DUNIA (Ep 48)

  Рет қаралды 704,082

ASMA FILMS

ASMA FILMS

Күн бұрын

#dunia

Пікірлер: 3 400
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv 5 күн бұрын
Allah Akbar🙏! Kama Unaamini Mwenyezi Mungu Amekupa Nafasi ya Kutazama Hii Episode ya (48) Gonga Like hapa, Tuwape nguvu Team Dunia Series❤❤❤🎉🎉
@Mrszizo-d7t
@Mrszizo-d7t 5 күн бұрын
Usiombe like kwa jina la ALLAH my dear kua makini na mambo yako
@shubeyk
@shubeyk 5 күн бұрын
​@@Mrszizo-d7tkwahiyo kuna Sehemu Nilikosoa Ukubwa wa Allah, Au Unajua SAna Sheria wewe na kumkataza mtu asimtaje Mungu wake? Pia Nashukuru Kuwa Comment yangu imekufanya Umtaje Mungu Wetu🙏🙏
@MAULAKOMBA-d3p
@MAULAKOMBA-d3p 5 күн бұрын
🎉
@MANYANYA56
@MANYANYA56 5 күн бұрын
Asanteni wote mnao tusapoti
@Mrszizo-d7t
@Mrszizo-d7t 5 күн бұрын
@MANYANYA56 Ila punguzeni kutuzingua tunapenda sana kazi zenu ila kuna mda mnatia hasira unakuta mnapost kumbe mmechanganya madawa
@SHAZIMINA55
@SHAZIMINA55 5 күн бұрын
Kama ulivyo sikiliya simu basi na munguu ndio vyo alivyo shikiliya uhai wako tushukuru munguu kuiyona sikuyaleo na kuiyona duniya tuseme asant munguu❤❤
@eliasshinje75
@eliasshinje75 5 күн бұрын
Amen
@AishaEssau
@AishaEssau 5 күн бұрын
As ante mungu
@ZainabuMathias-x6p
@ZainabuMathias-x6p 4 күн бұрын
🎉ameen
@DevothaKilumile-ed3bd
@DevothaKilumile-ed3bd 4 күн бұрын
MUNGU sio mungu
@DevothaKilumile-ed3bd
@DevothaKilumile-ed3bd 4 күн бұрын
MUNGU sio mungu
@GiftPallangyo-q5y
@GiftPallangyo-q5y 3 күн бұрын
Duuu amani....hv wee ni amani kweli Kama jina lako....Kama unamjua mungu kweli kwanin usipokee msamah aaah ...wanaomchukia amani gonga like❤
@lylyChloé
@lylyChloé 3 күн бұрын
Na mchukia mpaka bas
@kelvnkyando2252
@kelvnkyando2252 2 күн бұрын
Amani kawa msenge msenge
@ldamati7900
@ldamati7900 Күн бұрын
😂😂😂 majina y ivyo mungu nd ajuaye... Mje mumchkue n huyu amani nlienae 😂
@AmaniGERALD-t8p
@AmaniGERALD-t8p Күн бұрын
Jaman jaman kina AMANI
@NgoshaThedon-o9e
@NgoshaThedon-o9e 5 күн бұрын
kama unaungana na mimi kumshukuru mungu kwa kutufikisha siku ya leo ganga like hapa
@BASILChambo
@BASILChambo 4 күн бұрын
Big up manyanya umenifurahisha sana kutokusema madhaifu ya mkeo good brother 👊
@CatherineSanga-jx6nz
@CatherineSanga-jx6nz 4 күн бұрын
😂😂😂unataka kusemaje
@AlifaHamis
@AlifaHamis 4 күн бұрын
Ibada muhimu sana kuna majeneza yame andaliwa kwa ajili yetu na hata alie tenge neza majeneza ana la kwake pia
@hazrarashidy9470
@hazrarashidy9470 5 күн бұрын
Manyanya ni mwanaume na nusu sio kam wanaume wengine wakiwa na michepuko yao wana sema madhaifu ya wake zao BIG UP mr manyanya🤍🤍🤍
@emmanuelmashauri1430
@emmanuelmashauri1430 5 күн бұрын
Na alishamwambia maty w s Bora kuliko mke wng ila una vitu unavyonifny mm nikupende 😂 sa cjui vtyu gn hvy
@hazrarashidy9470
@hazrarashidy9470 5 күн бұрын
@@emmanuelmashauri1430 nipe nipe nipe iyo tam tam ambayo vai an mbania😄
@SuzannQassim
@SuzannQassim 5 күн бұрын
Kabisa❤❤
@Mungua-Lizzy
@Mungua-Lizzy 4 күн бұрын
Nipe tam
@aminarashidally
@aminarashidally 4 күн бұрын
Fact ilaa wanaumee wengina mafala kwely ndo kwanzaa wataanzaa kuwapondaa wakee zaoo 😢😢
@JacklineMushi-c9d
@JacklineMushi-c9d 5 күн бұрын
Wa kwanza Leo jamani sijawai pata like tangu namba Moja paka ss nioneeni urumaa jaman vpenzi
@JacklinMushi-i2w
@JacklinMushi-i2w 4 күн бұрын
Wajina
@TEDDYBROWNEBOYZENDEMU
@TEDDYBROWNEBOYZENDEMU 4 күн бұрын
From Kenya,,,what I can say is that the actors of this movie should worn awards alafu I like how consistent you guys are 🔥🔥hamdelay congratulations 🥰🥰
@mamafidelsfidels8585
@mamafidelsfidels8585 5 күн бұрын
Mwenye anakerwa na huyu Amani jamani like hapa 😂😂😂😂
@omarykauzeni9902
@omarykauzeni9902 5 күн бұрын
Jamaa msenge xn ana boa
@FaridaChato
@FaridaChato 5 күн бұрын
Mm simpendii kbsaa😢
@IrissyLawrence
@IrissyLawrence 5 күн бұрын
Kazoea vya kunyonga huyu,vya kuchinja haviwezi
@UmayyaMunisi
@UmayyaMunisi 5 күн бұрын
Sindi si ambake tuu😂😂
@OliviaEvaristo-nc6pn
@OliviaEvaristo-nc6pn 5 күн бұрын
😂
@AbdulRamadhani-z7c
@AbdulRamadhani-z7c 5 күн бұрын
Alhamdulillah ndugu zangu tumche Mwenyezi Mungu hii pumzi ya muda mfupi isitudanganye kwani haya maisha ya dunia ni ya starehe ya muda mfupi sana tusiache kusali na kuomba kwani kifo kinakuja ghafla tena bila ya taarifa Jiulize tukifa sasa hivi jee DUNIA TUMEIACHA AU DUNIA IMETUACHA jibu ni kuwa DUNIA tumeiacha Wakati ndio huu haujachelewa turudi kwa Mwenyezi Mungu
@AsmaniSantana
@AsmaniSantana 4 күн бұрын
Shukran kwaukumbusho
@bintside
@bintside 3 күн бұрын
Shukran sana kwa ukumbusho mzuri kaka
@AsiaMohamed-n8i
@AsiaMohamed-n8i 3 күн бұрын
Mashaallah ❤🤲🕋 tunamshukulu kwa ukumbusho
@AmaniKabungu
@AmaniKabungu 4 күн бұрын
Napenda sana picha hii, ndani muna mavunzo kweli...
@GrandePiquiGrande
@GrandePiquiGrande 5 күн бұрын
Vipi wenzangu wa mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 mpo kama kweli mpo tujuwane apo kwenye likes 🎉🎉🎉 naitwa Grande PiQui kutoka
@DeeDan-sj1mr
@DeeDan-sj1mr 5 күн бұрын
Dah aixeeh we vai ww xio mtu mzr dadaang unajua mpaka unakera like za vai apa😢
@abdulygilly1390
@abdulygilly1390 4 күн бұрын
Umetisha kak manyanya 😅😅 unyama mwingi yan umetisha🎉🎉
@tototundu8159
@tototundu8159 5 күн бұрын
Amani kubembe weee mjinga nimeguchukia sana vile umemufanyia Sindy ♥️♥️♥️♥️♥️🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@hategekimanaegide9676
@hategekimanaegide9676 5 күн бұрын
Noma san
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 5 күн бұрын
Mudy Muzungu,anastahili kulipwa hela nyingi.Anaigiza sehemu inayohitaji kujitoa ufahamu.
@OliverMassawe-j3l
@OliverMassawe-j3l 4 күн бұрын
Kwa kweliiii jmnii🤝🤝
@Rahma-h3x6w
@Rahma-h3x6w 3 күн бұрын
Nikweli kabisa
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 күн бұрын
Sana❤
@santv6925
@santv6925 4 сағат бұрын
sanaaaa
@AdrianOmary-nl7fs
@AdrianOmary-nl7fs 4 күн бұрын
ila manyanya!et limbwata la Tanga na uko kwenu si ntakuwa msukule.upewe🎉🎉🎉🎉yako kaka uko vizuri
@JeanMuganza-f5q
@JeanMuganza-f5q 5 күн бұрын
Wa kwanza kutoka drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 naomba like zangu
@AminaKhalfani-ib7sh
@AminaKhalfani-ib7sh 5 күн бұрын
Wangap wanataman waongeze dakika man mov tamu sana big up acters wote
@GraceMigambile
@GraceMigambile 4 күн бұрын
ameni❤
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 3 күн бұрын
❤❤❤
@JanethIsmal
@JanethIsmal Күн бұрын
ziongezwejaman ata dakik tano
@bensonjulius9569
@bensonjulius9569 3 күн бұрын
,,,,yaan macho ya vaii yanafuraishaa kwel akiwa analiaa
@IddyIndu
@IddyIndu 2 күн бұрын
Kumbe na ww umeliona ili😅😅😅😅😅
@JamilaRajabu-g8p
@JamilaRajabu-g8p 4 күн бұрын
Haaaa 😂😂😂😂Vai kapatikana anachekwa tuu na dada zakee lakn ndo alichokitaka kakipata kuchekwa na kuzalilika
@StevenNditi
@StevenNditi 4 күн бұрын
kzbin.info/www/bejne/fKmqmWhvhtasbas
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 күн бұрын
Kabisa😂
@DerrickGodwin-c9i
@DerrickGodwin-c9i 2 күн бұрын
Good try
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 5 күн бұрын
Adui wa mtu ni wa karibu yake mno jitaidy kusali sn ndg zangu kwa iman yako mwenyez Mungu anasikia🙏🏻🙏🙏
@myrathequeenjoriasjoriasthebos
@myrathequeenjoriasjoriasthebos 4 күн бұрын
Kabisa
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 4 күн бұрын
Series ya Dunia ni shule toshaaa, hongereni mnavaa uhalisia vizuri, mna zingatia maadili, nidhamu ya mavazi.. kwakweli mnafanya kazi nzuri.
@CHRISMANNEQUIN8
@CHRISMANNEQUIN8 5 күн бұрын
Kama unapenda mungu kuliko iyi série ya dunia sema amen kwa baraka liké apa
@ZubidaAlmasoudi
@ZubidaAlmasoudi 5 күн бұрын
Amin
@omarywangala161
@omarywangala161 5 күн бұрын
Usitafutie watu dhambi na Wala hata haifai
@SalmahAbdallah13
@SalmahAbdallah13 5 күн бұрын
Na mbona unaangalia,kama huipendi hii series
@Jasminadamu
@Jasminadamu 5 күн бұрын
Upo sure wanakera​@@omarywangala161
@HarrietYeri
@HarrietYeri 5 күн бұрын
Amen
@bisuraadamu6272
@bisuraadamu6272 5 күн бұрын
Jamanii muwe munatoa vipande viwili viwili KAZI mzurii saaaana ❤❤
@GladysBunyoga
@GladysBunyoga 5 күн бұрын
Kweli kabisa wanachelewesha sana
@barakamanyasi7883
@barakamanyasi7883 4 күн бұрын
Church Boy😅😅
@JaphethIssack-j8k
@JaphethIssack-j8k 4 күн бұрын
Manyayaaaaaa mwamba nimepata point ,wadada kaziiiiii mnayoooooo😂😂😂😂😂😂😂
@ChristophLite
@ChristophLite 8 сағат бұрын
Ila kumbuka hayo ni maigizo tu ili kuelimisha Sasa jichanganye 😅😅😅😅
@BintiZondo-m9s
@BintiZondo-m9s 5 күн бұрын
Yaani waigizaji mkishajua movie zenu ziko na mashabiki wengi tu mwaanza kupunguza madakika😉😉mmmh sijapenda😅😼😼
@VictorBijura
@VictorBijura 5 күн бұрын
Wanazingua hapa. Yaani movie Ina wahusika wa zaid ya familia 6,ila leo wanadili na familia 4 tuu kweliii!!, Sjapenda.alafu hataree zaid mnachelewa sana kutuletea hizo epsode
@ree-me9
@ree-me9 5 күн бұрын
Kwan wangekuwa wanaztoa kwa wakat wangepungua wap!!!!wanakera sana
@muganyizididas4505
@muganyizididas4505 5 күн бұрын
Hii Tamthilia ukiitazama Kwa jicho la kawaida unaweza kuona ni burudani tu. Ila ukiipa Jicho La Tatu Ina Mengi ya Kujifunza. Big Up Kwa Kazi nzuri.
@LebonLungala
@LebonLungala 3 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉 namifata kutoka Congo ❤❤❤ mungu abariki kazi yamikono yenu ❤❤❤
@joshuangazi
@joshuangazi 5 күн бұрын
Aiseee😂 leo walau nipate like walau moja jaman familia ya Dunia
@evelnjuma1834
@evelnjuma1834 5 күн бұрын
Like kwangu Leo nimemiss like Mr manyanya mbona nakukubali Sana jaman Yani unajua sna mwenyezi mungu azidi kukuza kipaj chako kaz nzuli sna kwenu nyote nawapenda sna ❤❤❤🌹🌹🌹🌹🇹🇿
@rachelmichael-uo5hf
@rachelmichael-uo5hf 4 күн бұрын
jamani kuna huyu boss wake khai kwenye house girl ambae ndie dadaake Vai jmn hyo suti Ake ya kaki ishatuchosha, kesha ivaa kwenye Kila series anayo act hapana tumemchoka na mwonekanp huo jmn😂😂😂 eka like kama na we umechoka kama mm
@jujuulee7977
@jujuulee7977 5 күн бұрын
Huyu mkaka wa mikopo bila yeye siezi ishii walah😂😂❤
@gloryjimson9831
@gloryjimson9831 5 күн бұрын
Simpendi hata
@FaizalCheia
@FaizalCheia 5 күн бұрын
​@@gloryjimson9831 We mpende tu
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 5 күн бұрын
Huyu ajui kazi Kisha achiki na wowote😂😂😂😂😂😂
@Glorymushy
@Glorymushy 5 күн бұрын
?😅😅😅😅
@Ema-p7z
@Ema-p7z 5 күн бұрын
Tapeli
@ProviaJames
@ProviaJames 4 күн бұрын
Vai nko pamoja na wewe hd ufungue kanisa😅😅
@PayTeller
@PayTeller 4 күн бұрын
😂😂
@Mwashabani-o5o
@Mwashabani-o5o 3 күн бұрын
Naw ndy utakuw Mzee wa kanis
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 3 күн бұрын
😂😂😂
@levinaernest4364
@levinaernest4364 2 күн бұрын
Noma Sana umeupiga mwingi
@Leyla-w9k
@Leyla-w9k 4 күн бұрын
Umeweza kaka manyanya ,nidharau kubwa sana kumwambia mwanamke wa nje madhaifu ya mke aliyepo ndani ,baadhi ya wanaume hufanya Ivo ,wasicho kijua ni kwamba mwanamke wa nje atadhidi kumdharau mke wa ndani ,pia ww mwanamke unaeambiwa kaa ukijua hata madhaifu Yako yatatolewa Kwa mwanamke mwingine ....
@JohnMarwa-e8p
@JohnMarwa-e8p 5 күн бұрын
Nainjoi sana kutazama hli dude kaz smart sana aiseee na wapenda .naombeni nafasi nijiunge nanyi napenda
@abdulsombyamiles864
@abdulsombyamiles864 5 күн бұрын
Yaani manyanya anapendaga mambo ya humu tu 😂😂😂❤
@rosemarymathias4938
@rosemarymathias4938 5 күн бұрын
😂😂😂
@ashaaliameir2271
@ashaaliameir2271 5 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@SakinaHassani-xm7ti
@SakinaHassani-xm7ti 5 күн бұрын
😂😂😂😂
@BarakaNdelwa-p3e
@BarakaNdelwa-p3e 5 күн бұрын
Yupo kama Mimi
@MwayahonaGerome
@MwayahonaGerome 5 күн бұрын
😂😂😂
@airMH370
@airMH370 4 күн бұрын
Ila chachi boy jmny 🙌🙌🙌🙌
@manyanya-01
@manyanya-01 5 күн бұрын
series nzuri yenye waigizaji wazuri
@SikuAmon
@SikuAmon 5 күн бұрын
muwe mnatuwahishia bas jamn dah
@bigmami1992
@bigmami1992 5 күн бұрын
Manyanya tuko na wewe hadi sister za vai wakuroge😂😂😂😂
@hamissahamissa105
@hamissahamissa105 5 күн бұрын
​@@bigmami1992kah nimecheka hatari
@SijaliAllyHalfani
@SijaliAllyHalfani 5 күн бұрын
​@@bigmami1992sio mroge amkubali Jordan😂😂😂😂
@NoorEesa
@NoorEesa 5 күн бұрын
Manyanya utakukutwa na dadazake vai😅😅😅
@arunibarafua7802
@arunibarafua7802 5 күн бұрын
Kutoka kongo mtuombeye Mungu amalize vita ili sote tu fatiliye série yetu nzuri ya duniya kwaamani
@YustinaNemes
@YustinaNemes 5 күн бұрын
Amen
@SalmaKhmees
@SalmaKhmees 4 күн бұрын
Amen
@JordanAndrew-rr8fq
@JordanAndrew-rr8fq 4 күн бұрын
Mungu kwanza Dunia inafwata God bless asma filims
@DeboraLufingo
@DeboraLufingo 5 күн бұрын
Namchukia Amani 😢😢 wanaungana na mm gonga like🎉🎉
@AujeniaMerida
@AujeniaMerida 5 күн бұрын
Na so kumchkia tu smpend kabsaa
@neemamukeyuzi-nm4jf
@neemamukeyuzi-nm4jf 5 күн бұрын
​@@AujeniaMerida Na sio kumpenda tu yaani anavyonikera ningemfanyia kitu kigumu hadi asingeamin mwanamke tena dunia hii
@SarahMoraa-rf2du
@SarahMoraa-rf2du 5 күн бұрын
Yaani hata Mimi namchukia anajifanya mtumishi wa mungu kumbe ni kwa mwitu
@neemajoshua-jv7oo
@neemajoshua-jv7oo 5 күн бұрын
Kwanza mbaya na roho yake mbaya
@AyshaHamis-qw3gi
@AyshaHamis-qw3gi 5 күн бұрын
​@@AujeniaMerida😂😂😂😂😂 ww ndio umenimaliz😂😂😂😂😂
@Upendomkali
@Upendomkali 5 күн бұрын
Jamani ndugu zangu wapenzi wa move ya dunia embu tuache kulitumia jina la Mwenyezi Mungu vibaya Mungu awez kufananishwa na mtu yoyote yule wala kitu chochote kile Mungu achen aitwe Mungu samahan kama nitakuwa nimewakwaza
@AsiaMohamed-n8i
@AsiaMohamed-n8i 3 күн бұрын
Ujatukwaza
@MimaMkuwele
@MimaMkuwele Күн бұрын
Kwakwelii
@AffectionateDrum-kx5hn
@AffectionateDrum-kx5hn Күн бұрын
Kwakweli hujakosea 👍
@yohanatitus7622
@yohanatitus7622 4 күн бұрын
Huyo kuku aliyeitikia tangazo la Amani amenikosha Roho yng Baraaabaraaa😂😂
@TatuMagubika-kz4nv
@TatuMagubika-kz4nv 5 күн бұрын
Tunaosema vai katufundisha jinsi ya kumuheshim mwanaume 😂😂 weka like hap🎉
@noelahyera1304
@noelahyera1304 5 күн бұрын
Mm ntakuwa wa kwanza kusimama na kusema kanifundisha na kumwelewa 😂😂 maana mm n vai mtupu😂😂
@Mariawamam
@Mariawamam 5 күн бұрын
Mwanzo mimi nimepata funzo mana nilikuwa sina tofauti na huyu Vai😢😅
@AminaMohamed-i6u
@AminaMohamed-i6u 5 күн бұрын
Haki vilee
@Hadiahudhud
@Hadiahudhud 5 күн бұрын
​@@Mariawamamdoh
@Hadiahudhud
@Hadiahudhud 5 күн бұрын
​@noelahyera1304 duh 😂😂😂
@khadija2113
@khadija2113 4 күн бұрын
Jaman muwacheni da vai kumsakama hivyo nampenda bule kaka manyanya ❤❤❤ NAWAPENDA 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SemiAnon
@SemiAnon 4 күн бұрын
Anakula Jeuri zake. 😁😁
@Pierjmkakule
@Pierjmkakule 4 күн бұрын
Eeeh Mungu nipe Imani ya Amani. Baba Amani nimekupenda up msimamo wako
@Farthun
@Farthun 5 күн бұрын
🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️wapi kelele kwa wana dunia Asanteni na mm nimewahi
@winniemerere4513
@winniemerere4513 5 күн бұрын
Ambao tunashangaa kuona kila mtu anasema ndo wakwanza tujuane 😅😅😅😅
@fatmahally-zz7pu
@fatmahally-zz7pu 5 күн бұрын
😂😂😂
@YasinterKaijage
@YasinterKaijage 5 күн бұрын
😂😂😂
@GetrudaSanga-d7l
@GetrudaSanga-d7l 5 күн бұрын
😂😂😂😅
@ElizaSilivester
@ElizaSilivester 5 күн бұрын
Bila ya wenyewe kujua wa kwanza huwa inaandikwa first comment
@MussaAlfani-r8d
@MussaAlfani-r8d 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@StevenShilatu
@StevenShilatu 4 күн бұрын
Manyany n noma akuna kusema mazaifu ya mke wake vai
@AchileusNshekanabo
@AchileusNshekanabo 5 күн бұрын
🎉🎉🎉 bonge la movie kaz nzur sana
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 4 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team manyanya and violet mudi muzungu la bar❤❤🎉🎉
@AlafatkalimmnaukeAlafatkal-v2i
@AlafatkalimmnaukeAlafatkal-v2i 3 күн бұрын
Mnakosea Sana mtumishi wa mungu anakua msinifu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣kweli movee lekebisheni hapo
@Esther01-g1h
@Esther01-g1h 5 күн бұрын
Wote ambao tunafatilia hii Move, tulio kwenye mahusiano na ambao hawapo kwenye mahusiano,wenye ndoa na ambao bado hawamo, naamin wote tumejifunza kitu na hii move ni uhalisia wa maisha yanayo tuzunguka kwenye jamii,kila mtu ameguswa kwa nafasi yake,,tuwape like za upendo waigizaji wetu,m nawapenda♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@LoiceKatana-ci1tx
@LoiceKatana-ci1tx 4 күн бұрын
Kabisa 😅😅😅
@YOUNGAMBELE
@YOUNGAMBELE 5 күн бұрын
Wahoo jamani Asante kwa movie Ila me ninaombo kabura ya kuachia muwe munatupa tarifa ili tuwe tiari au tunajua muda
@hidayaabasy6357
@hidayaabasy6357 4 күн бұрын
Kaka manyaya unafundisha sana honger sana na uendelee hivyo hivyo kutoa move za kufundisha ndo maaana wat wanakupenda sana
@DonbrightKenny
@DonbrightKenny 5 күн бұрын
Mmm jamen manyanya aseme bsi tumusaidie posa amuoe Mathi maana mchezo wake manyanya sio poa ❤❤❤
@MandelaMwangome-q1b
@MandelaMwangome-q1b 5 күн бұрын
Oyooo manyanya zisaidie ndoa zetu maana kwa hali hii wananyoka sana huku mtaani😂😂😂😂 kama yako inanyoka pia gonga hapa
@wamidekoGodfrey
@wamidekoGodfrey 5 күн бұрын
Achen kujitoa akili wanaume nyie mnaupendo kama manyany au mnaongea to n vp ukiend kwamchepuko hua unqmsifia mkeo au Kaz zen kuwapond n kutoa sili zandan
@Jasminadamu
@Jasminadamu 5 күн бұрын
​wanaume wengi wanafatilia hii dunia kwa sababu ya kufurahia manyanya anavyochepuka,ombi langu kwao watafte hela kuchepuja haitakufanya kuwa mwema,hivyo me binafsi kuchepuka kwa mwanaume hainiwashi akitaka aende asirudi nyuma mwana kwenda atokomeee eeeee
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 5 күн бұрын
​@Jasminadamu Kweli kabisa
@MandelaMwangome-q1b
@MandelaMwangome-q1b 5 күн бұрын
@@wamidekoGodfrey na sasa huo ndo utamu wa hii move pia wanaweke ndo wenyewe wemeforce sisi wanaume tukue hivi .....Siwezi tafuta hela kwa shida nikirdi nyumbani shida nyingene tena wee huogopi
@yamungulameck-mz5uq
@yamungulameck-mz5uq 4 күн бұрын
Duuuh Yani amani jamani sipendi naichukia tabia yake et naye ni mtumishi 😅😅😅😅😅😅😅 ila wapo wachungaji ambao wapo kama amani
@RackiusRubanga
@RackiusRubanga 5 күн бұрын
Great job kwel Tanzania tumefika mbali katika tasinia ya filam
@Rey.tho3
@Rey.tho3 4 күн бұрын
manyanya ni mtafsili mzuri sana kama BARAKA MPENJA au mnasemaje🎉🎉❤
@RachaelKioko-qo7mg
@RachaelKioko-qo7mg 4 күн бұрын
Woooow ❤️❤️ kumbe Semeni yupooo🎉🎉 ndio movie inaanza sasa
@BieNve-k4b
@BieNve-k4b 5 күн бұрын
Kiukweli mnafanya kazi poa sana alafu kwa wakati mnafuraisha sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩✌️
@Lion_Boy
@Lion_Boy 4 күн бұрын
Amani amani iwe nawe😂😂😂
@LucyAnyango-j3d
@LucyAnyango-j3d 4 күн бұрын
Iwe pia nawe😂😂😂😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 3 күн бұрын
😂😂😂
@SaidMohd-u3i
@SaidMohd-u3i 3 күн бұрын
Kuna baadhi ya vipande vina mafundisho makubwa mno big up 🎉🎉🎉♥️♥️
@EnockNzaro
@EnockNzaro 5 күн бұрын
Wakwanza kutoka Kenya 🎉🎉 Nipeni maua yangu, acheni roho mbayaa😂😂
@MchungajiThoby-h8t
@MchungajiThoby-h8t 5 күн бұрын
🏃🚴🚴🚴jamn nimechelewa manyanya karud Kwa mkeo kwel
@DavidKibuta-b3v
@DavidKibuta-b3v 4 күн бұрын
Yaan huyu jamaa mayyanya ni professor kweli naenjoy kumuangalia especially akiwa na mati
@KatunziHassan
@KatunziHassan 5 күн бұрын
Lkn big up mnafanya vizur Sana kazi iendereee wakuuu🎉🎉
@bin.ali_tz
@bin.ali_tz 5 күн бұрын
Wow Leo nimewahi na movie imekua tamu zaidi ❤❤❤
@JeannedArcNdanda
@JeannedArcNdanda 2 күн бұрын
Asante manyanya una ongeya bien Sana Ku mwisho ya iyi épisode merci bengine ba naume deihn😢😢
@AbduliMaulidi
@AbduliMaulidi 5 күн бұрын
Nipee nipe nipee nipe iyo tamu tamu nikupende wewe tu❤🥰🤣🤣
@oscarjohnson9013
@oscarjohnson9013 5 күн бұрын
Mnachelewesha mnoo kazii na mlisema mwaka uu ni back to back
@praygodisacksalmon7843
@praygodisacksalmon7843 5 күн бұрын
fatilia ratba vzr kwa week wanatoa vipand vitat😂
@FainaJaffari
@FainaJaffari 5 күн бұрын
@@praygodisacksalmon7843😂😂😂😂😢
@mariawilson2698
@mariawilson2698 5 күн бұрын
Bora hiyo mara 3 wangetoa mfululizo
@BoniphasMnyangindo
@BoniphasMnyangindo 3 күн бұрын
nakuku bali xan bro manyanya king of love❤
@majidirashidi
@majidirashidi 5 күн бұрын
Aaaaahhh ila raiya mko rasta san yan mi nasubir nasem niwakwanza kumbe watu mshawai siti za mbele😂😂😂😂😂
@montezsharma
@montezsharma 5 күн бұрын
Wakenya mko wapi jameni like zenu naomba 🥰🥰🥰🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@PriccilaMweni
@PriccilaMweni 5 күн бұрын
@MuroriPuritymurori-wz8em
@MuroriPuritymurori-wz8em 5 күн бұрын
Tupo❤❤
@EmmanuelOkenya-l7w
@EmmanuelOkenya-l7w 5 күн бұрын
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@KhadijaMrangi
@KhadijaMrangi 3 күн бұрын
Ooh God manyanya ur a man and a half aiseee ur good upstairs 🎉
@MathiasMwibeleca-f8n
@MathiasMwibeleca-f8n 5 күн бұрын
Ni vema sana kama uta tizama kwaku itaji kujifunza kuliko kutizama kwajili yaku furahisha macho, from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪
@floridekwizera2915
@floridekwizera2915 5 күн бұрын
Leo kidogo niwe wakwanza,watu tumebalikiwa kuona Siku ya Leo 👍
@GiftPansasa-mj8cy
@GiftPansasa-mj8cy 4 күн бұрын
Muddy
@ReshmahEmma
@ReshmahEmma 4 күн бұрын
Hivi huyu amani ni kichaaa au mwendawazimu khaaaa nimejikuta kumchukia ghafla et pepo mchafu wakat alizini nae akiwa tayar anajua ni mke wa mtu😢😅😅
@alicebahati-qi8vo
@alicebahati-qi8vo 4 күн бұрын
Hakukusudia ndio maana anajihukumu
@NajmaRamadhan-j7v
@NajmaRamadhan-j7v 4 күн бұрын
Mwenyewe nimetokea kumchukia kweli
@NajmaRamadhan-j7v
@NajmaRamadhan-j7v 4 күн бұрын
@@alicebahati-qi8vosawa basi atakiwa kumfahamisha uzuri tu na sio kufoka
@BoaziBonifasi
@BoaziBonifasi 4 күн бұрын
Mwamba anagusa anaachia anapita iv😅
@ReshmahEmma
@ReshmahEmma 4 күн бұрын
@@alicebahati-qi8vo aaaaaaahhhh wapi hakuna mlokole hapo wa mchongo tu huyo😁
@Manyanya.Manyanya
@Manyanya.Manyanya 5 күн бұрын
Nawapenda sana wapendwa ote mnao onyesha support kwenye Series' yetu pendwa ya Dunia Asante 🙏 naomba mnifollow piah wapendwa 🙏
@DoriceEdward-l6s
@DoriceEdward-l6s 5 күн бұрын
Tayali nimeshakufollow ❤
@oscanyakunga
@oscanyakunga 5 күн бұрын
Nitakufoolw
@HawaPili
@HawaPili 5 күн бұрын
Umekuwa wanted mtaan unatafutwa na mashemeji zako usizulule ovyo manyanya
@HussenRamadhani-g9w
@HussenRamadhani-g9w 5 күн бұрын
Tayari nimekubali
@SmamyYousouph
@SmamyYousouph 5 күн бұрын
Unaongea sanaaaa punguzaaaa
@komandowainjiliyayesu
@komandowainjiliyayesu 5 күн бұрын
MUNGU AWABARIKI SANA MKAWE NA UMOJA NA MSHIKAMANO MSIJE KUTENGANA ILA TUSISAHAU UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA AMEEEN AMEEEN
@ImaeImae-p3v
@ImaeImae-p3v 5 күн бұрын
Amina
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 күн бұрын
Amin
@LukambaKitenge
@LukambaKitenge 2 күн бұрын
Niko Congo, mnafanya vizuri Bro❤❤❤
@AbinasBujiku-b5h
@AbinasBujiku-b5h 5 күн бұрын
Manyanya unafanya bongo move ionekane kama kazi rahisi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@MarryMethodi
@MarryMethodi 5 күн бұрын
Manyanya nimekupendaaa♥️♥️♥️ yaan njoon wanaume mjifunze Kwa huyu jamaa ambao mna wake Wa wili Na hamjui namna ya kuish nao Sio unatoa maneno huku unapeleka kule
@RakinaAbdalla
@RakinaAbdalla 3 күн бұрын
Jaman vai namuonea huruma ety wallah shida yake ni jeur lkn hajawah kuchit ndomana anaumia sanaaa pole vai wangu
@AshaMalekela-o7t
@AshaMalekela-o7t 5 күн бұрын
Ila uy Vai jaman mum wak yey kumuomb msamaa awaz anawaita dad Zak nd ili waje kubomoa kabixa ndoa yenyew kwr kimekulamb dad😂😂😂😂😂😂
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 5 күн бұрын
Naona anaenda kupewa talaka kabisa nahiyo midomo yao wangejua ndoimemfukuza Manyanya😂😂
@AshaMalekela-o7t
@AshaMalekela-o7t 4 күн бұрын
@@m.mmarckus6298 Kaz ipo apo
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 күн бұрын
😂😂😂baada ya kusuluhisha tatizo anaongeza tatizo😂
@LysonMshan-kf7rg
@LysonMshan-kf7rg 5 күн бұрын
Hahahahahhaa dakikaaa moja2 32 comments what a serie ♥️♥️♥️♥️
@Paulkessy-j8n
@Paulkessy-j8n 3 күн бұрын
Da vaireth nakupenda sana unavyosimama vyema na nafasi yako,, unanifulaisha sana
@zainabsabas1807
@zainabsabas1807 5 күн бұрын
Wamekuja kuaribu kabisa hawa 😂😂😂😂😂hawa vai Ndoa inakufa moja kwa moja
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 5 күн бұрын
Me Niko hapa kutazama anavo tia sighn talaka😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@zainabsabas1807
@zainabsabas1807 5 күн бұрын
@ 😀😀😀na ndiko kunako elekea Kama vai asipoamka 😀😀
@RizikiZiki
@RizikiZiki 5 күн бұрын
Umenena kabisa yani kwisha habari😂
@zainabsabas1807
@zainabsabas1807 5 күн бұрын
@@RizikiZikitatizo vai hajitambui na alivyo mwambia mama ake Ndiy kabisa na vai angesema ukweli Kwa mama ake kwamba yy ndiy chanzo 😂😂😂😂
@ashuramanya9282
@ashuramanya9282 5 күн бұрын
Kabisa ​@@zainabsabas1807
@PhilipGogo-hg1qf
@PhilipGogo-hg1qf 5 күн бұрын
Mnao sema kama unampenda mungu kuliko hii serie ya dunia tusitiane majaribuni tucje tukatenda dhambi bureeee😂😂😢
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 күн бұрын
Kabisa
@vstarstev7314
@vstarstev7314 19 сағат бұрын
Manyanya congratulations steling kinywa chako kimejaa maneno ya Busta #00:08 natoa comment hii kam unamkubali manyanya gonga like hapo chin❤❤❤❤
@AyubuKamendu-r7l
@AyubuKamendu-r7l 5 күн бұрын
Manyanya amefanya vizuri sana kutotoa siri za mke wake, big up sana
@UstinaMayemba
@UstinaMayemba 4 күн бұрын
Huyu ndo mwanaume sasa!mpaka sasa Matilda hajui kama manyanya Ana ugomvi na mkewe
@RahmaHabibu-u3v
@RahmaHabibu-u3v 4 күн бұрын
❤❤❤🎉 yes manyanya wanyooshe wanaume wasokuwa na Kaba
@MwanshambaKipanga-z6w
@MwanshambaKipanga-z6w 4 күн бұрын
Vai pole awo washauri mtihan lla mati kapole kanamsikiliza sana manyanya
@ashurajuma2671
@ashurajuma2671 4 күн бұрын
Leo sjui nimewai sjui nimechelewa,ngoja nijiangalizie zangu miee❤
@anethsanga2283
@anethsanga2283 5 күн бұрын
Basi nikuleteee maji😂😂😂 Ya baridi 🤩😁😁😁😁😁 😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅
@StarRaphael
@StarRaphael 4 күн бұрын
😅
@ScolastikaLeonard
@ScolastikaLeonard 4 күн бұрын
Thanks kwa somo Manyanya uko na mbingu yako walai uko vzr kuelimisha 🤝🤝
@NamiriNamiri-oz4xs
@NamiriNamiri-oz4xs 5 күн бұрын
Chizi kweli wee Amani hivi mpaka uwachukuwe ndio hiyo Roho yako mtakatifu ije kwa nn usiwakatae kqbla ya kuwachukuwa Sheteni Rambaramba weee.
@SarahBakari-c3q
@SarahBakari-c3q 4 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅
@StarRaphael
@StarRaphael 4 күн бұрын
Amani Jmn akishakula mtoto wa mtu anajifny mtu wa mungu mjinga kweli Amani😁😁😁amani mshenzi kweli yeye ndo pepo mchafu 😁
@AgnesJohn-f1r
@AgnesJohn-f1r 4 күн бұрын
😂😂😂 eti shetani rambaramba
DUNIA (Ep 49)
22:42
ASMA FILMS
Рет қаралды 607 М.
PROFESSOR [8]#sandraOfficial #kiparabrand #clamvevo #professor
21:35
It's the natural ones that are the most beautiful#Harley Quinn #joker
01:00
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 22 МЛН
Мем про дорожку
00:38
Max Maximov
Рет қаралды 4,5 МЛН
На ЭТО можно смотреть БЕСКОНЕЧНО 👌👌👌
01:00
БЕЗУМНЫЙ СПОРТ
Рет қаралды 4,4 МЛН
SIRI YA HUBA S2  { 5 }
17:54
Rk Movies
Рет қаралды 228 М.
It's the natural ones that are the most beautiful#Harley Quinn #joker
01:00
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 22 МЛН