Tanzania Darsalam mzuri Sana kweli nakupenda sana kweli 💖💕💖
@samweliabeli97566 жыл бұрын
Kaka kazi nzuri,zidi kutupa vitu vitamu kama ivi
@welezilibero76505 жыл бұрын
Mm ninaishi PEMBA WILAYA YA CHAKE CHAKE KUNAENEO LINAITWA (CHANJAMJAWIRI) Asili ya neno chanjamjawiri kulikuwa na mtoto wa mtawala anaejulikana kwa jina la mkamandume ambae alitawala kijiji kinachoitwa pujini huyo mtu alikuwa anaitwa Njanjawiri. Njanjawiri alikuwa anatafutwa na watalii na alikuwa hapendi kuonana na wazungu sikumoja alikuwa anakimbia ili wale wazungu wasimuone kufika ktk eneo hili ambalo naishi ikawa wameshamkaribia Njanjawiri aliamua kupinda magoti yake kumumba mungu ardhi ipasuke aingie ili wale wazungu wasimuone kwa rehma za Allah ardhi ikapasuka na akaingia kulikuwa na mtoto mdogo ambae alimuona akawa ndio shahidi wa tukio na nguo yake ilibaki juu na ikawa ni mwanzo wa neno CHANJAMJAWIRI (YAANI CHANJAA LA NJANJAWIRI).....
@almortabaz_Tz6 жыл бұрын
In vzur sana kama ukinipotia historian ya nyegezi
@chingychingy20666 жыл бұрын
umetisha kaka
@azeezhunter52916 жыл бұрын
Nakufuatilia bro adi kwenye sport extra
@kilimariofficialhouse2416 жыл бұрын
Nimeipata Hii Respect Bro 🙌🙌
@mohamedrashid65786 жыл бұрын
Huku kwetu nasikia kulikua na mzee anaitwa Mussa Hassan, baadae wakafupisha wakaita msasani
@rashidmaganga52516 жыл бұрын
Talented bro
@thiagojr47236 жыл бұрын
nakubali bro
@KiddiesBibleTV6 жыл бұрын
Safi sana bro OK ila PITIA HAPA KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI ili kuni kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii bofya kapicha kushoto
@babafranco33666 жыл бұрын
uku kwetu kulikuwa na wafugaj wa bata na cku moja umeme ulikatika yule mnyaru akasema we bupe NPe taa ya bata, bas mpaka Leo ndo ikawa TABATA
@kabilamalasy99646 жыл бұрын
Tunaomba story ya aliyeigiz picha ya yesu naamn utaitendea haki
@pauldaniel64096 жыл бұрын
Hiyo ipo search tu kwenye kazi za huyu utaipata
@abdallahjosephnfulaa42456 жыл бұрын
kabila malasy Mbona Tayar iyo kitambo tu kaka.. wewe itafute tu kwenye page yake utaikuta
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Kuna siku waliitowaga hiyo history ya aliyehekti picha ya yesu kidogo pia wakatowa wakasema hii picha harisi ya yesu wakasema walishangaa dunia Kwa kutowa picha halisi ya yesu
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Nilimpenda alijuwa hekti
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Nilisikiaga pia HISTORIA ya kariakoo hata Kwa mnyamani Kuna mzee yupo mzee mnyamani
@habibumallanga63926 жыл бұрын
Kwel
@josephmkuar71336 жыл бұрын
Hahaha hatar sana
@shomarymussa69706 жыл бұрын
Kitaani kwangu hapo na nimesomea buguruni shule ya msingi sema kwaiyo maana ya jina ilosijawahi sikia