Рет қаралды 421
Bwana Yesu asifiwe! karibu kujifunza neno la Mungu,
Haya ni mahubiri aliyohubiri Msaidiizi wa Askofu Dean Chediel Lwiza kwenye Ibada ya siku ya mwisho wa mwaka 31/12/ 2022.
SOMO: ASIYE FANYA KAZI BASI HATA KULA ASILE
Neno la mahubiri lilitoka katika kitabu cha 2Wathesalonike 3:10
1 WATHESALONIKE 3: 10
Kwa kuwa hata wakati ule tulipokuwapo kwenu tuliwaagiza neno hili, kwamba ikiwa mtu hataki kufanya kazi, basi, asile chakula