Askofu Kakobe Aibuka tena Kivingine Am-BIPU tena Magufuli Aweka wazi alichofanyiwa na TRA

  Рет қаралды 14,473

Gilly Bonny Tv

Gilly Bonny Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 17
@rahelmagafu8876
@rahelmagafu8876 7 жыл бұрын
Ni vibaya kuwagusa watumishi wa Mungu. Muachieni Mungu atamhukumu yy, na kama yuko kinyume Mungu anamuona. Jamani kuna laana ambazo hatupaswi kuzipata. Ni ushauri tu. Mungu atawapa majibu, kati ya Mtumishi wa Mungu na mkuu wetu, atawapa hekima, busara pia. Hakuna vitu vibaya vitakavyotokea. Mungu anatupenda sanaaaa!
@mzeebabu2197
@mzeebabu2197 7 жыл бұрын
Mungu hachezewi wakuu wengi waliwachezea viongozi wa dini lakini waliishia ktk laana.
@kachasagynoma1756
@kachasagynoma1756 7 жыл бұрын
Safi huyu ndiye
@naominyende2141
@naominyende2141 7 жыл бұрын
Wapashe hao, na uwape vidonge vyao!
@amanabdallah9745
@amanabdallah9745 7 жыл бұрын
Wao ndo wanataka kuwachokoza .waache waseme
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 7 жыл бұрын
MZEE KAKOBE ANAJIAMINI YUKO SAWA KAMA MTUMISHI WA MUNGU NDIO MAANA AMEWAAMBIA WAJIPANGE...
@amanabdallah9745
@amanabdallah9745 7 жыл бұрын
Ccm hawapo wangekuwemo asingelisema hayo
@maurusmocha99
@maurusmocha99 7 жыл бұрын
Kutoka vyama vya siasa mpaka kanisani, sasa tusubiri individual insues. saw a tu sisi no class watawaliwa
@elimwazembe8096
@elimwazembe8096 7 жыл бұрын
kakobe wambie ukweli ao make hawaeleweki wanataka nini
@josephinedavid3072
@josephinedavid3072 7 жыл бұрын
usituletee vurugu ktk nchi
@amonmulungu175
@amonmulungu175 7 жыл бұрын
acha ushabiki
@gangangan1478
@gangangan1478 7 жыл бұрын
Acha uchizi huo WA CCM(Chama Cha Maovu)... yote yanayoendelea nchini....!!!
@lameckbalekele2901
@lameckbalekele2901 7 жыл бұрын
Huyu Asikofu jinga kabisa hujui wanaosali humo wamowana ccm wengi sana linaleta siasa kanisani yanini
@paulntalima8244
@paulntalima8244 7 жыл бұрын
Lameck Balekele siasa ni dhambi?
@abelsabibi6192
@abelsabibi6192 7 жыл бұрын
wewe ni nabii wa uongo na mchungaji wa mshahara,Mungu atakuadhibu kama utaendelea
@kahyolomathias5073
@kahyolomathias5073 7 жыл бұрын
Abel Sabibi Mungu ndio pekee wa kuhukumu. wewe ni nani umuhukumu mwanadamu mwenzio?.pumbavu
@geraldrevocatus6420
@geraldrevocatus6420 7 жыл бұрын
Abel Sabibi mbona unaongeaa tu bila uhakika, hicho kikosi cha kwanza kilibaini kwamba Kakobe hata sadaka hali ni watu tu waliojitolea kumtunza Kakobe na baaa ya kubaini hivyo huyo kiongozi akafukuzwa sasa nashangaa wewe unaanza kuropoka, Kakobe ana nyumba moja tu tena ipk kijitonyama ni ya hali ya chini saaana tena anaishi kanisani tangu 2009 sasa mi nabaki kukushangaa unachosema na mimi namjua Kakobe kuliko wewe mimi ni muumini wa pale na hii video imakatishwakatishwa tafuta video nzima ndo utaelewa vizuri.
Հարցազրույց Արամ Սարգսյանի հետ
35:31
Լուրեր
Рет қаралды 102 М.
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
AICT Chang'ombe Choir (CVC) KILA MWENYE PUMZI Original
5:58
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 1,3 МЛН
BREAKING: Kauli ya Askofu Kakobe baada ya kutoka kuhojiwa Uhamiaji
13:04
Line-by-line analysis of Hakan Fidan's speech in China
22:21