Latifa umetisha mdogo wangu,mwanzo ulitia huruma ila sasa unatia kichefuchefu jamani, umeshakua zabania kugombanisha mabwana tena familia moja😢
@AAa-it7nx2 ай бұрын
Huyu dada hana akili yaani utachanganya vipi familia nzima huyu dem ni ubwa aki nachukia watu kama hawa hawa
@StellaSanga-wq4po2 ай бұрын
Hana kosa Baba kama hawa malipo ndo hayo
@WwEe-qc7tc2 ай бұрын
Duuuh Latiffa kumbuka unajuwekezea hatina yaunayo watendea wengine
@victoriangasa2 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@AnnaMelikion2 ай бұрын
Latifa sio wa kumlaumu San jamani 😢😢😢 Nae ni binadamu kaeni mfikilie ni mangapi amefanyiwa na kutendewa 😢😢 Nashangaa weng mmemtupia San shutuma .je mmeshavivaa viatu vyake na mkafikilia ni mangap ya yaliyomkuta???Hapo wa kulaumiwa kabisa ni shangazi yake Latifa hao Ndio wameharibu maisha ya huyu Binti latifa
@Aishwaraimasiennah2 ай бұрын
Kweli kabisa
@AnnaMelikion2 ай бұрын
@@Aishwaraimasiennah Umeona dear.yote yaliyotokea Latifa sio ya kujitakia yeye bali ni binadamu Ndio wanamfanya aonekane kuwa yy n mtu mbaya mpka katolewa usichana wake yot hayo ni kutokana na shangazi yake kumtimua pale nyumban 😢
@MwanatumuJumaa-rj4fg2 ай бұрын
Lakini hii story haina uhalisia .ila.tumeburudika.n Tumepata.somo.kiasi
@swabrarashidi10822 ай бұрын
Kama mtu vile
@swabrarashidi10822 ай бұрын
@@AnnaMelikionSasa ndo ulie
@sarahmathew6214Ай бұрын
❤❤
@bintimrope2 ай бұрын
4😊
@Evelynmoreen36552 ай бұрын
Ila huyu Latifa kwanini ange achana na salimu maana aritembea na baba yake watu wanamiyoyo migumu kama jiwe Latifa Latifa sijapenda kabisa. Nahuyo baba yake salimu alifanya makusudi kuto kufuatilia mali za Latifa maana ni haki yake. Ila Latifa kutembea na baba na watoto zake wa kiume umenishinda tabiya we Latifa.
@AlulaJunior2 ай бұрын
Hajitambui huyo latifa Ani anajizima dhata
@LovenessMsangi-u7r2 ай бұрын
Lakini kwa nini walimubaka hayo ndio malipo
@Evelynmoreen36552 ай бұрын
@@LovenessMsangi-u7r sasa ndo atembeye na wanaume wote wenye familia moja 🥺🥺🥺🥺🥺
@uwimanaLatifa-q4u23 күн бұрын
Kwanini latifa jamani😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaaaahh
@AleKhan-k3z2 ай бұрын
Umelaaniwa ww latifa yaani unakula kuku na mayai yake pumbavu kabisa