Machimbo tafu unanifurahisha baba levo Mungu akupe maisha marefu
@nestorymhagama26004 жыл бұрын
Duuuuh, Uzuri wa Baba Levo hachagui maswali yote anajibu tena kwa furaha zote. safiii sana kwa kufunguka
@itsdemidy54394 жыл бұрын
BABA LEVO anzisha shows zako tutakutazama. napenda urafiki wenu na shishi. Bff goals. mtangaaji big up kwa kumtafta Huyu bingwa. love from 254
@happynesskipoya97774 жыл бұрын
Mtangazaji anahoji vizuri na baba levo anajibu vizuri nimependa
@salmasmith1234 жыл бұрын
Jamani msechu uwiiii babalevo kakuganda hahaha love u baba levo
@dianamsangawale99254 жыл бұрын
Mtangazaji nimekupenda unauliza maswali tofauti tofauti, hujabez upande mmoja yaani unaifanya interview iwe bomba,na kikubwa anaehojiwa pia yupo safi... So ni fire
@zainaballyzainabally86104 жыл бұрын
Baba levo noma aiseee
@zuleikhakhamis33034 жыл бұрын
yaani haiboi nimeirudia hii interview ili nichekee tuu😂😂😂😂😂
@mahmoudaziz47174 жыл бұрын
Yuko vizur👍🏻😃🇹🇿
@ashuramzee43483 жыл бұрын
Mmmmh baba levo sikufichi we ndo unaenimalizia mb zangu,nakufatilia Sana nikiwa na mwazo nasem baba levo yupo wapi nacheka Sana ,Mimi nakuelewa vzr Sana
@bleztv70114 жыл бұрын
Ila kiukweli huyu mtangazaji hana tu wakumshika mkono ila amegusa kila kitu kwenye interview yake yuko vizuri Sana tena sana mungu ambariki sana na amtie nguvu siku moja awe na media yake kubwa sana hapa Tanzania 🤔🤔🤔🤔
@jackoh89094 жыл бұрын
Cheko la levo balaa sana gonga lyk kama kuna ukweli
@shaibumavumila27224 жыл бұрын
Ubongo wa baba levo uko very high kwenye majibu
@faizaahamd20524 жыл бұрын
Mtangazaji yuko pouw❤❤❤❤❤ sana❤💕💕👏
@muddyville4 жыл бұрын
Huyu mtangazaji ni konki... Yuko vizuri mno...
@yoshuamwanangohe8426 Жыл бұрын
Baba levo ni noma sana
@eppiemodest4 жыл бұрын
Mtangazaji hongera kijana .
@swissvany554 жыл бұрын
Huyu mtangazaji anajua sanaaaaaa....ni Basi tu Tanzania watu kama Hawa hawaonwi.....ila big up sanaaaaa
@rosemarymusanga95754 жыл бұрын
Journalist poa sanaa Tanzania...good Interview.. pickup
@janembwana33394 жыл бұрын
Baba Levo yuko vizuri comedian huyuu
@officialmrtop10184 жыл бұрын
Hahahaha daah hilo cheko lake Baba Levo ni balaaa, na nimekukubali eti natamani Mimi ningekuwa ZUCHU safi kabisa wew huna fitina
@hassanjuma62544 жыл бұрын
"Sijiediti" hahahaha, baba levo anakula MB zangu bureee
Baba Levo ameshiba Sana naona anahangaika hapo kwenye kiti
@na0m1fes514 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@zuleikhakhamis33034 жыл бұрын
nimecheka km mazuri vile 😂😂😂😂😂😂😂😂
@enockhanryhanry27452 жыл бұрын
Baba ni balaaaa
@annamarry20334 жыл бұрын
😂😂😂eti wanakula maua🤣🤣na wanakula ugali kwa negative 😂😂
@ezeshama2554 жыл бұрын
Mtangazaji hongera sana uko vizuri unajua namna ya kuframe maswali na umetulia vizuri sana keep it up utafika mbali sana ila shati lako ungelipiga pasi sasa😜
@alvinedefanny25024 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣
@happynesskipoya97774 жыл бұрын
Mmmh baba levo unachekesha sana
@obedtech53194 жыл бұрын
Napenda Sana kua mkweli Kama babalevo🙏🙏
@nabintukadende23884 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Kkkkkkkkkk tuwekeye basi pic ya museko 😂😂😂😂😂😂😂 tuka muone... Baba levo ur the best
@giftmbogela24354 жыл бұрын
😂😂watoto warithi akili za mama mana wakipata za baba uwiii
@na0m1fes514 жыл бұрын
😂😂😂😉
@souvenirweber71694 жыл бұрын
😂😂😂
@burudanitv8744 жыл бұрын
😢😢😢
@mutwalesylvie74433 жыл бұрын
Nibala
@bajosdamour23474 жыл бұрын
Anamaswali yabusara sna tena yakujenga kabsaa uyo mtangazaji aendelee ivo ivo me naanza kumfwatilia sna
@JonesGiant4 жыл бұрын
Presenter nakupa salute
@ringoaskali76254 жыл бұрын
Baba levo kapinda sana 😂😂😂
@tudoaver83734 жыл бұрын
N penda sana interview za baba Levo kkkkkkkkkkkkkkkkkk
@eshialabonita77364 жыл бұрын
hahahahahahahahahahah yaani huyu ukisikiliza interview zake lazima ucheke
@gilliardgodfriend57454 жыл бұрын
😝🤣🤣🤣🤣
@ngoshazedonny36504 жыл бұрын
Levo anachekexha xanaa
@peterjohn20994 жыл бұрын
Hahahaaaha yani hua nafurah sana kumsikiliza huyu jamaaa
@abramonlinetv69354 жыл бұрын
Love baba levo
@kojahelly91654 жыл бұрын
Afunguee tu kipindiii yeye na Shishi kwakwelii
@kojahelly91654 жыл бұрын
Ahahaahaa etiii ningekuwa zuchu yaani we baba levu Hivi msechuuu akionaa hii video we baba levu itakuwajeee
@alphalenson90704 жыл бұрын
Love baba levi
@zuleikhakhamis33034 жыл бұрын
@@kojahelly9165 wanajuana hawa interview za msechu utacheka pia anavyomkandia baba levo😂😂😂😂😂😂
@kojahelly91654 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 ahahaaaa hapo umesemaaa
@tonnyjames4284 жыл бұрын
Nakukubali baba levo
@celestinegesare72754 жыл бұрын
Sure he is brilliant kabisa...love from Kenya
@bahatokelo41904 жыл бұрын
Mtangazagaji big up
@awadhishechambo34264 жыл бұрын
jamani mimi nishacheka mpaka basi mb zinakwisha swali langu kwa baba levo huyu msechu na baba levo wanalewana kweli wakikutana
Maswali Ya Mtangazaji ni Mazuri sana...Big Up sana
@protastadei32584 жыл бұрын
Mchekeshaji wa ukweli,nakukubali sn bro
@saimonmangula11023 жыл бұрын
Hahhhh mm namwelewa sana bb l
@Gamba1774 жыл бұрын
Huyu Mama Levo bangi inamsumbuwa
@attumayele37494 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Baba Levo chizi sana
@mamaahmad86154 жыл бұрын
Yaani huyu kaka kwakweli anachekesha sana wakatandika mrago mkavunjishwa mise aise watu wa kigoma kuongea humuwez ubishi sasa ndiyo jadi yao sasa ukiowa mke wa kigoma ujipange wanamdomo hatar tena ukiowa wadada wa kasingirima buzebazeba majengo katonyanga kitongoni burega rubuga ndahiriwe hizo sehem usiende kuowa utajuta
@CookingwithIvy1244 жыл бұрын
Baba levo aki 😍😂🤣😂
@gemadivine61544 жыл бұрын
Baba levo uwaka nakujipendea sana unanichekesha sana walah
@jackycute20474 жыл бұрын
Mtangzji upo vzr baba
@aloycekalinga7304 жыл бұрын
Baba levo high na low nakukubali sana
@mussataliye78154 жыл бұрын
Walio sikia neno manyumbu gonga like
@abbas_jr74 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@saraharon30534 жыл бұрын
Nakupendaga bureee
@afandehassan14 жыл бұрын
Sarah penda mimi please
@ivangalcan51744 жыл бұрын
Baba levo MB zangu na wew
@ashamohammed14324 жыл бұрын
Baba levo haikubali sana nikiwa niko na Tafran huwa naangalia interview zako tu nipata kurelaxe
@davidthomas29853 жыл бұрын
@Dafoka Nakubali mkuu bonge la interview mda mchache ila interview imeeleweka!
@aishahaji31282 жыл бұрын
B levo unanimaliza hasa
@ibrahimmungure47494 жыл бұрын
Baba Levo dah!
@maletonesmo29664 жыл бұрын
Huyu mtangazaji nimemkubaliii
@htvtanzania34833 жыл бұрын
Kwenye matibuzi bhna nime pitia sana
@meganmbele13563 жыл бұрын
Baba le
@edwardpardon97843 жыл бұрын
Uboya up
@hassanchauluwa73084 жыл бұрын
kazi ya kizazi
@happyvasco45464 жыл бұрын
Hahaha Baba levo😀😀
@christinarobert44064 жыл бұрын
😅😅🤣 baba levo utaniu kwakucheka , ugonjwa wakafyunku nihatari sana
@firdausgreen13914 жыл бұрын
Kufeli c kushindwa baba levo
@desdelimzuli59174 жыл бұрын
Nice interview
@officialmrtop10184 жыл бұрын
Hahahaha eti kwanza nilikuwa mchafu , nilikuwa sipendi eti puwa kama ninininini hahah
@myapple53224 жыл бұрын
Hahaha baba levo ww unatisha kwauchekesha jaman
@janathabeid49164 жыл бұрын
Mbona unamwandama sana msechu
@emmanuelnzaligo62624 жыл бұрын
Raha ya interview unacheka kidogo unasikiliza sio interview inaanza hadi inaisha ni stress tu.
@afandehassan14 жыл бұрын
Baba Levo njoo Kenya tufanye biashara ya Kafyenku tutatengeza hela😅😅😅😅
@abdimaya94094 жыл бұрын
Mbumbuuu yani hili jamaa ni mbumbu kweli kumbe tangu shule ulikuwa mbumbu unafosi kiki kwa msechu mwenzako anajielewa ndomana alikuwa mshindi east africa
@eppiemodest4 жыл бұрын
Kumbe ndiyo sababu mpaka leo unaisumbua ndoa ya Shilole na Uchebe.
@zungukalalukalalu24074 жыл бұрын
Hahahahahahahahahahha yani baba levo ni atar sana anavyo jibu
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Mie nachek jmn yy ni msechu tu 🤣🤣🤣🤣
@verokigabo95704 жыл бұрын
Haahahhahah nilifeli darasa La saba hahaahhaha umenivunja mbavu hanangwa mkubwa wew
@sistersade90394 жыл бұрын
Manaeke mpaka nagaragara chini Sina mbavu kwakucheka 😄😄😄😄