haya ndo maubiri tunayohitaji katika kipindi hiki,asante YESU kwa neno hili
@sarahpetro44184 жыл бұрын
Barikiwa sana SYLAs TV kutuletea mahubiri ya baba yetu moses kulola nabarikiwa sana na ujumbe wake hakika unagusa mtendo ya kila mmoja
@Mroni5451 Жыл бұрын
Ole wangu nisihihubiri injili
@CHRISTINAMBWAMBO-ww1py Жыл бұрын
Umetwaliwa lakini kazi ya mungu ulioifanya inatenda kazi hata sasa mana tunaponywa na kubadilishwa kupitia mahubiri haya.
@gabriellyadam94154 жыл бұрын
jamani Silass tv niwatie moyo tuko pamoja sana.nafatilia na napenda sana mafundisho haya ya dr.kulola.naombeni muendelee kurusha bila kuchoka kuna watu tunapona mwili na Roho.hii ni injili pekee haipatikan popote tena.ilihubiriwa ikaokoa na mpaka leo inaendelea kuokoa kwa sauti hii.Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu kwa kutujali.mmewekewa taji mbinguni.
@samwelmahenge41523 жыл бұрын
Amoke SANGA mahubiri mzr sana nimeguswa sana
@ruthmwasomola39074 жыл бұрын
Uyu mungu wetu afananishwi nanadamu yeye nimukusana
Ndugu yaani kwa maisha ya sasa unatakiwa wewe ndio uinuke kuanza kuyaishi haya kwa nguvu zote hasa kwa njia ya MAOMBI MENGI kila siku (uombe angalau masaa mawili) na hapo ndipo utaweza kubadilika, nje na hapo haiwezekani ndugu.
@gabrielcosmas39062 жыл бұрын
Ninataman Roho wa mungu asimame ili wahubiri wengine Kama DR kulola wainuliwe.
@justinaninga1354 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana mtumishi na mafundisho yako
@jaredkaingu67332 жыл бұрын
Pia mim nabarikiwa sana katika mahubiri yake mtumishi huyu, Mungu ni mwema.
@salomeandrea9444 жыл бұрын
Balikiwa sana baba rip
@rechomethod82883 жыл бұрын
Ameni baba Moses kulola, muhubili haya yananibadirusha Sana barikiwa baba,
@seifhamadi78954 жыл бұрын
Hakika neno hili limenigusa sana
@faidakatana91904 жыл бұрын
Mungumwema
@nsiamassawe30754 жыл бұрын
Mungu tunaomba utupe wahubiri Wa namna hii.
@pastorgodsonjohn85624 жыл бұрын
Ni wewe
@eliasndabahinyuye54004 жыл бұрын
Nsia Massawe mungu akubariki
@HelbethMlelwa4 жыл бұрын
Tafuta namna wewe ndio uwe mhubiri wa aina hiyo, wewe uwe sababu ya baraka ya wengine. Yaani umtafute Mungu kiwango cha kuwa kama kulola, INAWEZEKANA mimi ni mmoja kati ya watu wanaotafuta sura hiyo.