BABA LEVO AKIHADITHIA MAISHA YA GEREZANI ’’MIMI KINACHONIANDAMA NI KUFA''

  Рет қаралды 172,453

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 217
@christopherrichmangi8570
@christopherrichmangi8570 4 жыл бұрын
Nimependa maneno ya KIIMANI ya baba levo.Mungu akuzingire kwa nguvu zake in Jesus name Amen
@rehemadani3600
@rehemadani3600 4 жыл бұрын
Sema kamanda
@godhelplatia3044
@godhelplatia3044 4 жыл бұрын
Ahaaa baba Levo umenifurahisha sana,urithi wa matisheti na majinsi ahaaaa hakika hotuba inatia moyo pamoja na majaribu
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mchekeshaji sn Baba level bhana, piga Kazi mzee baba
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 Ай бұрын
2024 saivi Jamaa anakula Kuku kwa Mrija ❤. Usimkatie Tamaa mtu yoyote kwenye Maisha yake.. Hujui Kesho Ya mtu yoyote ila Mungu tu.
@hassanjuma6254
@hassanjuma6254 4 жыл бұрын
Kama kuna mtu amegundua kuwa BABA LEVO anapenda elaaa, gonga like zangu, mana uyu jamaa akijitikisa tu, kinua mgongo icho hapo.
@moha9043
@moha9043 4 жыл бұрын
Babalevo💪💪🇸🇦🇰🇪🇸🇦💪🇸🇦
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 2 жыл бұрын
Leo hii chawa wa diamond,,live changes very quickly jamn
@gracemakiwa5183
@gracemakiwa5183 2 жыл бұрын
Baba levo hapo kwenye Biblia bado Sana kaka yaaan nimeishia kucheka
@hadija846
@hadija846 4 жыл бұрын
Pamoja sana kamanda✌️💖💞😍
@moodychanday9220
@moodychanday9220 4 жыл бұрын
Badala ya kuhuzunika badala yake wanacheka 😂😂😂 acha nami nicheke mana c kwa kifua kulia Puh!!! 😂😂
@mobaisa1704
@mobaisa1704 4 жыл бұрын
ttz msimuliaji anaslimulia huzun kwa kufurahisha
@amanirubondo4120
@amanirubondo4120 4 жыл бұрын
Bulevo baba nakupenda sana mtu wangu
@elianifaaluka4790
@elianifaaluka4790 4 жыл бұрын
Amen imani yako tu
@gavanashy3197
@gavanashy3197 4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana baba Levo ...
@rukiamwakinyo5324
@rukiamwakinyo5324 4 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣levo si mtu nzur
@kibonaamenye6878
@kibonaamenye6878 4 жыл бұрын
aliye mwelewa huyu jamaa anacho waeleza wananchi wa kata yake, anisaidie
@juhudiacademy2170
@juhudiacademy2170 4 жыл бұрын
KIBONA AMENYE sijaelewa kabisaa
@jonathanmlinda2580
@jonathanmlinda2580 4 жыл бұрын
Hahahahaa
@fatumamaiga8496
@fatumamaiga8496 4 жыл бұрын
Hata mie sjamuelewa
@lillianeriksson8183
@lillianeriksson8183 4 жыл бұрын
Safi sana kamanda
@swaggerizedninjagoseprocom8523
@swaggerizedninjagoseprocom8523 4 жыл бұрын
Hatariiii sanaaaaa
@uwezoamani5934
@uwezoamani5934 4 жыл бұрын
Sana2 mchawi utamjua2 huwa haishiwi sababu jiwe juu ya jiwe levobaa mchaka mchaka si tunakuambin imeishaio D S M
@moseskaduma2304
@moseskaduma2304 4 жыл бұрын
Hapo unaongelea familia yako au nin maana sielewi kitu huwezi kukusanya watu kwa lengo la kuyanadi maisha yako
@harountuesday9668
@harountuesday9668 4 жыл бұрын
Pole sana.
@jovinejaphet1675
@jovinejaphet1675 4 жыл бұрын
Huyu nae kiongoziii😁😁😁😁😁😁😁
@kulwayusufu5882
@kulwayusufu5882 2 жыл бұрын
Nakubli xan kiongoz wang
@mabularashidi321
@mabularashidi321 4 жыл бұрын
Mwishowako 2020
@deluxermahyono5290
@deluxermahyono5290 4 жыл бұрын
Kwafaida ya nanani hata umkamie?
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 4 жыл бұрын
Kabla ujafa nipe laki yangu ninayo kudai #babaLevo
@asanteyesu4632
@asanteyesu4632 4 жыл бұрын
Muombe Mungu akupe hekima
@joramchristian4042
@joramchristian4042 4 жыл бұрын
Fisiem watapata tabu sana wenye akili wapo upinzani acha wabaki na mbulula wao Respect Baba Levo 🤝
@eventelias3566
@eventelias3566 4 жыл бұрын
Viongozi ndio mjifunze sasa sio mnaamlisha watu kirahisi tu wafungwe mnaona jela kama jando huyu kakaa miezi tu leo imekuwa story.
@Rugemalilatv1994
@Rugemalilatv1994 4 жыл бұрын
Anapiga story na wanakata wake hivo ndo vizuri yupo karibu nao
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 4 жыл бұрын
Uliyataka mwenyewe wacha yakukute
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 4 жыл бұрын
Mmmh sijakuelewa baba levo
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 4 жыл бұрын
Daah kweli wapinzani amna kitu😢
@mussanassoro552
@mussanassoro552 Жыл бұрын
Leo umekuwa chawa promax
@amberrose4058
@amberrose4058 4 жыл бұрын
Apo Kwa Daniel pataaamu
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 4 жыл бұрын
Jaribu KUA mkweli na ukweli utakuweka guru sasa usi changanye mambo Fanya unayo stahili kufanya kwa wananchi wako hilo ndio muhimu
@deosebaruhanga4153
@deosebaruhanga4153 4 жыл бұрын
Hapa kwani ndo anaongea sera za chama chake kwa wapiga kura????je ukivunja sheria wakufanyie sherehe?hawa wananchi nao vilaza tu wangeisharudi majumbani!!hivi watanzania wanataka haya kweli?
@shibilitimedia3312
@shibilitimedia3312 4 жыл бұрын
Na cha ajabu anatanguliza masilahi ya familia yake
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Cjakuelewa Mkuu.... Pumba tupu yaan. Kigoma Kazi ipo
@masoudomary9209
@masoudomary9209 4 жыл бұрын
Tatizo watu wengi hawaijui siasa,,, hapa anaongea utumbo na watu wanachekelea
@Cryptocurrency_Tanzania
@Cryptocurrency_Tanzania 4 жыл бұрын
kilichofanya ufungwe ni kusemaa au kumpiga askari wa usalama barabarani...... me ni mpinzani ila hiko hapana mzee...
@masasirichard2709
@masasirichard2709 4 жыл бұрын
Hahahahaha! Kwelii
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
Huna akili angempiga askari mahakama kuu wangemuachia???
@abdilahijumanne1415
@abdilahijumanne1415 4 жыл бұрын
Umewakusanya mzee
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 4 жыл бұрын
Unaelezea mshahara na namna yakutumia huku wananchiwako wananjaa unanianhushaa
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 4 жыл бұрын
Baba lev wew unaniacha hoi na historya yako😂😂🙏
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 4 жыл бұрын
Safi sana kiongozi, tunaomba Viongozi 3 tu, wa kuwa kama wewe Kigoma na Magharibi kwa ujumla
@happymsaki1720
@happymsaki1720 4 жыл бұрын
Usijiombee kifo ndgu yngu
@calvinkitaly9376
@calvinkitaly9376 4 жыл бұрын
Pamoja sana
@tomathsalamba7551
@tomathsalamba7551 4 жыл бұрын
kila mwanasiasa mungu mungu mungu huyu jamaa sijamwelewa naomba msaada wenu poleni kwa. usumbufu
@milhajiabdallah1681
@milhajiabdallah1681 4 жыл бұрын
Na bado utapelekwa tena kumbe
@runyotafrancis3772
@runyotafrancis3772 4 жыл бұрын
Mshahara au posho??
@paulkisatulusana1142
@paulkisatulusana1142 4 жыл бұрын
Ndo maana ukifanya makosa utajutie
@paulmangombe6803
@paulmangombe6803 4 жыл бұрын
hambu hambu wa lyaga nyawanga
@amberrose4058
@amberrose4058 4 жыл бұрын
Nakubali mkuu wangu
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 жыл бұрын
Hiyo story ya Daniel ya kuuwa nyoka kwa kutumia lami na nywele mbona sielewielewi? Wacha nikaitafute kwenye Biblia yangu.
@gizakazeno1688
@gizakazeno1688 4 жыл бұрын
Sera?
@fatumamaiga8496
@fatumamaiga8496 4 жыл бұрын
Mbona ckuelewi?
@mosozifamily7633
@mosozifamily7633 4 жыл бұрын
Kwa viongozi hawa kigoma. .mjini maendeleo 0 😂😂😂😂😂
@anneapollo890
@anneapollo890 4 жыл бұрын
Mosozi Family umeonee hakuna lolote walilolifanya kazi kuongea hovyo
@hanifahassan9138
@hanifahassan9138 4 жыл бұрын
Nilijua umesoma qur. Ani
@amosaruta22
@amosaruta22 4 жыл бұрын
Kwanza jina lako unaitwaga nani
@hezronsanga2384
@hezronsanga2384 4 жыл бұрын
Hufai kua kiongoz nenda kalime hata michicha huna swaga
@jumaigembemakula3698
@jumaigembemakula3698 4 жыл бұрын
Huyu ni msanii ukiona watu wanamsikiliza ujue wamemisi show Na hapo ni show kweli kweli
@eventelias3566
@eventelias3566 4 жыл бұрын
kweli asee
@hassanjuma6254
@hassanjuma6254 4 жыл бұрын
Baba levo, bangi, Ilaa nakukubali mana ghafla umekuwa kama comedian ivi, ilaa chama changu ni CCM, endelea kutoa darasa.
@oyay2821
@oyay2821 3 жыл бұрын
Story teller
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 4 жыл бұрын
Pambana kijana chukua jimbo kwupe peeeee una subir kuapishwa2.....!!!!!!!
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 4 жыл бұрын
Rudi kwenye mziki mjomba tumekumisi sana kwenye game la mziki
@karimswai1140
@karimswai1140 4 жыл бұрын
Uyoo hapana mziki labda akalime mafuta uko ya mchikichi
@nebarthmoses6504
@nebarthmoses6504 4 жыл бұрын
nimeambulia kujua mshahara wa diwani
@kelvinibrahim1828
@kelvinibrahim1828 4 жыл бұрын
uko v winzuriwambiye
@adammjomba7112
@adammjomba7112 4 жыл бұрын
Abubakari kisuju mshahara wa baba Levo wa 3.5 ni bora kuliko huo udalali wako unaopata 3 5 kwa nusu sasa. Ujue kwamba udalali sio kazi ni utapeli uizi na balaa chungunzima .wapi kumeandikwa udalali ni kazi? Madalali wote ni waizi tu kutwa nzima mnakaa ktk vijiwe .usiku mnabadilika kukaba watu na wanawake kwa jumla . Leo unalinganisha udalali na udiwani;?
@sponsor7882
@sponsor7882 2 жыл бұрын
Heri angebaki gerezani
@wencesilausfidel714
@wencesilausfidel714 4 жыл бұрын
Fanya kazi mzee
@emmanuelndahan9815
@emmanuelndahan9815 4 жыл бұрын
JKT kutoka saa9 ad 4usiku
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hahaaaaa urithi
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 4 жыл бұрын
Sijaelewa lengo la mkutano huu nnn
@saidomar8502
@saidomar8502 4 жыл бұрын
Kwel
@jeffgaston6953
@jeffgaston6953 4 жыл бұрын
Chizi wew
@paschalewamtaa726
@paschalewamtaa726 4 жыл бұрын
jamaaa komedy saana
@fikirimoshi7152
@fikirimoshi7152 4 жыл бұрын
Jamani mm sina coment maana maneno mulio mpa yanamtosha
@zefrinhendric4011
@zefrinhendric4011 4 жыл бұрын
Bwege wadanganye hao
@nickomlimbila217
@nickomlimbila217 4 жыл бұрын
GEREZAN HAMNA BIA 😀😂
@paschalmichael2730
@paschalmichael2730 4 жыл бұрын
Hata waje na vumbi la Congo ,baba levo hang'oleki ng'o
@husseinsansa830
@husseinsansa830 4 жыл бұрын
Aaàà so kwakunivunja mavu
@Basagamp4
@Basagamp4 4 жыл бұрын
B Levo Baaaàaaaaaaaaaah
@naslee1010
@naslee1010 4 жыл бұрын
Mpaka kifua kinasema paaaah😂😂
@Goshenmichaell
@Goshenmichaell 7 ай бұрын
Kabla ajawa chawa
@mgawerevocatus8582
@mgawerevocatus8582 4 жыл бұрын
Jamani si nasikia wapinzani hawaruhusiwi kufanya mikutano? Au huyu ni ccm?
@deluxermahyono5290
@deluxermahyono5290 4 жыл бұрын
Inakuuma saaana yaani eti
@mgawerevocatus8582
@mgawerevocatus8582 4 жыл бұрын
@@deluxermahyono5290 Soma swali kwa upya kisha ujibu
@lewiskinoni1507
@lewiskinoni1507 4 жыл бұрын
Mgawe Revocatus ni diwani anaongea na wananchi.. Angekuwa sio diwan asingeruhusiwaa
@otmarykiowi4132
@otmarykiowi4132 4 жыл бұрын
Mikutano inaruhusiwa, kila mtu afanye kwenye eneo lake la kazi.
@otmarykiowi4132
@otmarykiowi4132 4 жыл бұрын
Mikutano inaruhusiwa, kila mtu afanye kwenye eneo lake la kazi.
@paulnghaburi4058
@paulnghaburi4058 4 жыл бұрын
Cjaelewa kitu apa
@husseinjuma8617
@husseinjuma8617 4 жыл бұрын
Baba Levo kwa hili umezingua sn
@johaally669
@johaally669 4 жыл бұрын
Mh nishida sana hawa watu nishida huyu njaa kali watakao kupa kula yao niwapuuz kama ww🤔🤔🤔
@edwinjohn2226
@edwinjohn2226 4 жыл бұрын
Sera zingine bwana hivi huyu atapigiwa kura tena?
@deluxermahyono5290
@deluxermahyono5290 4 жыл бұрын
Anafurahi na watu wake ni km ule ujinga wa Pombe kwa walevi wenzie
@rajabhussein3718
@rajabhussein3718 4 жыл бұрын
Me mwenyewe kula yangu baba levo
@erickkasavaga2646
@erickkasavaga2646 4 жыл бұрын
Unataka apigiwe nani, we sarange
@piushappyness226
@piushappyness226 4 жыл бұрын
Harafu mnasema mnazuiwa mikutano hapo upo chumbani kwako?
@deluxermahyono5290
@deluxermahyono5290 4 жыл бұрын
Katani kwake na hao ni watu wake acha wivu
@piushappyness226
@piushappyness226 4 жыл бұрын
Sina wivu waache uongo
@paulebby1552
@paulebby1552 4 жыл бұрын
Pius Happyness mikutano ya siasa ambayo katibu wa ccm na polepole wanafanya wakati wao ni viongozi wa chama ndo vyama vingine vimekatazwa kijani bana
@piushappyness226
@piushappyness226 4 жыл бұрын
@@paulebby1552 kwahiyo hapo sio mkutano ni msibani au
@piushappyness226
@piushappyness226 4 жыл бұрын
@@paulebby1552 kwahiyo hapo sio mkutano ni msibani au
@abdulmalickupete9015
@abdulmalickupete9015 4 жыл бұрын
Kwa hiyo hujilaumu kwa makosa yako halafu unaongea utumbo tu
@philibettofilovitali3913
@philibettofilovitali3913 4 жыл бұрын
Pole
@jasonbeezy7191
@jasonbeezy7191 4 жыл бұрын
Dah story ya Daniel na nyoka itakuwa ya bibria sio biblia
@patrishadickson3365
@patrishadickson3365 4 жыл бұрын
matishet majinz hahaha
@jimmycatamollel8217
@jimmycatamollel8217 4 жыл бұрын
Kama viongozi wa Act ndo Hawa ccm ni mbele kwa mbele
@Rugemalilatv1994
@Rugemalilatv1994 4 жыл бұрын
Kiongozi mwenye ukaribu na watu wake ccm hawapiti hapo
@jeffgaston6953
@jeffgaston6953 4 жыл бұрын
Na umekonda mjinga wew unaongea uchizi
@allyngazi2443
@allyngazi2443 4 жыл бұрын
Baba unakipaji cha u comedy pia .
@KingaziJr
@KingaziJr 4 жыл бұрын
Wa tz nishida
@sulaimanabdallah4088
@sulaimanabdallah4088 4 жыл бұрын
Huyu awadanganya sikia mazungumzo yake huyu apewe ubunge asaidiwe tu apewe ubalozi wa serekali wa mitaa
@lilfit5106
@lilfit5106 4 жыл бұрын
I know this guy he can bring fun in his speech 🤣🤣🤣😂😂😂
@majaliwabwitonde7749
@majaliwabwitonde7749 4 жыл бұрын
Unasema nini? Unataka upige mtumishi halafu uachwe?
@lennyyusuf255
@lennyyusuf255 4 жыл бұрын
Danieli na joka hamna story kama hiyo kwenye bibilia baba levo asubuhi tayari keshakunywa gambe, zinamdanganya
@mrschura3134
@mrschura3134 4 жыл бұрын
Kama unamkubali baba Levo. Nipe like zakutoshaa.wadau
@kashindisimon5265
@kashindisimon5265 4 жыл бұрын
Ni Biblia andiko gani hilo mheshimiwa?nahisi unachanganya mambo hiyo ni hadithi katika Quran sio bible
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 11 МЛН
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 3,2 МЛН
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 54 МЛН
BROTHER KEY NDANI YA ORIJINO COMEDY NI BALAAAAAA
26:57
BONGO LAND
Рет қаралды 66 М.