KUTANA NA MWALIMU MAPROSOO ANAYEUZA MISHIKAKI BAADA YA KUFUNDISHA "NAPATA HADI ELFU 80 KWA SIKU"

  Рет қаралды 53,380

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 168
@bbccaa4156
@bbccaa4156 Жыл бұрын
Tukiwa na waalim aina hii ya mwl maprosoo zahiri tutamaliza tatizo la utoro mashuleni na watoto wetu watapata elimu bora big up teacher maprosoo
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Na hata kuhamasisha vijana kuwa kwenye Biashara pia
@mwajumabulugu4115
@mwajumabulugu4115 4 жыл бұрын
Asilimia kubwa sisi ngozi nyeusi hatutakiani mema,yaani MTU akionesha kujishugulisha tu lasma apigwe majungu.hongera mwalimu maproso mungu azidi kukujalia
@isunga1964
@isunga1964 4 жыл бұрын
Kazi ya ualimu ni nzuri sana wanamaliza masomo mapema sana wengine wanaishia bar hongera kaka mungu aibariki kazi ya mikono yako
@elikindjunior1874
@elikindjunior1874 4 жыл бұрын
Maprosoo is a very good person jamani 😀
@pastorrobian3050
@pastorrobian3050 4 жыл бұрын
Safi sana kaka najua jitihada zako pambana ipo siku utafika achana na maneno ya watu
@wanderaothumani4919
@wanderaothumani4919 4 жыл бұрын
Powerful story millard hii stori nzito basi tu people bora ziangalie bongo kiki big up Mr maporoso hustle zako zitusue amen
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Hongera sana mwalimu , MAANA WABONGO WENGI WANAPENDA UBAKI MASIKINI ,NDO MAANA HATUENDELEI ,MAANA KILA MBEBA MAONO HAFI ,HATA UPIGWE VITA VIPI ,KAMA UMEBEBA MAONO HUFI ,UTAIBUKA TU
@marthamwiru1556
@marthamwiru1556 4 жыл бұрын
Namkumbuka mwalimu maproso shule ya chikongora,iliyopo Kata ya chikongora Hakika alikuwa mwalimu mzuri Sana, 😀😀😀nimekumbuka mbali sana
@aliyjuma5362
@aliyjuma5362 4 жыл бұрын
Hongera sana! Millard Ayo kwa jitihada zako unazozifanya kutuletea taarifa mbali mbali mzuri kama hii nk. Hongera kwa Cameraman wako.Maprosoo brother pole kwa majukumu, endelea kuvumilia, Utafanikiwa, hongera sana kwa kujiongeza, safi sana brother.👍
@bundaman8542
@bundaman8542 4 жыл бұрын
Safi sana Millardayo. Naomba serikali ukutumie una kipaji sana cha ubunifu. Na hauna elimu kubwa sana lakini unatukosha kwa vipindi vyajo
@SanchoGN
@SanchoGN 2 жыл бұрын
Hongera mwalimu. Barikiwa pia.
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 4 жыл бұрын
Sawa sawa mzee maprosoo upo juu👍👍👍 nimekuelewa sn na wamekuelewa vizur,big up sn gwa kukaja
@georgeisdory9998
@georgeisdory9998 4 жыл бұрын
Safii sanaa maprosoo 👏👏👏 hii ni zaidi ya ujasili wengi awawezi hiii
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 4 жыл бұрын
Masha'allah Allah abariki kazi ya mikono yako
@mariamm2724
@mariamm2724 4 жыл бұрын
Hongera sana teacher , mshahara pekee hauwexikidhi mahitaji .
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 жыл бұрын
Waoooo daah Mwenyezi Mungu akubaliki milele Sir maprosso
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 4 жыл бұрын
Hongera sana mwalimu nashangaa anakaekusumbua maana experience ya miaka 12, huitaji kusoma kitabu kabla ya kufundisha, alafu wewe ni role model kwa hao watoto, siku moja niliuliza swala kwa unirvesity kwamba munapenda kuongelea swala la ajira sio sisi kuwa ma boss, mwalimu 🤔🤔🤔, so naamini unatengeneza hao watoto sana,
@neemaremus4924
@neemaremus4924 4 жыл бұрын
Hongera sana mwalimu, Mungu abariki kazi ya mikono yako
@imanibakili8028
@imanibakili8028 2 жыл бұрын
Mate yamenidondoka kwakweli, big up mwalimu
@nurudovino288
@nurudovino288 4 жыл бұрын
Kazi nzuri Mungu azidi kukuinua zaidi kuwa penda watoto
@lamecklaurentius8936
@lamecklaurentius8936 2 жыл бұрын
Utulivu wa Mwl humsaidia MwlMkuu kufanya Majukumu yake ya kiuongozi vizuri. Huyu Mlw Mkuu Yuko vizuri.
@assilaa2007
@assilaa2007 4 жыл бұрын
Safi san napenda mwanaume mweny uthubutu hajali wala nin big up sanaaa💪
@itikamwakanyamale2690
@itikamwakanyamale2690 4 жыл бұрын
Kakangu mpiganaji toka kyela
@kpetres2872
@kpetres2872 4 жыл бұрын
@@itikamwakanyamale2690 unamfahamu???
@solemba595
@solemba595 4 жыл бұрын
Dah Hongera sana Mwalimu, kiukweli umepambana
@alisaid5378
@alisaid5378 3 жыл бұрын
Mungu akucmamie teacher hongera sn
@godfreymwambwalo5282
@godfreymwambwalo5282 4 жыл бұрын
Hongera sana teacher
@dorndet6179
@dorndet6179 4 жыл бұрын
Well done mr. Mungu mwema
@neemamahusho6193
@neemamahusho6193 4 жыл бұрын
Na Mungu atakubariki usikate tamaaaa na kumwomba Mungu
@mosesnyamhanga449
@mosesnyamhanga449 4 жыл бұрын
Congratulations mwalim sisi waalimu tunapaswa tuige mfano kutoka kwa maprosso...mshahara hautoshi hii mwenyew nafaham!
@naomimabula2660
@naomimabula2660 4 жыл бұрын
Daaah. Maprosoo. Nakukumbuka., Nilifanya field Chikongola nikiwa nasoma Mtwara Ufundi
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Awesome 🔥🔥🔥🔥
@petermapunda3450
@petermapunda3450 4 жыл бұрын
Hongera Sana kaka I like for skills of your knowledge
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 4 жыл бұрын
kazi nzuru ticha,,,Mungu akusimamie
@jimmiejr9531
@jimmiejr9531 4 жыл бұрын
Nimependa namna mwl mkuu alivyo appreciate kazi na uwezo wa mwenzie
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 жыл бұрын
Watu Wa mbeya hawalembi kwenye biashar, katengeneza kijiko chake kzr, kisafi, InshaAllah Allah atakujalia utafika mbali kwa biashar yko
@erickmassawe5107
@erickmassawe5107 4 жыл бұрын
Hongera xana mwalim umethubutu
@emmanueljohn5162
@emmanueljohn5162 4 жыл бұрын
Jamaa ana inspire sana
@kingswebe3251
@kingswebe3251 4 жыл бұрын
huku kwetu mtu akiajiriwa sio size yenu tena, nampa hongera maprosoo
@ommyali1514
@ommyali1514 4 жыл бұрын
big up mwalimu...
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 4 жыл бұрын
Big up mwalimuu maisha ni plan B
@imanibakili8028
@imanibakili8028 2 жыл бұрын
Mwalimu umesema ukweli kabisa siku1 ukitudanganya utakuwa umetuangusha sana Milady ♥
@iamfriedrich
@iamfriedrich Жыл бұрын
Presenter upo sawa
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Hongera mwalimu nimeipenda hii
@neemamagoma2993
@neemamagoma2993 4 жыл бұрын
Nakupongeza sanasana mwl maprosoo kaza buti broo utatoka namkuu wako anajielewa sana anajua namna unavyopambana
@charlesndali7209
@charlesndali7209 3 жыл бұрын
Hongera
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 3 жыл бұрын
MashAllah
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 4 жыл бұрын
Walozoea vya kuomba wanasema hatalaki5 siwezi kufanya biashara😕 Hongera babangu
@ngapulilangapulila5404
@ngapulilangapulila5404 4 жыл бұрын
Safi sana Mwl Maprosoo
@Bintimrembo-y1v
@Bintimrembo-y1v 3 жыл бұрын
Very good
@dicksonulotu9717
@dicksonulotu9717 4 жыл бұрын
Hongera sana mwl maprosoo
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 4 жыл бұрын
Hongera kwa jitihada zako.
@moahmedy7439
@moahmedy7439 4 жыл бұрын
Sir wangu keep it up
@Discover70
@Discover70 4 жыл бұрын
Safi teacher 👨‍🏫
@sweetlittlebabies9359
@sweetlittlebabies9359 4 жыл бұрын
Huyu teacher Yuko vizur sanaaaaaaaaa
@ofaliamkua8212
@ofaliamkua8212 4 жыл бұрын
ongera Sana mwalimu
@emmyjohn3970
@emmyjohn3970 4 жыл бұрын
Fanya kazi ticha..big up
@leeonlinetv1847
@leeonlinetv1847 4 жыл бұрын
Big up teacher maprosso
@dennisdidas2321
@dennisdidas2321 4 жыл бұрын
Vizur xan
@samlaizer1998
@samlaizer1998 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema kila wakatai
@vumiliamwakasege4847
@vumiliamwakasege4847 4 жыл бұрын
Big up my brother mpambanaji tangu tupo school.
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 4 жыл бұрын
Safi sana mwalimu
@bujamoviesonline8553
@bujamoviesonline8553 2 жыл бұрын
Naomba nikutanishwe nahuyu
@joycehagman5622
@joycehagman5622 4 жыл бұрын
Una nipa moyo mkubwa baba. Hongera
@Sppah697
@Sppah697 4 жыл бұрын
Maisha yalivyo makali ni vizuri kuwa kibiashara kando kusaidia kipato. Sasa kumpiga vita inakuwaje sasa mwisho wa siku ana majukumu yake. Na anafanya kitu halali haibi hatendi zambi anafanya biashara why Majungu! Mbona wasanii wanakuwa wasanii na pembeni wana kazi zao za kibiashara? Kuna tofauti gani na waalimu? Na wao wanajitaji kujiendeleza kama watu wengine siyo!
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 4 жыл бұрын
Safi Sana bro
@bakariyusufujuma
@bakariyusufujuma 4 жыл бұрын
Amekuwa rafiki wa watoto hajimwambafai nimekubali
@felistermaximillian2793
@felistermaximillian2793 4 жыл бұрын
Big up mwalimu
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 жыл бұрын
napenda watu wanao pambana wananipa amasha yakuto kata tamaaa
@suleimanismaili2855
@suleimanismaili2855 4 жыл бұрын
Dah safu sanaa
@hyahasisimsigala4346
@hyahasisimsigala4346 4 жыл бұрын
Big up sana...
@felistanampoka8862
@felistanampoka8862 4 жыл бұрын
Usikate tamaa Kaka, Kaza moyo!
@paschalphabian274
@paschalphabian274 4 жыл бұрын
Wawooo Mwl maprosooo we ni genius sana pambana watumishi tunapaswa kuiga mfano wako hapo kulingana na maelezo yako kwa mwezi unaingiza 2400,000/= tofauti na mshahara wako. I magine watumishi tungefanya wote hivo kwa fursa tofauti tofauti tungefika mbali na kuacha majungu tungekuwa mfano wa kuingwa ktk jamii. Yaani cjui viongozi wetu baadhi yao wana kwama wapi? Eti chagua moja uache kazi ya ualimu au uuze mshikaki nime mind sana daaaaa
@bellahyuzzomylife4428
@bellahyuzzomylife4428 4 жыл бұрын
Nakupenda bure
@kpetres2872
@kpetres2872 4 жыл бұрын
Aseeee ameniinspire
@swaggerizedninjagoseprocom8523
@swaggerizedninjagoseprocom8523 4 жыл бұрын
Hatariiii
@mtegwamo3456
@mtegwamo3456 4 жыл бұрын
Waooo mwalimu wangu umenchapa ww
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 4 жыл бұрын
😆😆😆
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 4 жыл бұрын
Huyo mwalimu agechekesha tu anakipaji cha kuiingiza haki 😃😃😃😃
@Allahguideous
@Allahguideous 4 жыл бұрын
Mashallah jama ana bidii.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 жыл бұрын
Ongera sana,usijari walimwengu ndio walivyo
@saidimpako5186
@saidimpako5186 4 жыл бұрын
HII NDIO NCHI YA UCHUMI WA KATI
@queenmartine8792
@queenmartine8792 Жыл бұрын
😂😂😂 nice
@anethmlingi967
@anethmlingi967 4 жыл бұрын
Maprosoo chikongola hapo duh huyu ni mwalimu wa mfano namkumbuja milele
@zainbomary3970
@zainbomary3970 4 жыл бұрын
Nimejifunza kupitia mwanlimu maprossoo
@japhrystar2597
@japhrystar2597 4 жыл бұрын
wanao kufatilia washtak kwa Mungu kk
@rehemaothman2185
@rehemaothman2185 4 жыл бұрын
Kila LA kheri mwl maprosoo
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 3 жыл бұрын
Ni kwel huwa wanafuatiliwa sana watumisho hasa walimu wakijiongeza kwa kipato wanasema eti hawafundishi
@said306nyatu9
@said306nyatu9 4 жыл бұрын
Milard. Kasema. Mishikaki
@smartboe8188
@smartboe8188 4 жыл бұрын
Nimemuona munga ticha
@vero57
@vero57 4 жыл бұрын
YANI WEWE KAKA UKOSAFI SANA HOGERA SANA
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 2 жыл бұрын
Kamfumo hako kana hamasisha watoto hata wale wasiopenda kula...
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 4 жыл бұрын
Natamani ningeolewa na mtu Kama huyu jamani tungekuwa milionea! Dah😆
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 4 жыл бұрын
, 😝😝😝
@annastaziajohn9930
@annastaziajohn9930 4 жыл бұрын
Iv somo la huyu jajaa nani anafel yani nani hapend kuinguia darasani.walim mmejifunza uchumi t apo ila angalia jamaa anavyofundisha kwa furaha na kwa ustad huu ualimu siku nani anao sasahv mafeki kibaaooo
@urbanhyera8779
@urbanhyera8779 4 жыл бұрын
Walimu wana wivu sanaa na majungu Mungu akusimamie sana
@isiakamfugale3621
@isiakamfugale3621 3 жыл бұрын
Maprosoo umeniacha kidogo yaan unapiga 80k halaf unataka mfadhili wa jiko, how.?
@millotv8050
@millotv8050 4 жыл бұрын
Pongezi teacher
@neemamagoma2993
@neemamagoma2993 4 жыл бұрын
Kaka walimu ndowako hivo wakiona unafanikiwa tuuu shida inaanza mchawi wamwalimu mwalimu mwenyewe
@witneyjerry1293
@witneyjerry1293 4 жыл бұрын
Kwa hapa umenena,adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe
@mohamedzaidi9294
@mohamedzaidi9294 4 жыл бұрын
Duuu pambana mwanaune acha waseme na tunaomba wakubwa watambue umuhimu wa kuongeza kipato
@kiumbemussa9231
@kiumbemussa9231 4 жыл бұрын
kwann sasa usitafute mfanya kaz iri uendelee nakufundisha
@simonsanga694
@simonsanga694 2 жыл бұрын
Pambana kijana mkiwa ukiwa nazo Ukiwa kwisha habari yake
@KhalidKhalid-zt1bc
@KhalidKhalid-zt1bc 4 жыл бұрын
unaingiza elfu 80 kwa siku kisha unasubiri mfadhili kuboresha biashara yako? tuache tabia ya kuomba omba
@siaammo1104
@siaammo1104 4 жыл бұрын
Hapana nilivyowelewa anahitaji apate mtaalamu wakuli boresha jiko lake liwelakisasa.na siyo hela.
@innojtm1861
@innojtm1861 4 жыл бұрын
Anahitaji utaalamu namna gani ya kuboresha biashara yake
@ildephonsentahomvukiye5410
@ildephonsentahomvukiye5410 4 жыл бұрын
@@siaammo1104 tumeelewa pamoja kaka
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 жыл бұрын
@@siaammo1104 No anataka misaada yote ya kuboreshewa jiko na kuinua biashara. Binadamu hatosheki na pesa.
@esterelias8189
@esterelias8189 4 жыл бұрын
@@siaammo1104 kweli kbs na amesema mishikaki isipate vumbi..anahitaji jiko zuri..
@ibrahimrukundo3064
@ibrahimrukundo3064 4 жыл бұрын
ametumia akili kubwa MWENYEZIMUNG akamuezesha.
@deogratiusdesderius7053
@deogratiusdesderius7053 4 жыл бұрын
KUNA MAISHA BAADA YA KUAJIRIWA,UTHUBUTU NI MUHIMU SANA NA MATAJIRI WENGI WAMETOKANA NA JUHUDI BINAFSI NJE YA KAZI.
@regis_be
@regis_be 4 жыл бұрын
🔥🔥
@allykipila2821
@allykipila2821 4 жыл бұрын
Huyu mimi kabisa
KAZI NI KAZI | Mwalimu aliyekimbia chaki kwenda kuuza chips
25:31
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
KAMA MWALIMU
9:09
Joti TV
Рет қаралды 913 М.
Кадыров вышел из тени. Рамзан взял слово
10:32
Популярная политика
Рет қаралды 118 М.
CHUMBA MAALUM ANACHOLALA RAIS "SIMU HAIINGII"
6:33
Millard Ayo
Рет қаралды 431 М.
Njia Nne (4) Za Kukuza Biashara Yako - Joel Nanauka
9:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 154 М.