Askofu Dkt Mwaikali aongoza ibada kwa kishindo Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki(KKAM)

  Рет қаралды 20,591

MbeyaYetuOnlineTV

MbeyaYetuOnlineTV

2 жыл бұрын

Пікірлер: 191
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 2 жыл бұрын
Hongereni watiumishi wa Mungu. Mtakuwa jeshi kubwa.
@benardmwakisunga7464
@benardmwakisunga7464 2 жыл бұрын
Hongereni sana wapendwa wa Mungu kwa kutiwa nguvu na kuendelea kusimama kwa kazi ya Mungu, mali na vitu sio kitu. Haki bado itasimama hata km sio leo ikaonekana kwa macho ya watu ila bakini ktk kweli ya Mungu. Madhehebu na dini ni njia tu ya kumtafuta na kumfikia Mungu na kutiana moyo wa kwenda mbinguni, lakuna kujidai kua ipi ndo liko sahihi, yote yako sahihi ili mradi jina la Bwana Yesu linaitwa hapo katika roho na kweli. Ivyo isiwe kigezo cha kukwamisha watu kuona ukuu wa Mungu. Mwenyezi Mungu awabariki. Zaidi kaeni kwenye amri iliyo kuu "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na akili zako zote.....................
@adamnzali8466
@adamnzali8466 2 жыл бұрын
amen amen
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 2 жыл бұрын
Huo ndio ukristo Yesu anapenda sana uamusho makanisa kuongezeka saaaaafi
@mpinabaharia2247
@mpinabaharia2247 2 жыл бұрын
Uamsho ndani ya Uasi Mchungaji
@lucymwaigomole1116
@lucymwaigomole1116 2 жыл бұрын
Mbarikiwe na bwana watumishi mungu azidi kuwatunza
@reubenismail3672
@reubenismail3672 2 жыл бұрын
Mkiitisha alambee ntakuja kuwaunga mkono!mpo kwenye haki Sana
@hildadavid7389
@hildadavid7389 2 жыл бұрын
Mungu atabaki kuwa mungu tu
@luganoatupele2346
@luganoatupele2346 2 жыл бұрын
mungu akubariki .mwaikali songa mbele tuko pamoja
@solomonfibe7706
@solomonfibe7706 2 жыл бұрын
Mmm! Na mchungaji Mwakatobe naye!
@hosealutangilo5058
@hosealutangilo5058 2 жыл бұрын
Mungu alitetee kanisa lake!!
@yusuphalinani5432
@yusuphalinani5432 2 жыл бұрын
amina huhukoko sisi kkt hatutaki migogoro
@reubenismail3672
@reubenismail3672 2 жыл бұрын
Kazeni buti mtafanikiwa simameni kwenye haki ya kweli
@pastorphil4124
@pastorphil4124 2 жыл бұрын
YESU anapata faida kanisa linapopanuka Uamsho unazidi ,mala nyingi uamsho unakuja pindi watu wanakwenda kuanzisha kitu chao na haswa kama watazingatia utakatifu na utawa
@kicheko1252
@kicheko1252 2 жыл бұрын
Bora wanzisha migogoro wamejitenga wenyewe,
@tinajoe5487
@tinajoe5487 2 жыл бұрын
Yaaani Mwaikali bana unapenda sana Madaraka umeona Uanzishe kanisa jingine aiseeee
@philbertcelestin7057
@philbertcelestin7057 2 жыл бұрын
Ulitaka abaki nyumbani?
@atuganilengomba7121
@atuganilengomba7121 2 жыл бұрын
Fanya kazi kwaujasili baba
@winnerjudith2007
@winnerjudith2007 2 жыл бұрын
mi ata sielewi wepi ni sahihi wa kule au hawa, Mungu atusaidie
@tithomhagama
@tithomhagama 2 жыл бұрын
WAHUKU NDO SAHIHI.
@rebecakipangula3679
@rebecakipangula3679 2 жыл бұрын
Kanisa kinaendelea kukua isipokuwa kola mmoja akapanda basi,kila mmoja ana haki
@chancemgaya8705
@chancemgaya8705 2 жыл бұрын
WinnerJudith litakalo hukumiwa siyo Kanisa ni wewe na moyo wako lakini amani ni kitu Cha muhimu sana kwa mtu anayemwabudu Mungu tumechoka kuonyeshwa mitutu ya bunduki kwa sababu ya tamaa ya Mali
@dezruh
@dezruh 2 жыл бұрын
Cha msingi sana ni kujiandaa ili bwana akija akute taa yako ipo na mafuta.
@esrorukiko1269
@esrorukiko1269 2 жыл бұрын
Askofu Mwaikale wewe ni mfano mzuri wa kuigwa Mungu akubariki akutunze wakikukataa Mungu hajakukataa fanya kazi ya bwana
@amanijampion3045
@amanijampion3045 2 жыл бұрын
Yeye ndio alianza kuwakataa wachungaji wake
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 2 жыл бұрын
Anayezaa ovyo nje ya ndoa
@jamessichimata36
@jamessichimata36 2 жыл бұрын
Saafi sana injili iendelee MUNGU awasimamie
@atiliosanga6955
@atiliosanga6955 2 жыл бұрын
Ameeee
@tumainimwakyaka2775
@tumainimwakyaka2775 2 жыл бұрын
Kweli hiz n cku za mwisho
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 2 жыл бұрын
KKAM mweeee
@maikomahanji9411
@maikomahanji9411 2 жыл бұрын
Kilefu chake ni nini
@mwaikalishukrani4752
@mwaikalishukrani4752 2 жыл бұрын
Ili dhahabu ing'ae razima ipitishwe kwenye moto,hivyo Kila jaribu mlilopitia watumishi mungu alikua 'namakusudi.jina la bwana libarikiwe
@adamnzali8466
@adamnzali8466 2 жыл бұрын
amen amen
@aiseamwandondwa3885
@aiseamwandondwa3885 2 жыл бұрын
Songa mbele usigeuke nyuka ukawa jiwe la chunvi chapachapa injili mavuno nimengi watenda kazi wachache kazi ya Mungu ni wito sio kuwekwa na binadamu chapa chapa injili twende na kkam tunakiu na neno
@oneombilinyi2973
@oneombilinyi2973 2 жыл бұрын
Sasa nimeamini hizi ni siku za mwisho tutahama makanisa mpaka tupishane na Yesu
@tumainimwakyaka2775
@tumainimwakyaka2775 2 жыл бұрын
Hahaha yaan YESU ipo cku tutapishana nae mlangon unapogeuka unakuta mlango umefungwa MUNGU aturehem
@fabbyjames5525
@fabbyjames5525 2 жыл бұрын
MWAIKALI NI ASKOFU ALIYEPAKWA MAFUTA YA BWANA SIO WALE WAPAKWA MAFUTA YA MAWESE ..... WANATAKA MALI KULIKO KUHUBIRI INJILI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@eldasylyavala9622
@eldasylyavala9622 2 жыл бұрын
Nimecheka kama mazuri hahaaaaaa mafuta ya mawese
@lebisontito2618
@lebisontito2618 2 жыл бұрын
Ana wivu na Madaraka
@lebisontito2618
@lebisontito2618 2 жыл бұрын
@@eldasylyavala9622 mafuta Ya Nguruwee Hahaha Hahahaha
@obinasimbeye1750
@obinasimbeye1750 2 жыл бұрын
Hakuna asiyetaka mali wewe mwenyewe unataka
@josephmwasalanje2320
@josephmwasalanje2320 2 жыл бұрын
Migogoro jazz Band Wapo kwenye hema lao
@zeblufingo8361
@zeblufingo8361 2 жыл бұрын
Wanajaribu kutabasamu ila moyoni mnakataa. Wanajilazimisha ila nafsi zinawasuta
@deogratiusmtemi3385
@deogratiusmtemi3385 2 жыл бұрын
Andrew king una pepo kwani unakuwa na roho mbaya hivyo
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 жыл бұрын
Tuko pamoja mwaikali I'm tim mwaikali...
@solomonfibe7706
@solomonfibe7706 2 жыл бұрын
Wengine hata hawaelewi cha kufanya leo wamejaa kesho wanarudi K.K .K.T.Sasa mmehama nini wakati taratibu nizilezile za K.K.K.T?
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 жыл бұрын
@@solomonfibe7706 ndani yakanisa Kuna mamb mengi katika uongozi
@angelambwambo2903
@angelambwambo2903 2 жыл бұрын
Kila mnachokifanya mtatolea heasabu
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 2 жыл бұрын
Kila kiburi na jeuri dhidi ya umoja wa Kanisa a Mungu ni teso kwa wanaofanya hivyo.
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 2 жыл бұрын
Loh,ama kweli ukijihatibu nafsi huwezi kutofautisha kati ya chumvi na sukari.
@bumimsojo5359
@bumimsojo5359 2 жыл бұрын
Bado hela zetu za miti tulizokuwa tunatoa kila mkristo 1000 kwa mwezi
@hurumawelton1757
@hurumawelton1757 Жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄😄😄jaman mwaikali aoni ata haya jaman mwe ilo kanisa wanajisumbua tyu akina chochot anacho taka nihela tu anataka polen mlio mfuata uyo mbaba nakisembe icho analusha tu mate akiongea Pepo uyo lime mvaa mwakatobe pole na uzee wote uo jaman
@piussimtala5111
@piussimtala5111 2 жыл бұрын
Sawa,yote mema!!
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 2 жыл бұрын
Atafute jina lake siyo KKKT NA AACHE KUZAA ZAA NJE YA NDOA ETI MCHUNGAJI. Tamaa zao za pesa za waumini
@malamlaaj9852
@malamlaaj9852 2 жыл бұрын
Heeee! makanisa ya Mbeya!!?
@tithomhagama
@tithomhagama 2 жыл бұрын
Kkam 💒🌍
@merekwangujati158
@merekwangujati158 2 жыл бұрын
Huyo mpenda pesa tu. Najua na anaongea na wanyonge tu
@barmwa
@barmwa 2 жыл бұрын
Ushauri na mazungumzo ni tofauti....kwamba mgogoro usihurubiwe lkn mazungumzo yanagusia mgogoro
@lebisontito2618
@lebisontito2618 2 жыл бұрын
Mwaikali
@emanuelolom4010
@emanuelolom4010 2 жыл бұрын
Songa mbele imani yenu idumu
@gloryamani9723
@gloryamani9723 2 жыл бұрын
MATHAYO 17 ; 10'13 LUKA 1:17.ELIYA KAJA BADO AMUMTAKI.HII VITA BADO SI YA MWILINI HII
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Kwan ulikuwa unapigana mwilini. Wenzio hatujawahi waliokuwa wanapigana mwilini ndo walituletea police
@akberyuda5950
@akberyuda5950 2 жыл бұрын
HUYU MTUMISHI ANA WATU SANA
@rebecakipangula3679
@rebecakipangula3679 2 жыл бұрын
Ni mnyenyekevu sana
@storyzatowntz
@storyzatowntz 2 жыл бұрын
Alikuwa na hoja nzuri Sana sema sijui kwanini kkkt wameamua kufukuza
@sebastianungimba4676
@sebastianungimba4676 2 жыл бұрын
Sasa mwamba wa kiburi na jeur mwambola analilia nn
@francismwantolwa2329
@francismwantolwa2329 2 жыл бұрын
Aonewe huruma
@bahatidacute8366
@bahatidacute8366 2 жыл бұрын
mbona kama haongei kitu huyu mwaikali anashindwa hata kuomba loooooh
@rebecakipangula3679
@rebecakipangula3679 2 жыл бұрын
Ila Mwaikali anawatesa jamani.Ila tumepata somo kubwa sana,tumejifunza aina za wanyakyusa tulikua tunawaona.Daaahhh mmetisha
@philbertcelestin7057
@philbertcelestin7057 2 жыл бұрын
Angekuwa wa hovyo wasingelimuandama hivi
@andrewking6187
@andrewking6187 2 жыл бұрын
Kamsimika.nani uaskofu kwenye hilo kanisa jipya? Mbona hajasimikwa.Nguo kaamua.kwenda kujishonea mwenyewe kwa fundi cherehani huo utapeli wa mchana kweupe
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Alichokibariki Mungu hakuna aweza kulaani Mlikuwa mnajilisha upepo😃😃 tulieni dawa iwaingie
@chancemgaya8705
@chancemgaya8705 2 жыл бұрын
Andrew king subiri tarehe 17.07ndio ujue kasimikwa au siyo uaskofu siyo nguo Wala kiti ni moyo
@andrewking6187
@andrewking6187 2 жыл бұрын
@@chancemgaya8705 sasa kiti cha uaskofu na mavazi na Pete za uaskofu alikatalia za nini hadi kulazimishwa kutoa kama uaskofu sio kofia,vazi wala kiti?
@chancemgaya8705
@chancemgaya8705 2 жыл бұрын
@@andrewking6187 Hivi Hicho kiti kinakabidhiwa kwa madalali na Polisi hawakufuata taratibu au na wewe ni mamluki manake Mwaikali kawaachia Kila kitu lakini bado mnamfuatilia fikirieni vitu vya maendeleo Wacha sisi tupagawe na Injili ya kweli yenye pumzi siyo ya kinafki
@andrewking6187
@andrewking6187 2 жыл бұрын
@@chancemgaya8705 atasimikwa kwa nguvu bila uchaguzi? Wameru watatoka Arusha na kuja kumsimika kimabavu bila waumini kumpigia kura!! Wanafika na kumsimika kienyeji Kifupi hiko kanisa kwa Mbeya halina Askofu wala mchungaji sababu hakuna hata mmoja aliyesimikwa na viongozi juu wa hilo kanisa waliopo! Uchungaji na uaskofu huwezi hama nao kienyeji tu toka kanisa moja kwenda lingine tofauti.
@nurumbilinyi53
@nurumbilinyi53 2 жыл бұрын
Kama mali za wenzenu sii kitu mmekwapua za nini??? rudisheni vyoote ..
@lebisontito2618
@lebisontito2618 2 жыл бұрын
Hahaha Hahahaha Hahaha 😆😂😆😂😂😂😂
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Mbona kama unamakasiriko??😃😃
@mwakaombi5085
@mwakaombi5085 2 жыл бұрын
Tulia dawa ikuingie
@nurumbilinyi53
@nurumbilinyi53 2 жыл бұрын
@@sylyavalaeditha8660 siyo makasiriko wanasema wenzao wasihangaike na mali wakati wao usiku na mchana wanahangaika kubeba mali za wenzao hili tunaliitaje??
@nurumbilinyi53
@nurumbilinyi53 2 жыл бұрын
@@mwakaombi5085 Dawa gani unayoiona wewe ni dawa ya kukuingia??
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 жыл бұрын
KKAM wamemsimika lini kuwa Askofu?
@MrMcbana
@MrMcbana 2 жыл бұрын
Alikwishasimikwa toka utoto wake ( Your future life is old to our God
@rebecakipangula3679
@rebecakipangula3679 2 жыл бұрын
Tulimsimika siku mliyomuhukumu,kama alivyohukumiwa Stephano.Kumbukeni kila kitu mlikua mnaanika mitandaoni mkafikiri sifa.Haya ndio matunda yake.
@bestermwaikenda2306
@bestermwaikenda2306 2 жыл бұрын
Mbombo ngafu kwakweli looo
@geralftiffiri1180
@geralftiffiri1180 2 жыл бұрын
Hawezi kuwapeleka mbinguni huyo.
@jonathanntare4787
@jonathanntare4787 2 жыл бұрын
kwani Martine Lutha Kanisa aliitoa mbinguni.
@daudimichael7338
@daudimichael7338 2 жыл бұрын
Nasikia walikabidhi mali, hivi auditors walikagua hesabu za fedha?
@rebecakipangula3679
@rebecakipangula3679 2 жыл бұрын
Unahangaika
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Unataka kusemaje😃😃
@mchikirwambombeyagonja4311
@mchikirwambombeyagonja4311 2 жыл бұрын
Amekabidhi ghorofa
@atiliosanga6955
@atiliosanga6955 2 жыл бұрын
Waache wamuhubili Mungu wewe unaumia nini
@atupelemwitiki
@atupelemwitiki 2 жыл бұрын
Songeni mbele wana Wa Mungu uamsho Wa Martin Luther umeingia Tanzania sasa.
@kicheko1252
@kicheko1252 2 жыл бұрын
Acha kuwadanganya watu
@heringohelo9792
@heringohelo9792 2 жыл бұрын
@@kicheko1252 Aingiaye kwa mshale atatolewa kwa mshale.
@odenlwila8390
@odenlwila8390 2 жыл бұрын
We mzee acha uroho wa malaka elimu yote ulio nayo unadanganywa na watu wa darasa la saba
@rehemafungo5042
@rehemafungo5042 2 жыл бұрын
Mwacheni??🤔🤔
@andrewking6187
@andrewking6187 2 жыл бұрын
Uaskofu unahama nao toka kanisa moja kwenda lingine bila kuchaguliwa kwa kura kwenye hilo.kanisa jipya? Mwaikali tapeli
@rebecakipangula3679
@rebecakipangula3679 2 жыл бұрын
Kawaachia vyote bado mnahangaika nae wanyakyusa mnafeli wapi,mapango yenu kawaachia yote.Ila mna roho Mbaya kama nyie kwa nyie mnapinduana makabila mengine si mtawauwa kabisaaa.Ondoeni ukanda mtakua huru tena huru kweli bila hivyo KKKT itazalisha makanisa maelfu kwa maelfu.Makanisa unayoyaona yote haya unayoyaona leo Chanzo ni ukiritimba,ukanda,roho Mbaya,uchu wa madaraka,Watu kujihesabia haki kuliko wengine walioko ndani ya KKKT.Aibu kubwa sana
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Unakasirika ukiwa wap.😃😃 Tafuta maarifa kwanza
@stellamsuya1178
@stellamsuya1178 2 жыл бұрын
Ndyo ujue shida ni madaraka, maana kama ni swala la kumtumikia Mungu unaweza kumtumikia hata bila kuwa askofu
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
@@stellamsuya1178 hayo maneno ulipaswa umwambie mwakihaba ambaye amemsaliti mwenzie na kumpindua
@stellamsuya1178
@stellamsuya1178 2 жыл бұрын
@@sylyavalaeditha8660 Mimi sipo kumwambia Mwaikali Wala Mwakihaba, na sema iliyokweli, kwani hata kama alipindulia, kulikuwa na haja Gani ya kung'ang'ania Uaskofu kias hicho? Kwan angebaki mchungaj wa kawaida Mungu asingeendelee kumtumia? Sasa hapo Kuna fundsho gan unapata wewe?
@andrewking6187
@andrewking6187 2 жыл бұрын
Alitakiwa yeye na hao wachungaji wake wasimikwe kwanza na uongozi wa hilo kanisa jipya la Kiinjili la Afrika Mashariki ndipo waanze kufanya kazi kama wachungaji na Askofu Hawajasimikwa na yeyote kwenye kanisa la watu wameanza ku practice uchungaji na uaskofu kienyeji Huko nii kuanzisha mgogoro mwingine wa kikatiba kwenye hilo kanisa jipya
@wilsonmkumbo7199
@wilsonmkumbo7199 2 жыл бұрын
Mungu ndoo atatuhukumu siku ya mwisho duuu!
@philbertcelestin7057
@philbertcelestin7057 2 жыл бұрын
Chokochoko.hata Kanisa unalolitaja silo walilohamia.kwa ujumla una hasira.wasema usichokifahamu
@kongs.9595
@kongs.9595 2 жыл бұрын
@@philbertcelestin7057 subiri kesho utaratibu wote utauona
@adamnzali8466
@adamnzali8466 2 жыл бұрын
dah nimependa sana sijawahi ona askofu mwingine aneomba hivi jamani dah mungu awe nae milele haki huinua taifa bali dhambi ni aibu Mungu azidi kukupa nguvu mtu Wamungu
@yudathadeiassenga1178
@yudathadeiassenga1178 2 жыл бұрын
Roho ya utengano haiishi, na haiachi mtu salama
@andrewking6187
@andrewking6187 2 жыл бұрын
Eti anasema leo ni ibada moja tu.Watu wachache hao ibada mbili zitoke wapi? Na wengine hapo wamekuja tu.ku beep.Jumapili ijayo wanarudi KKKT Ukitazama watu wa maana wenye hadhi zao wamebaki KKKT .Sura zenye hadhi wenye pesa zao na hadhi zao hazipo kwenye hiyo ibada
@andrewking6187
@andrewking6187 2 жыл бұрын
Hao watu waliomfuata Mwaikali kweli akili zimo? Askofu wao hilo kanisa jipya hawajamsimika wanamchukulia kuwa tayari Askofu na hao wachungaji akina Mwambola hata hawajasimikwa na uongozi wa hilo kanisa jipya wanawachukulia tayari kama wachungaji wa hilo kanisa jipya bila uongozi wa hilo kanisa jipya walikohamia kuwasimika rasmi Mbona wanatapeliwa mchana kweupe Namhurumia huyo Mwakalinga aliyetoa hicho kiwanja Angetoa tu kwa muda kuwa salieni hapa hadi hilo kanisa jipya lisimike viongozi ndipo akabidhi kiwanja officially kwa hilo kanisa jipya sio kwa mwaikali au kwa Mwambola
@lucasmwijage2357
@lucasmwijage2357 2 жыл бұрын
Wewe hujui wito wa Mungu na Mtu! Akuna wakumsimika kivipi! Mungu kasha msimika hakuna wa kumzuia! Mtumishi mwenye maono makubwa hupigwa vita! Mungu atamunua hamtaamini!
@neemagodlisten2590
@neemagodlisten2590 2 жыл бұрын
Hivi wewe unaumia nini si ubaki na mwakihaba wako hiyo huruma imeonekana baada ya kuhamia waliko, ulikuwa wapi na huruma zako Wakati wa mgogoro, mlisema Hana watu mmeanza kuhaha mtaona jumapili Mambo bado ni Moto MUNGU anawatumia watu wake
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 2 жыл бұрын
Kwanza nikuulize wewe ni Mlutheri? Kama ni Mlutheri basi katafute historia ya Martine luther
@romwaldkabwebwe6747
@romwaldkabwebwe6747 2 жыл бұрын
​@@lucasmwijage2357 hata HUJUI unachosema
@benardmwakisunga7464
@benardmwakisunga7464 2 жыл бұрын
Nafikiri muda wa kulaumiana umeisha sasa ili mradi kila mmoja kabaki upande aliochagua yeye, hakuna aliye sahihi wala aliyekosea mbele ya macho na akili za wanadamu. Mungu peke yake ndiye ajuaye, acha injili iende mbele kwa namna yeyote ile iwe ya kumpendeza au kumuudhi binadamu yeyote, lakini anayestahili kuabudiwa ni Mungu tu kupitia mwanye Yesu kristo. Tuache malumbano ndugu zangu, hayataisha hata siku moja na muda fulani tukubali kutokubaliana.
@foundationforcommunityhope7327
@foundationforcommunityhope7327 2 жыл бұрын
AMANI NDIO Kila kitu hapa dunia hii...
@andrewking6187
@andrewking6187 2 жыл бұрын
Mwaikali anavyopenda pesa.Hizo sadaka kwenye ungo tu lazima zitakuwa zimempandisha ugonjwa wa moyo Pesa za sadaka kiduchu alizoea kukusanya mamilioni leo hata huo ungo haujai atakuwa hakulala kwa Pressure
@godfreymasele8853
@godfreymasele8853 2 жыл бұрын
Rudisheni lilakitu mpk vitabu vyote vya Tumwabudu Mungu wetu,. Mtunge na muanzishe vipya kwa Imani yenu
@Ramsmimi
@Ramsmimi 2 жыл бұрын
Aliyekwambia nyimbo zote za tumwabudu Mungu wetu zilitungwa na Walutheri nani? Acha ujinga wewe
@fabbyjames5525
@fabbyjames5525 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo hamjaleta police nacheka kama mazuri mimi
@eldasylyavala9622
@eldasylyavala9622 2 жыл бұрын
@@fabbyjames5525 police nao wamewachoka hahaaaaaaaaa acheni tu neno lihubiriwe
@lebisontito2618
@lebisontito2618 2 жыл бұрын
Mwaikali ana Uchu na Madaraka ni Mtu Wa Ajabu Sana
@MrMcbana
@MrMcbana 2 жыл бұрын
Vitabu si vinanunuuliwa tu madukani wapi wamewaandikia ni kitabu chenu wenyewe kitabu kitatumika na kila mmoja so kaa kimya
@hassanmalekela4292
@hassanmalekela4292 2 жыл бұрын
Uchu wa madaraka huo hadi sala inakuwa ni uovu tupu
@lebisontito2618
@lebisontito2618 2 жыл бұрын
Hahahah Hahahaha 😆😂😆🤣😆😂 Ndio Shida Ya Mwaikali
@sylyavalaeditha8660
@sylyavalaeditha8660 2 жыл бұрын
Mlijua mmemmaliza au😃😃
@mwakaombi5085
@mwakaombi5085 2 жыл бұрын
Tulieni dawa iwaingie
@rebecakipangula3679
@rebecakipangula3679 2 жыл бұрын
Mnahangaika,uchu wa madaraka snap aliyempindua boss wake aibu sana
@andrewking6187
@andrewking6187 2 жыл бұрын
Wanaume wachache sana naona wengi wanawake
@rebecakipangula3679
@rebecakipangula3679 2 жыл бұрын
Hata KKKT ukihesabu wanawake ni wengi kuliko wanaume
@monicamahemba7491
@monicamahemba7491 2 жыл бұрын
Wanawake ndo waombaji wakuu
@francismwantolwa2329
@francismwantolwa2329 2 жыл бұрын
Ni wepesi kudanganywa
@kongs.9595
@kongs.9595 2 жыл бұрын
UNATAKA WAWE SAWA KWA SAWA kwani umeambiwa KUNA KAZI YA KUOANA HAPO🤣🤣🤣???
@henrytimothy3048
@henrytimothy3048 2 жыл бұрын
Hili neno lutheran mngeacha mtafute neno lenu huu unakua ni uasi tu
@rebecakipangula3679
@rebecakipangula3679 2 жыл бұрын
Hujui kama lilisajiliwa miaka Mungu Hili sio Kanisa jipya Mtumishi wa lipo muda mrefu, isipokuwa moja la ndani ya Tanzania tu.Jingine linavuka mipaka.
@rebecakipangula3679
@rebecakipangula3679 2 жыл бұрын
Hujui kama lilisajiliwa miaka Mungu Hili sio Kanisa jipya Mtumishi wa lipo muda mrefu, isipokuwa moja la ndani ya Tanzania tu.Jingine linavuka mipaka.
@philbertcelestin7057
@philbertcelestin7057 2 жыл бұрын
Nani kakwambia KKKT Ina hati milki ya neno "Lutheran"
@josephlorri431
@josephlorri431 2 жыл бұрын
KKKT mtajimilikisha Bible, na hata jina la Yusu Kristu.Acheni ubinafsi wana wa Mungu.
@tumainimwakyaka2775
@tumainimwakyaka2775 2 жыл бұрын
Ni kweli wajiite kwa jina lao mbona wanaing'ang'ania Luther wakt nao wanamajina tunalijua KKKT hilo kkam limetoka wap washindwe
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 18 МЛН
Wachungaji 21 KKAM wapata Mbaraka Maaskofu wastaafu KKKT wahudhuria
11:13
🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku,31 Julai 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 730
Understanding how betting works || John Kamau, George Maina
24:31
The Wicked Edition with Dr. King'ori
Рет қаралды 206 М.