HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU 24 MAY 2017
Пікірлер: 111
@marianmartin7483 Жыл бұрын
Lala salama baba, vita ulivipigana😭😭😭😭😭😭 nikikuona machozi yanatililika. Mwenyezi MUNGU akupe makao salama huko uliko. Raha ya milele umpe e bwana, na mwanga wa milele umwangizie apumzike kwa amani Amina. Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU, wapumzike kwa amani, AMINA.
@onelovetz7935 Жыл бұрын
Uko Kama Mimi kilip mbili tu machozi yananilega
@peterkabigi7 жыл бұрын
Kwa hili kila raia mwenye nia njema na nchi atakuunga mkono.Hongera saana Rais.
@pizzaboy36402 жыл бұрын
HUWA cwezi kujizuia kabisa MACHOZI yanavyo nimwagika nikisikiliza hotuba ya huyu mwanajeshi kamanda rais aliye jitolea mhanga kwa ajili ya Taifa letu hakika wewe ni SHUJAA japo umelala RIP J P M
@mathewben68333 жыл бұрын
Kuna wakati hua siamini kama rais niliyemkubali nikamchagua hayupo tena duniani,daaah! YAHWEH is great.Pumzika kwa amani JPM hakika me binafsi kwa jitihada zako nakukumbuka
@alfredlucas9722 жыл бұрын
Mungu akupe wepesi katika pumziko lako la milele rais wetu wa wanyonge
@frans_dede3 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la milele Raic we2 mpendwa Dr. JPM tutaendelea kulia mpak mwak 20100
@motelalasem67552 жыл бұрын
Upumzike salama namungu akusamehe makosa yako yote nakulilia kwauwazi na uzalendo kwa nchi yetu inaumasana,
@yusuphwella96513 жыл бұрын
Chuma hicho, najickia faraja sana japo kwa muda wake mfupi impact yake ni kubwa sana, naifananisha na super sub iliyoingia ikapiga hatrick na kuchukua point tatu,
@hajiissa92007 жыл бұрын
hongera sana rais wangu mpendwa .ninakupongeza sana kwa kuwanyoosha hao wanaojiita wajanja . namuomba allah akulinde na akupe umri mlefu wenye mafanikio
@omarisalimu3667 жыл бұрын
Amiin
@omarisalimu3667 жыл бұрын
Amiin
@ismailkipalanga28123 жыл бұрын
Kila nisikilizapo hii hotuba, bado naamini kuna siku utarudi tena kuja kuwa hata mshauri tuu. RIP mzalendo wa kweli
@mbokaandbahatitv85097 жыл бұрын
Wewe ni rais wangu, siku zote nitakuheshimu, Mungu akutunze daima.
@davidcharles56747 жыл бұрын
this is what I was asking leaving myself with unanswered qns. why were we not talking of natural minerals as OUR MAJOR SOURCES OF INCOME .... WHY WERE WE DEPENDING ON TBL, TCC...? THANX OUR PRESIDENT YOU KEEP ON ,,, WE TZ WER SUPPOSSED TO BE DONORS
@munaahmed84993 жыл бұрын
Allah akulinde na kila shari rais wetu utuongoze kwa ufanisi kam unavyotuongoza insha Allah🤲
@Lex_review7 жыл бұрын
one day they will value your presidency
@abdallahmngoi85387 жыл бұрын
dulamatelephone
@Zamb903 жыл бұрын
The time is now bro
@felexmaphie86773 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@felexmaphie86773 жыл бұрын
Am just realising your comment sir.
@charlesmugisha6529 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumepoteza mtu muhimu Sana ktk nchi yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@tatulalia8211 Жыл бұрын
That's truth Dad but RIP God bless you for your jobs
@rozinajumbe4237 Жыл бұрын
Tunakukumbuka Baba ! Tumebaki wakiwa Baba wanyang'anyi wanatafuna urithi wa nchi yetu
Mungu akupe uhai zaid rais wa Tz uendelee kufanya mema kwetu wa tz
@manstiko5890 Жыл бұрын
Rest in paradise chuma tutakukumbuka daima
@offblogmedia Жыл бұрын
Come take your chair father, we miss you already!! ( And, you knew it)
@kelvinchadulaga3102 жыл бұрын
RIP mwamba wa african
@geopolitics943 жыл бұрын
Rest in Peace our beloved President 🇹🇿❤️
@lgatura2 жыл бұрын
Kila ninapo skiza hotuba ya Rais Magufuli , huwa si amini eti hayupo tena nasi , aisee ina uma sana , Sema mambo ya Mungu hayana Makosa , Pumzika kwa amani Rais wetu kipenzi, Mungu akupe pumziko la amani .. RIP
@Dantaata Жыл бұрын
hatuna la kufanya baba tangu siku umeondoka hadi leo tunaumia,, m/mungu asikuache baba yetu kipenzi
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Jembedali wetu JPM ulisema tutakukumbuka kweli tumeanza maana uku Prof Muhongo hataki tena Bwawa la umeme la Rufuji ambalo ilikuwa ndoto ya Mwl Nyerere na ndio ukombozi wetu. Nakumbuka Mzee Mengi aliwai sema prof Muhongo ni Muongo...RIP Mengi. Alafu Ndugai anataka kuwaleta wachina na ule mradi wenye masharti ya ajabu ajabu. Ambapo tayari tunajua Sri Lanka wanatesena na mradi wa namna hii.😭😭😭 Ila hata kama haya yatakwama ss vijana tayari umetuonesha njia siku moja tutakuja kuyafufua kama wewe ulivyo fufua iliyokuwa ndoto ya Mwl Nyerere. RIP NYERERE NA JPM 💪🏿🙏🏿
@adelaidaruta29302 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akuruhusu kutoka huko uliko uzidi kulipigania Taifa hili kama ulivyo lipigania ukiwa duniani mimi nitakukumbuka daima
@heridadia96343 жыл бұрын
R.i.p JPM 😭😭
@ISSAMITWE-iq1bo8 ай бұрын
sintamsahau hayati magufuri ktk maisha yangu yote.mungu mpumzishe kwa aman amin.
@denismsanzya7145 Жыл бұрын
Upumzike kwa amani kaka yetu
@yohanabiby3581 Жыл бұрын
Yohana E Biby
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Akika ulikuwa .nguli wa uongozi, kazi yako ni ilikuwa nzuli sana,
@kamuchidyblez2136 Жыл бұрын
Daaa ulale salama aisee kaz yake mola haina makosa
@ramadhanndemeye69327 жыл бұрын
lema uko wapi? mbona husemi?
@dct4lif7 жыл бұрын
Tundu Lisu tayari ashaongea ujinga kama kawaida yake
@mgeni1233 Жыл бұрын
Alikuwa mkweli na ukiwa mkweli jua maisha yako mafupi
@sethmotto45132 жыл бұрын
Maisha Ndivyo Yalivyo!Kazi iendelee!
@farajastudioandstationery57983 жыл бұрын
Nimemis Hii sauti kiukweli...!
@abdallahmngoi85387 жыл бұрын
mwishimiwa endelea kuchapakazi safi sana
@januaryevarist2093Ай бұрын
Hii is miss you Dr jonh
@danielimeshack37127 жыл бұрын
nakupenda rais wangu 2020 ukishinda badili katiba uongoze mpaka utakopochukuliwa na mwenyezi mungu inauma sana lisu kachukua rushwa ya wazungu anabwatuka ovyoo piga kazi baba
@kikosikaziupdate Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@mrishoselemani75217 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AKULINDE
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Sawa bac ninaumia sana nikifikiri
@godfreykwejah Жыл бұрын
Kwa kweli utaendelea kuishi mioyoni mwetu, na akili zetu bado zinakuenzi!
@karimmveyange280 Жыл бұрын
Hakuna atakeye kufikia kwa uadilifu wako na uzalendo na ubingwa wa ufufuaji uchumi bila kuomba omba mikopo.Hata wafanye vipi,tayari uliwaumbua.Tunawaona 0 tu . Haupo kimwili lakini Roho yako ipo na inaona hali ilivyo hii leo.Mungu atalipa hapahapa ktk ardhi na wote watashuhudia
@JacobAlexander-sc1oh3 ай бұрын
sna la kusema kizuri hakidumu
@tgeofrey7 жыл бұрын
Kimenuka Shamba la Bibi
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Hii hotuba Ni ya kulikomboa taifa kwa vizazi vyote....tupate wapi Rais Kama JPM Tena.. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@kakamau0384 Жыл бұрын
Hivi huyu jamaa alikuwa na kasoro gani jamani katika Nchi hii lkn!!?? 😭 Tutakukumbuka baba
@konzerasokoni17732 жыл бұрын
Natamani siku zirudi nyuma ufufuke ungetawala milele... Wengi washakuelewa lakin ndo ivo too late
@nuhunyambulapi53202 жыл бұрын
We missed you today Mwamba
@arjunelly5402 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Inauma jamn
@abushirikijaji40142 жыл бұрын
Ewe mngu tunakuomba umuweke mahala pema peponi rais wetu mpendwa natunakuomba uturudishiye rais ajae awe mkweli kama mpendwa wetu magufuli
@Joseph-lu4yj2 жыл бұрын
Ikulu haina hizi video kweli ? including mkataba wa bandarui ya bwagamoyo ?
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Mzee uko sawa Tanzania tuna watu wa ajabu sana, uwatunawafikiria hatupati majibu,
@bizzosela61863 жыл бұрын
😭😭😭
@jonasjaphetthomas64342 жыл бұрын
We ndo rais sasa tunayemtaka watanzania walobaki woteni .....Watajua wenyewe wapo kundi gan siwapendi sijui kwanini!
@daudikapange9203 Жыл бұрын
😢
@moshykimario76012 жыл бұрын
The life time president
@johnnestory9970 Жыл бұрын
JPM utakumbukwa daima,kwa mazuri mengi uloyafanya kwa watanzania wengi!
@avitimushi15417 жыл бұрын
The president and his TUME have walked the walk after the talk. Viva President Magufuli. Viva Tanzania
@lameckmulokozi46852 жыл бұрын
Tutakuenzi baba lala kwa hamn
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Mzalendo wetu, leo tunaubiriwa neno uzalendo, najiuliza sipati jibu, Magufuli uko wapi? Kama nchi inaitaji wazaleno!!
@elishebawerema71552 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@susannaikuni8595 Жыл бұрын
Shujaa hutasahao lika milele lala salama
@lindambilinyi62533 жыл бұрын
Mbabe kaenda na ubabe wake haaaaaa
@sadamkuntukumu3672 Жыл бұрын
Kwanin samia suluhu afanyi hivi
@paulcosmas8031 Жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba
@mudhihirugara88453 ай бұрын
Jeembehiro bwana pumzika salama
@ramadhanndemeye69327 жыл бұрын
nchii ina wajinga wengi kazi yao kupiga kelele bungeni
@allykingu17523 жыл бұрын
Jembe toka chato?
@liverpoolfootballclub9985 Жыл бұрын
This guy was a legend
@msandigeorge8355 Жыл бұрын
Was.
@dmstephano86436 жыл бұрын
Jamen
@blackmartin2395 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭 kwel tulipoteza
@adammrisho19909 ай бұрын
Mpl
@maluhismadila9593 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani bd tunakukumbuka baba
@halajanyerere35122 жыл бұрын
Jpm rest in peace
@ramadhanndemeye69327 жыл бұрын
je hicho chombo kina uzwa bei gani?
@zawadix95747 жыл бұрын
Ramadhan Ndemeye I love this man true Patriot...... Tanzanians are cursed how can we be so stupid and dumb