Mzee Kamwe wewe ni Baba wa Semaji letu wewe ni Baba yetu uko Vzuri saana katika kupambanua mambo, waandishi wanaitaji mtu mwenye Hekima kama wewe, vinginevyo kesho unashambuliwa kwenye Mitandao long life Fadher
@christianjohnmwalugaja80902 ай бұрын
Leo Kisugu amemjibu mwandishi vizuri sana. Hongera sana kwa kusema ukweli. Hongera sana.
@NeemaMwangobola2 ай бұрын
Wewe mwandishi ni mmbea sana sana ACHA zako izo...na uache kumchonganisha hari na manara....manara na hari wote wanakubalika wewe unataka baba ake hari akujibu nini na mzee kamwe ajazoea umbea ni mstarabu baba yangu mzee kamwe umetisha Kwa majibu mazuri mzee kamwe mtu wa mana kabisa na kisugu mtu wa mana kabisa Kwa majibu ya busara mbele ya mzee wetu .. mzee kamwe una mtoto mzuri sana hari..nampenda sana mwanangu...mwanangu asinge kua na mchumba angemuoa bule...lakini kapata mchumba mzuri kama hari....❤ Haraaaaaa
@halimamwingu44782 ай бұрын
Manara akafanye kazi nyingine ni mropokaji atakuja kuharibu tena aikosti timu! Hatumtaki banaaa
@JudyUrio-zy7ri2 ай бұрын
Baba uko vizuri Mungu aendelee kukupa hekima halafu muandishi acha umbea
@BenardIbrahim-c7f2 ай бұрын
Uko vizuli mzee wangu
@JosephTibu2 ай бұрын
SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@janethelly49862 ай бұрын
Uko vZr baba Mimi simba lkn endelea kupambania ugali wa mwanaoo
@ShaibuChilo2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 ndiyo zenu hizo madunduka mchezaji akiondoka tu hafai
Ujinga wa manara kugombana na kiongozi mkubwa wa TFF ndio ulimponza na Ali Kamwe hakujiweka mwenyewe pale, aliwekwa na kazi anaiweza sn na mbunifu kwenye timu.
@joycesamweli12192 ай бұрын
Nyie watangazaji ni shida kubwa kweli uchochezi tu
@JudyUrio-zy7ri2 ай бұрын
Wewe muandishi acha kuchimba
@muhammadmuhammad50432 ай бұрын
Wandishi Wa Habari Tanzania Hawajuwi Kuhuji Zaidi Wanalo Lijuwa Fitna Tuu
@kassidpandu8662 ай бұрын
Tutamjua tu Nani ni Bosi na Nani.sio boss
@aleyidukury83332 ай бұрын
Hapo nisawa hata mm mwanangu anamiaka 8 lkn saiv hataki hata kuvaa jenz ya yanga nawakati mwanzo nilikuwa namvalisha
@MohamedMahamudu2 ай бұрын
Nyinyi waandishi muache ukudaaaaaa na usenge
@YoungBrazu-xl2uz2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@mussandikumana35612 ай бұрын
Boss wao wote ni Yanga
@Nuru87002 ай бұрын
Mtoto wake alisema baba ake anataka kuhamia yanga
@RamlaMsangi2 ай бұрын
Nyie waandishi msigombanishe watu
@godfreyjohn18142 ай бұрын
muandishi badala ya kuwauliza wao wenyewe yeye anakomaa upande wa pili
@LeticiaKibayasi2 ай бұрын
Mtangazaji acha uchochezi
@richardsalim10422 ай бұрын
Mze wa busara live bila chenga
@suhaylaabdullah42612 ай бұрын
Huyu mtangazaji ni mchonganyishi saana
@tiffguyyahya72532 ай бұрын
Mimi kama mimi natamani alikamwe aondolewe yanga na sababu kubwa ni baba yake maana huyu mzee mchawi haiwezekani ashindwe kua upende wa mwanawe
@dafrosamonko82542 ай бұрын
Mpare
@magangaamos70392 ай бұрын
Huyu ndugu yangu anaongea vizuri sana.
@dafrosamonko82542 ай бұрын
Ni wakaa uo
@emmanuelmsang39492 ай бұрын
We mtangazaji msenge
@manarakassimmanara31322 ай бұрын
Wewe shabani kamwe lazima uwe na heshima sio kukaa mbele ya maiki na kudharau watu wewe zumgumzia mwanao sio watoto wa wenzio shoka adabu yako
@neemamasimba29812 ай бұрын
Mbona hajaongea vibaya??
@GabrielBenjamin-ib7cc2 ай бұрын
Ali kamwe bgap aendelee manara asubir kwa wati mwingine
@fettiemaganza14842 ай бұрын
Kisugu anaongea kma tren bovu
@WadhifHajji2 ай бұрын
Ashakutieni mavi
@kassidpandu8662 ай бұрын
Ni Ali simba bwana unamtetea Tu mtoto Hawezi kukataa Fikra za Baba yake wakati yuko kwako
@amaniomar17552 ай бұрын
Mzee hana usimba alimruhusu mtoto yake aende anako kupenda
@iankomba42532 ай бұрын
Huyu mwandishi anamuwekea maneno mdomoni. Hii kutengeneza content is too much. Ana lazimisha ugomvi ambao haupo. foolish Media