Kazi ya wachungaji ni pamoja na kutia moyo na kufariji pia. Hongera pastor.
@abdulmtausi66727 жыл бұрын
Askofu Gwajima nimekupenda bure,wewe ni mwanaume wa vita,alikuchafua na wewe una haki ya kujitetea,big up sana,kati ya wewe na huyo bashite wewe ni bora mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu wenye busara,hujawahi kunywa hata pombe utafanana vipi na mtu mwenye roho mbaya na mbinafsi kama yule?Mungu akusimamie
@MakoyeAman7 жыл бұрын
Great message>>>>> uko vizur Gwajima in your mind
@fikiryhamees58585 жыл бұрын
Nikimuangalia luge najikuta nalia kama yupo dunian jaman dah!
@sweetmama32427 жыл бұрын
Aaaaamen. Aaaaamen. Yesu ni Bwana. Mungu akubariki sana mchungaji kwa maneno yako mazuri, ya busara na hekima. I ❤ youuuuuuuuuuuu.....!
@mottofoundationinc.34927 жыл бұрын
ONLY SMART BRAIN CAN UNDERSTAND THIS GREATEST GUY(GWAJIMA)..
@sadickwalker27954 жыл бұрын
True.
@manyotaskipper57657 жыл бұрын
gwaji unawaombea clouds wanunue magari na viwanja si ungewaombea wauone ufalme wa Mungu waingie peponi
@noxlosingida23697 жыл бұрын
hahahaha umeonae hata hajatamka ufalme wa Mbiguni
@noelndelwa19645 жыл бұрын
Abdulatif Said wokovu upon kwa njia nyingi
@witneskimario63363 жыл бұрын
Uamna mtu anaempeleka mtu mbinguni ufalme wamungu unautafuta mwenyewe dear
@zuhuraabdurlazack80087 жыл бұрын
Kiukweli mim nmekuelewa sana gwajima...big up na Ukweli tumeujua...mim nakuamin
@ramadhansemgayo35385 жыл бұрын
Ruge umetangulia mbele ya haki pumzika shujaa lkn haya mengine tunamuachia mungu yeye ndo hutoa hukumu na yeye pia ndo mwenye kusamehe #RIPRUGE inauma sana lkn hakuna namna
@floriantelele83067 жыл бұрын
gwajima katika ubora wake
@abbasboniphace54447 жыл бұрын
Florian Telele dam u got my day😂😂😂
@vianeyminja5757 жыл бұрын
gwajima hujawahi kuniangusha,. ww ni born town
@abdonmsafiri37707 жыл бұрын
waoooh keep it up mr gwajima i am very proud of you my son
@christophermakunzo42327 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu, umeeleweka kwa kiasi cha juu sana kutokana na sakata hili. Pole.
@Mwl_Sanga7 жыл бұрын
#Gwajima hata kama unakosea kumsema mtu mmoja muda wote, mbali na dini unatufundisha kitu kikubwa kuwa tuache uoga ndani ya nchi yetu, #Gwajima safi sana, tumia Uhuru wako katika nchi ya baba zako....
@lutonjalushu9237 жыл бұрын
hongera mh. gwajima
@josiahpaul35327 жыл бұрын
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni big up pastr nme kuelewanme kuelewa
@kigendihassan6307 жыл бұрын
MTU akikulushia mawe usimludishie, yakusanye ujengee daraja kuelekea ktk mafanikio.
@petermwangi70475 жыл бұрын
Asante sana
@seifmillanzi96737 жыл бұрын
namwona boss ruge dizain anacheka ivi
@williammeena33697 жыл бұрын
Big up Bishop Gwajima
@privamariki26757 жыл бұрын
duuuu yaani nyie camera munazo yaani picha zenu zinaonekani clear
hivi mnaosema gwajima ni mwanasiasa hivi jifikirie mara 2 umetajwa unauza madawa ya kulevya au unambiwa hafanyi hiyo biashara achani zenu
@kamgomoli36505 жыл бұрын
Well said,"Man can not run away from the truth though can only be delayed".
@emmanuelaggery68777 жыл бұрын
duu kmbe gwajima sio wakitoto aisee kumbee he is that big makanisa 470 nje ya nchii......
@lawrancemngazija22164 жыл бұрын
Hammer
@seifmohamedseif93847 жыл бұрын
ana elewa maana ya neno kichaa ! kichaa ana omba msamaha kichaaa anafundishwa sema umezaa na gwajima ! huu msani km clouds
@vumiliambehi797 жыл бұрын
hebu mungu awatangulie wote wenye sakata hili
@gabrielshewio65997 жыл бұрын
hongera sana mchungaji
@bonakwelilema96006 жыл бұрын
Gwajima kagundua kitu kweli mchungaji au asko ni msema kweli bila kuogopa kitu kuhusu madawa na tatizo na bashite
@januarypeter46557 жыл бұрын
mara ooh gwajima fala ,mpumbavu kwahiyo aliye umbuka kwa kutengeneza skendo mpaka kukodi watu,kipindi na mtoto bandia alikua mwerevu siyo!!!!! kwani kama gwajima ni muuzaji wa madawa ya kulevya haya yote yametokea wap? kwanini asingetoa siri za biashara zake syo ndo angemuumbua zaidi kuliko mtoto bandia?
@seifmohamedseif93847 жыл бұрын
January Peter na alikua kitu kimoja na clouds sasa clouds wamemgeuka huyu katoa dau kubwa zaid kwa yule ruge maana km maandalizi ya kurusha yalikuwepo kisha anadai hakuna balance shoot wamefanyia nyuma ya jengo lao leo wanadia stori walitafuta wao wazi yule mama alipelekwa pale kushoot kipindi jamaa kuchukua clip wakaona kitanuka hawataeleweka ktk jamaa sasa watoke na kusema tumevamiwa
@onesmoakwilini62545 жыл бұрын
Mchawi kajaaa msibani..R.I.P kaka
@trilionea_online_TV5 жыл бұрын
Hizi clip ukizifuatilia zote kwa wenye akili ya kuchambua mambo utagundua na utajua mengi yenye utata,,, RIP Ruge, Master muongoza njia,, ulinisaidia sana lakn bado tunajiuliza ugonjwa wako ulitokana na nn, maana ilikua ghafla sana,,,
@williamkavuta51935 жыл бұрын
Jefta Trilionea acha mawazo hasi ghafla kafa na ajali huyo? Unajua kifo cha ghafla wewe.Funguka ki mawazo acha kuwa na negativity.RIP
@zandakingfujo77077 жыл бұрын
haya sawa ushamwambia rais tafuta mahali utulie
@musasaidi79737 жыл бұрын
Hahahaha
@fatmaalrashdi15777 жыл бұрын
wote hao wanao mchukia makonda wote ndio wauza uga na ndio.wana mpiga vita atumbuliwe ili warudie kazi zao makonda chapa kazi muhim uko na magfuli.hapa kazi tuu
@hashimmusa94857 жыл бұрын
wanaomtetea makonda wamepata zero
@hamzabingwe41785 жыл бұрын
Fatma Alrashdi mmmmmmm aya
@stn48732 жыл бұрын
Lilikua ni suala la muda tu, Mwenyezi Mungu kafanya yake.
@abdulmillanzi73557 жыл бұрын
Daaah Bosi Ruge anaonekana bado hayuko sawa kabisa.
@angellamwanri84147 жыл бұрын
Safi sana Gwajima...
@velmaagwona19455 жыл бұрын
Kila Mara nikimuona ruge akiongea namuona kama yuko hai jamani inauma,
@frolamrema36835 жыл бұрын
Ruge wangu never forget my lovely friend
@lwijimsafiri65457 жыл бұрын
ur intelligence and compitent gwajima
@millitarybattalion75152 жыл бұрын
Kweli Leo nimeamini mzoga umetoa asari 2021
@asserymmary26967 жыл бұрын
media wamesha Ramba Jokery...atakoma mwenye jiji lake aliramba Kopa
@loner_wolf3 жыл бұрын
Mayor wa mwanza, sio dar es salaam mkuu... ENDELEA...
@saumuhassan13657 жыл бұрын
😂😂😂😏😏 Ni sheeeedah! Thankx Mr countdown *Millard Ayo* kwa habar
@josephthobias20566 жыл бұрын
kumbe ruge alikwita ooooh umepa pole na kumwombea ila habari za shujaa wako mh.makonda umezigusa gusa .makonda
@emmypaul74555 жыл бұрын
Pumzika salama ruge
@januarypeter46557 жыл бұрын
yani watu bwana eti mnamuona gwajima mjinga embu fikiri kama ndo ww?
@alfanikamana90626 жыл бұрын
January Peter gwajima kasema uyo mama ni kicha,tena anasema yuko ana andika kicha anaweza kuandika?
@Hassan_Mengi7 жыл бұрын
Fikiria kama Bashite angekuwa amekaa next to Gwajima, ingekuwaje?
@saladaniel92743 жыл бұрын
Leo yuu wapi makonda??
@hongerakkachawasemewwkzbut49967 жыл бұрын
duuu gwajima ww ww acha maneno mengi ww hata mungu hapendi kila saa wamsema makonda kwann lakini ww
@bonita3295 жыл бұрын
sasa huyo bashite kashfa aliyompatia mchungaji ndogo?
@fredreckmwakalinga34755 жыл бұрын
hongera kk acha waseme ww kz buti Alnomania huo ndo ukweli unataka nini ?
@jacklinelyimo74077 жыл бұрын
Kazi ya mchungaji nikutetea pia Taifa wananchi ksb km yeye anajulikana ulimwenguni atakaaje kimya nani atamwelewa ni vizuri aliweke wazi kabisa
@kaayaester97395 жыл бұрын
Ole wenu mnaowatukana Masihi na Nabii za Mungu kuwakejeli kuwadharau ni mbaya kuwasema vibaya hakika hukumu ya Mungu na fimbo ya Musa na gharika lake adhabu inawakalia amtakwepa tena mapema sana Malaika aletaye mabaya huyoo
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
Hiyo ilikuwa mbaya sana aisee watu kufukuzwa kazi kisa vyeti dah iliathiri wengi sana
@seifmohamedseif93847 жыл бұрын
ana mkatisha haraka asionge anajua maswali yatafikia mahali atajingiza ktk 18 siri itoke kwanini usiache amalize mwenyewe
@bonita3295 жыл бұрын
umenifurahisha sana mzee.😂😂 nchi yetu imepatwa viongozi wa ajabu kwakweli hali si shwari
@fatwimamakungu54567 жыл бұрын
joyc love love hahaha anajimwaga hahaha yani ww mtoto nime kushindwa ww hahaha anajimwaga kama muimba tarabu hahaha jamani atwaleeee
@leonardjeremia15257 жыл бұрын
mtu akimwaga ugali ww mwaga mboga
@christsflowe.r7 жыл бұрын
Good job
@mathamalila31115 жыл бұрын
hahaahaaaa ulifwatilia ili iweje mwache apige kazi fwata ya mungu na siku zote MTU wa mungu anasamehe na kuwaombea wanao muuzi lakini kwako ni shida,
@stellahemilian91687 жыл бұрын
We ni kiongozi wa dini unachofanya ni udhalili wa dini tu, hufai kuwa mchungaji badala yake ni mwanasiasa hlf kumbuka ww ndie chanzo cha yote haya.. Km kiongozi wa dini unakosea kbss upumbavu mtupu
@nassrahamad58357 жыл бұрын
hahaha gwajima bhaaanaa noma sana uyu mtu
@BigZhumbe7 жыл бұрын
Asa Bwana Gwajima Kingereza ni kuonyesha amesoma sana au......... Ongea Kiswahili tukuelewe
@erastoeraxx93417 жыл бұрын
Kwanini kila jambo la mwanasiasa wote tunamjua lakini wewe unapenda kutolea Maelezo! ®
@raymondkaswaga83345 жыл бұрын
Ruge umeniuma kk kila la heri uendako
@AleniSilas7 жыл бұрын
Mungu atusaidie sana yani umekua mwanasiasa unaongea 2 fanya yanayokuhusu mzee kwan kupelekwa polisi x jambo la kawaida na wewe ulikuwa suspect sio kwamba n mtumiaji sasa wewe unakalia majungu 2 acha zako wewe
@johnsonchaulaya63914 жыл бұрын
wasio penda maendeleo utajua 2
@manfesto6799Ай бұрын
Kuna Akili na wahitimu makonda anaakili lakn sio muhitimu
@khadijaoman62677 жыл бұрын
kwann msubiri mchakato wa madawa yakulevya mfate makonda mpaka aliko soma kwani askofu karuhusiwa kuiteketeza watu ima waumini kwa madawa ya kulevya
@FarmChoiceLtd7 жыл бұрын
Gwajima kwa mbwebwe!!
@samsonmalongo84597 жыл бұрын
we Gwajima huna jipya fala wewe. we ni mtumishi wa Mungu au ni kulala waumini na kulopokalopoka umbea kanisani. mjinga wewe
@benzkubehwa7057 жыл бұрын
box ddbb
@rhodamaganga83087 жыл бұрын
wew huna cha kuongea unam2kana wew kama nani wew hujiekewi
@ericakalindu16595 жыл бұрын
@@rhodamaganga8308 hana akiri huyo unamuona yup sawa ww kaka angali na watu wa kuwatukana utapata laana bule
@babawahindi73687 жыл бұрын
Nyumba na viwanja? wape sembe tu.
@Tiffany3407 жыл бұрын
Ila gwajima pole kupiga mikelele yote ile umepuuzwa na mkuu. duuh. watu wabaya. maskini ungekuwa unakemea majini yaliyowavaa waumini wako si ungeyamaliza yote.. mweee!!! pole lazima koo litakuwa linamichubuko tu
@newasddong58657 жыл бұрын
Fetry John kabisa
@magrethlucas79287 жыл бұрын
Hahahahaha chizi huyo
@nawras65177 жыл бұрын
Mh wao wapange skendo na sasa watembeleana na kupozana. Ila wenye akili huona mbali.
@factdonotlie83016 жыл бұрын
Lisha chacha baba fanya maubili hapa kazi tu
@allymwashambwa59207 жыл бұрын
Jaribu kwa mtu si kwamba ni mtenda dhambi Bali ni wakati ambao ni Lazima apitie, wote mnaomsemea mabaya mch gwajima mnakosea na wengine mnathubutu kusema fimbo ya mungu itamkuta, nani anaejua mawazo ya mungu??? Jibu hakuna, mimi namwombea mtumishi wa Mungu mema
@chekajumasebunga83587 жыл бұрын
Sembe sembe, sembe, sembe,sembe, sembe, sembeee. Makonda kimbiza sembe yote out of TZ, You dislike that individual, kuhusu sembe hiyo siri yako si atujuwi, lakini TZ bila sembe inawezekana, wengi wetu tupopamoja naye ktk hiyo vita ya Ubuyu vyeti or no vyeti who care.
@rogersgeorge29204 жыл бұрын
God is good
@philipomichael54777 жыл бұрын
hakika ukweli utabaki daima. MUNGU AKUPE HEKIMA KAMA SULEIMAN.
@georgefaustini56797 жыл бұрын
askofu umezungukwa na walemavu,maskin,kibao anajilimbikizia Mali huna aibu.Yale uyasemayo ndio yaujazayo moyo wako.kumbe kuomba msamaha mtu ni kulazimishwa.bado heron unaikumbuka .? kweli kisasi kimeujaza moyo wako
@amileyissa96845 жыл бұрын
Rip ruge pumzika kwa amani
@emmanuelsemwaiko22807 жыл бұрын
watanzania kuendelea ni ndoto sana kiukweli,tunajishughulisha na vitu ambavyo si maswala ya msingi,Mwenyezi Mungu tusAidie
@zombazezu7 жыл бұрын
Safi Gwajima
@johnkyara8655 Жыл бұрын
Utawala wa makofuli ulitesa watu 😢😢😢
@florianhenry71984 жыл бұрын
Ulisema utofanya siasa 😂 pole
@mariamfaki11667 жыл бұрын
huyu baba ana masifa sijaona mchungaji wa aina hii katika dunia atakua kweli anahusika na madawa
@ibrackibrahim69092 жыл бұрын
Shona kuma Wewe
@immakifimbo67217 жыл бұрын
makonda tuna kushaaa-------
@jadamumwakibete4777 жыл бұрын
sponges kwako mchungaji
@alfanikamana90626 жыл бұрын
Gwajima wewe,unasema mama yule ni kicha mgonjwa wa akili,mgonjwa wa akili anaweza kwenda ustwa wa jami kuandika nilidanganywa,kicha hawezi kuandika askofu
@reevesmirondo7 жыл бұрын
Gwajima naomba utueleze kama unapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania. Kati ya waumini wako wote hayupo ata mmoja ambaye ana vyeti feki? Coz akiwepo na analeta Zaka na Sadaka basi ni batili. Jikague wewe na wafuasi wako kwanza ndipo umnyooshe Makonda kidole. Hapo mie nitakuelewa.
@reevesmirondo7 жыл бұрын
husiwe unaubiria wenye vyeti feki fanya uhakiki then ukijitosheleza kuwa ufufuo na uzima haikukumiwi na unachokiubiri then nenda kwa Mheshimiwa Makonda. Sijui kizungu kama wewe ila wanasema Charity begins at home.
@joycemashikolo90967 жыл бұрын
hao wachungaji wako wa uraya kwa namna yoyote ni wahusika tu wa dawa za kulevya uraya hakuna wachungaji unadanganya watanzania kwa kutuletea mabepari ichini kwetu.
@aroonmuchunguzi34425 жыл бұрын
R.I.P RUGEE
@issajohn70667 жыл бұрын
Katika Biblia imeandikwa kwamba msiwaguse masihi wangu.....yaaani don't touch my anotient....so cpendagi kujihusisha na hayo mambo coz lazima tutakuja kulipia tunachofanya...ushauri waacheni masihi wake
eti anaombea. Fimbo ya Mungu wewe haitakukwepa. Jinga wewe. Siasa na utumishi wa Mungu wapi na wapi, unaudhalilisha ukristo fala wewe
@ngometvarusha40307 жыл бұрын
wewe hautachelewa matusi yako na huo ufala utakurudia Mara moja kama unaona Gwajima kusemwa na madawa haiumi ya makonda ndo na uvamizi na vyeti fake mhiiiii ukapimwe akili
@samsonmalongo84597 жыл бұрын
Joel Joel kesoy @ povu la nini sasa. Km anajihusisha na madawa tunamwachaje kwa mfano
@abbasboniphace54447 жыл бұрын
Samson Malongo remember that Martin Luther King used to talk about politics while he is in missionary so u don't have to stress so much on him he is in a right way the people(Tanzanians) who are his followers are the ones who are being run by the politics so its eats on them too😂
@samsonmalongo84597 жыл бұрын
Abbas Boniphace @Toka hapa. Hakuna nabii wala mtume aliekuja kueneza siasa wewe. Luther si ndo walohalarisha ushoga. Tena usijemtaja huyo nyama zembe
@rehemyonathar59866 жыл бұрын
mh sip ila nnavyo jua mti weny matund ndio hupigwa mawe
@kingkiwango14353 жыл бұрын
Itoshe kusema bashite out kigambon
@mathiasmsumeno85167 жыл бұрын
Sijasikia jibu Juu ya div 0 kuwa Na cheti naombeni jibu sasa naona Mchungaji hajalijib!
@trendtv15657 жыл бұрын
mathias msumeno kwani division zero haina results slip, jamani hata mambo yanayosemwa tusipuuzie sana, kuna umuhim wa kuunga dots ...
@magrethlucas79287 жыл бұрын
Umeonaeeeeh amebaki anashangaa na sura yake mbya
@trendtv15657 жыл бұрын
yaani results slip siyo cheti?
@Adryfierce7 жыл бұрын
Gwajima ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@yanayojirimitaaniTV5 жыл бұрын
DUDU BAYA YUPO PABAYA ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV uone SIKILIZA