Ongera Sana baba unawabariki wengi tuna kupenda Sana brother don't cry ni wimbo umeniguza danidani moyoni mwangu nakuombea Mungu akubariki zaidi .akuongoze daima asante
@princessvimala14242 жыл бұрын
Amen mtumishi Annoint.I love the faith in you!acha mungu akuongoze.Utakua msanii mkubwa sana duniani.Be blessed forever brother. Umekua wa Baraka kwetu sisi wote.Endelea kumtangaza christo na hautabaki sawa.
@annointamani32852 жыл бұрын
Emeen na iwe ivyo pia kwako 💪
@princessvimala14242 жыл бұрын
Ameen.
@everlynenakitarinakitareev9706 Жыл бұрын
Tuakupenda mtumishi umenijenga na wimbo wako sana. Nilikua nimekata tamaa ya maisha lakini wimbo yako imefanya nisimame tena. Good bless you too mtumishi.
@ruthmakumbi2 жыл бұрын
Amen amen amen mungu asante kwa mwaka huu mungu akumbariki sana kwa kuimiza vijana
@dorcahnyabo47132 жыл бұрын
Congrats bro keep pushing n be strong n God continue protect you 🙏 💯
@AdonisSifa2 жыл бұрын
Proud of you Dady. Mungu akubariki sana
@annointamani32852 жыл бұрын
Asante mwanangu tuko pamoja inuliwa saana 💪
@unclenico97382 жыл бұрын
Kenya twakupenda pia
@esthershalommuhiza84712 жыл бұрын
Ameeen 🙏🙏🙏 mungu akubaliki Sanaa
@farajakasikile88462 жыл бұрын
Asante sana point dady ongera sana
@annointamani32852 жыл бұрын
Tumtumikie mwanangu Mungu taji ipo.
@kingmasaku-theguniaman2 жыл бұрын
Bro umetusahau au ni venye hatuja shoot nyimbo ya NDILIKANE