Рет қаралды 26,994
Shabiki wa Yanga Mwanariadha Mang'suli Hussein (45) wa Manispaa ya Kigoma ujiji aliyeamua kukimbia kwa miguu kuanzia Kigoma April 15 kuelekea Dar es Salaam kutazama Mechi ya Yanga vs Simba,Leo hii ameludi Kigoma kwa usafiri wa Ndege kutokea Dar es Salaam.
Mashabiki mbalimbali wa Yanga na mashabiki wa Simba baadhi wamejitokeza Uwaja wa Ndege kwaajiri ya kumpokea shabiki mwezao huku Mang'suli akisema hii ndio Mara yake ya kwanza kupanda Ndege.