BREAKING: Kauli ya Askofu Kakobe baada ya kutoka kuhojiwa Uhamiaji

  Рет қаралды 92,134

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Idara ya Uhamiaji, ilimwandikia barua Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe kumtaka afike katika ofisi za Idara hiyo kwa ajili ya mahojiano.
Sasa leo April 9 2018 Askofu huyo ameripoti katika ofisi hizo za Uhamiaji DSM kwa ajili ya kuhojiwa na baada ya hapo akapata nafasi ya kuzungumza na waandishi wa habari

Пікірлер: 156
@thobiasodhiambo9553
@thobiasodhiambo9553 6 жыл бұрын
Hili suala la vyeti vya kuzaliwa na matumizi ya polisi kuwaua wakosoaji au washauri wa serikali ni mbinu zinazotumiwa na CCM kuwanyamazisha watumishi wa Mungu na wazalendo wa nchi hii. Ipo siku uovu huu utafika tamati ktk nchi hii ya kusadikika.
@alphoncetheodory41
@alphoncetheodory41 6 жыл бұрын
Daaaah aise mtumishi wa mungu ni mtumishi tu hakika utawashinda nimekuelewa sana Mungu yupamoja nawe!
@williamfavour2982
@williamfavour2982 6 жыл бұрын
Kayonza napajua vizuri sana hapo mtumishi wa Mungu pambana Kiroho kwa majaribu unayopitia
@YoshuaSeverino
@YoshuaSeverino 5 ай бұрын
Haya mambo wanahangaika bure, huwezi kumuonea mtumishi wa Mungu ukabaki salama, Mungu huwa hachezewi.
@solassichula1317
@solassichula1317 6 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Baba Askofu,Mungu wa mbinguni yuu pamoja nawe
@HabilyTech
@HabilyTech 6 жыл бұрын
Mungu akupiganie askofu wetu nchi hii imekuwa haitaki kweli na haki
@fokasiinnocent3448
@fokasiinnocent3448 6 жыл бұрын
kakobe ww nimuhubir mzur sana na mungu anakutumia lkn hapa kati umejiingiza ktk mambo ambayo hayajengi kanisA unakua kama umetumwa au kutumiwa
@muyumbasimba7035
@muyumbasimba7035 6 жыл бұрын
Long live KIGOMA, I feel proud to be mwana~KGM tena MMANYEMA haswaaa... from both my parents!.
@fokasiinnocent3448
@fokasiinnocent3448 6 жыл бұрын
MUYUMBA SIMBA kigoma akuna kabila LA manyema ,ukisema ivo ukiwakigoma wanajua we nimkongo tu!!mambo hYo dar .
@muyumbasimba7035
@muyumbasimba7035 6 жыл бұрын
Wacha weeeee........., nacheka kimanyema khwaaaa... khwaaaaa..... khwaaaaa.... khwaaaaaa............
@thomasmhindi1469
@thomasmhindi1469 6 жыл бұрын
Inawezkana hamuelew ,, RAIA n mtu gan,, hv mnadhan raia n mtu aliezaliwa nchini .... Its full story of living style of a person and uzalendo matters not kila mwenyej n raia
@tendatanzania8358
@tendatanzania8358 6 жыл бұрын
Jamani serikali Kama mnaona kigoma sio Tanzania bhasi igaweni Burundi au iuzeni Kwa Burundi tujueni moja sio mnawapa vikwazo ndugu zetu
@georgebalele2129
@georgebalele2129 6 жыл бұрын
Timing ni tatizo "kwa nini sasa au kwa nini baada ya.. "
@rebeccamoshi6549
@rebeccamoshi6549 6 жыл бұрын
Watashindana lkn hawatashinda, kakobe ww ni mtu wa Mungu, omba sana Mungu ashuhulikee na hawa waovuu tumechokaaa
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Kakobe pole sana sana wewe NI Mtanzania kabisa bila hata kujitetea
@stevenmamba2464
@stevenmamba2464 6 жыл бұрын
Serikali ya kuwatafutia visa wananchi wake ni serikali ya kishenzi na ukweli utabaki ukweli. AIBU AIBU AIBU
@bibukaelias9900
@bibukaelias9900 6 жыл бұрын
Kama mnaona cc watu was kgoma CIO was tz bac tuacheni cc na kgoma yetu ili tuwe nchi inayojtegemea coz hats maendeleo naona mmetuacha nyuma c km mikoa mingne
@nicolausekama5976
@nicolausekama5976 6 жыл бұрын
Baada ya utoto na ukurupukaji wa tra na sasa immigration...kisa kukosolewa na kuambiwa watubu.Toba inawahusu wote Bila kujali vyeo vya duniani na vya muda.Hongera mtumishi.Mkuu aliepungukiwa na akili uwaonea Sana wake... mithali...
@wariobawtanzania5548
@wariobawtanzania5548 6 жыл бұрын
Ukiona Institutions za serikali zikitumika isivyo badi inatia ugumu hata katika ulipaji wa kodi. Pindi wananchi watakapozinduka katika hili basinmambo yataenda sawa ila kwa sasa vibaraka wataongezeka
@hadija846
@hadija846 6 жыл бұрын
Uonevu wa hari ya juu pole sana baba👍
@aliethlwaitama9592
@aliethlwaitama9592 6 жыл бұрын
Watashindana lakini hawatashinda kamwe
@gideonimathew6491
@gideonimathew6491 6 жыл бұрын
Naipenda Tanzania yangu. Ila inanipa mawazo kwa jinsi inavyopelekwa
@stephanothomas3585
@stephanothomas3585 6 жыл бұрын
Hawa watumish wa Mungu hawajawai kuteteleshwa kifalaa!!.. Wako imala km Safina....
@donaldnelson9226
@donaldnelson9226 6 жыл бұрын
Mungu akupiganie wataangaika sana.
@sammabula7359
@sammabula7359 6 жыл бұрын
nadhan serikali imekosa ubunifu...... inafanya vitu hadi watanzania wote tunajua kuwa ni figisu....... nadhan mnajiaibisha
@fredrickmathias6478
@fredrickmathias6478 6 жыл бұрын
Sam Mabula kabsaaa yaan hadi aibu
@officialkamdudu
@officialkamdudu 6 жыл бұрын
Uhamiaji mnazingua ujue ? Yaani mtu ana miaka zaidi ya 70 hapa nchini eti leo ndio mnahoji uraia wa mtu ? Cha kushangaza anayehoji inawezekana anazidiwa hata historia ya nchi yenyewe. Mnazingua bhna tumewachoka
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Pole sana Ndugu yangu
@larickmtui2852
@larickmtui2852 6 жыл бұрын
Jifunze kuhubiri zaidi yahusuyo njia yakumuelekea mwenyez mungu na maisha baada yakifo siasa muachie gwajima
@hechechacha4032
@hechechacha4032 6 жыл бұрын
Larick Mtui hujitambui kabisa
@larickmtui2852
@larickmtui2852 6 жыл бұрын
Heche Chacha wewe unaejitambua point yako niipi au unataka nikupe Kiki?
@hechechacha4032
@hechechacha4032 6 жыл бұрын
Ninyi ccm mnasumbuka Sana kwa kweli na siasa za vitisho
@kajolomaganya6184
@kajolomaganya6184 6 жыл бұрын
Haaha,,,viongoz wa srkl acheni mambo ya kitoto na kijinga ,,,kwani kigoma ni tz,,? Mnaing'ang'ania ya nini?
@jummawetu
@jummawetu 6 жыл бұрын
yayaya kweri watuludishie mkoa wetu burundi kwani story inaonyesha kwamba kigoma ilikua kwa inchi ya burundi namwenye alie saini mkataba na wajerumani angali hai burundi kwahio choko choko hizo italeta shida kwa mkoa wa kigoma ushahidi tunao
@willymartinmartin8885
@willymartinmartin8885 6 жыл бұрын
jumma edward msenge we ko unataka utawaliwe n.a. nchi ndogo kuliko mkoa wako this is Tanzania kama mnampango na muhutu mwenzio muichukue kigoma mtakufa
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 6 жыл бұрын
Hahahahahahaha
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 6 жыл бұрын
willymartin martin Haujaelewa wewe. Huyo ni mrundi anasema sisi watanzania tuwarudishie wao mkoa wao wa Kigoma 😀😀
@fokasiinnocent3448
@fokasiinnocent3448 6 жыл бұрын
jumma edward je mtwara au bukoba au ngara ,cjui wanarengo gani!!!
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 6 жыл бұрын
sasa mnatafuta laana kubwa kabisa" hivi Ras huoni haya kwa nini usikemee mambo kama haya mtumishi wa mungu anahangaishwa hivi mtaletea nchi balaa kubwa matapata majibu subirini
@allenikaduma1488
@allenikaduma1488 6 жыл бұрын
Thanks
@altonkanjolonga2380
@altonkanjolonga2380 6 жыл бұрын
MUNGU IBARIKI TANZANIA
@ccmchadema8107
@ccmchadema8107 6 жыл бұрын
kama vp wazishe viongoz yote adi rais wetu achunguzwe
@hudhud2022
@hudhud2022 6 жыл бұрын
ccm chadema sawa sawa
@hudhud2022
@hudhud2022 6 жыл бұрын
ccm chadema itakuwa wazo zuri kila mtu afanyiwe hivyo na kweli tunaona fahari kuwa Wazanzibari au Watanzania
@googleskills7049
@googleskills7049 6 жыл бұрын
Angalieni sana enyi wenye dhamana mnachuma dhambi bure ,nayo dhambi itaitafuna taifa mbona mnalinajisi taifa kwani kuwabambikizia watu kesi kwanini mnaikataa kweli na haki
@naturelle1097
@naturelle1097 6 жыл бұрын
many if not all Africans are not originally from where their ancestors came from.
@ibrahimbalhawasel5458
@ibrahimbalhawasel5458 6 жыл бұрын
KAKOBE NA AMINI UMIZALIWA TZ NA PIA NI MTANZANIA,LAKINI BIRTH CERTIFICATE KWA TANZANIA ZIMIANZA KUTOLEWA ZAMANI KIDOGO SIKUMBUKI WAMEANZA KUTOWA LINI,MIMI NIMIZALIWA 1956,NILITOA BIRTH CERTIFICATE 1971,KWA KUPELEKA BOMANI MASHAHIDI WANAO NIJUA.
@tendatanzania8358
@tendatanzania8358 6 жыл бұрын
Kumbe ndio maana yule dogo aliye mshitaki baba ake Antoni petro halikuchukuliwa kwa uzito sana Kwa sababu walidhani sio M-bongo Land Pole sana Tanzania Pole sana na ninajuta..
@chuimnyama9074
@chuimnyama9074 6 жыл бұрын
BABA LAKINI SIULIWAITA WAJE WAKOPE HELA HIYO CHEZA NAO SASA KELELE ZA NININI????
@seniornyungu9718
@seniornyungu9718 6 жыл бұрын
Hussein Bashe pia alihojiwa baada ya Kuwasema,,,,,,,,,,,, ,,,,,,,,!
@francolazaro8646
@francolazaro8646 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Nchi hii bhana... Wakishndwaga ndo wanasakizia uraia 😁😁😁😁😁😁😁...
@promramson80
@promramson80 6 жыл бұрын
Fransis Paris 😀😀kweli kabisaaaa
@francolazaro8646
@francolazaro8646 6 жыл бұрын
😂😂😂Waje wanikague na me maana Ata me sijielew elew na uraia😁😁😁
@hosearwechungura7164
@hosearwechungura7164 6 жыл бұрын
Mungu akiwa upande wako, n nan aliye juu yako?
@neemambuja435
@neemambuja435 6 жыл бұрын
ukitaka kuona maajabu Saba ya duniani hili nalo limo tena tz yangu ole wako uwambie akina nanihii ukweli utayalishe vyeti vya kuzaliwa la sivo
@afomabula8487
@afomabula8487 6 жыл бұрын
mi nashangaa kwanini miaka yote hiyo hakuchunguzwa uraia wake mpaka alipoanza kukosoa?
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 6 жыл бұрын
Nimeipenda punch moja ‘ ‘kama ni URAIA watafute kitu kingine’...!...Yaani Maana yake wanapoteza muda..!
@georgekayambaafrica2182
@georgekayambaafrica2182 3 ай бұрын
Who is this man?
@josephinedavid3072
@josephinedavid3072 6 жыл бұрын
Vumilia kidogo tuone mwisho maana NENO LA MUNGU LINASEMA HERI MWISHO WA JAMBO KULIKO MWANZO ,
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 6 жыл бұрын
Kule wakimbizi wengi na vile ulikosa uzalendo ,vile vile mbishi hivyo nikawaida tu sio ajabu tujilizishe ,
@afomabula8487
@afomabula8487 6 жыл бұрын
Ni tatizo kubwa sn hili,bila ukosoaji nchi haitaenda
@djbizo425
@djbizo425 6 жыл бұрын
serikali isiwasumbue watu wa #KIGOMa jamani
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 6 жыл бұрын
Viongozi wetu mnaongoza vizuri na tunawapenda.ila mbona mtu akiongea maneno ya kuwakera mnafanya figisu figisu? Hivi kakobe anazeeka ndio mnakumbuka Leo uraia wake? Mnatukera sasa
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 6 жыл бұрын
Mzee fanyakazi ya mungu achana na siasa mbona wenzenu nchi za nje wanajihusisha na dini tu siasa ni yawanasiasa nyie mnatakiwa kuombea amani tu nasivingine
@alibenhimidibenhimidi8982
@alibenhimidibenhimidi8982 6 жыл бұрын
Hivi Kweli Idara Ya Uhamiaji Inaoujasiri Wa Kuwauliza Uraia Na Vyeti Vya Kuzaliwa Vya Mababu Na Mabibi Wa Marais Wote Wa Zanzibar Au Tanzania Bara ?. Wa Kabila La Wangazija Visiwani Zanzibar Wamo Katika Kusumbuliwa Bara Ana Nondo ,Mukizi Na Sasa Askofu Kakobe. Jenerali Ulimwengu Na Wengi Wengineo . Uhuni Huu Utaisha Lini ?.
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 6 жыл бұрын
Mi ni kuambi Ndugu hii nchi zuli sana nahaina ubaya usitie ubaya ,wala watumishi Wa MUNGU hawaku Fanya hivyo walikua watii nahii ni neno LA MUNGU
@ansigarkichenge3811
@ansigarkichenge3811 6 жыл бұрын
Inaenda WAP tz? Nasogea goligota
@hechechacha4032
@hechechacha4032 6 жыл бұрын
Ansigar Kichenge kweli kabisa
@mancankwee5740
@mancankwee5740 6 жыл бұрын
Tatizo serikal haitaki kukosolewa Ndo mana inakuja KWA NIN
@hechechacha4032
@hechechacha4032 6 жыл бұрын
Yaani serikali inasumbuka na mtu mmoja tu kiasi hiki yaani mnatia aibu kwa kweli
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 6 жыл бұрын
Lakini mzee si umeaita waje wakope hela kwako, ndo mwanzo huyo wewe mtumishi wa bwana kushinda mahakamani nadhani unajutiya kauli zako!
@omarikessy2339
@omarikessy2339 6 жыл бұрын
Lakini askofu Kiswahili chako ni cha kutafuta sana nini tatizo au laughs gani ambayo unatumia nyumbani kwako
@priscamangera5606
@priscamangera5606 6 жыл бұрын
Omari Kessy we siumezoea kiswahili cha kijiweni we una mwona mtu wakijiweni huyo.?
@salaammtafya8790
@salaammtafya8790 6 жыл бұрын
Mtumishi mwache bwana. Apigane
@harunmruma2291
@harunmruma2291 6 жыл бұрын
Inatia uchungu sana, tujenge nchi
@saidiramadhan6237
@saidiramadhan6237 6 жыл бұрын
mtihani huu sasa
@nurumahenge3836
@nurumahenge3836 6 жыл бұрын
Lakini mtu hata Kama sio mtanzania Si anaruhusiwa kununua uraia wa nchi yoyote
@mohammedsalim6398
@mohammedsalim6398 6 жыл бұрын
sawa tu ni vema Kama umetoa maelezo yako mzee
@kuchiafricancinema
@kuchiafricancinema 6 жыл бұрын
Hahahaa mzee wanataka wakupeleke nchi gani?
@jamessebastian8024
@jamessebastian8024 6 жыл бұрын
Saddy Junior wampeleke marekani
@chriskitching4510
@chriskitching4510 6 жыл бұрын
Nimejifunza kitu Mimi mwenyewe Babu yangu akifa nitaomba Azikiwe sebureni
@anthonysubije4744
@anthonysubije4744 6 жыл бұрын
Akinamagu na akinabashite waende uhamiajiiiiiiii
@amedeusikimey8040
@amedeusikimey8040 5 жыл бұрын
mj
@MrSoftBrains
@MrSoftBrains 6 жыл бұрын
Mtanzania ni nani?
@paulmmanda1783
@paulmmanda1783 6 жыл бұрын
naanza kutumia kingereza tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu iko siku msiponieewa mtaniuliza uraia.
@juliuselifasi8858
@juliuselifasi8858 6 жыл бұрын
Tz ingeuzwa2 kila mtu apewe chake ajue anaenda wap🏃🏃
@paulmmanda1783
@paulmmanda1783 6 жыл бұрын
mwenyewe kaburi lako ni futi moja kwa tano, unautaka uraia wangu mtanzania mwenzako ukusaidie nini? upunguani mtupuu
@rosekingalu9930
@rosekingalu9930 6 жыл бұрын
Babu passport hawAkupi 🤔😪wamekupa moyo uanshanga unapewa mwakan passport yako lol Tanzania 🇹🇿 yangu 😫
@yassinnmdaki1097
@yassinnmdaki1097 6 жыл бұрын
Hakuna jipya, tumieni mbinu nyingine!
@kasongolugina6907
@kasongolugina6907 6 жыл бұрын
Mbona mtukufu ulaia wake ni Wa mazhaka ole wako labda ufie madalakani
@almulkukwiha5285
@almulkukwiha5285 6 жыл бұрын
Ww ndo unaona umeguswa Masheh Wa Zanzibar wako wapi
@RAUNATION
@RAUNATION 6 жыл бұрын
Hii nchi niyavigogo sio ya wannchi
@upendorobert7298
@upendorobert7298 6 жыл бұрын
mbona Mbeya hawaambiwi ni wa ZAMBIA, au WAMALAWI? why kigoma tuu?
@kibilawazebanga7455
@kibilawazebanga7455 6 жыл бұрын
Arudi kwao Burundi yeye na Nondo
@masudiitembele5414
@masudiitembele5414 6 жыл бұрын
mzeee piga albadili uteketeze wote wanao onea watu WAMETUCHOSHA bhanaaaa
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 6 жыл бұрын
Kwakweli serekali ytu inapotea
@adamkindole9734
@adamkindole9734 6 жыл бұрын
Wakupeleke sasa wanakojua ni kwako
@evodiusezekiah768
@evodiusezekiah768 6 жыл бұрын
Huyu si mtu wa mchezo mchezo
@hechechacha4032
@hechechacha4032 6 жыл бұрын
Ina maana askofu kutoa mawazo mbadala amekuwa sio raia
@kingommy2393
@kingommy2393 6 жыл бұрын
😂😂😂 itabidi iwe operation ya nchi nzima inawezekana na yeye ni wa huko maana hatupati story ya hospital alio zaliwa
@chassesinamba3561
@chassesinamba3561 6 жыл бұрын
jpm naetujue uraia wake wazinza niwahutu kabisa wamehamia mwanza auwakimbizi wamepandikizwa inchi zamaziwa makuu
@wilhelmibaganisa8143
@wilhelmibaganisa8143 6 жыл бұрын
chassesi Namba Acha ushamba ww wazinza siyo wahutu , wazinza chimbuko lao ni kutoka Nkole (buganda empire) sasa Uganda !! enzi zile za miaka ya 18000 !! miongoni mwa makabila ya asili mkoa wa mwanza ni wasukuma , wazinza na wakerewe!! wazinza si wahutu!! thuswhy wazinza lugha na utamaduni wanaendana na Wahaya!! wazinza wako Sengerema mwambao mwa ziwa victoria kisiwa cha kome , geita, chato!!
@jeffcash5437
@jeffcash5437 6 жыл бұрын
Kwikwikwikwi
@semanasitv8303
@semanasitv8303 6 жыл бұрын
samahani jk
@nahodahamis9014
@nahodahamis9014 6 жыл бұрын
Bado magufuli ajifunze siasa
@hamadshein935
@hamadshein935 6 жыл бұрын
Mie wakiniita tawaambia raia wa Uswis tuone kama watanipeleka.
@imnially3242
@imnially3242 6 жыл бұрын
Hamad Shein ha ha ha haa!!! Umeniacha hoi!!!
@henryndosi8569
@henryndosi8569 6 жыл бұрын
Inakuwaje wakuhoji tangu zamani? Ina maana wana mashaka na wewe, acha kujishika na watu wengine mzee, usihojiwe wewe ni nani acha ujanja ujanja
@ibrahimally6455
@ibrahimally6455 6 жыл бұрын
Ahahhahahahahhahahaha ndii ndo Tz bna tunaelekea kma Rwanda 😂😂😂
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 6 жыл бұрын
ha ha ha haaaaaaaa. Eti kiswahili changu ni kizuri kuliko cha wale waliokuwa wakinihoji. Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@isayajohnson2150
@isayajohnson2150 6 жыл бұрын
Yaani mtumish ni kwamba ww kiswahili chako ni kizuri kuliko cha hao wanaokuhoji? 😂😂😂😂
@kingkiwango1435
@kingkiwango1435 6 жыл бұрын
Jamn watz tunaenda wap
@nyamitmm1227
@nyamitmm1227 6 жыл бұрын
Unafiki mkubwa wa serikali
@tumainmatokeo586
@tumainmatokeo586 6 жыл бұрын
kgm wanateswa
@kingommy2393
@kingommy2393 6 жыл бұрын
kibila wazebanga hata wewe uende kwenu Kongo
@kingommy2393
@kingommy2393 6 жыл бұрын
vpi bashite kaonyesha
@fgjjgbnko4383
@fgjjgbnko4383 6 жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa shetani
@emmanuelikipinga7517
@emmanuelikipinga7517 6 жыл бұрын
Chz usie jtambua
@jamessebastian8024
@jamessebastian8024 6 жыл бұрын
Fgjj Gbnko shetan baba ako
@fgjjgbnko4383
@fgjjgbnko4383 6 жыл бұрын
James Sebastian 😂😂💃
@fgjjgbnko4383
@fgjjgbnko4383 6 жыл бұрын
Twiga mbunda 😅😅😉😉
@fgjjgbnko4383
@fgjjgbnko4383 6 жыл бұрын
Emmanueli Kipinga 😁😁😄
@fgjjgbnko4383
@fgjjgbnko4383 6 жыл бұрын
Jeshi gani ulojiunga tapeli mkubwa ww😞
@josevuri9369
@josevuri9369 6 жыл бұрын
jkt tena oljoro
@jovincostantinedotto8654
@jovincostantinedotto8654 2 жыл бұрын
We nae ka humjui kaa kmyaa
@lameckbalekele2901
@lameckbalekele2901 6 жыл бұрын
Maasikofu hawa nikama nabii tito
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 6 жыл бұрын
Lameck Balekele 😀😀😀
@rashidsuleiman2663
@rashidsuleiman2663 6 жыл бұрын
ZANZIBAR MTOTO AKIZALIWA TU NDANI YA MIEZI 3 ANAPATIWA CHETI CHA KUXALIWA, NASHANGAA SANA MTU ANAFIKIA KUWA MZEE TANGANYIKA ANAKOSA CHETI CHA KUZALIWA,JIPANGENI NDUGU ZANGU.
@MultiMbongo
@MultiMbongo 6 жыл бұрын
rashid suleiman kwa Nini hujaelewa mbona kaeleza.mwaka 1955 hiyo Zanzibar ilikuwa pengine hata karatasi walikuwa nazo waarabu tuu
@jamessebastian8024
@jamessebastian8024 6 жыл бұрын
rashid suleiman rudia kumsikiliza vizur birth certificate imeanza kutolewa mwaka 1981 yeye kazaliwa 1956 sikiliza kwa makini kaka
@chuimnyama9074
@chuimnyama9074 6 жыл бұрын
HILA WEWE ULIWAHITA MWENYEWE NDOOO WAMEKUJA SASA ANGAIKA NAO SASA BABA MCHUNGAJI
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 6 жыл бұрын
Natamani ningezaliwa Oman maana hakuna mitafakaruko baina ya serikali na wananchi wake.
@amonmathias2945
@amonmathias2945 6 жыл бұрын
Mungu ni mungu zee wa ngu simama tuu
@mwingaapolinarymatusisiois1326
@mwingaapolinarymatusisiois1326 5 жыл бұрын
kama huwezi kuchangia usimtukane mtumishi wa MUNGU
KAKOBE: Mtu anayeitaka Tanganyika ana Mungu ndani yake
5:11
Wess Right
Рет қаралды 64 М.
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 28 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 36 МЛН
ASKOFU KAKOBE -  "MAGUFULI Ole Wako, Mimi ni Mbishi Sana"
7:03
Global TV Online
Рет қаралды 36 М.
Askofu Kakobe Mbele ya Magufuli "Wewe ni Shujaa"
13:29
Global TV Online
Рет қаралды 81 М.
Mbwembwe zangu ziliniponza-Askofu Kakobe
1:44
TBConline
Рет қаралды 2,1 М.
ASKOFU KAKOBE AKIHUBIRI - "HATA Uwe BILIONEA UTAKUFA Tu"
57:11
Global TV Online
Рет қаралды 18 М.
BISHOP KAKOBE ASHINDWA KUJIZUIA HADHARANI!
5:28
WAPO TV ONLINE
Рет қаралды 22 М.
Ibada ya Krismas kwa Askofu Kakobe
1:40:39
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 10 М.
LIVE: ASKOFU KAKOBE ANAZUNGUMZA MUDA HUU KWENYE KONGAMANO LA JKK
3:14:02
Ей разбили нос!😭
0:59
Petr Savkin
Рет қаралды 3,4 МЛН
Они научили её летать! 🤯
0:20
MovieLuvsky
Рет қаралды 2,5 МЛН
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
0:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 87 МЛН
Невероятный трюк от шефа!👨‍🍳😎 (@uschneebao)
0:25
Взрывная История
Рет қаралды 2,5 МЛН