Big up kibwana na job. Mmefanya kaz nzur sana na mmeisaidia jamii na mmeburudisha watu. Mmeweza na mmeweza tena. Ila goli la hersi litamtesa sana kibwana😂😂
@JacquelineRamadhan3 ай бұрын
Nimeipend mechi ya leo
@faustinemzalla90713 ай бұрын
Mwandishi wa michezo uko uwanjani mpira umeisha hata matokeo ya mechi hujui kuna kipi tena utaweza kurepoti sahihi?😅😅😅
@patrickkajala3453 ай бұрын
Ndo hao mbumbu 😅😅😅
@sabathobaraka3 ай бұрын
Nimecheka tu Yan hata hajui matokeo ya mechi sasa sijui alikuwa anafatilia nin