Рет қаралды 74,161
“Unaweza kumuacha Chama halafu baadaye ukaanza kujuta” - Ahmed Ally kuhusu ishu ya kiungo wao Clatous Chama akifafanua sababu za kuchelewa kufanya maamuzi, asema hatma yake wanayo viongozi wa juu…. asisitiza “yule siyo mtu mchezaji wa kawaida”