DUNIA (Ep 46)

  Рет қаралды 766,740

ASMA FILMS

ASMA FILMS

Күн бұрын

#dunia

Пікірлер: 5 400
@NeemaEzron
@NeemaEzron 7 күн бұрын
Sema asante mungu kwa kuimaliza January salama ukiwa na afya tele❤❤❤
@MeshackBlasio-o8d
@MeshackBlasio-o8d 7 күн бұрын
Asante Mungu
@AbdallahYasini-h4o
@AbdallahYasini-h4o 7 күн бұрын
Asante mungu
@ayubumbaras776
@ayubumbaras776 7 күн бұрын
Umetishs
@TeresaSefu-i3k
@TeresaSefu-i3k 7 күн бұрын
Asantee mung
@FredrickYustus
@FredrickYustus 7 күн бұрын
Asante mungu
@Albatishabani
@Albatishabani 7 күн бұрын
Acha ni wape maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉, yanyi sija wai ona mutu mwenye hekima yaku hishi na mke kama manyanya namipenda sana toka drc 🇨🇩 ebu nipeni basi na mimi ata kumi tu.
@hayatuanasi
@hayatuanasi 7 күн бұрын
Vipi Hali ya usalama huko?
@herygusto7637
@herygusto7637 7 күн бұрын
Ww unapata wapmda wa kucoment na kwenu kuna vita
@mustaphamores7806
@mustaphamores7806 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@EmileNkunzimana-dg9ky
@EmileNkunzimana-dg9ky 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂Nini mbaya na mwenzako
@BlandinaNsuhuzwa
@BlandinaNsuhuzwa 7 күн бұрын
Jmn yeye yupo sehemu salama​@@herygusto7637
@msanzyahamisstv6184
@msanzyahamisstv6184 7 күн бұрын
Kipindi vai anaomba mwenyezi mungu amrudishie mume mda huo huo mati anaomba mwenyezi mungu amuweke manyanya kwenye maisha yake kweli hii dunia wakati kitu kipo kwako unakiona hakina thaman siku ukija kujuwa hiyo thamani unakuwa umechelewa tujifunze
@MwanasitiBakari-l4v
@MwanasitiBakari-l4v 6 күн бұрын
Kabisa 😅😢
@ChristinaLodrick-xo9je
@ChristinaLodrick-xo9je 6 күн бұрын
Yeah
@tontony1713
@tontony1713 6 күн бұрын
Iii ni kweli
@NdikumanaInnocent
@NdikumanaInnocent 6 күн бұрын
Vai anawashauli wabaya
@isackjackson
@isackjackson 6 күн бұрын
Haswaaa
@Samueljacksons
@Samueljacksons 5 күн бұрын
Manyanya top 1 actar now here in bongo movies hahahahahah is good chukua maua bro 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@allymachejo2996
@allymachejo2996 6 күн бұрын
Ndo ivo tu mambo ya "Gusa Achia Twende Kwako" 😂😂😂🙌
@boyspeed8953
@boyspeed8953 6 күн бұрын
Ubaya ubwela😂😂
@CharlesPastory-d6c
@CharlesPastory-d6c 6 күн бұрын
Jamani Vai ndoa haijalibiwi nakitu unacho kipenda hakihitaji hasira utamkufulu mungu bule pole Yako nawapena sana washiliki wote wa sirizi ya dunia mungu awazidishie ujuzi mnatufunza mengi
@manyanya-01
@manyanya-01 6 күн бұрын
mungu awabariki nyote mnaofatilia kazi zetu
@ibrahimamad8442
@ibrahimamad8442 6 күн бұрын
🙋
@JoyceMwalwisi-n7i
@JoyceMwalwisi-n7i 6 күн бұрын
Amina
@DesderiaKanepela
@DesderiaKanepela 6 күн бұрын
Jamani Manyanya nakupenda wewe movie zako,,,uko💪
@MariamMamaRuja
@MariamMamaRuja 6 күн бұрын
Amiin
@GR7bb
@GR7bb 6 күн бұрын
Ameen ❤❤
@RubaleTv
@RubaleTv 5 күн бұрын
Ongera sana Manyanya kwa kuiwakilisha vyema Sanaa na ongera kwa KAZI nzur pia yakuendelea kuelimisha jamii🎉🎉🎉🎉 Gk Kibuka🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SanjerSaimon
@SanjerSaimon 7 күн бұрын
Mdeme ananifurahsha wallah😂😂. Vai pole mwana kuliget mumeo alikupenda lkn ukamdharau tujifunze jmn
@innocentivan-u3r
@innocentivan-u3r 6 күн бұрын
hakika movie hii ni elimu tosha Kwa Wana ndoa Asante sana mwenyezi mungu Kwa kutukumbusha majukumu yetu sisi Wana wako wa kiume na wakike kupitia movie hii nina watakia afya njema washiliki wote wa tamthilia hii ya Dunia.Tuko pamoja
@ZuleikhaMrisho-iw9cy
@ZuleikhaMrisho-iw9cy 7 күн бұрын
Wote mnaongalia movie hii ya dunia Mungu awabaliki sana❤❤❤
@EliasiMambia
@EliasiMambia 7 күн бұрын
Amina
@WillysonShilagwa
@WillysonShilagwa 6 күн бұрын
Aminaa!
@IssaNiyonzima-cx1jo
@IssaNiyonzima-cx1jo 6 күн бұрын
Amiin
@MiriamIdza-j3t
@MiriamIdza-j3t 6 күн бұрын
Amen
@NassimJuma-r8l
@NassimJuma-r8l 5 күн бұрын
Kipande cha 47 bado jamani au vp
@GloriaMumbua-s9x
@GloriaMumbua-s9x 4 күн бұрын
Aki ndoa ya mdeme jameni wanataniana niaje bila ungovii😂😂😂😂😂😂😂😂jameni eti pole rafiki yangu aki surely 😂😂😂😂😂😂
@ShamiraHamza
@ShamiraHamza 7 күн бұрын
Kwenye shida ndio tunamkumbuka mungu,, ee Allah tusamehe waja wako hayo ndio madhaifu yetu hata vai msamehe 🎉🎉
@mmmh-s4w
@mmmh-s4w 7 күн бұрын
We mbona chombo ya kwenda alafu una vitu zangu kabisaa😂😂😂😅😅 wanaomkubali Mdeme weka like zake hapaa
@RidhiMajidi
@RidhiMajidi 7 күн бұрын
Nip na ww fam😂😂😂
@cheupeomarijasho748
@cheupeomarijasho748 7 күн бұрын
Hii comment ndo nilikua naitafuta😅😅
@MariaSalim-u5z
@MariaSalim-u5z 7 күн бұрын
Simpendi mdembe anamadharau 😂😂😂😂
@UmayyaMunisi
@UmayyaMunisi 7 күн бұрын
Nipate mwamba anambie kubabake nawauza wote humu😂😂
@faidamuhamed3011
@faidamuhamed3011 7 күн бұрын
Ana naneno yake ya kihuni kweli
@diseladaniel600
@diseladaniel600 6 күн бұрын
Naipenda dunia. Tumeanza nanyi familia zote hazina watoto hapa tupo mpaka manyanya apate watoto wa pande zote mbili na sind apate mtoto wa aman. Twende sawa😂😂
@ElishaShibanda
@ElishaShibanda 2 күн бұрын
Kuna watu wanajua kuingiza Sio utani
@TifaSaid
@TifaSaid 5 күн бұрын
Nimefulah Leo kumuona mshang'@z, mauwa yake mshangaz🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@Manyanya.Manyanya
@Manyanya.Manyanya 7 күн бұрын
Tunawapenda sana endeleni Ku enjoy na Tamthilia YETU pendwa ya Dunia 🙏 ila ningependa kuwa omba mnifollow piah kwa upendo wenu ndugu zangu nyinyi ndo kila kitu kwangu🙏 Thanks all for support
@kingfocustzog
@kingfocustzog 7 күн бұрын
Kaka hiii chuma ebu kwa wiki iwe inatoka mara tatu
@daviderasto192
@daviderasto192 7 күн бұрын
Umejificha wapi? Au ndio upo kwa mati?❤❤❤
@MarryGodwin-b5t
@MarryGodwin-b5t 7 күн бұрын
@SabrinaChacha-l5f
@SabrinaChacha-l5f 7 күн бұрын
Jaman Vai yupo kwenye maombi huku kamkumbuka na mungu wake ety fanya urud maana hii lig haiwez kwel ​alijua shirikisho kumbe kilabu bingwa @@daviderasto192
@edithcasmir2565
@edithcasmir2565 7 күн бұрын
Siyo mara tatu tu ila hata ikiwa kila siku ni sawa tu afu isiiishe 😅😅😅😅maana kuna mambo kwa kupitia hii movie yenu nimeyabadilisha🫶🏽🫶🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽yaani Mungu mwenyezi azidi kuwabariki sana na miwe juuu kimataifa❤
@natashadaniel5099
@natashadaniel5099 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 ila mdeme jamani, ety nimeshikwa sana 😂😂😂 jamani tunao enjoy kuiyona hii familia na vituko vyao tujuane apa 😂😂😂😂🎉
@iddkessy
@iddkessy 7 күн бұрын
Familia ya Mdema Kwa Sasa ipo motoo kuliko hata Kwa Cindi
@VioraKaaya-z5t
@VioraKaaya-z5t 7 күн бұрын
Tuko pamoja ​@@iddkessy
@MercyMapenzi-u3p
@MercyMapenzi-u3p 7 күн бұрын
Nawapenda paka bas😂🎉🎉
@ScolaNalle
@ScolaNalle 7 күн бұрын
Wanaishi kisela sana 😂😂😂😂😂
@RosenatzPetro-pg7zd
@RosenatzPetro-pg7zd 7 күн бұрын
Acha an mndeme apo kwenye hii sin kacheza kama mpale haswaaa
@isayamandawi2458
@isayamandawi2458 6 күн бұрын
Mdeme mzee wa vitu vyang unaua kinoma bro 🎉🎉
@AshaKiongozi-n5u
@AshaKiongozi-n5u 6 күн бұрын
Baba asma 🎉🎉🎉 ulitulia saan hongera kwako ombi ukimaliza Dunia lete ingine Kali tunakupenda saan
@NaomyJohn-hd4bq
@NaomyJohn-hd4bq 7 күн бұрын
Hahaahahah jmn ndoa ya mdeme,,,unatakiw mwanamke humzoee tu mmeo,,man ukinuna utakufa mapem😂😂😂😂
@agnestunu5527
@agnestunu5527 7 күн бұрын
hii ndoa ya mdeme ni uhalisia wa ndoa ya dadangu😂😂😂 mm huwa nasema si waachane tu
@EsterEmmanuel-k8i
@EsterEmmanuel-k8i 6 күн бұрын
😂😂😂😂
@UtulivuHalisi-fq9ii
@UtulivuHalisi-fq9ii 6 күн бұрын
😂
@shedyeliud4083
@shedyeliud4083 6 күн бұрын
L Nimechekaaa hadi looo
@ToqVasco
@ToqVasco 6 күн бұрын
Usikute basi nindoa yako ila unambambikizia dada yako😂😂 make wabongo
@Shakila-pq2gv
@Shakila-pq2gv 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂​@@ToqVasco
@KwochaNkulu
@KwochaNkulu 7 күн бұрын
Mjifunze kitu apo : umejifunza nini tangu mwanzo !! From DRCongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@AmiriallyAhamadi
@AmiriallyAhamadi 5 күн бұрын
Hii filam isiishie hapa maana mambo ya dunia bado hayajaisha kwan mmefanikiwa kuonesha maisha ya ndoa but bado mambo kama rushwa ya ngono unyanyasaji uongozi mbaya
@mankinishee
@mankinishee 7 күн бұрын
Sema familia ya mndeme inanipa furaha mungu awazidishie umri 😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉nawapenda nyie❤❤❤
@UmurutasateKhululaini
@UmurutasateKhululaini 7 күн бұрын
Hatamimi nawapendasana ila flm yote waliomo niwa Junius sana
@buritya6125
@buritya6125 7 күн бұрын
Wanani furahisha sana hawo watu wawili
@IdrisaAbdullah-xo6hs
@IdrisaAbdullah-xo6hs 6 күн бұрын
Sana yan
@DevothaDaudi-s1c
@DevothaDaudi-s1c 5 күн бұрын
😂😂😂😂
@jacobmwaseba9142
@jacobmwaseba9142 5 күн бұрын
nampenda yule mwanamke kwa sababu hakasiriki yani yeye mda wote ni furaha yani wanaishi Kama marafiki, anamjua mume wake vibaya
@fahmafongo-s1t
@fahmafongo-s1t 6 күн бұрын
Kazi nzuri unaendelea kufanya vizur manyanya sisi wanawake tunaunguza na mboga kiss kuang alia dunia.
@Esther01-g1h
@Esther01-g1h 7 күн бұрын
Tujifunze kuwaeshim wenza wetu ili kudumisha mahusiano,hiyo inasaidia kuongeza upendo na kuepusha matatizo,,nawapenda♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@SelinaDorcas
@SelinaDorcas 7 күн бұрын
Nikweli kabisa I love more
@NyamambaraLey
@NyamambaraLey 7 күн бұрын
Wengine n pasua vichwa
@JemaMsule
@JemaMsule 6 күн бұрын
Sichoki kuitazama hii move jaman .......unafunza mengi sana🎉❤❤❤❤
@JanethKimbindu
@JanethKimbindu 7 күн бұрын
vai mtu bhn tusimkumbuke mungu kwenye matatizo tumkumbuki ata kwrnye raha🎉🎉🎉sina acha ya kufundwa tena nafundwa na DUNIA.
@moreenrehema1347
@moreenrehema1347 7 күн бұрын
Kbs yani😂😂
@Johnbida7559
@Johnbida7559 7 күн бұрын
Mungu azidi kuwabariki watayarishaji na watazamaji wa film hii 🙏
@KINGABUMEKAR
@KINGABUMEKAR 7 күн бұрын
ANAYEIONA HIII COMMENT MUNGU AMLINDE NA MABALAAA YA HAPAA DUNIANIIII AMPEEE MWISHO MWEMA AMEEN
@MiracleMark-i9y
@MiracleMark-i9y 7 күн бұрын
Amen
@RabiaSaid-sh1km
@RabiaSaid-sh1km 7 күн бұрын
Ammin
@RoseAinea-q8u
@RoseAinea-q8u 6 күн бұрын
Amen 🙏
@GressRichard
@GressRichard 6 күн бұрын
Amen
@SakinaHemedi
@SakinaHemedi 6 күн бұрын
Amiiin
@BeatriceMvaty
@BeatriceMvaty 4 күн бұрын
Mbegu aliopanda imeota😂😂 vai n mam mshauri kapata weeeeeee
@MelinaMerlins
@MelinaMerlins 6 күн бұрын
Leo Vai kamjua mungu 😂😂😂 wachezea ndoa ww
@PatrockilJohn-s3p
@PatrockilJohn-s3p 7 күн бұрын
Mungu ndo Kila kitu ndo maan kawapa nguvu na uwezo wa kufika Hadi leoo hii 🙏🙏👍💯
@NusratDotto
@NusratDotto 6 күн бұрын
Uwiii mdeme leo kavunjaaa recodi anataka kubaka mke😂😂😂😂😂
@gloriaburamu8818
@gloriaburamu8818 6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MuthomiKelvin-q1w
@MuthomiKelvin-q1w 6 күн бұрын
Hapo ka bro ndio Mdeme ameskia uzito
@ZandaIssa-w8z
@ZandaIssa-w8z 6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@JanethiJason
@JanethiJason 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@tumainmkinga1190
@tumainmkinga1190 5 күн бұрын
😂😂😂
@ElizabethSwetala
@ElizabethSwetala 6 күн бұрын
Mmmmmh kumbe vai anajua kuomba kama hofu ya mungu angekua nayo tang mwanzo lakn saiv mda sio wake pole sana
@KarolinaOman
@KarolinaOman 7 күн бұрын
Kwa maombi sawa kabisa Vai ila sasa Imani bila matendo kazi bure ,kikubwa kubadilika kwanza Vai ,walio muhurumia Vai tujuane kwa like hapa ❤❤❤❤
@AngelisterGervas
@AngelisterGervas 6 күн бұрын
Naipenda sana hii series... Mungu awazidishie maarifa... Hongera director unafanya kazi kubwa sana
@MoTalentTz
@MoTalentTz 6 күн бұрын
Sema kwenye movie hii ya dunia kuna hili penzi la Mndeme nalo siyo powa😅😅😅😂😂😂
@EvaWide
@EvaWide 4 күн бұрын
Team dunia forever nawapenda sana❤ mwezi wa pili ukawe mwezi wa baraka kwenu nyote🙏
@MarryMethodi
@MarryMethodi 7 күн бұрын
Vai umevunja ndoa yako Kwa mikono yako mwenyewee usimshilikishe Mungu Kwa ilo pambana Na Hali yakoo😄😄
@JacksonChimataa
@JacksonChimataa 6 күн бұрын
Vai umenifundisha kitu kikubwa Sana Mungu akubarki sana wanawake wanapaswa kuwa kama wew katka sehemu ya kumrudia Mungu ili kujua kuwa ni wap umekosea big up
@SuleMondi-l2o
@SuleMondi-l2o 6 күн бұрын
Uyo bad hajajua wala hajajifunza ndo kwanza Anaamin mumewe karogwa sijui roho za mapepo wakati yy ndo mchawi mwenyew Alosababisha yote 😂
@MarynahAloyca
@MarynahAloyca 6 күн бұрын
Mungu wewe ndio dereva wetu wanaishia yetu tupiganie Mungu. Kama unampenda Mungu sema Amin 🤲
@JoseDuas-o8k
@JoseDuas-o8k 6 күн бұрын
Mnvn vuri
@MariamuKaisi
@MariamuKaisi 6 күн бұрын
Amiin
@JoseDuas-o8k
@JoseDuas-o8k 6 күн бұрын
Om dangote Simba ok
@GivenessNnko-c3q
@GivenessNnko-c3q 6 күн бұрын
Amina
@JustinGama-qy1tp
@JustinGama-qy1tp 6 күн бұрын
Amen🙏🏽
@Goal_Scored
@Goal_Scored 6 күн бұрын
Hii muvi nimetokea kukubali sana. Kila wakati naimba. Nipee nipee nipe hesabu ya kukokotoa tuishi milele jibu....❤ Mtupee huo wimbo jamani
@bin-wales
@bin-wales 7 күн бұрын
Hii inaitwa funga mwezi , asante mungu kwa kutulinda tumemaliza mwezi salama
@Hassan-ci2kl
@Hassan-ci2kl 6 күн бұрын
Much love from Kenya 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤ kweli mnafanya Kazi poa sana
@malichanda3146
@malichanda3146 7 күн бұрын
Vai weee Usha chelewa mpenzi 😢😢😢😢manyanya yupo huko anaogeshwa 😢😢😢wala huja logwa
@GiftPallangyo-q5y
@GiftPallangyo-q5y 5 күн бұрын
Et saiv Vai ndo anamkumbuka mungu wakati mda umeisha ...alimfanya mume wake awe hv kweli....mpeni pole kwa like jaman ❤
@mubuyafrancis3979
@mubuyafrancis3979 7 күн бұрын
Mndembe njoo uchukue😂😂😂❤❤ Yani kashtuka kama anataka apewe Kwer aise ❤😂😂😂😂😂
@tausiMweusi
@tausiMweusi 7 күн бұрын
😂
@JanethKimbindu
@JanethKimbindu 7 күн бұрын
mbavu zangu😂😂😂😂😂
@mubuyafrancis3979
@mubuyafrancis3979 6 күн бұрын
@@JanethKimbindu uspime kama ukiwa na upwiru aise 🤣🤣🤣
@ErickJonhfredy
@ErickJonhfredy 7 күн бұрын
Ukitakaa kujua Mengi kuhusu ndoa angalia iyi movie ya dunia utajifunza Mengi !!! MR MANYANYA 💯💯💯💯💯💯💯💯💥💥💯
@zawadiphilemon2450
@zawadiphilemon2450 7 күн бұрын
hatimae jamani imetoka laah tangu jana nashidaa tuu humu kwa ajili yenu muwe mnawaiwah bhana hatakama mmejua tunaipenda dunia
@EuverusJohn-b7w
@EuverusJohn-b7w 4 күн бұрын
Hahahah mdeme na mke wako mmetisha sana😂😂😂😂 nawakubali sana 😂
@Raphaelzephania-Tz
@Raphaelzephania-Tz 6 күн бұрын
Wangapi ambao wame enjoy maneno ya mndeme 😂😂NIMESHIKWA "San..😅* gonga like 🤙👏
@NduguMwananchi-v4l
@NduguMwananchi-v4l 6 күн бұрын
Naona mm ndo nime enjoy mara 7 yako 😂😂
@FaridaShabani-h3p
@FaridaShabani-h3p 5 күн бұрын
Hem nijbu huwa vpande wanatoa lin had lin
@SHAZIMINA55
@SHAZIMINA55 7 күн бұрын
Munguu atujaliye mwisho mwema sote kabula ya umauti atupe kauli yakushahadiya . Poleni sana wenye ndowa ila munatutisha nikifikiriya ndowa😢😢😢😢😢
@AlexAbraham-o2t
@AlexAbraham-o2t 7 күн бұрын
Amina sana balikiwa
@zaqiamusah6456
@zaqiamusah6456 6 күн бұрын
Allahuma amiin
@GermainNyakarhanazi
@GermainNyakarhanazi 6 күн бұрын
Mungu athakuona dada usiongope
@SHAZIMINA55
@SHAZIMINA55 6 күн бұрын
@GermainNyakarhanazi Mh lazima kuogopa ukijikuta simuongeaje ndio kabisa yani
@MiriamIdza-j3t
@MiriamIdza-j3t 6 күн бұрын
Ingia ujionee
@TumainiBee
@TumainiBee 7 күн бұрын
Vaileth Hadi maombi duuuh! Kama umeona kaumia kweli gonga like hapo 😂😂
@FatmaMohammedAliphan
@FatmaMohammedAliphan 6 күн бұрын
Anaomba lakin bado hajajuwa kosa lake hadi ajuwe kosa lake kwanza atubu 😂😂kazi anayo
@FaridaMwasenga
@FaridaMwasenga 6 күн бұрын
Kosa lake nini
@rigeiyenyika570
@rigeiyenyika570 6 күн бұрын
​@@FatmaMohammedAliphan😂😂
@godsoncharles135
@godsoncharles135 6 күн бұрын
Kama ulianza movie mwanzo utakua umelijua kosa lake.Kwa ufupi manyanya kabadilika kutokana na maneno ya mkew na kutokujishusha of which vai inasymbolize wanawake wengi cku hz​@@FaridaMwasenga
@NeemaernestnonyaNeemaernestnon
@NeemaernestnonyaNeemaernestnon 6 күн бұрын
duuuu vai kapig maonbi yakuto haaaaaa kasha cherewa
@AjibuAnwaria
@AjibuAnwaria 4 күн бұрын
Mmeicheza dunia ya ukweli Kila mtu katk karata yake mmeigusa Sana dunia asilimia zote manyanya vaireth matrida mudi na mkewe mdemee na mkewe Nawote mnao shirki kuicheza dunia nakupenda matrida sana
@Mtzo66
@Mtzo66 7 күн бұрын
Mdeme sijuw mbeme na mkewe wanavituko kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Catherine-j3o6d
@Catherine-j3o6d 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mimi nachekag kwa nguvu hawa watuuu
@GOZBERTMTASINGWA
@GOZBERTMTASINGWA 7 күн бұрын
Napenda hii Couple
@NeemaLodrick
@NeemaLodrick 7 күн бұрын
Yaani hawa kama sio mke na mume yaani wapo wapo tu😂😂😂😂
@Mariam-du8qj
@Mariam-du8qj 7 күн бұрын
Mdeme n mke wake nmecheka pka bx
@SteveKinyekile-jy7xc
@SteveKinyekile-jy7xc 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@FainaJaffari
@FainaJaffari 7 күн бұрын
Naipenda dunia aisee hii movie ni kali mno mmenifanya niachane na HUBA❤❤❤
@JamilaRajabu-g8p
@JamilaRajabu-g8p 6 күн бұрын
Jaman wanao ikubali familia yavituki na kumkubali mndeme tujuane Kwa like hapa😂😂😂😂😂😂😂
@YahyaMtonyi
@YahyaMtonyi 5 күн бұрын
Ivi lile konzi hamjaliona alilopigwa mudi kama umeliona like hapa 😂😂
@ValentineLister-y4p
@ValentineLister-y4p 5 күн бұрын
Mkonz hatari umekubali
@danielmalamba5730
@danielmalamba5730 3 күн бұрын
Kitaaalam linaitwa konzi mbonyeo😂😂😂
@NdayisengaEspoir-m9t
@NdayisengaEspoir-m9t 6 күн бұрын
Jamani mtaniuwa kbx maana utamu huu umenizidi na leo niona niseme ukwe tu mimi nampenda sana Mathilda sana tena sana ila manyanya usiliye niona niseme tu ukweli
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 7 күн бұрын
Asee Mko makin Sana na hii lesson ya Dunia big up Kila mmoja
@NuruNgolle
@NuruNgolle 6 күн бұрын
Omba toba vai hiyo njia ya maombi ni nzuri atarudi ila ungeenda kwa mganga ungempoteza kabisa Mungu anasamehe na kusahau
@TonyJohn-w5o
@TonyJohn-w5o 6 күн бұрын
Vai hapa sasa wew sio wa level za bongo yaan wew ni moto unajua hadi unajua tena nakukubali sana vai unajua mama nawapend wote mlio shiriki tamthilia hii dunia ni moto
@JacobBukuku
@JacobBukuku 5 күн бұрын
kuna movie za kibongo aph kuna dunia... Mtunzi katisha sana muv ipo kwa mtiririko mzuri na matukio yenye uhalisia wa maisha yetu ya kibongo.... umetisha sana mwanetu Mungu akupe nondo nyingine nyingi zaidii... umejua kutukumbusha namna ya kuishiii kwenye uhalisia na sio dramaaa znazondelea duniaaaniii. Blessed
@ZuhuraSalum-l3u
@ZuhuraSalum-l3u 7 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ mungu awabariki jmn naomb like na mm 😢
@janethkabigi7895
@janethkabigi7895 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂 mi na enjoy sana vai kuteseka dawa ya jeuri kibuli
@Babyfaty-m3y
@Babyfaty-m3y 7 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅nafurah saiv ilikuw ananikera na jeur zke saiv anaona mateso yke
@janethkabigi7895
@janethkabigi7895 7 күн бұрын
@Babyfaty-m3y 😁😁😁 mama nyosheee uyooo
@JanethKimbindu
@JanethKimbindu 7 күн бұрын
😢
@LeyDanny-l1d
@LeyDanny-l1d 6 күн бұрын
Kwelii kbs maana alinikera
@AgnesJaphet-n9k
@AgnesJaphet-n9k 6 күн бұрын
Kwakwelii 😂😂
@estherobed8693
@estherobed8693 6 күн бұрын
🤣🤣vaiiiiiiiii unajitekenya mwenyewe afu unacheka mwenyewe 🤣🤣🤣🤣hapo Badoo Niko naww had uone mtoto wa manyanya Kwa mchepuko😂
@LestarViolet-z4s
@LestarViolet-z4s 6 күн бұрын
😂😂😂😂
@JacksonHassan-l9r
@JacksonHassan-l9r 6 күн бұрын
Unaakili sana nakupa bugger up
@MiriamIdza-j3t
@MiriamIdza-j3t 6 күн бұрын
Safiii
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 күн бұрын
😂😂😂
@Arafatikadiri
@Arafatikadiri 5 күн бұрын
Duuuh dunia ni mwalimu mbaya san ukikosea ata mara moja2 ua hasiti kukuazbu😂😂
@saidiadallah-ol8lh
@saidiadallah-ol8lh 7 күн бұрын
Dah sema VAI unajua mama,, leo ngoja niseme initoke unajua sisi waigizaji hakuna scene zina2wazisha kama scene za kulia
@Skyglory454
@Skyglory454 6 күн бұрын
Ila mdeme na mkewe jmn jmn 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 had raha maish yao nayapenda kwa kwel
@LeahPeter-pr6cq
@LeahPeter-pr6cq 7 күн бұрын
Sitaweza kucheka vai 😅😅hapo kwa maombi umeweza ndio akirudi tena umurudishe
@douglasnyatuka
@douglasnyatuka 6 күн бұрын
Nimenifunza mengi sana kutoka kwenu.mungu awabariki
@HidayaNzunda-f3f
@HidayaNzunda-f3f 6 күн бұрын
Duu jaman na mimi leo nipeni like kabla sja mwambia manyanya
@NikwisaSimtowe
@NikwisaSimtowe 7 күн бұрын
Vaileth mwanamke huvunja ndoa kwa mikono yake sasa ndo wewe,umekosa Utii,heshima kwa mumeo sasa vuna ulichokipanda😢😢
@MathayoMmole
@MathayoMmole 7 күн бұрын
Ingekuwa kwenye fotball tungesema manyanya is the best ataking midfielder in the world
@WinnfridaEthane
@WinnfridaEthane 6 күн бұрын
Aiseeeeee story ni nzur Sana na kilatu kajitaid kuicheza vinzur karata Yake kiufup mmejua kuelimisha jamii mmecheza uhalisia wote ❤❤❤❤
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 7 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team manyanya and violet mudi muzungu la bar🎉🎉🎉❤❤❤
@EdisaLaul
@EdisaLaul 7 күн бұрын
Maty na manyanya hawajaonekana kwenye hii episoda gonga like kama hujapenda kama mm😢😢😢
@GloryJohn-zk4uo
@GloryJohn-zk4uo 6 күн бұрын
Wapo.honeymoon
@AkissaBecky
@AkissaBecky 6 күн бұрын
​@@GloryJohn-zk4uo😂😂😂😂😂
@auntcheu
@auntcheu 6 күн бұрын
Wamenikera tu kuweka watu wa mikopo alafu hata hawaeleweki😢
@fatmaathumani7116
@fatmaathumani7116 6 күн бұрын
Cjaangalia alafu nakutana na comment km hii 😢😢😢
@SaidaMajidi-md1kv
@SaidaMajidi-md1kv 4 күн бұрын
Haw kaush dam wanakera htr
@DixonBramb
@DixonBramb 7 күн бұрын
Ivi ukiachana na familia ya manyanya , mnaifatilia familia Yenye vitu vyangu😂😂😂😂
@salamaseleman7739
@salamaseleman7739 7 күн бұрын
Hii familia ina vituko sana😂😂😂😂
@EsterEmmanuel-k8i
@EsterEmmanuel-k8i 6 күн бұрын
Hii familia noma sana nawapenda me wananchekesha sana😂😂😂
@SomoeSaidy
@SomoeSaidy 5 күн бұрын
😂😂😂
@priscakimburi-sl9ml
@priscakimburi-sl9ml 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂Yan hii tamthilia siezi taka bwanangu a watch mana ntaachwa kweli ju sjaachana mbali na vai, Sasa heri nwatch peke yangu npate mafunzo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@HamzahMisugwi-my3jp
@HamzahMisugwi-my3jp 4 күн бұрын
Mmmmmh umetisha
@priscakimburi-sl9ml
@priscakimburi-sl9ml 4 күн бұрын
@ 🤣🤣🤣🤣🤣🤣au sio
@HusseinTofikiJuma
@HusseinTofikiJuma 7 күн бұрын
Manyanya usirudi, enjoy zako mainsha na nyumba ndogo, uyu vay ni kierehere sana,bado ajatubu mpaka atubu😂😂😂, yani we manyanya kidume kweli kweli
@MargaretAsiko-h2y
@MargaretAsiko-h2y 6 күн бұрын
😅😅 Vai nakumbuka uliulizwa na manyanya kama vita unaviweza
@HawaNjiku
@HawaNjiku 5 күн бұрын
Tatizo kamdomo kamemponza ila ndo funzo kubwa kwetu sana
@NiyonzimaDidibel
@NiyonzimaDidibel 5 күн бұрын
😂😂😂😂
@SalmaSirili
@SalmaSirili 3 күн бұрын
Kimemlamba😂😂😂
@tunukimwery4395
@tunukimwery4395 7 күн бұрын
Mdeme unanifurahishaga sanaaaa yan swagar zako nakupenda wallah❤🎉🎉
@consolateurmgeni6772
@consolateurmgeni6772 3 күн бұрын
🎉🎉🎉 acha ni wape mauwa yenu ijapokuwa ali.ya inchi si nzuri apa Goma🇨🇩 Goma njo tuko mbembe to thé wold
@issaNgomanziza
@issaNgomanziza 6 күн бұрын
Vizuri kabisa kazi nzuli mlio yifanya ni issa from BURUNDI
@MadigiMethod
@MadigiMethod 6 күн бұрын
Yaan Azam tv nalipia kifurush bei kubwa kwa vitu ambavyo havina ata mafunzo makubwa kama ya kwenye series hii kwann series kama hizi wasizipe vibali jamn maan so kwa mafundisho haya😊
@missyoung3386
@missyoung3386 6 күн бұрын
Wanaboa hatari iyo number 10 marudio saa5 usik asubh4 mchn ovy ovy
@MadigiMethod
@MadigiMethod 6 күн бұрын
​@@missyoung3386ni shida tu yaan mpak unajiuliza wanatumia vigezo gan au ndo kutuibia
@ClementTracisius
@ClementTracisius 7 күн бұрын
Mdema bana wanawake wanajizima data akiamka apo tu kwenda kwa binti wa kaz wivu kibao😂😂😂
@ntahomvukiyeeric6508
@ntahomvukiyeeric6508 5 күн бұрын
Wanaofurahishwa nahiyi cauple ya mdembe kama mimi wagonge like tujuwane😊😅😅
@NgoshaThedon-o9e
@NgoshaThedon-o9e 6 күн бұрын
kama unamiin mungu ni mkubwa kuliko hiii movi gonga like hapa
@Alice-qc2tk
@Alice-qc2tk 4 күн бұрын
Mmmm jaman ndo nn
@drascahbt999
@drascahbt999 3 күн бұрын
Yani watu wana mambo. Asa anamfanisha Mungu na movie 😂😂😂@@Alice-qc2tk
@MercyKahindo
@MercyKahindo 6 күн бұрын
Vailet wew ni mwigizaji mkubwa sana nakukubali kinoma yani
@TibeTwabx
@TibeTwabx 6 күн бұрын
Amesahauu kama vita ameanzisha mwenyewee
@everlynewekesa1022
@everlynewekesa1022 7 күн бұрын
Ila vai ukamufukuza mumeo mwenyewe bt kazi nzuri sana nikupe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@nsabimanalovelly7708
@nsabimanalovelly7708 7 күн бұрын
Imagine sasa na anafanya maombi anataka mme arudi😅😅😅
@MichaelAlly-m1q
@MichaelAlly-m1q 5 күн бұрын
Nakubali san wanang mnajua manyanya ee salut kwako kaka unajua mpaka nam nataman
@SalumuMayamba
@SalumuMayamba 6 күн бұрын
Hi move nazid kujifunza vitu vingi sana hongeren sana
@njau_isaya
@njau_isaya 7 күн бұрын
Mungu nijalie hekima kama manyanya Pia nijalie mwanamke mtiifu kama matty🫡🫡 salute Rais wa wanaume manyanya unatuwakilisha mkuu
@estherobed8693
@estherobed8693 6 күн бұрын
Ungekua mkubwa tungeoama sema ni mdg so Mungu akupe haja ya moyo wako
@njau_isaya
@njau_isaya 6 күн бұрын
@@estherobed8693 😁😁😁 hakika
@VéroniqueMwange-d8e
@VéroniqueMwange-d8e 7 күн бұрын
Mwana kulitafuta mwana kulipa,vaileth alikuwa napanda yeye mwenyewe mbengu mbaya sasa asubiri matokeo❤🎉
@JapanDullahBoy
@JapanDullahBoy 6 күн бұрын
😅😅😅😅hawa wa mikopo wasenge kwel kama hyu rich siakabebr matofal tu kakos kaz hyu ahhhh
@Michujo_queen
@Michujo_queen 4 күн бұрын
😅😅😅wee Acha tuu
@Officialshabani9
@Officialshabani9 7 күн бұрын
Mwenyezi Mungu atujalie mwisho mwema 🤲🤲🤲
@JescaJosephati
@JescaJosephati 7 күн бұрын
Amin
@ZainabSalum-y9v
@ZainabSalum-y9v 6 күн бұрын
Amiin
@MohammedMwagarash-ki8nt
@MohammedMwagarash-ki8nt 6 күн бұрын
Ameen thuma ameen
@RestutaCasmiry
@RestutaCasmiry 6 күн бұрын
Amina
@WillysonShilagwa
@WillysonShilagwa 6 күн бұрын
Aminaa!!
@abigaelmokandu8978
@abigaelmokandu8978 7 күн бұрын
Hahahhaah 😅😅uliaribu ndoa Yako mwenyewe alafu wasumbua Mungu Wacha upumbavu ,wee ndio kamtoa mumeo Kwa nyumba utalia sana
@RodrigueIgomokeloLody
@RodrigueIgomokeloLody 7 күн бұрын
Nilikuwa naisubiri sana iyi from🇨🇩🇨🇩🇨🇩 naomba lik ata moja ndugu zangu
@KhareedJr
@KhareedJr 5 күн бұрын
Manyanya we msaliti tu m ata sikusapot sema na ndoa za kikrso nazo mateso ingekua Waislam ungemuacha na ukamuowa mat
DUNIA (Ep 47)
24:58
ASMA FILMS
Рет қаралды 638 М.
BINTI MASKINI 💞 DADA MUUZA MATUNDA  PART 49 | Love Story
27:05
Twizy Dady Tv
Рет қаралды 11 М.
Хаги Ваги говорит разными голосами
0:22
Фани Хани
Рет қаралды 2,2 МЛН
Маусымашар-2023 / Гала-концерт / АТУ қоштасу
1:27:35
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 390 М.
Почему Катар богатый? #shorts
0:45
Послезавтра
Рет қаралды 2 МЛН
ВЛОГ ДИАНА В ТУРЦИИ
1:31:22
Lady Diana VLOG
Рет қаралды 1,2 МЛН
PENZI LA MAMA NTILIE
12:43
ASMA FILMS
Рет қаралды 1 МЛН
Diamond Platnumz - Nitafanyaje (Official Music Video)
4:55
Diamond Platnumz
Рет қаралды 1,9 МЛН
BAMDOGO NYAU EPISODE 1 STARRING #NYAU
20:39
NYAU GANG📺
Рет қаралды 13 М.
DUNIA (Ep 48)
23:19
ASMA FILMS
Рет қаралды 416 М.
STEVE NA NDARO WALIVO VURUGA NDOA UTACHEKA
16:04
Ndaro Tz
Рет қаралды 1,1 МЛН
Хаги Ваги говорит разными голосами
0:22
Фани Хани
Рет қаралды 2,2 МЛН