Penati | Azam FC 5-6 Yanga SC | CRDB Bank Federation Cup - 02/06/2024

  Рет қаралды 912,213

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Tazama penati zote zilizopigwa kwenye mchezo wa fainali ya #crdbbankfederationcup kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC.
Yanga imeshinda kwa jumla ya penati 6-5 na kutwaa kombe la Shirikisho la CRDB Benki kwa mara ya nne tangu lirejee mwaka 2015.
Waliokosa penati kwa Yanga ni Stephane Aziz Ki, Joseph Guede na Ibrahim Abdullah Bacca.
Waliokosa kwa Azam FC ni Iddy Nado, Gibril Sillah, Fuentes Mandoza na Lusajo Mwaikenda.

Пікірлер: 779
@dianasabu6156
@dianasabu6156 8 ай бұрын
Yanga yakunifanya mimi nipandishe joto kama mtoto mdogo...😢😢😢......I lOVE YOU YANGA💚🔰🔰
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 8 ай бұрын
Ahsante fey ulitufunga midomo tumekufunga bao sisi ndio yangaaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉
@AngelDastani
@AngelDastani 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@tumsifuvicent4108
@tumsifuvicent4108 8 ай бұрын
anamgogoro wa nafsi feisal
@lwzmangulu7532
@lwzmangulu7532 8 ай бұрын
Aisee Leo kdg to nitoke kibanda umiz Walai mpira itakija kutuua aiseeeee naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚💚 💚🇹🇿
@davidsebastian661
@davidsebastian661 8 ай бұрын
Mpira ni shetani kk penda kiasi Mungu ni muhimu kuliko vitu vya Dunia😂😂😂
@AinessAmani
@AinessAmani 8 ай бұрын
Hahahahahaha
@delphinusdonatus3563
@delphinusdonatus3563 8 ай бұрын
Nilitoka baada ya penalt ya pili
@jacklinejohn552
@jacklinejohn552 8 ай бұрын
Ase me niliishiwa paka nguvu yanga itaniuwa
@MariaMsuku
@MariaMsuku 8 ай бұрын
Kwaiyo ulienda kushangilia nyumbani​@@delphinusdonatus3563
@Maryc2G
@Maryc2G 8 ай бұрын
Azami ni team nzuri na goal keeper wao pia. Hongera yanga
@cutemamuu
@cutemamuu 8 ай бұрын
We yanga we tokea nizaliwe sijawahi shikwa na plesha yanga mtaniuwa mm🥰🥰🥰🥰🥰💚💚💚💚💚
@ngabonzizadonath3638
@ngabonzizadonath3638 8 ай бұрын
Aprfc
@MinhatAbdala
@MinhatAbdala 8 ай бұрын
Naaazaje kwa mfano kuhama yanga yani nainjoi sana jamn ilove yanga mwaaaaaa
@nelicekelly6289
@nelicekelly6289 8 ай бұрын
Aisee Kaz ilikuwa ngumu jmn duuuuu,hongereni sana yanga an proud of you,japo penat zenu hazikuwa na raha
@RopesPol
@RopesPol 8 ай бұрын
Nakupenda diara tena Nakupenda sana
@mansuliusanga31
@mansuliusanga31 8 ай бұрын
Mungu ameokoa roho za zetu walai tungekufa
@Maryc2G
@Maryc2G 8 ай бұрын
Proffessor pacome z. Good job 💚🇹🇿. Yawakwasa
@SuleimanRobert
@SuleimanRobert 8 ай бұрын
Hawa yanga Leo wamenifurahisha sana kutoka nyuma ya penat za hao mbwa ❤ kumbe tunaweza mpaka kombe la dunia
@rahmaabdallah4514
@rahmaabdallah4514 8 ай бұрын
Hao mnowaita mbwa wamewatoa kamasi nafikiria wengine wangelazwa ICU
@SuleimanRobert
@SuleimanRobert 8 ай бұрын
@@rahmaabdallah4514 kwani wao ndo wamechukua ubingwa n huyo feisal Aache dharau bad mtoto ambaye kalelewa na yanga
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 8 ай бұрын
Jamani nilikua mgonjwa ghafla kumbe nina mahaba mazito kwa timu yangu Alhmdulillah
@kolosii4351
@kolosii4351 8 ай бұрын
Asante pacome, ulirudisha matumaini mapya.
@BimamuosmanOsman
@BimamuosmanOsman 8 ай бұрын
Alhamdulilahi nashukuru Alllah time language ya yanga imechukuwa ubigwa wa finali..yanga Afican club l love all the player keep it up.Nawapenda bureeèe....
@LysonMshan-kf7rg
@LysonMshan-kf7rg 8 ай бұрын
sioo weee2
@agapemahenge7731
@agapemahenge7731 8 ай бұрын
Yan leo ndo nimemuheshimu mwalimu wangu wa kiswahili aliyenifundisha methali "kutangulia sio kufika" 😂
@rahimhamisi5298
@rahimhamisi5298 8 ай бұрын
😂😂😂😂kbsa
@amriiddy1972
@amriiddy1972 8 ай бұрын
Kama auna D2 uwez ielewa Yanga Africa 💚💚💛
@MgetabarakaBukori
@MgetabarakaBukori 8 ай бұрын
Mie wa kwanza leo like zang kwa diaraa
@masaikisawani8534
@masaikisawani8534 7 ай бұрын
Dr aucho da fantastic penalty
@habarinamichezo6427
@habarinamichezo6427 8 ай бұрын
Ukute mechi ya jana iliandikwa ashinde Azam shida ikaja pale kwa kijana kunyamazisha Wakubwa nazani malaika wa nidhamu akaone abadilishe matokeo.
@LuthFuraha-rt2ps
@LuthFuraha-rt2ps 8 ай бұрын
😂😂 mecheka Kwa nguvu
@queenokambo9518
@queenokambo9518 8 ай бұрын
Nani anaangalia tena Leo like hapa
@IreneMacha-d5q
@IreneMacha-d5q 7 ай бұрын
Npo apa
@michaeljoseph7745
@michaeljoseph7745 3 ай бұрын
Mimi aisee
@michaeljoseph7745
@michaeljoseph7745 3 ай бұрын
​@@IreneMacha-d5qmambo
@IreneMacha-d5q
@IreneMacha-d5q 3 ай бұрын
@@michaeljoseph7745 poa
@KautharMartin-sc9cm
@KautharMartin-sc9cm 3 ай бұрын
Mm
@hamisasaid3286
@hamisasaid3286 8 ай бұрын
Hadi rahaaaa, yanga bingwa wa ligi mara tatu mfululizo, bingwa wa Shirikisho mara tatu mfululizo pia kamfunga Azamu kwenye fainali tatu yani Ni hatrick TU kila sehemu
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 8 ай бұрын
Daaah Diara amenifanya nimkumbuke the true legendary peter manyika dhidi ya sport villa ya Uganda💚💛💚💛💚💛💚💚💛💚💛💚💛💚
@BimamuosmanOsman
@BimamuosmanOsman 8 ай бұрын
Hongera Sana yanga..mbona nilikuwa tu na presha mimi wallai Allah amenijibu duwa yangu..mimi ni Kenya natizama mpira nikiwa Qatar l enjoy the ball mashaallah.
@peternassari7634
@peternassari7634 8 ай бұрын
❤❤ 🇰🇪 🇹🇿
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 8 ай бұрын
Wewe ni Yanga pia
@BimamuosmanOsman
@BimamuosmanOsman 8 ай бұрын
@godwinkileo7702 mimi ni yanga damu kabisa kweli wallai naipenda yanga Africa club. Diyo iko kwa damu sio utani...my late father he is the best football player in Kenya.. his name Ali kajo.
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 8 ай бұрын
Safi sana mtoto wa Ally Kajo
@SubiraSubira-mb7br
@SubiraSubira-mb7br 8 ай бұрын
Hamn lolot
@NATION255
@NATION255 8 ай бұрын
LEO NDO NIMEJUA KUMBE NINA PRESHA 😢😢😢😢
@EmmanuelMachunte
@EmmanuelMachunte 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ReemaMajan-pq9gu
@ReemaMajan-pq9gu 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@LaurentMichael-un5pl
@LaurentMichael-un5pl 8 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@idiidi-rq5gk
@idiidi-rq5gk 8 ай бұрын
Ata mm k gwed walivyo Lisa nilienda nyumban
@EltonJohn-lh5ur
@EltonJohn-lh5ur 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@Happizo
@Happizo 8 ай бұрын
Nani mwingine kalia Kama mimi😢😢...likes za Yanga wapiii
@ShukruMakoko
@ShukruMakoko 8 ай бұрын
Maajabu kweli leo mkude kawamkomboz wayanga🎉🎉🎉
@Fgldesigns
@Fgldesigns 8 ай бұрын
Kila mchezaji ana mchango wake ndomaana wanaingia wachezaji 11 kila timu
@vickhongole6611
@vickhongole6611 8 ай бұрын
Hata kwa mamelod alitubeba sana tu
@JullyMakenge
@JullyMakenge 8 ай бұрын
Aucho kaka big up kwako utawauwa
@luwanda03
@luwanda03 8 ай бұрын
Kipa wa Yanga ndiye mwenye furaha kuliko wote..... Duuuhh...mpira hatari sana... Unakupa furaha kuliko kitu chochote aise💛💛💛💛💛😘😘😘😘😘😝😝😝😝😚
@SalmaWaziri-z4o
@SalmaWaziri-z4o 8 ай бұрын
❤❤❤
@ALCADOJAMES
@ALCADOJAMES 8 ай бұрын
Wakati penality zinapigwa Mimi tayali nimefariki Kwa mda nimefufuliwa na raia wema😅😅😅😅
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@rosierajabu2280
@rosierajabu2280 8 ай бұрын
😂😂😂😂mimi mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda mbio huku nasali sala zote
@elizabethmtwale2719
@elizabethmtwale2719 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@suzanakabatano6581
@suzanakabatano6581 8 ай бұрын
Hii siku ningekufa mimi jmani sio kwa mapenzi haya kwa timu yangu😢😢😢😢😢
@mashakalonka7767
@mashakalonka7767 8 ай бұрын
But all in all both teams deserve to play African champions league cup,they have shown us the best!.
@AliciaJosephat
@AliciaJosephat 28 күн бұрын
Yaan siku hii ndo nilijua nina ipenda yanga nasemaje Mimi ni yanga💚💛💛💚
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 8 ай бұрын
Feisal: tukibeba kombe mtanijua Yanga fans: Yanga bingwaaaa❤❤❤❤
@francepaul7711
@francepaul7711 8 ай бұрын
SHIKAMOO MPIRA🙌🙌🙌🙌
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 8 ай бұрын
Number oneon trending❤❤❤❤ wallahi Yanga ni Nouwmaaaa❤❤❤❤
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 8 ай бұрын
Kwa mara ya kwqnzaa naona diara akilia na kushangliaa ushindii kwa nguvuu zotee❤❤❤😢
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 8 ай бұрын
Hakutrgemea kabsa timu yake imekosa penat mbili za mapema
@JullyMakenge
@JullyMakenge 8 ай бұрын
Mkude nungu nungu master uko vizur kaka
@thisisfrancis689
@thisisfrancis689 8 ай бұрын
Aisee leo Nimepata Presha zile Kosa mbili za Yanga za Mwanzo. Aisee Penati 2 tukakosa nimetaka kufa kwa presha.
@IbrahimHassan-yc2nk
@IbrahimHassan-yc2nk 8 ай бұрын
congraduration my beloved team young africans I love you forever❤
@JaccobRobert
@JaccobRobert 8 ай бұрын
Fantastic yanga tamu xanaa wengine wanaiga tu
@dorcaskimati547
@dorcaskimati547 8 ай бұрын
Mungu wa yanga ni mungu kweli..kweli haijaisha mbaka iishe
@bonifacekasanga569
@bonifacekasanga569 8 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@MateshoKhamis
@MateshoKhamis 8 ай бұрын
Asanten wan yanga mung akubarukin❤
@mariammussa9063
@mariammussa9063 8 ай бұрын
Yanga safi Sanaa 💛💛💚💚
@Samwellaizer782
@Samwellaizer782 8 ай бұрын
Thanks Young African 💚💚💚💚
@JonsonGeofrey
@JonsonGeofrey 14 күн бұрын
This is dream I land ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 8 ай бұрын
Sijawah kurudia penat highlight zaid ya mara moja zaid ya hii mechi.
@DianaJohn-m8f
@DianaJohn-m8f Ай бұрын
Naangalia mpk leo et hii mechi aaah ni 🔥🔥
@Swaummbonde-kp9uh
@Swaummbonde-kp9uh 8 ай бұрын
Yanga yangu jamn leo ndio nmegundua nina presha😂😊💛💚💛💚🙌
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 8 ай бұрын
Muone Daktari dada yangu Pile
@hawajohn749
@hawajohn749 8 ай бұрын
Acha tu yaani mpira unauma jamani
@candymruma352
@candymruma352 8 ай бұрын
Mm ndositaki shida nilizma tv badae nilipwasha😄😄😄😄
@ReemaMajan-pq9gu
@ReemaMajan-pq9gu 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Shongonilekerere-br5ps
@Shongonilekerere-br5ps 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 moyo ❤️❤️ imekudunda ,????
@samsonyuves7923
@samsonyuves7923 8 ай бұрын
Hii ni laana kwa Feisal mwambieni mashoga zake kolo mkubwa huwa hanyamazishwi❤❤ yanga
@Garrinchael
@Garrinchael 8 ай бұрын
chuki hazijengi boya ww kivyovyote vile Fei anajuw ball, punda wa muembe makumbi ww 🤫🤫🤫
@HaniiKim
@HaniiKim 8 ай бұрын
​@@Garrinchael sasa kwann akitufunga anatuziba mdomo na yy aache chuki laah ataendelea kuteseka 😂
@petermanala6138
@petermanala6138 8 ай бұрын
Mkubwa hakombi mboga😂😂😂😂😂😂
@Garrinchael
@Garrinchael 8 ай бұрын
​@@HaniiKimKwaiy kisa kachez yanga ndyo sababu y kuw asiwafumb midomo au 😆 my friend umenishinda kw Kila kity 😅 🙌🙌🙌
@richardnganya2311
@richardnganya2311 8 ай бұрын
Nyodo za Feisal zimejibiwa chap
@bennyteve3871
@bennyteve3871 8 ай бұрын
Hii imeendaa
@Maryc2G
@Maryc2G 8 ай бұрын
Aucho juuu sana 💚
@steyllahzacharia5588
@steyllahzacharia5588 8 ай бұрын
Nyieeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ZANZIBAR ya kijani ahsante MKUNDE a🎉🎉🎉
@salmagodfrey4043
@salmagodfrey4043 8 ай бұрын
Yanga tamuuuu asikwambie mtu ututuuu yanga tamuuuu 💚💚💚💛💛💛💛🖐️
@edwardjonas9731
@edwardjonas9731 Ай бұрын
Hii mechi nusura inipe maradhi ya moyo. Shout out kwa Yanga 2024
@AngelaNikson
@AngelaNikson 5 ай бұрын
Ilikua noma sana hii💚💚
@elizerbethmichael2435
@elizerbethmichael2435 8 ай бұрын
Daaaah hii mechi ckumaliza penat yaaan alipokosa Aziz na Guede nikazima redio nikajua tayar bye bye kumbe haiishi mpk iishe Ahsantee MUNGU yaan me wa kuvizia matokeo kwa group 😂😂😂
@SaidyWahaby
@SaidyWahaby 8 ай бұрын
Alooh yanga watupe kongole ani🎉🎉🎉
@MarthaGabriel-s6b
@MarthaGabriel-s6b 8 ай бұрын
Idd nado ni mrangi wa Kondoa jirani yangu kabisa aliposhika mpira nikaongea kirangi ili akose na akakosa 😅😅😅😅😅😅
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@SophiaOmary-zd5zv
@SophiaOmary-zd5zv Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SylvesterSafari-nf4fy
@SylvesterSafari-nf4fy 8 ай бұрын
Viongozi ningeomba bacca aachane na mambo ya penalty
@eliasmaguru9632
@eliasmaguru9632 8 ай бұрын
sijui kwa nn Huwa wanampa apige wakti tunajua fika hawezi funga penati basi hata ile kumpa golikipa akaudaka
@amohamedyomary
@amohamedyomary 8 ай бұрын
Wachezaji wengi wanaogopa kupiga penalty sa unafikili itakuaje😢😢
@Neema-c9h
@Neema-c9h 8 ай бұрын
Nusu nifariki😂 aisee love you yanga
@jacksonjackson4532
@jacksonjackson4532 8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣😅😅😅
@salimmalaka256
@salimmalaka256 8 ай бұрын
KUFA TU
@JohnPaul-f5y8o
@JohnPaul-f5y8o 2 ай бұрын
Saw karibu yang
@moreenbless-vr7oy
@moreenbless-vr7oy 8 ай бұрын
Imenibid niamke kuangalia Nan alikua mshind maana nililala aiseeeh yanga wanajali fulaha za mashabiki 👏👏👏🎉🎉
@MwaniPh
@MwaniPh 8 ай бұрын
Number 1 on trend🔥🔥🔥
@meddytoto93
@meddytoto93 8 ай бұрын
Kumbe presha ndio ilivyo hivi😢😢😢
@Last...born28
@Last...born28 8 ай бұрын
kweli hii ilikuwa fainal ya kibabe mpk inashika nmb 2 trending 😮😮😮
@annayambayamba8614
@annayambayamba8614 8 ай бұрын
Huuu ulikuwa uchawi tu❤❤❤❤🎉🎉🎉 ongera saaan yanga
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 8 ай бұрын
Kbsa😅😅
@JuliasChikukura
@JuliasChikukura 8 ай бұрын
Zaka za kazi wewe ni mtoto mdogo sana Kwa Yanga African sports club
@GodwinMtungi
@GodwinMtungi Ай бұрын
Hy mechi mungu nisaidie
@emmanuelngosek8270
@emmanuelngosek8270 8 ай бұрын
Yanga kukosa penati mbili za kwanza, mie nikaenda kulala. Kumbe kila mtu ana presha ni kwamba tu tumetofautiana. Hongera sana Yangaaaaaaaaaaa❤❤❤❤
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 8 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@SophiaChmpaya
@SophiaChmpaya 8 ай бұрын
Nilizima TV kwaza nikarudi penat ya 5
@Oman-h8r
@Oman-h8r 8 ай бұрын
Ila fei 😂
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 8 ай бұрын
Ila bacca mungu anamuona😂😂😂😂
@b.warron4631
@b.warron4631 8 ай бұрын
Hicho kidole ulichoonyesha nyamazeni Feisal ndio kimewaponzaaa
@aidanselywen9644
@aidanselywen9644 8 ай бұрын
Kumbe alikuwa anajinyamazisha mwenyewe 😁😁😁😁😁😁nyamaza 🙆🙆🙆
@Maryc2G
@Maryc2G 8 ай бұрын
Moyo ulikuwa unaenda mbio wakati wa penati. Yanga asante sana 🇹🇿🇹🇿💚💚🌼🌼
@nicholausmsangi
@nicholausmsangi 8 ай бұрын
hii ndio mechi moja borq sana kwenye msimu huu
@shayneee-hi9yw
@shayneee-hi9yw 8 ай бұрын
Umesahau na nusu fainal sis na ihefu
@nicholausmsangi
@nicholausmsangi 8 ай бұрын
@@shayneee-hi9yw hii ilikuwa night of miracles hii mechi ilikua ni kivumbi na jasho
@robatingoseki
@robatingoseki 4 ай бұрын
😢😢😢😢da siku hii niligundua kuwa nampenda yanga kuliko Dem wangu
@JullyMakenge
@JullyMakenge 8 ай бұрын
Nyie azam hamuwez mziki huuuuuuuuu😢😢
@Maryc2G
@Maryc2G 8 ай бұрын
Yanga ninawapenda nilikuwa na masikitiko mwanzoni ila mliinua matumaini na kushinda.
@alexutukuzwebabakanoni5839
@alexutukuzwebabakanoni5839 3 ай бұрын
Karibu
@christophergervas1409
@christophergervas1409 8 ай бұрын
Kuna watu kila siku utawasikia mm wakwanza nipeni like😂😂😂 yan sijui kwann
@ShukruMakoko
@ShukruMakoko 8 ай бұрын
Mtoto halali napesa🎉🎉🎉
@MarryEmmanuel-if7vi
@MarryEmmanuel-if7vi 8 ай бұрын
Ahh naipenda sn yanga yangu
@kolosii4351
@kolosii4351 8 ай бұрын
Mchezo ulikuwa mzuri sana mwanzo mwisho.
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 8 ай бұрын
At all, the best match ever to watch katika mwaka huu nadhani.
@paulinem1600
@paulinem1600 8 ай бұрын
Ongera aziz😊
@RoseGeofrey
@RoseGeofrey 3 ай бұрын
im watching today 28 10 2024🌹
@aidanselywen9644
@aidanselywen9644 8 ай бұрын
Wacha gozi litembee ⚽⚽⚽⚽😁😁😁😁
@mzakirumzamiru5125
@mzakirumzamiru5125 8 ай бұрын
Sina maneno mengi wana yanga gather here by replying🍏💚💚
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 8 ай бұрын
MIMI NI YANGA DAMU! Nashauri upande wa penalt…..aanze kupiga Pacome au Job Merci Yanga
@mashakamnyamisi2700
@mashakamnyamisi2700 8 ай бұрын
First Comment
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 8 ай бұрын
Nimeenda chooni zaidi ya mara mia kwa pressure 🙌🙌🙌🙌
@MariaMsuku
@MariaMsuku 7 ай бұрын
Nimerudi tena kuangalia
@benjaminnanaadjekum9092
@benjaminnanaadjekum9092 8 ай бұрын
YANGA went through Hell That makes the happiness unthinkable, congratulations 🎉🇬🇭🇬🇭🇬🇭 Hey Simba, were you watching that??
@Alexismadimo
@Alexismadimo 8 ай бұрын
Kipre jr kamchangany Mungu kasali ki kikristo na kiislam juu
@abubakaliyahaya2968
@abubakaliyahaya2968 8 ай бұрын
Duuuuuuu
@Zubaiba
@Zubaiba 8 ай бұрын
Hatari
@EvelynPhilimon-zz3ox
@EvelynPhilimon-zz3ox 8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
@Mkoi_255
@Mkoi_255 8 ай бұрын
Sikumuelewa au wakristo wanasujudu😅
@bone102
@bone102 8 ай бұрын
Wakristo wanasujudu ndio nenda youtube andika orthodox​@@Mkoi_255
@kudramzee5769
@kudramzee5769 3 ай бұрын
Leo tarehe 2/11/2024 naangalia hii nani mwingine 😂😂❤❤🎉🎉
@mahiga1111
@mahiga1111 8 ай бұрын
Yanga iachenii jamanii❤❤❤
@DorothyKabikn
@DorothyKabikn 8 ай бұрын
Feitoto kuwa na adabu vinginevyo utateseka sanaaaa😅
@francissaka9713
@francissaka9713 8 ай бұрын
😂😂amuulize kibu uwii 😮
@JamalKanani
@JamalKanani 8 ай бұрын
We mungu ndo unapanga riziki yake?
@PeterArron-qc1bx
@PeterArron-qc1bx 8 ай бұрын
Feitoto kuwa na adabu vingine utaendelea kulia2 Hiiiiiihiiiii
@hasanimohamedi279
@hasanimohamedi279 8 ай бұрын
na atateseka saaan😂😂😂
@jkuser7593
@jkuser7593 8 ай бұрын
Sanaaaa
@VictorBugobola
@VictorBugobola 8 ай бұрын
Leo nd nmegungua Mkude ndo alitupa ushindi maan penalty yake ya mwisho alifunga nado akakosa😂😂😂😂 YaNGa 💚 oyeeee
@sutynah
@sutynah 4 күн бұрын
Hiii mechi inanipa fundisho kubwa sana kiimani Sisi tunapanga ila Mungu wakati wake Ndo sahihi ...Usikate tamaa ukiona mara ya kwanza haijafaa inuka anza upya Wakati Wa Mungu ndo wakati sahihi ..#MUDA
@maestrokhan0568
@maestrokhan0568 7 күн бұрын
Hatar🎉🎉🎉
@albertvalentino130
@albertvalentino130 8 ай бұрын
Ni kweli BARAKA MPENJA ,siku zote mototo mdogo halali na pesa,ukimsachi kwenye pampas zake,utakutana na " inya au nyea "
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
BSS 2024 SE15 EP09 STUDIO 2 | FULL SHOW
1:30:21
BongoStarSearch
Рет қаралды 34 М.
MALAIKA EP { 13 }
32:03
MZEE KICHECHE
Рет қаралды 19 М.
ALL PENALTIES : EGYPT 7-8 DR CONGO #TotalEnergiesAfcon2023 - JAN 28, 2024
18:44
Yanga 2-1 Simba | Highlights | Ngao ya Jamii 13/08/2022
23:51
Azam TV
Рет қаралды 5 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН