Рет қаралды 1,500
Sikia jinsi wananchi walivyoipokea droo ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wakiongozwa na CEO Andre Mtine, Ally Kamwe, Alex Ngai na mashabiki akiwemo Mzee Mpili......
Yanga imepangwa Kundi A ikiwa na Al Hilal, MC Alger na TP Mazembe..
Pia kwenye kipindi hiki, kuna sehemu ya exclusive Interview ya kiungo Clatous Chama... lakini pia kuna kumbukumbu tamu kuelekea #KariakooDerby ya Oktoba 19, 2024.
#YangaTV ni kila Ijumaa saa 4:00 usiku #AzamSports1HD