Asilimia kubwa sisi ngozi nyeusi hatutakiani mema,yaani MTU akionesha kujishugulisha tu lasma apigwe majungu.hongera mwalimu maproso mungu azidi kukujalia
@pastorrobian30504 жыл бұрын
Safi sana kaka najua jitihada zako pambana ipo siku utafika achana na maneno ya watu
@isunga19644 жыл бұрын
Kazi ya ualimu ni nzuri sana wanamaliza masomo mapema sana wengine wanaishia bar hongera kaka mungu aibariki kazi ya mikono yako
@elikindjunior18743 жыл бұрын
Maprosoo is a very good person jamani 😀
@wanderaothumani49194 жыл бұрын
Powerful story millard hii stori nzito basi tu people bora ziangalie bongo kiki big up Mr maporoso hustle zako zitusue amen
@bundaman85424 жыл бұрын
Safi sana Millardayo. Naomba serikali ukutumie una kipaji sana cha ubunifu. Na hauna elimu kubwa sana lakini unatukosha kwa vipindi vyajo
@marthamwiru15564 жыл бұрын
Namkumbuka mwalimu maproso shule ya chikongora,iliyopo Kata ya chikongora Hakika alikuwa mwalimu mzuri Sana, 😀😀😀nimekumbuka mbali sana
@bbccaa4156 Жыл бұрын
Tukiwa na waalim aina hii ya mwl maprosoo zahiri tutamaliza tatizo la utoro mashuleni na watoto wetu watapata elimu bora big up teacher maprosoo
@liannsambu72649 ай бұрын
Na hata kuhamasisha vijana kuwa kwenye Biashara pia
@aliyjuma53623 жыл бұрын
Hongera sana! Millard Ayo kwa jitihada zako unazozifanya kutuletea taarifa mbali mbali mzuri kama hii nk. Hongera kwa Cameraman wako.Maprosoo brother pole kwa majukumu, endelea kuvumilia, Utafanikiwa, hongera sana kwa kujiongeza, safi sana brother.👍
@kingswebe32514 жыл бұрын
huku kwetu mtu akiajiriwa sio size yenu tena, nampa hongera maprosoo
@wazirmlogi75324 жыл бұрын
Sawa sawa mzee maprosoo upo juu👍👍👍 nimekuelewa sn na wamekuelewa vizur,big up sn gwa kukaja
@georgeisdory99984 жыл бұрын
Safii sanaa maprosoo 👏👏👏 hii ni zaidi ya ujasili wengi awawezi hiii
@Amneamne-qi2du4 жыл бұрын
Masha'allah Allah abariki kazi ya mikono yako
@mariamm27244 жыл бұрын
Hongera sana teacher , mshahara pekee hauwexikidhi mahitaji .
@nurudovino2884 жыл бұрын
Kazi nzuri Mungu azidi kukuinua zaidi kuwa penda watoto
@neemamahusho61934 жыл бұрын
Na Mungu atakubariki usikate tamaaaa na kumwomba Mungu
@assilaa20074 жыл бұрын
Safi san napenda mwanaume mweny uthubutu hajali wala nin big up sanaaa💪
@itikamwakanyamale26904 жыл бұрын
Kakangu mpiganaji toka kyela
@kpetres28723 жыл бұрын
@@itikamwakanyamale2690 unamfahamu???
@SanchoGN2 жыл бұрын
Hongera mwalimu. Barikiwa pia.
@jimmiejr95314 жыл бұрын
Nimependa namna mwl mkuu alivyo appreciate kazi na uwezo wa mwenzie
@jacksonmathayo65104 жыл бұрын
Waoooo daah Mwenyezi Mungu akubaliki milele Sir maprosso
@solemba5954 жыл бұрын
Dah Hongera sana Mwalimu, kiukweli umepambana
@dorndet61794 жыл бұрын
Well done mr. Mungu mwema
@liannsambu72649 ай бұрын
Hongera sana mwalimu , MAANA WABONGO WENGI WANAPENDA UBAKI MASIKINI ,NDO MAANA HATUENDELEI ,MAANA KILA MBEBA MAONO HAFI ,HATA UPIGWE VITA VIPI ,KAMA UMEBEBA MAONO HUFI ,UTAIBUKA TU
@neemaremus49244 жыл бұрын
Hongera sana mwalimu, Mungu abariki kazi ya mikono yako
@imanibakili8028 Жыл бұрын
Mate yamenidondoka kwakweli, big up mwalimu
@lamecklaurentius8936 Жыл бұрын
Utulivu wa Mwl humsaidia MwlMkuu kufanya Majukumu yake ya kiuongozi vizuri. Huyu Mlw Mkuu Yuko vizuri.
@alexkabeho56094 жыл бұрын
Hongera sana mwalimu nashangaa anakaekusumbua maana experience ya miaka 12, huitaji kusoma kitabu kabla ya kufundisha, alafu wewe ni role model kwa hao watoto, siku moja niliuliza swala kwa unirvesity kwamba munapenda kuongelea swala la ajira sio sisi kuwa ma boss, mwalimu 🤔🤔🤔, so naamini unatengeneza hao watoto sana,
@bakariyusufujuma4 жыл бұрын
Amekuwa rafiki wa watoto hajimwambafai nimekubali
@jessydaktari52094 жыл бұрын
kazi nzuru ticha,,,Mungu akusimamie
@petermapunda34504 жыл бұрын
Hongera Sana kaka I like for skills of your knowledge
@ommyali15144 жыл бұрын
big up mwalimu...
@godfreymwambwalo52824 жыл бұрын
Hongera sana teacher
@saidimpako51864 жыл бұрын
HII NDIO NCHI YA UCHUMI WA KATI
@sweetlittlebabies93594 жыл бұрын
Huyu teacher Yuko vizur sanaaaaaaaaa
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Watu Wa mbeya hawalembi kwenye biashar, katengeneza kijiko chake kzr, kisafi, InshaAllah Allah atakujalia utafika mbali kwa biashar yko
@dutchsafari75624 жыл бұрын
Big up mwalimuu maisha ni plan B
@emmyjohn39704 жыл бұрын
Fanya kazi ticha..big up
@mosesnyamhanga4494 жыл бұрын
Congratulations mwalim sisi waalimu tunapaswa tuige mfano kutoka kwa maprosso...mshahara hautoshi hii mwenyew nafaham!
@latifamkulazi83784 жыл бұрын
Walozoea vya kuomba wanasema hatalaki5 siwezi kufanya biashara😕 Hongera babangu
@neemamagoma29934 жыл бұрын
Nakupongeza sanasana mwl maprosoo kaza buti broo utatoka namkuu wako anajielewa sana anajua namna unavyopambana
@naomimabula26604 жыл бұрын
Daaah. Maprosoo. Nakukumbuka., Nilifanya field Chikongola nikiwa nasoma Mtwara Ufundi
@emmanueljohn51624 жыл бұрын
Jamaa ana inspire sana
@ngapulilangapulila54044 жыл бұрын
Safi sana Mwl Maprosoo
@alisaid53783 жыл бұрын
Mungu akucmamie teacher hongera sn
@moahmedy74393 жыл бұрын
Sir wangu keep it up
@kpetres28724 жыл бұрын
Aseeee ameniinspire
@rahmahersi65844 жыл бұрын
Hongera kwa jitihada zako.
@happynesbaemuhappynes88133 жыл бұрын
MashAllah
@Sppah6974 жыл бұрын
Maisha yalivyo makali ni vizuri kuwa kibiashara kando kusaidia kipato. Sasa kumpiga vita inakuwaje sasa mwisho wa siku ana majukumu yake. Na anafanya kitu halali haibi hatendi zambi anafanya biashara why Majungu! Mbona wasanii wanakuwa wasanii na pembeni wana kazi zao za kibiashara? Kuna tofauti gani na waalimu? Na wao wanajitaji kujiendeleza kama watu wengine siyo!
@leeonlinetv18474 жыл бұрын
Big up teacher maprosso
@erickmassawe51074 жыл бұрын
Hongera xana mwalim umethubutu
@khadijaomari93444 жыл бұрын
napenda watu wanao pambana wananipa amasha yakuto kata tamaaa
@ibrahimshilinde61294 жыл бұрын
Safi Sana bro
@samlaizer19984 жыл бұрын
Mungu ni mwema kila wakatai
@KhalidKhalid-zt1bc4 жыл бұрын
unaingiza elfu 80 kwa siku kisha unasubiri mfadhili kuboresha biashara yako? tuache tabia ya kuomba omba
Anahitaji utaalamu namna gani ya kuboresha biashara yake
@ildephonsentahomvukiye54104 жыл бұрын
@@siaammo1104 tumeelewa pamoja kaka
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
@@siaammo1104 No anataka misaada yote ya kuboreshewa jiko na kuinua biashara. Binadamu hatosheki na pesa.
@esterelias81894 жыл бұрын
@@siaammo1104 kweli kbs na amesema mishikaki isipate vumbi..anahitaji jiko zuri..
@vumiliamwakasege48474 жыл бұрын
Big up my brother mpambanaji tangu tupo school.
@ofaliamkua82124 жыл бұрын
ongera Sana mwalimu
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Hongera mwalimu nimeipenda hii
@dicksonulotu97174 жыл бұрын
Hongera sana mwl maprosoo
@imanibakili8028 Жыл бұрын
Mwalimu umesema ukweli kabisa siku1 ukitudanganya utakuwa umetuangusha sana Milady ♥
@laplayfanz4 жыл бұрын
Mashallah jama ana bidii.
@iamfriedrich Жыл бұрын
Presenter upo sawa
@anethmlingi9674 жыл бұрын
Maprosoo chikongola hapo duh huyu ni mwalimu wa mfano namkumbuja milele
@hyahasisimsigala43464 жыл бұрын
Big up sana...
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Awesome 🔥🔥🔥🔥
@suleimanismaili28554 жыл бұрын
Dah safu sanaa
@dennisdidas23213 жыл бұрын
Vizur xan
@felistermaximillian27934 жыл бұрын
Big up mwalimu
@vero574 жыл бұрын
YANI WEWE KAKA UKOSAFI SANA HOGERA SANA
@anafisuleimani70834 жыл бұрын
Safi sana mwalimu
@charlesndali72093 жыл бұрын
Hongera
@joycehagman56223 жыл бұрын
Una nipa moyo mkubwa baba. Hongera
@Discover704 жыл бұрын
Safi teacher 👨🏫
@swaggerizedninjagoseprocom85234 жыл бұрын
Hatariiii
@zainbomary39704 жыл бұрын
Nimejifunza kupitia mwanlimu maprossoo
@vero574 жыл бұрын
KUIBA NDIYO ZAMBI , KUCHOMA MISHIKAKI SIO ZAMBI KABISA
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Dhambi
@ussimpemba61004 жыл бұрын
Mambo
@ussimpemba61004 жыл бұрын
Vp
@barikiwa222 жыл бұрын
Very good
@bellahyuzzomylife44284 жыл бұрын
Nakupenda bure
@japhrystar25974 жыл бұрын
wanao kufatilia washtak kwa Mungu kk
@regis_be4 жыл бұрын
🔥🔥
@Juma_Content4 жыл бұрын
Video ya uchebe kumpiga shilole hii apa kzbin.info/www/bejne/eHKuhqmri72jl7s
@felistanampoka88624 жыл бұрын
Usikate tamaa Kaka, Kaza moyo!
@paschalphabian2744 жыл бұрын
Wawooo Mwl maprosooo we ni genius sana pambana watumishi tunapaswa kuiga mfano wako hapo kulingana na maelezo yako kwa mwezi unaingiza 2400,000/= tofauti na mshahara wako. I magine watumishi tungefanya wote hivo kwa fursa tofauti tofauti tungefika mbali na kuacha majungu tungekuwa mfano wa kuingwa ktk jamii. Yaani cjui viongozi wetu baadhi yao wana kwama wapi? Eti chagua moja uache kazi ya ualimu au uuze mshikaki nime mind sana daaaaa
@mtegwamo34564 жыл бұрын
Waooo mwalimu wangu umenchapa ww
@lizzybahati98333 жыл бұрын
😆😆😆
@aminaomary55672 жыл бұрын
Ongera sana,usijari walimwengu ndio walivyo
@smartboe81884 жыл бұрын
Nimemuona munga ticha
@annastaziajohn99304 жыл бұрын
Iv somo la huyu jajaa nani anafel yani nani hapend kuinguia darasani.walim mmejifunza uchumi t apo ila angalia jamaa anavyofundisha kwa furaha na kwa ustad huu ualimu siku nani anao sasahv mafeki kibaaooo
@allykipila28214 жыл бұрын
Huyu mimi kabisa
@bujamoviesonline8553 Жыл бұрын
Naomba nikutanishwe nahuyu
@rehemaothman21854 жыл бұрын
Kila LA kheri mwl maprosoo
@ibrahimrukundo30644 жыл бұрын
ametumia akili kubwa MWENYEZIMUNG akamuezesha.
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Huyo mwalimu agechekesha tu anakipaji cha kuiingiza haki 😃😃😃😃
@kijanahodari20804 жыл бұрын
Ivi Tanzania mtu akiajiriwa serekalini na afanye kazi nyengne mbadala inakuwa Jambo la ajabu sana?.. duuh! Basi ni kweli nyie wavivu angalieni jirani zenu hakuna mwenye kazi moja ata alie ajiriwa serekalini
@queenmartine87928 ай бұрын
😂😂😂 nice
@achymedia4 жыл бұрын
Kanipiga viboko sana uyu ticha😂😂
@tabletennis62964 жыл бұрын
Nilijua tu lazima nikutane nao watu waliochapwa hapa 😂😂
@kazikazini10424 жыл бұрын
Kampige sasa kwa kununua mishikaki mzigo wote wa siku