Ni kweli kabisa,mume wangu aliniambia alifanyiwa Tohara akiwa mtoto Mama yake alimwambia kuwa alikuwa akiugua utotoni so akamfanyia Tohara lakini yeye anasema hakupenda coz anaona kama alifanyiwa ukatili so😊 basi huwa me nafurahi yeye anaona alionewa😅 ila yuko pouwa sana yani❤
@moana49878 ай бұрын
Govinda Govinda Govinda I’m singing
@marthakunaga73477 ай бұрын
😂😂😂
@damariszuckschwert94898 ай бұрын
Mimi nilikataa mahari mwenyewe, sikutaka kujisikia kama nauzwa.,nilitaka wazazi wangu wasaidike kila mara wanapohitaji msaada wetu. Na kwa upande wangu nilijihisi free.
@damariszuckschwert94898 ай бұрын
Shena big brain kabisa
@OfficialDatingAssistance8 ай бұрын
Thank Damari, so do you 🥰
@amoskagika88848 ай бұрын
Me kuoa bila mahari naona kama bado sijaoa. Raha ya kuoa Utolewe upepo kidogo ili kujipima kama utamudu majukumu😂😂😂. Lakini Kama ulivyosema inatakiwa iwe reasonable sio kukomoana
@nafuwswedi24658 ай бұрын
Mweee Shena Mdogo wangu wazungu kweli wanamagovi,Mimi kijana wangu nilimpo mzaa nikwamwambia baba yake tumtahiri mtoto,alikataa kabisa basi nilipokwenda nyumbani sasa baba yangu alipomuona mjukuu wee aliniambia kesho huyu lazima atailiwe,nikamwambia baba sasa unanitafitia kesi na mzungu,basi kijana alitahiliwa Tanzania,na alikuwa bado Mdogo,basi tuliporudi Switzerland mbona karibu nipewe taraka ,mzungu alikasirika mno yaani,Leo hii kijana wangu mkubwa ananishukuru sana🙏🏾
@sleeprelaxation84318 ай бұрын
sio wazungu wote, ila nime ona sana wazungu wa ulaya wengi wao hawaja pewa tohara. ila wazungu wengi wa marekani wamefanyiwa tohara, japo wapo ambao hawaja fanyiwa hata weusi unakuta wapo ambao hawajafanyiwa.
@nafuwswedi24658 ай бұрын
@@sleeprelaxation8431 Yes wa Ulaya wengi tu👍🏾
@annamussa1858 ай бұрын
Shena my mwanamke anakeketwa mwanaume ndo anafanyiwa tohara
@OfficialDatingAssistance8 ай бұрын
Shukran kwa kunipatia neno fasaha la Kiswahili.. 🙏
@jumaiddy-jm5wo8 ай бұрын
Marekani wanajitahidi sana kwenye hili suala la tohara. Watoto huwa wanafanyiwa siku chache baada ya kuzaliwa hospitali. Kiasi kwamba watoto wengi wanafikiri wamezaliwa hivyo.
@Pattyneema8 ай бұрын
Ni kweli wamarekani wanajitajitahid sana kwa asilimia kubwa tofauti na Europe
@abbtsa30607 ай бұрын
Mpaka serikali ya South iafrica metowa muongozo watu wawe wanafanyiwa thohara kwasababu inapunguza magonjwa ndani ya jamii
@zaydelabay97768 ай бұрын
Mume wangu andaa milion 10 zangu, stak kelele😂😂
@damariszuckschwert94898 ай бұрын
Kuna mmoja aliuliza kwani wanaume wa Kiafrika hawajui kujisafisha au ni maji hakuna ndiyo maana wanafanyiwa tohara?😂😂
@damariszuckschwert94898 ай бұрын
Hee sasa mimi niliamini tohora ilianzia kwenye Uislamu😅
@OfficialDatingAssistance8 ай бұрын
😁ndio tunajifunza kila siku
@atomphoton50008 ай бұрын
Tohara Ujeremani ni haramu na tena ni kosa la jinai labla dokta ajirizishe ndio unaruhusiwa kufanya
@Pattyneema8 ай бұрын
Wamarekani wao wana tohara, nafikiri Europe ndo ambao hawana tohara
@OfficialDatingAssistance8 ай бұрын
Ni baadhi wenye tohara Sio wote kipenzi
@Pattyneema8 ай бұрын
@@OfficialDatingAssistance asilimia kubwa ya wamarekani wapo na tohara wengi kulinganisha na Europe asilimia chache dear
@ManyemaCollection8 ай бұрын
😂😂😂😂weee Shena KO jamaaazetu bado Wana mikono ya Sweta duuuh hatar kwakweli dada km. Nimekutan na mtu mm huyo na mm sipend jins alivyo nawezaj mwambia Afanye tohar??