KUTANA NA MWALIMU MAPROSOO ANAYEUZA MISHIKAKI BAADA YA KUFUNDISHA "NAPATA HADI ELFU 80 KWA SIKU"

  Рет қаралды 52,654

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 168
@mwajumabulugu4115
@mwajumabulugu4115 4 жыл бұрын
Asilimia kubwa sisi ngozi nyeusi hatutakiani mema,yaani MTU akionesha kujishugulisha tu lasma apigwe majungu.hongera mwalimu maproso mungu azidi kukujalia
@pastorrobian3050
@pastorrobian3050 4 жыл бұрын
Safi sana kaka najua jitihada zako pambana ipo siku utafika achana na maneno ya watu
@isunga1964
@isunga1964 4 жыл бұрын
Kazi ya ualimu ni nzuri sana wanamaliza masomo mapema sana wengine wanaishia bar hongera kaka mungu aibariki kazi ya mikono yako
@elikindjunior1874
@elikindjunior1874 3 жыл бұрын
Maprosoo is a very good person jamani 😀
@wanderaothumani4919
@wanderaothumani4919 4 жыл бұрын
Powerful story millard hii stori nzito basi tu people bora ziangalie bongo kiki big up Mr maporoso hustle zako zitusue amen
@bundaman8542
@bundaman8542 4 жыл бұрын
Safi sana Millardayo. Naomba serikali ukutumie una kipaji sana cha ubunifu. Na hauna elimu kubwa sana lakini unatukosha kwa vipindi vyajo
@marthamwiru1556
@marthamwiru1556 4 жыл бұрын
Namkumbuka mwalimu maproso shule ya chikongora,iliyopo Kata ya chikongora Hakika alikuwa mwalimu mzuri Sana, 😀😀😀nimekumbuka mbali sana
@bbccaa4156
@bbccaa4156 Жыл бұрын
Tukiwa na waalim aina hii ya mwl maprosoo zahiri tutamaliza tatizo la utoro mashuleni na watoto wetu watapata elimu bora big up teacher maprosoo
@liannsambu7264
@liannsambu7264 9 ай бұрын
Na hata kuhamasisha vijana kuwa kwenye Biashara pia
@aliyjuma5362
@aliyjuma5362 3 жыл бұрын
Hongera sana! Millard Ayo kwa jitihada zako unazozifanya kutuletea taarifa mbali mbali mzuri kama hii nk. Hongera kwa Cameraman wako.Maprosoo brother pole kwa majukumu, endelea kuvumilia, Utafanikiwa, hongera sana kwa kujiongeza, safi sana brother.👍
@kingswebe3251
@kingswebe3251 4 жыл бұрын
huku kwetu mtu akiajiriwa sio size yenu tena, nampa hongera maprosoo
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 4 жыл бұрын
Sawa sawa mzee maprosoo upo juu👍👍👍 nimekuelewa sn na wamekuelewa vizur,big up sn gwa kukaja
@georgeisdory9998
@georgeisdory9998 4 жыл бұрын
Safii sanaa maprosoo 👏👏👏 hii ni zaidi ya ujasili wengi awawezi hiii
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 4 жыл бұрын
Masha'allah Allah abariki kazi ya mikono yako
@mariamm2724
@mariamm2724 4 жыл бұрын
Hongera sana teacher , mshahara pekee hauwexikidhi mahitaji .
@nurudovino288
@nurudovino288 4 жыл бұрын
Kazi nzuri Mungu azidi kukuinua zaidi kuwa penda watoto
@neemamahusho6193
@neemamahusho6193 4 жыл бұрын
Na Mungu atakubariki usikate tamaaaa na kumwomba Mungu
@assilaa2007
@assilaa2007 4 жыл бұрын
Safi san napenda mwanaume mweny uthubutu hajali wala nin big up sanaaa💪
@itikamwakanyamale2690
@itikamwakanyamale2690 4 жыл бұрын
Kakangu mpiganaji toka kyela
@kpetres2872
@kpetres2872 3 жыл бұрын
@@itikamwakanyamale2690 unamfahamu???
@SanchoGN
@SanchoGN 2 жыл бұрын
Hongera mwalimu. Barikiwa pia.
@jimmiejr9531
@jimmiejr9531 4 жыл бұрын
Nimependa namna mwl mkuu alivyo appreciate kazi na uwezo wa mwenzie
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 жыл бұрын
Waoooo daah Mwenyezi Mungu akubaliki milele Sir maprosso
@solemba595
@solemba595 4 жыл бұрын
Dah Hongera sana Mwalimu, kiukweli umepambana
@dorndet6179
@dorndet6179 4 жыл бұрын
Well done mr. Mungu mwema
@liannsambu7264
@liannsambu7264 9 ай бұрын
Hongera sana mwalimu , MAANA WABONGO WENGI WANAPENDA UBAKI MASIKINI ,NDO MAANA HATUENDELEI ,MAANA KILA MBEBA MAONO HAFI ,HATA UPIGWE VITA VIPI ,KAMA UMEBEBA MAONO HUFI ,UTAIBUKA TU
@neemaremus4924
@neemaremus4924 4 жыл бұрын
Hongera sana mwalimu, Mungu abariki kazi ya mikono yako
@imanibakili8028
@imanibakili8028 Жыл бұрын
Mate yamenidondoka kwakweli, big up mwalimu
@lamecklaurentius8936
@lamecklaurentius8936 Жыл бұрын
Utulivu wa Mwl humsaidia MwlMkuu kufanya Majukumu yake ya kiuongozi vizuri. Huyu Mlw Mkuu Yuko vizuri.
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 4 жыл бұрын
Hongera sana mwalimu nashangaa anakaekusumbua maana experience ya miaka 12, huitaji kusoma kitabu kabla ya kufundisha, alafu wewe ni role model kwa hao watoto, siku moja niliuliza swala kwa unirvesity kwamba munapenda kuongelea swala la ajira sio sisi kuwa ma boss, mwalimu 🤔🤔🤔, so naamini unatengeneza hao watoto sana,
@bakariyusufujuma
@bakariyusufujuma 4 жыл бұрын
Amekuwa rafiki wa watoto hajimwambafai nimekubali
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 4 жыл бұрын
kazi nzuru ticha,,,Mungu akusimamie
@petermapunda3450
@petermapunda3450 4 жыл бұрын
Hongera Sana kaka I like for skills of your knowledge
@ommyali1514
@ommyali1514 4 жыл бұрын
big up mwalimu...
@godfreymwambwalo5282
@godfreymwambwalo5282 4 жыл бұрын
Hongera sana teacher
@saidimpako5186
@saidimpako5186 4 жыл бұрын
HII NDIO NCHI YA UCHUMI WA KATI
@sweetlittlebabies9359
@sweetlittlebabies9359 4 жыл бұрын
Huyu teacher Yuko vizur sanaaaaaaaaa
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 жыл бұрын
Watu Wa mbeya hawalembi kwenye biashar, katengeneza kijiko chake kzr, kisafi, InshaAllah Allah atakujalia utafika mbali kwa biashar yko
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 4 жыл бұрын
Big up mwalimuu maisha ni plan B
@emmyjohn3970
@emmyjohn3970 4 жыл бұрын
Fanya kazi ticha..big up
@mosesnyamhanga449
@mosesnyamhanga449 4 жыл бұрын
Congratulations mwalim sisi waalimu tunapaswa tuige mfano kutoka kwa maprosso...mshahara hautoshi hii mwenyew nafaham!
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 4 жыл бұрын
Walozoea vya kuomba wanasema hatalaki5 siwezi kufanya biashara😕 Hongera babangu
@neemamagoma2993
@neemamagoma2993 4 жыл бұрын
Nakupongeza sanasana mwl maprosoo kaza buti broo utatoka namkuu wako anajielewa sana anajua namna unavyopambana
@naomimabula2660
@naomimabula2660 4 жыл бұрын
Daaah. Maprosoo. Nakukumbuka., Nilifanya field Chikongola nikiwa nasoma Mtwara Ufundi
@emmanueljohn5162
@emmanueljohn5162 4 жыл бұрын
Jamaa ana inspire sana
@ngapulilangapulila5404
@ngapulilangapulila5404 4 жыл бұрын
Safi sana Mwl Maprosoo
@alisaid5378
@alisaid5378 3 жыл бұрын
Mungu akucmamie teacher hongera sn
@moahmedy7439
@moahmedy7439 3 жыл бұрын
Sir wangu keep it up
@kpetres2872
@kpetres2872 4 жыл бұрын
Aseeee ameniinspire
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 4 жыл бұрын
Hongera kwa jitihada zako.
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 3 жыл бұрын
MashAllah
@Sppah697
@Sppah697 4 жыл бұрын
Maisha yalivyo makali ni vizuri kuwa kibiashara kando kusaidia kipato. Sasa kumpiga vita inakuwaje sasa mwisho wa siku ana majukumu yake. Na anafanya kitu halali haibi hatendi zambi anafanya biashara why Majungu! Mbona wasanii wanakuwa wasanii na pembeni wana kazi zao za kibiashara? Kuna tofauti gani na waalimu? Na wao wanajitaji kujiendeleza kama watu wengine siyo!
@leeonlinetv1847
@leeonlinetv1847 4 жыл бұрын
Big up teacher maprosso
@erickmassawe5107
@erickmassawe5107 4 жыл бұрын
Hongera xana mwalim umethubutu
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 жыл бұрын
napenda watu wanao pambana wananipa amasha yakuto kata tamaaa
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 4 жыл бұрын
Safi Sana bro
@samlaizer1998
@samlaizer1998 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema kila wakatai
@KhalidKhalid-zt1bc
@KhalidKhalid-zt1bc 4 жыл бұрын
unaingiza elfu 80 kwa siku kisha unasubiri mfadhili kuboresha biashara yako? tuache tabia ya kuomba omba
@siaammo1104
@siaammo1104 4 жыл бұрын
Hapana nilivyowelewa anahitaji apate mtaalamu wakuli boresha jiko lake liwelakisasa.na siyo hela.
@innojtm1861
@innojtm1861 4 жыл бұрын
Anahitaji utaalamu namna gani ya kuboresha biashara yake
@ildephonsentahomvukiye5410
@ildephonsentahomvukiye5410 4 жыл бұрын
@@siaammo1104 tumeelewa pamoja kaka
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 жыл бұрын
@@siaammo1104 No anataka misaada yote ya kuboreshewa jiko na kuinua biashara. Binadamu hatosheki na pesa.
@esterelias8189
@esterelias8189 4 жыл бұрын
@@siaammo1104 kweli kbs na amesema mishikaki isipate vumbi..anahitaji jiko zuri..
@vumiliamwakasege4847
@vumiliamwakasege4847 4 жыл бұрын
Big up my brother mpambanaji tangu tupo school.
@ofaliamkua8212
@ofaliamkua8212 4 жыл бұрын
ongera Sana mwalimu
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Hongera mwalimu nimeipenda hii
@dicksonulotu9717
@dicksonulotu9717 4 жыл бұрын
Hongera sana mwl maprosoo
@imanibakili8028
@imanibakili8028 Жыл бұрын
Mwalimu umesema ukweli kabisa siku1 ukitudanganya utakuwa umetuangusha sana Milady ♥
@laplayfanz
@laplayfanz 4 жыл бұрын
Mashallah jama ana bidii.
@iamfriedrich
@iamfriedrich Жыл бұрын
Presenter upo sawa
@anethmlingi967
@anethmlingi967 4 жыл бұрын
Maprosoo chikongola hapo duh huyu ni mwalimu wa mfano namkumbuja milele
@hyahasisimsigala4346
@hyahasisimsigala4346 4 жыл бұрын
Big up sana...
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Awesome 🔥🔥🔥🔥
@suleimanismaili2855
@suleimanismaili2855 4 жыл бұрын
Dah safu sanaa
@dennisdidas2321
@dennisdidas2321 3 жыл бұрын
Vizur xan
@felistermaximillian2793
@felistermaximillian2793 4 жыл бұрын
Big up mwalimu
@vero57
@vero57 4 жыл бұрын
YANI WEWE KAKA UKOSAFI SANA HOGERA SANA
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 4 жыл бұрын
Safi sana mwalimu
@charlesndali7209
@charlesndali7209 3 жыл бұрын
Hongera
@joycehagman5622
@joycehagman5622 3 жыл бұрын
Una nipa moyo mkubwa baba. Hongera
@Discover70
@Discover70 4 жыл бұрын
Safi teacher 👨‍🏫
@swaggerizedninjagoseprocom8523
@swaggerizedninjagoseprocom8523 4 жыл бұрын
Hatariiii
@zainbomary3970
@zainbomary3970 4 жыл бұрын
Nimejifunza kupitia mwanlimu maprossoo
@vero57
@vero57 4 жыл бұрын
KUIBA NDIYO ZAMBI , KUCHOMA MISHIKAKI SIO ZAMBI KABISA
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 жыл бұрын
Dhambi
@ussimpemba6100
@ussimpemba6100 4 жыл бұрын
Mambo
@ussimpemba6100
@ussimpemba6100 4 жыл бұрын
Vp
@barikiwa22
@barikiwa22 2 жыл бұрын
Very good
@bellahyuzzomylife4428
@bellahyuzzomylife4428 4 жыл бұрын
Nakupenda bure
@japhrystar2597
@japhrystar2597 4 жыл бұрын
wanao kufatilia washtak kwa Mungu kk
@regis_be
@regis_be 4 жыл бұрын
🔥🔥
@Juma_Content
@Juma_Content 4 жыл бұрын
Video ya uchebe kumpiga shilole hii apa kzbin.info/www/bejne/eHKuhqmri72jl7s
@felistanampoka8862
@felistanampoka8862 4 жыл бұрын
Usikate tamaa Kaka, Kaza moyo!
@paschalphabian274
@paschalphabian274 4 жыл бұрын
Wawooo Mwl maprosooo we ni genius sana pambana watumishi tunapaswa kuiga mfano wako hapo kulingana na maelezo yako kwa mwezi unaingiza 2400,000/= tofauti na mshahara wako. I magine watumishi tungefanya wote hivo kwa fursa tofauti tofauti tungefika mbali na kuacha majungu tungekuwa mfano wa kuingwa ktk jamii. Yaani cjui viongozi wetu baadhi yao wana kwama wapi? Eti chagua moja uache kazi ya ualimu au uuze mshikaki nime mind sana daaaaa
@mtegwamo3456
@mtegwamo3456 4 жыл бұрын
Waooo mwalimu wangu umenchapa ww
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
😆😆😆
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Ongera sana,usijari walimwengu ndio walivyo
@smartboe8188
@smartboe8188 4 жыл бұрын
Nimemuona munga ticha
@annastaziajohn9930
@annastaziajohn9930 4 жыл бұрын
Iv somo la huyu jajaa nani anafel yani nani hapend kuinguia darasani.walim mmejifunza uchumi t apo ila angalia jamaa anavyofundisha kwa furaha na kwa ustad huu ualimu siku nani anao sasahv mafeki kibaaooo
@allykipila2821
@allykipila2821 4 жыл бұрын
Huyu mimi kabisa
@bujamoviesonline8553
@bujamoviesonline8553 Жыл бұрын
Naomba nikutanishwe nahuyu
@rehemaothman2185
@rehemaothman2185 4 жыл бұрын
Kila LA kheri mwl maprosoo
@ibrahimrukundo3064
@ibrahimrukundo3064 4 жыл бұрын
ametumia akili kubwa MWENYEZIMUNG akamuezesha.
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
Huyo mwalimu agechekesha tu anakipaji cha kuiingiza haki 😃😃😃😃
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 4 жыл бұрын
Ivi Tanzania mtu akiajiriwa serekalini na afanye kazi nyengne mbadala inakuwa Jambo la ajabu sana?.. duuh! Basi ni kweli nyie wavivu angalieni jirani zenu hakuna mwenye kazi moja ata alie ajiriwa serekalini
@queenmartine8792
@queenmartine8792 8 ай бұрын
😂😂😂 nice
@achymedia
@achymedia 4 жыл бұрын
Kanipiga viboko sana uyu ticha😂😂
@tabletennis6296
@tabletennis6296 4 жыл бұрын
Nilijua tu lazima nikutane nao watu waliochapwa hapa 😂😂
@kazikazini1042
@kazikazini1042 4 жыл бұрын
Kampige sasa kwa kununua mishikaki mzigo wote wa siku
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
😍😍😍😍😍😍
@said306nyatu9
@said306nyatu9 4 жыл бұрын
Milard. Kasema. Mishikaki
@neemamagoma2993
@neemamagoma2993 4 жыл бұрын
Kaka walimu ndowako hivo wakiona unafanikiwa tuuu shida inaanza mchawi wamwalimu mwalimu mwenyewe
@witneyjerry1293
@witneyjerry1293 4 жыл бұрын
Kwa hapa umenena,adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 2 жыл бұрын
Ni kwel huwa wanafuatiliwa sana watumisho hasa walimu wakijiongeza kwa kipato wanasema eti hawafundishi
@khadijahali4837
@khadijahali4837 4 жыл бұрын
Piga kz Mwalim
@millotv8050
@millotv8050 4 жыл бұрын
Pongezi teacher
@mtagechota1002
@mtagechota1002 4 жыл бұрын
Woyoooooo
@mms9158
@mms9158 4 жыл бұрын
Endelea tu habanahaba hujaza kibaba nimefurahi wewe mtu sio mvivu kabisa
Makosa 7 Ya Kuepuka Unapofanya Mauzo
7:45
Joel Nanauka
Рет қаралды 45 М.
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 41 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 184 МЛН
🔴28/07/2024 || ONLINE SERVICE ||  - || BIBLE STUDY||  REV. GEORGE NDICHU
1:02:20
KENYA ASSEMBLIES OF GOD MALABA-WITEITHIE
Рет қаралды 13
KAMA MWALIMU
9:09
Joti TV
Рет қаралды 868 М.
Mbinu Za Kupanga Bei Sahihi.
5:54
Joel Nanauka
Рет қаралды 21 М.
MREMBO AMESOMA MASTERS MAREKANI ILA ANAUZA MAKANDE MWANZA
18:47
Millard Ayo
Рет қаралды 594 М.
Njia Nne (4) Za Kukuza Biashara Yako - Joel Nanauka
9:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 145 М.
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 41 МЛН