MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA

  Рет қаралды 387,403

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul makonda ameagiza kupangiwa kazi nyingine kwa mkuu wa kituo cha Buguruni Englibert Kasikana mara baada ya kutokea vuta nikuvute kwenye mkutano wake uliofanyika leo oktoba 25 katika eneo la buguruni.

Пікірлер: 426
@jumamwatanda1478
@jumamwatanda1478 6 жыл бұрын
Dah! Asiyekupenda Mh. Makonda, siyo bure ana chuki zake binafsi. #Chapa kazi Mh. @I'm really appreciating you
@mahamoudmakotaperfumes8788
@mahamoudmakotaperfumes8788 5 жыл бұрын
Paul Makonda hongera sana kwa kusimamia haki.. IQ..100+ (G)
@lawrencekabende15
@lawrencekabende15 6 жыл бұрын
Hapa ipo shida nyumba toka 2005 wamenunua leo 2018 huyo askari ana miaka miwili hapo Buguruni atabebaje tatizo la miaka 13 kuna tatizo mtambuka lifuatiliwe suala hili toka wakati wa zombe hapa lipo tatizo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Hayo madirisha waliyatoa polisi aliyatoa nani
@saleheluvanga9929
@saleheluvanga9929 7 ай бұрын
Wewe ni Magufuli kabisa yaani nakupongeza kabisa Mheshimiwa makonda MUNGU AKURINDE 📖📖📖📖🙏
@flownluvanda5263
@flownluvanda5263 6 жыл бұрын
Makonda we kweli ukovzr Sana baba
@mpjackson9543
@mpjackson9543 6 жыл бұрын
Haufai hata kidogo, nimesononeka sana Kwani nilitamani siku moja niwe askari but kwa style hii, umechafua jeshi mpumbavu kabisa, haiwezekan Kamanda Siro huyu Bashite ana mamlaka gani yakuingilia mambo ya jeshi, nakwann askamatwe yeye nnani wakufanya hayo, kaiba makontena tumemuacha, au kunakitu nyuma yake, maana sio bule, angekuwa Nape chapu kidogo.
@eliphaziamon8794
@eliphaziamon8794 6 жыл бұрын
mp Jackson we nikipofu acha kutapika ko ulitaman uaskal ukanyanyase RAIA ,sio utawala wa magu,subilien msenge mwenzenu ajae mtese watu sio utawala wa baba magu
@gabrielresti1710
@gabrielresti1710 5 жыл бұрын
Angalia akili zako vizuri na ujipime kwa maneno yako
@yudithshayo4057
@yudithshayo4057 5 жыл бұрын
mp Jackson raisi wako wamkoa huyo ana mamlaka yote kwa Dar
@mohamedykabwanga1647
@mohamedykabwanga1647 5 жыл бұрын
Ww huna akiri unasema mkuu wa mkoa anamamlaka gani ...unajielewa kweli www
@fransiskahaule3343
@fransiskahaule3343 5 жыл бұрын
Wewe unaongea nini sasa polisi ndio yao hayo..
@pilihassan8085
@pilihassan8085 4 ай бұрын
Mama mzaramo uyoo cyo kwa kujiamin uko
@hindisaidi5097
@hindisaidi5097 6 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa yupo sawa. Ili aweze kulinda mkoa lazima afanyekazi na watu anaowaamini. Si ajenda ya siasa.
@nimrodmareges3131
@nimrodmareges3131 6 жыл бұрын
Safi
@lodrickshoo3958
@lodrickshoo3958 6 жыл бұрын
safi makonda
@dennischarles8524
@dennischarles8524 6 жыл бұрын
Kero ni nyingi sana vituoni tuanze navyo
@stukiaally4690
@stukiaally4690 6 жыл бұрын
Blabla kushneiiiiiii huu utawala sio wa kuogopana hongera mama
@evamlay8997
@evamlay8997 6 жыл бұрын
safisana kipenzi changu makonda
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 3 ай бұрын
Mm makona namkubal saana
@danielwilliam3348
@danielwilliam3348 5 жыл бұрын
Jeshi haliwezi kuingiliwa na siasa katika utendaji kazi wake hata siku moja askar atafanya kazi yake na kwa kujiamini daima na mkuu Wa Mkoa atafanya kazi yake kulingana na mamlaka yake
@wilsonkifaru2374
@wilsonkifaru2374 6 жыл бұрын
Axante mkuu
@dedememe2725
@dedememe2725 6 жыл бұрын
Kiukweli Buguruni police station kuna shida sana...Nimeupongeza uamuzi wa Makonda
@AbdallahAnuari
@AbdallahAnuari 5 ай бұрын
Mungu mkubwa kwakweli
@sharifabdul6085
@sharifabdul6085 6 жыл бұрын
Hii haipo sawa maana huyo mshtakiwa hapo hayupo,na jee ikithibitika kama kweli mtuhumiwa anahusika jee na kazi si inaelekea rijojo huoni kama ni uonevu
@mwanaidimtwiku9983
@mwanaidimtwiku9983 5 жыл бұрын
Saf sana muheshiwa wanyooshe hao
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 6 жыл бұрын
Hii kali
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 7 ай бұрын
Makonda pambana hapo polisi wanakula pesa za madawa yakulevya
@twilakambangwa5952
@twilakambangwa5952 6 жыл бұрын
Du bi mkubwa unajua kila kitu pipi kete mfuko du kweli mama umetisha
@seojunkoomrkirangi4231
@seojunkoomrkirangi4231 5 жыл бұрын
Mam kauzu hatali
@janethmichael9592
@janethmichael9592 6 жыл бұрын
Huyo ndo baba kegan bana
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 7 ай бұрын
Hapo mjifinze kitu selikoli
@rodrickraymond
@rodrickraymond 6 жыл бұрын
Akuna kitu apo
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 5 жыл бұрын
Yani uongozi WA tano mh huwez kumuuliza mtu upo vipi huu uongozi umeshuka kutoa juu nimemtafakali huyu mama na wamama wote waliyo to a malalamiko kwaungoz huu nimepata kitu ukiona watu wanaKulalamikia shida zao kwakujiamini ujue ipokazi uliyoifanya mpaka wakakuamini Zaman ujibizane na polis hivi nani atakusimamia Hak naiona tz Mpya yaja ila mama usitudanganye maana watoto wasiku hiz hawaaminiki
@waziriislam2455
@waziriislam2455 5 жыл бұрын
Kumbe ajielewi askari
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 6 жыл бұрын
Yanu huyu baba abaki dar miaka 10000
@priscashirima5286
@priscashirima5286 6 жыл бұрын
MHESHIMIWA makonda usiwe mnafki baba ako
@ahmadothman9899
@ahmadothman9899 6 жыл бұрын
Huyo mbweha hana mamlaka yeyote ya kumpangia ocd kazi nyengine hapo amebugi hilo ni jeshi na mbweha wewe uijue mipaka yako bwege wewe
@larickmtui2852
@larickmtui2852 6 жыл бұрын
Nyie mnaotetea police mna akili au zimeingia mkunduni? Hawa watu wanatusumbua kuliko majambazi alafu mnasema tuwatetee
@habarinamichezo6427
@habarinamichezo6427 6 жыл бұрын
RAIA wamechafukwa htrhtr yani.
@mrsnam6897
@mrsnam6897 6 жыл бұрын
Huyu bb anakipaji cha kuongea na anaweza kuwaumiza watumishi kwa styl hii
@michaelmikumo3665
@michaelmikumo3665 6 жыл бұрын
RC njoo na KIVULE utusaidie
@aboudmsonde3137
@aboudmsonde3137 6 жыл бұрын
Je mama atakuwa salama huyo.....????
@mayungarichard7443
@mayungarichard7443 6 жыл бұрын
Ila kusema kweli polis wanaonea sana. Mi mwenyewe waliwahi kunikamata wakanipa kes ya kuuza gongo yaani aisee😓😓😓😓
@priscahongerasanaabel9893
@priscahongerasanaabel9893 5 жыл бұрын
hahahahah jaman kweli
@mwanaidimtwiku9983
@mwanaidimtwiku9983 5 жыл бұрын
Mm mwenyewe kaka yangu amekamatwa saa tatu anarud kazini wamempa kes ya ukabaji ukiangalia hana tabia hiyo toka azaliwe, inauma sana na mpk bado yupo chang'ombe
@Tango696
@Tango696 6 жыл бұрын
Mpaka polisi wanakupeleka mahakamani ,unasema wanakuonea,nimeumia sana kwa kauli ya kusema ocd njoo utudanganye,ni udhalilishaji mkubwa sana kwa chombo kikubwa.huyo ocd katoa maelezo ya kisomi na uweledi ila kama kuna insue pembeni Sawa.
@michaelmathayo2582
@michaelmathayo2582 6 жыл бұрын
makonda upo sahihi
@titosindei6016
@titosindei6016 6 жыл бұрын
watu wanashindwa kutofautisha mamlaka na taaluma unaeza ukawa mkubwa ukawa huna taaluma husika kwahyo hizo ni kiki na misiifa isiyo na sababu
@adamsclassic9306
@adamsclassic9306 5 жыл бұрын
sisi ndo tunaishi Buguruni na ndo tunaojua Mapolisi zetu Alichosema Uyo Mama ni kwel Mtupu Mapolisi Wa kituo kdogo hadi kikubwa Wanawatesa sana Wananchi na Kuwapa kesi Ambazo sio na Hao Hao Mapolisi Ushilikiano Hawatoi wao Wanachojua n kupiga Pesa tu
@issahamza6820
@issahamza6820 6 жыл бұрын
Huku ni kusutana sasa kati ya OCD na huyo mama. Sijajua ni sheria ipi inatumika mpaka maamuzi ya kupangiwa kazi nyingine hapo? Yaan huyo mama anaonekana wazi kabisa anatetea maovu. Sijaona kosa la OCD ila Mkuu wa Mkoa umeamua kumuonea huruma huyu mama.
@nataemsuya
@nataemsuya 6 жыл бұрын
Tungekuwa na wanawake wenye uwezo wa kujieleza km huyu mama,basi Tanzania Tungekuwa mbali sana. Mwanamke kujiamini bwana.
@lulyehomadale9009
@lulyehomadale9009 6 жыл бұрын
Hawa Madiwa propaganda tu hapo
@joviyhajoseph4722
@joviyhajoseph4722 5 жыл бұрын
lulyeho madale z see ß a za zß CCC CCC x
@hanspophassan5669
@hanspophassan5669 5 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@faustinemasao5641
@faustinemasao5641 6 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa umekosa ethics za uongozi kabisa kuna uchunguzi gani uliofanya hapo. Muige ata kidogo Mh.Mtaka angalau awe lesson plan yako kidogo
@samsonmgaya4306
@samsonmgaya4306 6 жыл бұрын
RC hana mamlaka ya kumuwajibisha OCD na niwaambie tu hata OCD asipopangiwa majukumu mengine RC hana cha kumfanya
@issahamza6820
@issahamza6820 6 жыл бұрын
Hapa nimeshindwa kuelewa yaan Mkuu wa mkoa amekubali kudanganywa na huyo mama mpaka anamsimamisha kazi OCD. Kwa yeyote asiyewajua wamama wa aina ya huyu mama anaweza akaona anchoongea hapo ni cha maana sana. Lakini ukweli uliopo hapo anaujua yeye mwenyewe. Hapo Makonda naona ameamua maamuzi yasiyo na busara kabisa. Kwanza siyo sahihi kuruhusu huyo mama kujibizana na OCD namna hiyo.
@danielmsoma4741
@danielmsoma4741 5 жыл бұрын
naona watu wanadhani police nao wanateuliwa.
@martinezsiwale4419
@martinezsiwale4419 5 жыл бұрын
Samson Mgaya na ndio maana kasema nitaongea na wakubwa zako
@martinezsiwale4419
@martinezsiwale4419 5 жыл бұрын
Issa ocd alicho feli ni kuto kuwa straight speaking mama kapata point of weakness kashinda angekuwa straight kwamba nimewai shika mtu huy huyu na kesi zao zikaenda ivi lkn mama kamuuliza tu uliwai mshika nani na kitu gani hakuna jawabu ndio ubabaishaji wenyewe
@thelifestyle6077
@thelifestyle6077 6 жыл бұрын
Bonyeza hii link, itakuelekeza jinsi ya kumjua mtu alie chunguza Whatsapp profile picture yako kzbin.info/www/bejne/Y2mqfKRmq8eYg5Y
@maulidasaa9407
@maulidasaa9407 7 ай бұрын
Ocd hiyo ndo changamoto ya kazi ww unafanya kazi yko lkn raia wajanja wanakurudisha nyuma makonda co kila mlalamikaji ana haki utawavunja nguvu wezako
@Lenardmazoya-u3k
@Lenardmazoya-u3k 7 ай бұрын
Uyo ni muhuni ata apa magufuli alikua teminal anatusumbua sana alikua natukamata anatupeleka mahaka yajiji tunatoa sh 50,000 uyo hafai
@menikojohn2782
@menikojohn2782 6 ай бұрын
Mama Ambaye Mwanae Ni Mtuhumiwa Wa Kesi Za Bangi Polisi Zaidi Ya Mara Moja Hawezi Kuwapenda Polisi, Na Hiyo Nyumba Itakuwa Ni kijiwe Cha Wavuta Bangi Tu, Ndio Maana Safari Za Polisi Haziishi Kwenye Huo Mji.
@mohamedisarehe5917
@mohamedisarehe5917 5 жыл бұрын
kaka cnahiman na kituo cha polic vingungut nishawai kuchukua arab nawafata tukamkamate mwiz awataki mara gal akuna mara asikar wapo wachache nakuomba fka apa vingungut kaka
@VictoriaMahewa
@VictoriaMahewa 4 күн бұрын
Daily naomba mungu kazi hii ni ngumu sana eeh mungu tusaidie
@shadrackkassale2968
@shadrackkassale2968 5 ай бұрын
Ila huyu mama hata anavyozitaja aina ya madawa yakulevya mara pipi mara token mara puli mmmmmmh hata mm ananipa mashaka
@tumpaleluhanga1396
@tumpaleluhanga1396 6 жыл бұрын
Kwa hili, nitatofautiana na Mh. mkuu wangu wa mkoa. Sidhani kama haki imetendeka. Ingawa hatua iliyochukuliwa sio kubwa sana ila nadhani mkuu wa kituo ameabishwa mbele ya wananchi bila sababu. Majibishano ya bimkubwa na mkuu wa kituo hayakuwa na umuhimu wowote. Nadhani mkuu wa mkoa alipaswa achukue taarifa ya mama, pamoja na maelezo mafupi ya polisi halafu akalishughulikie hilo suala baadae. Kwanini polisi waing'ang'anie nyumba ya huyo mama tu bila sababu? Mama angesema huwa wanaomba rushwa tungemuelewa. Pole sana kwa mkuu wa kituo cha Buguruni.
@rajabuwiliam5854
@rajabuwiliam5854 8 ай бұрын
wewe unajuaje kama mku wa mkoa hana talifa nyingne kumhusu yeye kwani yeye mjinga achukue hatua bila kufatilia et hapo lazma co xhida yakwanza alixhapata talifa nyingii t kumhusu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 7 ай бұрын
Nimependa maelezo ya askari
@PasichalFrancis
@PasichalFrancis 7 ай бұрын
Ilahuyujamaa .basitu hajuituanachokifanya
@RwegoshoraPatt-os2ik
@RwegoshoraPatt-os2ik 7 ай бұрын
Hata mama anamdomo kumbuka hilo pia
@mkombozikiratv.9733
@mkombozikiratv.9733 6 жыл бұрын
Japo kituo hiki cha buguruni hakifai kutokana na urasimu uliopo na ht kutumikia matajiri kama 92 hadware na mama wahenga kuwabambika kesi wananchi lkn sijapenda huu utaratibu uliotumika kumdhalilisha ocd
@fokasiinnocent3448
@fokasiinnocent3448 6 жыл бұрын
makonda wanaokuchukia walaniwe na tunamuomba mungu raisi akuache apo apo miaka mingi!!!akuna asosemwa ata raisi wetu anasema piga kazi usiogope!!!usiposemwa jua huna kitu.
@saidsuleiman5255
@saidsuleiman5255 6 жыл бұрын
Huyu jamaa namkubali sana
@hamadshein935
@hamadshein935 6 жыл бұрын
Salam kw maofsa.mcpo kuwa na umoja.mtasumbuliw n watu ambao.hawajui taratibu za majeshi.
@ugaboy4736
@ugaboy4736 6 жыл бұрын
Jamani polis ngum tuulizeni sisi
@mariawilbrod9786
@mariawilbrod9786 6 жыл бұрын
Hamad Shein taratibu Za majeshi zipi Hizo tufahamishe Au kuonea wananchi?
@nyerere1259
@nyerere1259 6 жыл бұрын
Afande upo vizuri...... Achana na hao politicians
@MohdRashid-cu9qb
@MohdRashid-cu9qb 6 жыл бұрын
Sio vizuri kumueka polisi kulumbana Na RAIA hadharani kama hivi haipendezi
@fokasiinnocent3448
@fokasiinnocent3448 6 жыл бұрын
zamani police alikua anauezo wakumpa kesi yoyote ile anakosana nae au kutompa pesa ASA ivi thubutu kwa utawala Wa magu!!!!!
@luciaalfred6213
@luciaalfred6213 6 жыл бұрын
Sasa majeshi yetu yanapelekwa kisiasa alafu ocd wewe si msemaji wapolice kiongozi hayo mambo yasiasa
@Tango696
@Tango696 6 жыл бұрын
Mungu akusimamie sana mkuu Wa kituo.nimeumia kwa udhalishaji huo.kila mmoja ana mapungufu Yake.umekamata umepeleka mahakamani ,walitegemea ufanye nini.kwa hili lililokukuta naamin ndio fursa ya kufika mbali ,Mungu atakupandisha mbali
@fokasiinnocent3448
@fokasiinnocent3448 6 жыл бұрын
magu ameibadili nchi ss wananchi tunajua thamani ya nchi yetu ,akuna brabra tena nisheria tu,magufuli mungu akubariki uishi miaka mingi sn ,eeh mungu mrinde mtoto wako maguful
@nawihadj6674
@nawihadj6674 6 жыл бұрын
yeah
@juliuskivuyo5384
@juliuskivuyo5384 6 жыл бұрын
Good
@furahamwajeka3708
@furahamwajeka3708 6 жыл бұрын
kweli walaniwe wamchukiao makonda uongozi wa magu udumu...vijana oyee...moshi,dar;tabora,iringa,.mbeya nice rcs..wengine VP?
@fieldnews1733
@fieldnews1733 2 ай бұрын
Makonda hongera,joo kenya utusaidie
@adamsclassic9306
@adamsclassic9306 5 жыл бұрын
Mh Makonda Hawa Mapolisi wa Buguruni ndo zao, Arafu hadi sasa Kuna Wagambo Ambao Nao Wanajifanya Mapolisi Maana Hadi wao wanatembea na Bastora na Gwanda Wakiwa Wamevaa, Na Wanatabia kwel ya kuingia ndani bila ya Ruhusa
@robsonevarist5803
@robsonevarist5803 6 жыл бұрын
Kiukweli hiii nchii inapoelekea sii pazuriii siasa imekuwa fimboo kwa watendajiii na hata mtuuu afanyee mazrii vp kosa moja la funika mazriii yotee.hakika najuta kuajiliwa mora nipe nguvuu nitafute mtajiii nijiajili.amina
@TibihikaGerad
@TibihikaGerad 7 ай бұрын
Kama na fisad dawa Yako inachemka
@babawawiltegamaso4367
@babawawiltegamaso4367 7 ай бұрын
unafaa kuwa kiongozi wa kuelimisha askari
@jahhloveyou4462
@jahhloveyou4462 5 жыл бұрын
Mama mkweli,huyu police anajua mama mkwele.
@cleanbosco70
@cleanbosco70 6 жыл бұрын
Hivi nikuzalilishana kama ni mimi najihuzuru kazi kiukweli makonda unapenda sifa.
@emmanuellaston5446
@emmanuellaston5446 6 жыл бұрын
Kweli Siro anaona huyu mtu anavyolidhalilisha jeshi la polisi. Makonda leo hii wakutaka kuhoji nani mkweli kati ya OCS na Mama? Kweli mnaendeshwa na political temper. Lakini polisi mkome si huwa mnatetea huyu mpate sasa
@sampatrick917
@sampatrick917 6 жыл бұрын
Buguruni ni Sawa kabisa atolewe uyo ocd kuna mambo ya kinyama Sana apo Buguruni
@djmarashimartin7707
@djmarashimartin7707 5 жыл бұрын
itakuwa nyinyi Shelia amuijuw makonda anaweza akafanya lolote juu ya ocd yeye makonda yupo kwenye kamati ya ulinz nausalama ya mkoa
@eliphaziamon8794
@eliphaziamon8794 6 жыл бұрын
Iv mnao mlaumu makonda ,mmechanganyikiwa au et police MTU mkubwa ,kafanya kosa sheria ichukue mkondo wake ,maaana hakuna aliyevjuuya sheria acheni utahira watanzania juen haki zenu
@steveswakei9600
@steveswakei9600 6 жыл бұрын
what's the argument in the public. ? i see mostly tz police giving information in public. mbona polisi kupeana ripoti hadharani mara nyingi katika sehemu tofauti tofauti. mbona? sasa hapa wauliza polisi maswali mbele ya raiyaa mbona?
@halfanimussa79
@halfanimussa79 6 жыл бұрын
Mh mkuu WA mkoa ukimalinza hapo usisahau kunamakampuni za ulinzi zinanyanyasa watanzania mshahara wanapewa baanda mienzi mitatu tena unapewa nusu
@furahamwajeka3708
@furahamwajeka3708 6 жыл бұрын
respect noo,,tenda hAki i utaheshimiwa ukkiwa mbAdhilifu noo respect,hakuna haki sana toka polisi kuja wananchi..saafi mkuu makonda... hakii
@PasichalFrancis
@PasichalFrancis 7 ай бұрын
Makonda achamaamuzi yakelelezawananchi
@rahmarama5669
@rahmarama5669 7 ай бұрын
Polisi majambazi kuliko majambaz
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 6 жыл бұрын
Kumbe siku hizi Makonda a.k.a Bashite ni Hakimu au Jaji mkuu anaye tembea na ofsi ya mahakama! Uzalilishaji mtupu, hunasifa, Hujui taratibu na Sheria za Kuamua jambo, yaani umejizalilisha kwa kufuata ushabiki wa Wananchi hapo, Ocd kuzungumza vizri lkni umefuata Bias
@nawihadj6674
@nawihadj6674 6 жыл бұрын
bro so yy sindio raisi wa mkoa sasa afanyaje wkt vtu vmetokea mkoani wake
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 6 жыл бұрын
Asante mama
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 6 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa tembelea vituo vyote vya polis vya Dar fichua maovu muda umefika pambana utashinda2
@allykiyanga8853
@allykiyanga8853 6 жыл бұрын
Goood kiongozi sio sili ukitangulia na kumi tu ww ndio mshindi kiongozi wanaokuponda hayajawakuta
@nawihadj6674
@nawihadj6674 6 жыл бұрын
+Amneamne12 12 sure
@salumzengula6841
@salumzengula6841 6 жыл бұрын
Toeni maoni yanayo jenga sio kutoa maoni bila kujua RC hakutengua uteuzi ila ametoa agizo kwa wahusika eleweni watanzania wenzangu jambo jema lipongezwe.
@tabithaandrew709
@tabithaandrew709 6 жыл бұрын
Acheni polisi wafanye kazi zao,,na kwa maadili waliyoapa ,,bora wasiwaonee watu kiukweli buguruni umekua na vibaka wengi bila kutikiswa wanarudisha maendeleo ya watu nyuma mtu anakaa stand kutwa nzima napiga doria ya wizi tu gari ikitokea anajifanya anapanda gari kumbe anakuibia mfukoni na anashuka hapohapo ,,,polisi wasipewe lawama sana
@paulomgan2064
@paulomgan2064 6 жыл бұрын
Ee MUNGU tuludishe kwenye imani ya kuwa na uwoga na kuamini kuwa upo
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 3 ай бұрын
Kama upo hapa 2024 tujuane
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 7 ай бұрын
Huyu mama mbona kama aina anazijua mmmh
@luciaalfred6213
@luciaalfred6213 6 жыл бұрын
Nichombo chakukimbilwa lakini hakipelekwi kisiasa alafu wewe sio hakimu acha habari yako wewe boadi umeboa hata viongozi wenzako watakucheka majeshi haya pelekwi hivyo unamuweka askari katikati ya wananchi sijui nitumie lugha gani unamsuta sijui alafu yupo ndani ya youn form basi kama wewe ni hakimu ung'elimwambia avue huo mkanda na kofia ndio muanze kuhukumiana kwakweli nilikua nakupongeza sana kwahapo umeboa
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 6 жыл бұрын
Mzuka usiwe sababu hapa huyu police ni mungwana laiti angekuwa...... hpo ni kulihadhiri jeshi letu
@NicholausAlois
@NicholausAlois 7 ай бұрын
Makonda unatafuta kiki
@wizzyfernando8655
@wizzyfernando8655 6 жыл бұрын
Makonda yupo sahihi coz kasema kama iko iv ataongea na wakubwa zake uyo ocd sio yy ndo ampangie...Elewn kwanz
@raidondecko5059
@raidondecko5059 5 жыл бұрын
Haya jielewi elewi yana tumiwa na ccm alafu yana kataliwa na ccm lkn yakitumwa na ccm kufanya uhalifu yana kimbia kifua mbele jifunzen kukaa na wana nchi vizur sisi mdo wakuwatetea
@geofreymilinga8754
@geofreymilinga8754 5 жыл бұрын
Paul kwa hili wewe ni Jembe
@furahamwajeka3708
@furahamwajeka3708 6 жыл бұрын
ahsante mkuu makonda,sio huyo ocd tu baba wapo wengii,mwajili jeri muro afanye utafiti akupe repoti ni aibu trAfic ndo usiseme
@SoromonElias
@SoromonElias 6 ай бұрын
mkomboz wetu yupo
@yesgood3491
@yesgood3491 6 жыл бұрын
Hv bongo siku hiv hakuna utawala wa sheria?!yani mkuu yeyote akiota ndoto tu anachukua hatua.Hapana hatuwezi kufika kwa ngoma hii ya ngozi ya binadamu!!
@sibiromallya5894
@sibiromallya5894 6 жыл бұрын
makonda leo umenikosha
@yahayamaulana8215
@yahayamaulana8215 6 жыл бұрын
Mw. RC Makonda big up kwa juhudi na busara juu ya majukumu yakazi unazozifanya hongera
@emmymkonyi9309
@emmymkonyi9309 6 жыл бұрын
Big up mama kwa kuwa jasiri na Mkuu wa Mkoa kwa Kukusikiliza
@azizauledi4108
@azizauledi4108 6 жыл бұрын
Mnaonea watu kupita kiasi mpaka imefikia liwalo naliwe km kufa kila mtu atakufa safiiii sana mama mungu akulinde
@rugijofrey3685
@rugijofrey3685 6 жыл бұрын
Siasa mbaya sana, ukimsikiliza huyo mama anasema nyumba yake haiuzwi Bangi toka 2006 inamaana ina historia yakufanya hivyo kipindi cha nyuma
@danielmboya8633
@danielmboya8633 6 жыл бұрын
makonda me nikiwa mkoani sikujuwa kama bangi piwa nk vinapatikana dar kumbe nilikuwa najidanganya hawa polisi wanatudondosha sana kwenye hili
@mpjackson9543
@mpjackson9543 6 жыл бұрын
Utaleta shida xana kwatabia hii sijaipenda Makonda hao ni police mzee acha Uzuzu, haifai kabisa tena haifai, uongozi wako ni Ubabaishaji, kunautaratibu wake,hupaswi kufanya judgement za namna hiyo who are you, my bro, jeshi lako la polisi lipi, au haujui tafsiri sahihi ya neno jeshi la polisi, naamini leo ubashite unao brother.
@selemansaid9295
@selemansaid9295 3 ай бұрын
police ni malaika kwamba akosei? kwamba yeye ninan Hadi asihojiwe pale ambapo anakosea
@josemakau6882
@josemakau6882 6 жыл бұрын
MAKONDE... endelea kua mkuu wamkoa... endelea kuwa mkuu wamkoa hakiiiiii.... tunaziona
@muhammadabdiabdi3089
@muhammadabdiabdi3089 7 ай бұрын
Uwenevu 😢😢😢
@anethchonya4003
@anethchonya4003 6 жыл бұрын
Hii ndio shida ya kuingiliana kwenye mamlaka.atasababisha askari washindwe kufanya kazi zao hapo mi sijaona tatizo kwa OCD
@kechbowkech9138
@kechbowkech9138 6 жыл бұрын
Daaaa safi sana mkuu wa mkoa Paul Makonda,,,,,kweli unawapigania wananchi. ....umeweza hadi kumtumbua mkuu wa kituo,,, Sadie Sana..... Bora iwage hivyo,,, askar watafanya kazi kwa mujibu wa Sheri's, yamezoea Sana kuvunja Sheri's,,,, wakati sisi wanansheria tunafuata Sheria...
@denismasawe2574
@denismasawe2574 6 жыл бұрын
Nakubal mkuu wa mkoa tangu nime kujua Leo ndo umenifurahisha zaidii piga kaziiiii mkuu
Шок. Никокадо Авокадо похудел на 110 кг
00:44
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 16 МЛН
Win This Dodgeball Game or DIE…
00:36
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 37 МЛН
Amazing Parenting Hacks! 👶✨ #ParentingTips #LifeHacks
00:18
Snack Chat
Рет қаралды 22 МЛН
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 82 М.
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 732 М.
Шок. Никокадо Авокадо похудел на 110 кг
00:44