Hatma ya Clatous Chama ndani ya Simba, Ahmed Ally atoa maelezo

  Рет қаралды 73,505

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

“Unaweza kumuacha Chama halafu baadaye ukaanza kujuta” - Ahmed Ally kuhusu ishu ya kiungo wao Clatous Chama akifafanua sababu za kuchelewa kufanya maamuzi, asema hatma yake wanayo viongozi wa juu…. asisitiza “yule siyo mtu mchezaji wa kawaida”

Пікірлер: 124
@prenceReymaz
@prenceReymaz 3 ай бұрын
wanaomkubali chama like zake hapa tafadhari ❤❤❤
@FikriniBakar
@FikriniBakar 3 ай бұрын
@gideonmwaweza8177
@gideonmwaweza8177 3 ай бұрын
Maneno mengiiiiiiiii sema tu ameenda upande wa pili msiba tu ulewekeeeeee Simba kilo chama chama mimi Simba nimeumia Sana chama bye
@donwilliamstechnology2052
@donwilliamstechnology2052 3 ай бұрын
Hakika tumepoteza mchezaji muhimu ktk chama letu la Simba.. walio umia kama Mimi gonga like zako.
@AzizaMayemba-td8po
@AzizaMayemba-td8po 3 ай бұрын
tunampenda abaki kwan nliposkia ameondoka niliumia sana
@barackmoses7003
@barackmoses7003 3 ай бұрын
Acha uongo si useme tu ukweli kwamba mmeshindwa kumlipa stahiki zake😢 mpk ameamua kuondoka
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
KUNA WAJINGA WANATAKA UTANGAZE HATMA YA CHAMA KABLA YA MAAMUZI YA WAHUSIKA HAWAJA AMUWA
@sangaelly8548
@sangaelly8548 3 ай бұрын
Heee kumbe huyu Chama ni mtu wanamna gani?kila siku ukifungua Midia, TV,simu zinamueleza huyu huyu tu 😢mmm😮
@ummusajdalayaa4305
@ummusajdalayaa4305 3 ай бұрын
Chama chama mwacheni aende bwana coz mnavyomsifua sana kaburi kina zadi Simba bila chama inawezekana bwanaa
@SalvatoryTarimo
@SalvatoryTarimo 3 ай бұрын
3:55 😂
@gregorygodfrey1688
@gregorygodfrey1688 3 ай бұрын
Wanasimba wote tufanye kum unfollow huyu jamaa anakuaga. Na akili za hovyo uku promote vitu tofauti na ilivo
@GeorgeJusto-y4v
@GeorgeJusto-y4v 3 ай бұрын
Wewe ongea ushuzi tu alafu msajili wapumbavu mtatuelewa sisi Wana Simba tukoje
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i 3 ай бұрын
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i 3 ай бұрын
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i 3 ай бұрын
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa 5:55
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i 3 ай бұрын
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i 3 ай бұрын
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i 3 ай бұрын
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa
@RaziaCharleskopa
@RaziaCharleskopa 3 ай бұрын
atakama Ahmed ally useme nini atutapata wakuziba pengo Ra xhama kumbuka wariondoka kina firi wakara kina jobe akaondoka bareke akaja Fred wamefanya nn zidi ya ao
@wimranpatrick
@wimranpatrick 3 ай бұрын
Mupeni thank you yake2 amechoka ukoloni
@ShannyFedrick
@ShannyFedrick 3 ай бұрын
Muachen aende chama lakn Simba Bado inamhitaj
@UshindiGwivaha
@UshindiGwivaha 3 ай бұрын
Imeisha iyo wenye D mbili tumeelewa😂😂😂
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 3 ай бұрын
Huyu mjinga sana maneno mengi
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 3 ай бұрын
Ally maneno hayatakiwi acha eende
@OmariNgori
@OmariNgori 3 ай бұрын
Kwajili ya chama gonga like zako
@DeusBriton
@DeusBriton 3 ай бұрын
Tumeumia sana washabiki wa simba
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh 3 ай бұрын
Chama abak kibud abak
@JuliascharlesNjogela
@JuliascharlesNjogela 3 ай бұрын
Bad tunampenda chama
@locksterabdon
@locksterabdon 3 ай бұрын
Chama kaishasaiv tuwe wakwel mashabi wasmba
@ummusajdalayaa4305
@ummusajdalayaa4305 3 ай бұрын
Exactly wamwache aende zake tu
@NoelsamwelyShagama-gb4zf
@NoelsamwelyShagama-gb4zf 2 ай бұрын
wamepita wangap acha aend
@IddyAmir-gq1jr
@IddyAmir-gq1jr 3 ай бұрын
Maneno mengi yanini ongea fact
@estermoshi7518
@estermoshi7518 3 ай бұрын
Chama hawez kwenda
@Edger-bn2mt
@Edger-bn2mt 3 ай бұрын
Aende hatmtaki
@mromalais900
@mromalais900 3 ай бұрын
Maelezo mengi ya nn....kama anaenda mwacheni...muda mwingine semaji wajishusha Hadhi...zidi ya wale wanayo ipoteza Simba ambao niviongozi.
@idrissaNdiga
@idrissaNdiga 3 ай бұрын
Ahmedy wew nitapeli Kama Hao vingozi Kwanza toka uje Simba unagundu mbwa wewe
@Shaziri-or4xn
@Shaziri-or4xn 3 ай бұрын
Huo ugonjwa
@KuruthumKhalaf
@KuruthumKhalaf 3 ай бұрын
achaujinga elaamna
@FotunataPhilimon
@FotunataPhilimon 3 ай бұрын
IPO siku tutakukosa semaji,,naona ni kama unaifundisha management Nini ifanye juu ya chama,,,,in short chama amekuumiza kiasi Cha kutamani umfate utopoloni.
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 3 ай бұрын
Simba😂😂😂😂😂😂wana msemaj muongo sn aisee anawaona kama mambugila hiv wasiojielewa😂😂😂
@DhulkifliMkiji
@DhulkifliMkiji 3 ай бұрын
MAKOLO KISEBU SEBU NA KIROHO PAPO NYINYI HAMUNA UJANJA KWA CHAMA IPO SIKU ATAWASHIKA HADI VIJAMB.......😂😂😂😂😂😂
@AnnaPaul-n6r
@AnnaPaul-n6r 3 ай бұрын
Hahahaha
@SalvatoryTarimo
@SalvatoryTarimo 3 ай бұрын
ay bwan
@ScholarAloyc
@ScholarAloyc 3 ай бұрын
Simba hamna kitu
@AmosLushonisha
@AmosLushonisha 3 ай бұрын
Ww una kitu ..😂
@MuhsinJuma-wo2bg
@MuhsinJuma-wo2bg 3 ай бұрын
Ww niambie ya kueleweka kwani ss haujui chawa hem achana ujinga timu ime potea na bado mnaendelea kuacha wachezaji muhimu kumama zenu
@patridabernard9148
@patridabernard9148 3 ай бұрын
Kwani wewe unaongelea nini wakati mshaumia tayari chefuuuu
@PiliKassim-ox4qp
@PiliKassim-ox4qp 3 ай бұрын
Mwache aende bhana nini kumpambapambaa mbwa uyooo
@SuleMuntalikilumbi
@SuleMuntalikilumbi 3 ай бұрын
Sasa we kichwa Unga hujatoa majibu hivyo hapo umebwabwaja tu
@pablomsafi1050
@pablomsafi1050 3 ай бұрын
Eti mumuuze chama alafu mumbakize jobe aaah itakua zalau kubwa sanaa uyo chama ni bonge la mtuu sema ndo vile tuu team aiko kwenye mwenendo mzuri ila majonzi😢 yatakua makubwa kama mtamuuza chama alf mbaya zaidi akachukuliwa na wapinzani(yanga) kama trending zinavyoelezea uko mitandaoni itakua noma sanaaa yan simba ndo itakua aina tena uwezo wakukijenga kikosi kam wakimuuza uyo tripple C mwamba wa rusaka
@RichardkashinjeRudamila
@RichardkashinjeRudamila 3 ай бұрын
Hawo viongozi ndiyo wanaotualibia timu
@Tchidymbanga
@Tchidymbanga 3 ай бұрын
😂😂😂
@FikriniBakar
@FikriniBakar 3 ай бұрын
Chama asitoke itakuwa balaa jingine
@athumaniabdi4122
@athumaniabdi4122 3 ай бұрын
Mpira umeanza kupenda lini kaka, all in all mpira ni biashara bro,
@babuumaeda7671
@babuumaeda7671 3 ай бұрын
Fanya kazi zingine sio USEMAJI maana una SIASA nying unasifia halafu hayupo SIMBA 😢 yaani achatu kaziiiiii hufai. Asiekuwa kwako halafu unasifiaiiaaaa 😢😢😅😅😅😅
@AlexrobertGasperly
@AlexrobertGasperly 3 ай бұрын
Sasa kosa Lake nini?
@RichardkashinjeRudamila
@RichardkashinjeRudamila 3 ай бұрын
Nampenfa chama na asiondoke simba
@AveriniDenisi
@AveriniDenisi 3 ай бұрын
Powh tumesikia yombo zako
@JastineLibehema
@JastineLibehema 3 ай бұрын
Simba n taasisi kama anashida mwacheni aende zake
@abudalaabdumalik9362
@abudalaabdumalik9362 3 ай бұрын
Aka kajamaaaa vip kaaa ivo watu wapite nae
@MeliusAdloph
@MeliusAdloph 3 ай бұрын
Mwache aende kama ameamua kwenda!!
@BoniphaceMaseke-k2k
@BoniphaceMaseke-k2k 3 ай бұрын
una comment utumbo na hujala ,👇👇👇👇
@YusuphuJumanne-s5c
@YusuphuJumanne-s5c 3 ай бұрын
Aondoke tuu anatusumbua 5:08 😊
@DesderiusPeter-ld7mm
@DesderiusPeter-ld7mm 3 ай бұрын
Msemaji wa hovyo kabisa
@JonasMaundu
@JonasMaundu 3 ай бұрын
Tulia upokee tarifa sahihi
@IddyMrisho-g8x
@IddyMrisho-g8x 3 ай бұрын
Nendakwenyepoiti2
@idrissaNdiga
@idrissaNdiga 3 ай бұрын
Hata wew hatukutaki
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi 3 ай бұрын
Ulikuwa unawandaa kisaikolojia
@YonaAgustino
@YonaAgustino 3 ай бұрын
Chama mtu nanusu
@samwelwiston7972
@samwelwiston7972 3 ай бұрын
Akafie mbele huyo chama
@YusuphuJumanne-s5c
@YusuphuJumanne-s5c 3 ай бұрын
Aondoke tuu anatusumbua
@JonasMaundu
@JonasMaundu 3 ай бұрын
Mnatumalizia bando
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot 3 ай бұрын
Aende
@MaxCharles-wj5dg
@MaxCharles-wj5dg 3 ай бұрын
yanga hatuabudu mizeee sisii nyie umieni na magarasa yenu mwakaa huu tunapiga 10
@CholoMwamba
@CholoMwamba 3 ай бұрын
Amujipya ynga vikoba
@Chamlola
@Chamlola 3 ай бұрын
Ongea kama mwanaume shoga 1 weeee sauti kama ya zuchuuu
@NeemaValentina
@NeemaValentina 3 ай бұрын
Polojo nying ww nimwanasiasa huend direct
@AnnaPaul-n6r
@AnnaPaul-n6r 3 ай бұрын
Kazi mnayoo wazee
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 3 ай бұрын
Wewe mbona unatoa ngonjera mpuuzi tu!
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 3 ай бұрын
Tunataka solution
@YusuphuJumanne-s5c
@YusuphuJumanne-s5c 3 ай бұрын
Aondoke tuu anatusumbua
@emmanueljohn7253
@emmanueljohn7253 3 ай бұрын
Let him go
@allyahmed3726
@allyahmed3726 3 ай бұрын
Mashabiki hawa ndio wanatuangusha kuskiliza siasa za huyu jamaa simba inapotea
@Said13Mashakaog
@Said13Mashakaog 3 ай бұрын
Kweli kabisa anaongea sana aaaah! Mpaka anakera
@SebastianMaleto
@SebastianMaleto 3 ай бұрын
😂😂😂
@mbarakasijaona7638
@mbarakasijaona7638 3 ай бұрын
Duh 😂😂😂😂😂😂😂
@barakacharles6027
@barakacharles6027 3 ай бұрын
Mmmh
@philemonnestory4239
@philemonnestory4239 3 ай бұрын
Ahamed ally acha mboyoyo acha ujinga
@Greatest9141
@Greatest9141 3 ай бұрын
😂😂😂
@Ndenza
@Ndenza 3 ай бұрын
Yupo kazn kwake😂😂😂😂
@MkemiaMwajombe
@MkemiaMwajombe 3 ай бұрын
Wewe fanya yako yatakusaidia
@boxdad
@boxdad 3 ай бұрын
Wanaku uuuuu
@AttiyeShaame
@AttiyeShaame 3 ай бұрын
​@@Ndenza❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤a23a❤31a❤31❤1❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤3111111❤w1w❤131❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤31a❤w3❤1a❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤w1❤à❤❤❤❤🎉🐏❤
@MakoyeYohana
@MakoyeYohana 3 ай бұрын
yup au hayup
@tasamtv
@tasamtv 3 ай бұрын
Aliondoka okwi akiwa top scholar hata yeye ikbd apewe thanks
@ShadidaSaidi-bs5os
@ShadidaSaidi-bs5os 3 ай бұрын
Ww yanga acha ujinga
@ShadidaSaidi-bs5os
@ShadidaSaidi-bs5os 3 ай бұрын
Wew ukimtoa cham utamleta nan kama cham
@tasamtv
@tasamtv 3 ай бұрын
Sasa kama mtu hataki utamlazimisha 😱😱😱
@AnthonKitindi-zg4dp
@AnthonKitindi-zg4dp 3 ай бұрын
Daah Yani kama wamtongoza dem
@Said13Mashakaog
@Said13Mashakaog 3 ай бұрын
Si ndiyo hapo
@johnbidya119
@johnbidya119 3 ай бұрын
Kwa kheri chama karibu aziz ki..
@Mhappy5
@Mhappy5 3 ай бұрын
Amka amka😅😅😅
@johnbidya119
@johnbidya119 3 ай бұрын
@@Mhappy5 hawajajua bado
@paulzacharia5897
@paulzacharia5897 3 ай бұрын
Ngonjera hizi jaman
@clemermkanda
@clemermkanda 3 ай бұрын
Sasa mbn hatima sijaisikia🥱
@IddiyNasoro
@IddiyNasoro 3 ай бұрын
Acha siasa funguka
@IbraMwakipesile
@IbraMwakipesile 3 ай бұрын
Apa tushajua chama anasepa
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 3 ай бұрын
Mnampa kichwa mlambeni miguu wajinga nyie!
@ShadidaSaidi-bs5os
@ShadidaSaidi-bs5os 3 ай бұрын
Wew yang
@ShadidaSaidi-bs5os
@ShadidaSaidi-bs5os 3 ай бұрын
Chama fund
@methodpeter1323
@methodpeter1323 3 ай бұрын
harafu viongozi Wa Simba tambueni Yanga walishajua chama kaisha, hivyo wanajifanya kumtaka ili tuendelee Na mpira wake Wa kutokukimbia aendeeeeeeeeeee
@MussaFadhil-ef7rs
@MussaFadhil-ef7rs 3 ай бұрын
Nmekua kwa kwanza naomben like😂😂😂
@NemesMasawe
@NemesMasawe 3 ай бұрын
Aondokee tyuu anajisikiaa sanaaa
@methodpeter1323
@methodpeter1323 3 ай бұрын
chama ndio niniiiiii? aendeeeee
@berinaladslaus8792
@berinaladslaus8792 3 ай бұрын
Wanaokoment ujinga ni Wana yanga hao Utoporo mtupu
@methodpeter1323
@methodpeter1323 3 ай бұрын
analinga kama Demu
@hadijarashid8425
@hadijarashid8425 3 ай бұрын
😢chama abaki tu
@Greatest9141
@Greatest9141 3 ай бұрын
Kawaacha uyoo 😂😂
@DanielidaudyliganyaDanielidaud
@DanielidaudyliganyaDanielidaud 3 ай бұрын
Tulia wewe
@SundayMjeda-y1m
@SundayMjeda-y1m 3 ай бұрын
Abaki 🙏
@YusuphuJumanne-s5c
@YusuphuJumanne-s5c 3 ай бұрын
Yupo hayupo
Ozoda - Lada ( Ko’k jiguli 2 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 15 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
KIBAHA KUMEANZA KUCHANGAMKA ,UBAYA UBWELA.
12:38
Digitaltvtz
Рет қаралды 629
Gold Medal Toss Challenge!
0:31
Colin Amazing
Рет қаралды 5 МЛН
GROSS ARM BREAK 🤢 #nocommentary
0:45
UFC
Рет қаралды 4,3 МЛН
Jr. Ronaldo Vs Goalkeeper 😱💣❤️ #shorts
1:01
BETER BÖCÜK
Рет қаралды 7 МЛН
Cleaning or cooking? 🫢 #cleaner #volleyball #prank
1:00
Volleyball Prank
Рет қаралды 8 МЛН
Смогла забить самому лучшему вратарю 😮
0:46
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 4,1 МЛН
Cutest Reaction i've ever seen 🤩🥰 #wonderkid #5yrsold
0:13
Alex and Deme
Рет қаралды 1,5 МЛН