No video

KAMBI YA SIMBA MISRI | Kocha Fadlu, mratibu wa timu, wachezaji wazungumzia kambi

  Рет қаралды 74,847

Azam TV

Azam TV

Ай бұрын

Tazama mkusanyiko wa matukio katika kambi ya Simba SC, ambayo hadi leo imetimiza wiki moja tangu waanze kujifua jijini Ismailia nchini Misri.
Kocha wa timu hiyo Fadlu Davids, Mratibu wa timu, daktari wa timu na wachezaji watoa neno kuhusu maendeleo ya kambi na mtazamo wao kuelekea msimu ujao.
#KambiYaSimba #Preseason #SimbaSC

Пікірлер: 101
@patrickkimamba7124
@patrickkimamba7124 Ай бұрын
safi sana che malone kwa kututia nguvu
@user-gz2or2ui9n
@user-gz2or2ui9n 28 күн бұрын
Allah awape nguvu wanajeshi wetu
@abdallahally842
@abdallahally842 Ай бұрын
All the best simba nguvu moja
@YustaFrank
@YustaFrank Ай бұрын
Naipenda simba tuwaombee tu wachezaji wetu🤝🤝
@allygoodboytzsdoneintanzan3970
@allygoodboytzsdoneintanzan3970 Ай бұрын
Boss karudi simbaaaaaa nguvu mojaaa
@mussaismail1285
@mussaismail1285 Ай бұрын
Alie muelewa chemlon kama mm aseme nguvu moja
@IbraMwakipesile
@IbraMwakipesile Ай бұрын
Nguvu moja
@RashidKindezi
@RashidKindezi Ай бұрын
Simba dam dam
@RashidKindezi
@RashidKindezi Ай бұрын
Simba nguvu mojaaa
@RashidKindezi
@RashidKindezi Ай бұрын
Unyama mwingi
@RashidKindezi
@RashidKindezi Ай бұрын
Mwaka uuu mbona wata koma watan
@mussangalawa2403
@mussangalawa2403 Ай бұрын
Kabla ya simba day wachezaji wakirudi wafikie pahara isomwe dua ya Abaldili kwa yeyote atakaeifanyia ubaya club kuanzia kwa wachezaji wasio waaminifu mpka viongozi wale yamini ya umoja wa kuipigania club na kwa walio nje ya club ambao wanadhamila mbaya dhidi yetu na wachezaji wetu waangamie kama jua lizamavyo.
@emmanueldaudi3797
@emmanueldaudi3797 29 күн бұрын
Hakuna ubaya wowote ni kuwa na quality tu msijidanganye Wala hakuna kurogwa Wala Nini
@shabanimzalla7108
@shabanimzalla7108 Ай бұрын
Simba sc nguvu Moja 🇹🇿, Raha sana
@shevbran7390
@shevbran7390 Ай бұрын
Nguvu moja 💪🏻we will conquer 🫶
@RoseAbdul-m7w
@RoseAbdul-m7w 28 күн бұрын
Nice
@user-bc4cz7vo1x
@user-bc4cz7vo1x Ай бұрын
Allah walinde na wachawi wote mue na afya njema inshallah Amiin inshallah Amiin
@peacerichard8970
@peacerichard8970 Ай бұрын
Wizard fc wanawaza uchaw tu, wizard wa Africa
@user-be9zz3yg1f
@user-be9zz3yg1f Ай бұрын
Mbele za mungu hakun uchawi wameaza na Bismillah wamemaliza na alihamdullilah
@user-zh1fd8zv1x
@user-zh1fd8zv1x Ай бұрын
Asanteni sana wana jeshiwetu mbambaneni msimu huu mutoondolee ahibu
@IssaRamadhani-f2h
@IssaRamadhani-f2h Ай бұрын
Simbaaa nguvuu mojaa
@SalimRamsei-ok9el
@SalimRamsei-ok9el Ай бұрын
Nomaa sanaa
@lastbornofficialtz
@lastbornofficialtz Ай бұрын
I love you Simba ❤❤❤
@EsauDidiye-qs3ej
@EsauDidiye-qs3ej Ай бұрын
💯💯💯💯💯💯 nguvu moja
@MrBm-369
@MrBm-369 Ай бұрын
We love you Simba
@BakariHamisi-ke6zv
@BakariHamisi-ke6zv Ай бұрын
safi Sana Yani mwaka huu tuta wapima umri mana tizi limekolea
@emmanueldaudi3797
@emmanueldaudi3797 29 күн бұрын
Jidanganye
@godfreymbevi2879
@godfreymbevi2879 Ай бұрын
I congratulate Che Malone Fondoh for your brilliant briefing regarding the training going on in EGYPT for Simba sports club. But my question is that, your club will be playing in pitches with a lot of challenges, for more than two seasons you have been going to the same location without bringing the new chapter in our premier league. So what new results the fans should expect from you with the same training ground, same weather and ambition?
@essaumabala6277
@essaumabala6277 Ай бұрын
your question is so brilliant
@elbarrey3305
@elbarrey3305 Ай бұрын
Huyu kapombe na zimbwe basi tena inatosha🙏🙏🙏
@flova7022
@flova7022 Ай бұрын
You know nothing ..
@OmarmakameHaji
@OmarmakameHaji Ай бұрын
Basi ww
@shukranionesphoro7744
@shukranionesphoro7744 Ай бұрын
Good language from chemalon
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 Ай бұрын
Sipendi kusema Mimi wa kwanza , nishazivuka hizo level
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u Ай бұрын
Kila laher yakambi hapo misri muwe naafya njema wote kwaujumla tunawapenda
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp Ай бұрын
Simba nguvumoja
@soniimedia2440
@soniimedia2440 Ай бұрын
Simba nguvu mojaaa😮
@SamsonSaruni-s3g
@SamsonSaruni-s3g Ай бұрын
🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@alexlipili9343
@alexlipili9343 Ай бұрын
Kikubwa Dua tuuu Yani,,
@nbwchannel4997
@nbwchannel4997 Ай бұрын
Dah!! Utopoloo wachawii
@CikeTanzania
@CikeTanzania Ай бұрын
Zetu dua tuu.
@CleophaceLisakafu
@CleophaceLisakafu Ай бұрын
Nguvu moja viva lunyasi
@Tobejr
@Tobejr Ай бұрын
Nguvu moyaaaa💪💪
@salehsultan8887
@salehsultan8887 Ай бұрын
My Team
@brunoh_bx
@brunoh_bx Ай бұрын
Utopolo wametulia wanasubiri kuwaroga tu😂😂
@joviniproches8238
@joviniproches8238 Ай бұрын
😅😅😅
@baracknyerembe2192
@baracknyerembe2192 Ай бұрын
😂😂😂
@KijaJohn
@KijaJohn Ай бұрын
😂
@laurentwilson-db4ir
@laurentwilson-db4ir Ай бұрын
Msimu ujao uto nawaloga pia wandelee na upuuzi wanaume wanafanya Kazi wao Kazi kuloga
@lutiak7618
@lutiak7618 Ай бұрын
Kwa kweli wamejichimbia wanawanga mwaka huu kila mtu na lmani yake
@NdayishimiyeDjuma-is8gg
@NdayishimiyeDjuma-is8gg Ай бұрын
Chemalone deserve to be a Captain
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
I second this
@HalmaAlly-up9pq
@HalmaAlly-up9pq Ай бұрын
Dua nyingi
@AminaRashid-wl8fe
@AminaRashid-wl8fe Ай бұрын
Simuoni mkandaji
@OmaryJafary-vu6en
@OmaryJafary-vu6en Ай бұрын
❤❤
@BigDreamsWorldwide
@BigDreamsWorldwide Ай бұрын
KOCHA NI FADLU SIO DADLU
@JohnEugeni-f8m
@JohnEugeni-f8m Ай бұрын
Tuandae timu Ila tusisahau utopolo Wanga huwa wanawafunga wachezaji Hilo tulifanyie kaz
@barakaonlinetv1318
@barakaonlinetv1318 Ай бұрын
Mwamedy shabalala usije mpiga mbao yule mbadala wako bhana tunataka msaidiane mtupe raha,usije mvunja mguu km boko alivyomfanyia kramo,plz plz,tunaumia mashabiki
@SaidThomas-x3q
@SaidThomas-x3q 27 күн бұрын
Utopolo hatari nikua makini
@LucianaWilson-z2i
@LucianaWilson-z2i Ай бұрын
Nguvu moja
@MarcoMasabo-nd2wp
@MarcoMasabo-nd2wp Ай бұрын
Malone suppose to be a captain
@Jastus100
@Jastus100 Ай бұрын
Na tshabalala?
@nanjiTv
@nanjiTv Ай бұрын
Sureee ,
@MusaHamis-oz2rg
@MusaHamis-oz2rg Ай бұрын
Mbona matola tena
@longlive_k10
@longlive_k10 Ай бұрын
Che Malone kama amesifia basi naamini kweli wanapikwa ,... jamaa haongei uongo hana siasa
@user-vw2ux5sh4x
@user-vw2ux5sh4x Ай бұрын
Malon huna baya kabisa
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 Ай бұрын
Utopolo michawi ,mfano kramo katupiwa majini hata mechi moja hajacheza
@jeofreymsomba7200
@jeofreymsomba7200 Ай бұрын
Wanganga wapo avic😅😅😅
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba Ай бұрын
Hakuna timu inayo Ogopewa kwa uchawi barani afrika kama kolo fc ukitaka kuthibitisha hili waulize Olando ya south afrika.
@hastatz
@hastatz Ай бұрын
Sawa
@gwakisamwaseje7849
@gwakisamwaseje7849 Ай бұрын
Mpira ni science na sio uchawi kaka
@Gisakijamaduda
@Gisakijamaduda Ай бұрын
Ngogwe fc hamjui manara alimaanisha wajomba zake kwa kizaramo,lakini utopwax wanafikiri ni jina baya!!!!!! hamna akili kabisaaaaaaaaaaa utopwax weeeeeeee
@eliashagai7920
@eliashagai7920 Ай бұрын
Na wewe mchawi
@storytime1204
@storytime1204 Ай бұрын
Ndio maana na nyie mnanyeshwa supu za vibudu😂😂😂
@shadrackjuliuskaboya5239
@shadrackjuliuskaboya5239 Ай бұрын
Misimu huuu tusirogane bori litembeeeee
@StafordNoery
@StafordNoery Ай бұрын
😅😅😅
@edgarcruzee5223
@edgarcruzee5223 Ай бұрын
Matora atufao anatenga wachezaji na mra Rushwa ajui chochote ni fitina tu
@eliashagai7920
@eliashagai7920 Ай бұрын
Plz Kam Simba unaona vipi hama ,Kipindi hiki sio Cha kulaumiana au kumnyoshea kidole mtu,Matola ni mzalendo Sana kaa nae karibu au uliza wachezaji wakwambie
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv Ай бұрын
Hii ni kweli kabisa Matola hafai Huwa anachukua rushwa hasa Kwa wachezaji wazawa hii ni taarifa kutoka Kwa mchezaji aliye kuwa anachezea Simba Simba ilikula Tano nayeye alikuwepo
@AlifaHamis
@AlifaHamis 29 күн бұрын
Mbona kibu haonekani au Asha Anza kuji sikia na yeye
@samwelnyaulasmaiko9968
@samwelnyaulasmaiko9968 29 күн бұрын
Aondoke Hana msaada yule anakimbia tu kama ngiri
@officialdana5114
@officialdana5114 Ай бұрын
Onana simuoni
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk Ай бұрын
Onana thank you😅
@frankmalema5350
@frankmalema5350 Ай бұрын
Mafaniko yajayo utasikia wenzenu walikuwa wanafanya zoezi misri nyie mlikuwa wapi naiona simba inabeba shirikisho
@jumaali9243
@jumaali9243 Ай бұрын
Mara hii wazee wameamka ubaya ubwela
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig Ай бұрын
Ubaya ubwela utopolo kwisha abli yao
@user-wh5zz5dk2g
@user-wh5zz5dk2g Ай бұрын
Uto tunaomba msiwaloge mwaka huu jamn
@Richardjulius-g3y
@Richardjulius-g3y Ай бұрын
Simba Nguvu 1
@muuh_barber8578
@muuh_barber8578 Ай бұрын
Isra mwenda na Kibu vipi ?
@user-ys4zk3hx4f
@user-ys4zk3hx4f Ай бұрын
Kibu sinuon😂
@Regina-hb5mi
@Regina-hb5mi Ай бұрын
Viongoz mlitudanganya eti kibu Alienda misili
@user-in4kg3kj8x
@user-in4kg3kj8x Ай бұрын
Zimbwe hajui kuongea bhn 😅😅
@phaustinemrema2293
@phaustinemrema2293 Ай бұрын
Sauti haina
@Regina-hb5mi
@Regina-hb5mi Ай бұрын
Kibu yuwap
@user-ti3bi2ip8s
@user-ti3bi2ip8s Ай бұрын
Acheni wivu mtabaki hahapa mkawasidiewavuvi kuvua samaki feli,chula wakijani nyie
@juniorjunior6639
@juniorjunior6639 Ай бұрын
Nguvu moja
@maulidkamundi1700
@maulidkamundi1700 Ай бұрын
Acheni uboya msije mkatoa siri za kambi kwa bosi wenu.
MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 14/08/2024
53:14
Azam TV
Рет қаралды 5 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 12 МЛН
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 6 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 3,6 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 32 МЛН
'Mavituzi' ya kocha wa makipa wa Simba SC huko Misri
3:12
Azam TV
Рет қаралды 58 М.
Joseph Kusaga Atoa Kanuni Muhimu Za Mafanikio Kwa Vijana
7:36
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 4,3 М.
The Final Four Reds Return To Training! 🔥
11:52
Manchester United
Рет қаралды 457 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 12 МЛН