CHEKECHE | Wimbi la mapinduzi ya kijeshi linaipeleka wapi Afrika Magharibi?

  Рет қаралды 19,128

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 22
@heredilematuru7814
@heredilematuru7814 Жыл бұрын
Time Will Tell
@DaimaNyakunga-jb6do
@DaimaNyakunga-jb6do Жыл бұрын
Bado tanzania
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli
@mussaelisha3733
@mussaelisha3733 Жыл бұрын
Napenda Africa yote
@davismuzahula907
@davismuzahula907 Жыл бұрын
Jeshi ndo mzalendo namba moja wa kila Taifa, Democrasia ikishindwa kuwaletea watu maendeleo basi jua wanaweza kujaribu jinsi wanavyoona inafaa.
@InnocentKimaro-c3o
@InnocentKimaro-c3o Жыл бұрын
Yakisasa😂😂😂😂😂
@TwahaMpakani-pn4ov
@TwahaMpakani-pn4ov Жыл бұрын
Mimi nawaunga mkono wanao pindua hizi nchi inshu ni anaye pindua anamtizamo gani?kama siyo mbinafsi itasaidia sana na itawaogofya wanao jisahau
@williammabanga4893
@williammabanga4893 Жыл бұрын
Ni vigumu sana kulaumu mapinduzi ya kijeshi ktk bara ambalo katiba zake sio shirikishi. Nguvu nyingi za utawala huwekwa juu ya mtu mmoja au kikundi kidogo cha watu kwa kisingizio cha vyama.
@AshrafuJonny-sz4gs
@AshrafuJonny-sz4gs Жыл бұрын
Sio.huko tuu tunafunga nakuomba hata tanzania uingie mfumo huu hutakua tibakubwa kwatanzania
@AdnaneissufoMomadeIssufo-jt3ll
@AdnaneissufoMomadeIssufo-jt3ll Жыл бұрын
Waafrika tumeshoka na kuwanufaisha wazungu.
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Жыл бұрын
Kwanza africa haikupaswa kua na vyama vingi. Je, nchi za wazungu zilianza kua na vyama vingi baada kipindi gani baada ya kupata uhuru
@florencemwanansao834
@florencemwanansao834 Жыл бұрын
KATIBA ZA KIAFRIKA NI MBOVU. NA NDO CHANZO kikuu
@salimmohammad3627
@salimmohammad3627 2 жыл бұрын
Kuwa raisi iombe elimu tatizo ya wa raisi wakiafrica awana ile Moyo yakusaidia wa raia wao wengi ni ma tapeli na wanasikiya sana ma beberu raisi mwenye ilikuwa naniya zuri sana alikuwa ni mangufuli pekeyake tu....wengine wengi ni wanafki na Moyo mbaya kwenye raia wao...poleni sana ndungu zangu
@nelsonjastin2601
@nelsonjastin2601 Жыл бұрын
Nayaunga mkono mapinduzi barani afrika kwa sababu ya ubinafsi wa viongozi wa kidemokrasia
@akimu-gl7zp
@akimu-gl7zp Жыл бұрын
Ziwe zinapinduliwa hivihivi ndiotutakua na akili.
@yassinphonyogo2347
@yassinphonyogo2347 Жыл бұрын
nime kukuba rab we ni mchambuzi ila samtim hua una egemea mahgaribi
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 Жыл бұрын
Nahuyo mfaransa ndio kamuua gadaffi wacha Afukuzwe African kote
@albertbissaga1425
@albertbissaga1425 Жыл бұрын
Maandiko matakatifu, kutoka kitabu Cha biblia ,yanasema ,tamaa zetu ndizo zinazo sababisha Vita Kati yetu. Tofauti na hivyo hakuna wa kulaumiwa, tumrudie mungu.
@geraldsanzala8119
@geraldsanzala8119 Жыл бұрын
Wimbi la mapinduzi linatutia moyo saana vijana, na majambazi kama wa hapa nyumbani waendelee kusubiri dawa yao inachemka. Hata huko wanaposikia kulikuwa hivihivi stupid kabisa. Unauzaje bandari kwa masilah isiyoeleweka kama Hatima ya kinga za CORONA. Ipo siku nyie jifanyeni hamuoni
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,9 МЛН
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 9 МЛН
Yay, My Dad Is a Vending Machine! 🛍️😆 #funny #prank #comedy
00:17
Guinea Conakry: Life on the Edge | Deadliest Journeys
47:59
Best Documentary
Рет қаралды 2,4 МЛН
MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 18/10/2024
42:47
Azam TV
Рет қаралды 17 М.
What is happening in Southern Azerbaijan? | Documentary
18:53