambele rafik yangu 🌹🌹🌹
@FaithPeter-j4w4 ай бұрын
@@TeklaNdekeja wah kazi ifanya nichugulie kila saa
@FaithPeter-j4w4 ай бұрын
@@TeklaNdekeja 🌹🌹🌹
@TeklaNdekeja4 ай бұрын
@@FaithPeter-j4w kweli ankojy🔥💯🙏
@aminaosman3734 ай бұрын
❤️❤️❣️
@MagegeSwaumu4 ай бұрын
Anko unatuchanganya😂😂😂😂kubadiriaha marina jaman
@TeklaNdekeja4 ай бұрын
😂😂❤
@Tracepeter07234 ай бұрын
Kwan hii ndo kosa lng anko mbn sielewi
@ankojay_4 ай бұрын
Ndio
@Evelynmoreen36554 ай бұрын
Anko katuamilia kutuchanganya na kizungu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@RahelIbrahim-id2li2 ай бұрын
Mim nimechanganyikiwa kosa ni kwa victa au kwa tapel charles?
@nelly-r6v4 ай бұрын
Asante sannte ankojay ❤❤❤
@sabrinakassimu4 ай бұрын
jamni Mimi Nina vi poro vingi😢
@WinniePretty-t1v2 ай бұрын
Nice one
@ShannySwaleh4 ай бұрын
Uncl jay ,,jomony vp kuhcuu Mr love party 6 tafadhrii🙄🙄
@rizikibakari35984 ай бұрын
Thanks Ankojay wetu ❤️
@IreneFuraha-y6z4 ай бұрын
Asante sana kka anko
@nurafedrick3784 ай бұрын
Estr kama namuona vile anavyojiachia kula bata kwamrijaaa nawala hajiulixi kwann huyu don sazote anapokea simu injee mara wazaxi wanaishi injee ya inchii 😂😂kumbe uongootuuuu huyu jamaa naona ni mwixi
@RahelIbrahim-id2li2 ай бұрын
Na bila shaka ndie muuaji
@judikadzo87124 ай бұрын
Thanks ankojay mapesa 🥰🥰
@DamariJohn4 ай бұрын
Jamani Jackline pole yako
@AISHAKASSIM-u2n4 ай бұрын
Asante sana anko j nimekuwa 12
@DibromJvega-mk3kb4 ай бұрын
Asante sana anko j
@gracekahelo4 ай бұрын
Jaman
@GloryMush-e4b4 ай бұрын
Jamn one sehemu ya tatu liniii
@mumbikibathi70364 ай бұрын
Haya Niko locked, Mumbi Wa Naivasha ako locked wapi likes
@sulemanbama93334 ай бұрын
❤
@victoriangasa4 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉
@hdhjdh7754 ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@JoyceJulius-r6g4 ай бұрын
Hii simulizi mwanzo Hadi mwisho wa part two sijaelewa Yani hata kimoja jaman sasa sijui ni Mimi tu sijaelewa simulizi hii
@AyshaTanzania-b2s4 ай бұрын
Asante ankojay ❤
@Shadia5444 ай бұрын
Kumbee teyari haya tunasikiliza hili tujuwe hiyo ONE MISTAKE ILI TUJUANE MWISHO WA JACKILENE❤
@GogoO-mb5fq4 ай бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🤜🤛
@Evelynmoreen36554 ай бұрын
Ila kusema ukweli sijaelewa hii simulizi hadi sasa maana kama ni one mistake japo kuwa mwanzo ilikuwa inaitwa Kosa Langu,je inahusu Ivan au victor atamuacha Jacqueline akisha pona au Esther atapatwa na jambo huko alipo erekea hatari na nusu.
@NadzuwaGofwa4 ай бұрын
Waooo 🌹 🥀 🌹 🥀
@HarunaNzabara4 ай бұрын
Mbona siku sikiyi kwenye IFM
@DianeKaneza-u7o4 ай бұрын
Asante sana anko,tuhakikishe tunafikisha comments 1000 kwa mwamba wetu❤
@ElizaSada4 ай бұрын
Amen amen 🎉🎉🎉🎉
@Tabiasalum-gz4fv4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@Hildamgaya-x1cАй бұрын
🎉🎉🎉❤
@ZenabZ-e4w4 ай бұрын
Yanis wewe baba wangine hatukisom 😢
@هايلينل4 ай бұрын
Nitakupeleka shule y kumbaro 😅😅 na utajua kuna kosa mmoja humu ndani
@HafidhMudy4 ай бұрын
Mmmmmh mi sikomment chochote kwakuwa tayar kuna mistak ngoja nisikilize nitakomment badae anko eeh pamoja go
@IreneDamas-wj3io4 ай бұрын
Mimi sijawahi kuwa hata 80 ila Leo mm wa 16 ashukuliwe anko jay let me listening
@HawaMalk4 ай бұрын
🥰🥰
@DorcasIminza-rq3mk4 ай бұрын
💃💃💃💃💃💃💃💃💃
@GladysChidude4 ай бұрын
Part 03 dj plz.
@fatumahaji-ei5hk4 ай бұрын
Wakwanza mimi nimestuka nikajua leo umekoswa ngoja ninyamaze usiitoe bule
@TeklaNdekeja4 ай бұрын
❤❤ Nimewahi Tumupe ankojy likes nyingi basi ote tunao ipenda kazi yake, Ankojy asante, kwa mistake simulizi tam Sana. imetulia mafundisho mazuli🙏❤🪑🎧🏃
@HafidhMudy4 ай бұрын
Mmmmmmh hiiiii noma na nusu
@HarunaNzabara4 ай бұрын
mbana sikusikiyi kwenye IFM ume hama
@medinahsamita39814 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@OlivaMlewa4 ай бұрын
Unaistoa Lina ankojay hiyo ep ya tatu jaman usiache tusahau