TUNAWAPENDA SANA WATAZAMAJI WETU, ILI TUENDELEE KUFANYA VIZURI TUNAHITAJI SAPPORT YENU ,KUNA MCHANGO WA SHILI ELFU MOJA TU (1000) KWA AJILI YA USAFILI ILI TUWE TUNABADILI MAZINGIRA YAKUSHUTIA KUPITIA M-PESA NO +255744188105. KAMA UKO TAYARI KUTUSAPORT KWA GUSA HII LINK UJE WHATSAP KWA MAELEZO ZAIDI👇👇👇👇chat.whatsapp.com/DNLyqNPiekpDTbrXEJOjUa
@EdwinBernad-uy9iqАй бұрын
Kaz nzr utunzi wa story mzr pot ndakwemala chane imana igufashe
@AmirathumaniSoriАй бұрын
F dd hbddd za d
@NiskaJohnKizonzaJohnАй бұрын
Twendeleye
@StanleyEmilianАй бұрын
Nakuomba link zangu
@maalimali5513Ай бұрын
Sawa baba Joan utunzi wako ni mzuri sana unatukumbusha marehemu Kanumba
@mohammedikimbuteАй бұрын
Natamani sana kuwa mwana Sanaa ila sijui pakuanzia safi sanaaa kazi ni nzuri
@SmilingEquestrianHelmet-mc7lkАй бұрын
Kazi nzuri baba Joan mnatufurahisha Sana imekuwa ndefu Sana nimeipenda asanteni❤❤❤❤
@PhoebenafulaАй бұрын
Wa mwisho kutoka Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪likes hapa tukigojea episode nyingine❤❤❤❤
@Sheriann-pg5hqАй бұрын
Utapata mingi sana lakini tafathali twakuomba chana hela yoyote❤❤
@NelcyAfricaАй бұрын
Filamu ya baba joan iko na mafunzo mazuri sana. Naipenda kutoka Nairobi kenya
@user-fr4wf5sl2rАй бұрын
Jamani leo nimechelewa kwasababu yasafali ndefu kutoka 🇧🇮 burundi kwaiyo naomba hata like 10
@MwanakombokoMohamedАй бұрын
Wakwanza kutoka Kenya gonga like tukisonga,nawapenda nyote
@user-hb9eq2fo6zАй бұрын
Wapili jameni 😊😊😊 na sitaki like ya mtumimi, tutakosana tusiaribiane moods😊,,,, sitaki mchezo mimi😅😢
@maryamt594Ай бұрын
Hee baba kalobo fanya basi umwambie mama kalobo akubandirishiye hiro shati❤❤❤❤
@Nashoora8Ай бұрын
😄😄😄😄kwakweli
@user-yp7qy2qf7kАй бұрын
Aki wewe 😂😂😂😂
@paulinanhinde6845Ай бұрын
😂😂😂😂
@user-ro1fg5ur9lАй бұрын
Watazamaji wa hii movie weka like kwa baba Joan 🎉🎉🎉
@maalimali5513Ай бұрын
Kama unakubali Baba Joan ndie mtunzi bora wa filamu kwa sasa kama ninavyomkubali naombeni likes zenu
@MereTz-xv2vuАй бұрын
Kutoka USA nipeni like zangu guys Leo nimewayi ❤❤❤❤❤❤❤
@venustebizimungu-jk1vsАй бұрын
Hi
@venustebizimungu-jk1vsАй бұрын
Hello kama hutojari ninamazungumuzo nawewe unaweza ukanitumia namba ya WhatsApp
@jeanmariebakali-ml8smАй бұрын
Pande zipi?
@MereTz-xv2vuАй бұрын
@@jeanmariebakali-ml8sm USA
@jeanmariebakali-ml8smАй бұрын
@@MereTz-xv2vu pande zipi mwenzangu?tufahamiane ao sio🤣🤣🤣
@dadsgirl7250Ай бұрын
Wale wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪pia Mimi hapa mlike my comment 😂😂😂❤
@MbekeKisainguАй бұрын
Hapa wa pili
@maryatieno9130Ай бұрын
🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Aminasaloom-bm4elАй бұрын
𝑲𝒊𝒍𝒂 𝒎𝒂𝒉𝒂𝒍𝒊 𝒕𝒖𝒌𝒐𝒐𝒐𝒐🤣🤣
@Cynthia-t1uАй бұрын
😂😂😂😂wacheka na ushahidi umeenda😅
@salehHassan-rl8bdАй бұрын
😂😂😂😂😂😂🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@SalmahBilallyАй бұрын
Kuna mie wa Kenya 🇰🇪 npe hata like kumi. Naona movie Ina Bamba kweli.
@user-lz8kb9ds8kАй бұрын
Kama wampenda baba karobo gonga likes hapa❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-gg9wi7oi8hАй бұрын
Wanao fuatiria baba joani na house girl ya khai gonga like🎉
@user-vo7yb6wp1mАй бұрын
Woow sijui nipongeze aje Baba karobo filamu zako ni hatari Sana wacha mungu akusaidie usije mbali saidi ya hapo🎉🎉🎉❤❤❤
@MelinaEfraimАй бұрын
❤
@MsafiryChitemaАй бұрын
Aseeeh salute kwako kakaa baba joani this is great movie
@gracenyaumaАй бұрын
Cjui wangapi , kutoka kenya 🇰🇪 ila nasubilia sana hadi mwisho akh❤ baba kalobo twakupenda sana n ukamtunze mwanao kalobo ❤❤❤❤
@PrettyRodahАй бұрын
Kenya 🇰🇪 jmni leo nimewahia nipeni izo likes 😊
@user-cs1yg8ow2sАй бұрын
❤❤❤😂
@lilimoswambu9934Ай бұрын
Huku ni kuomba tu like hakuna comment ya kuusu vilami jameni waaah😢 baba kalobo usijali kaka mungu Yuko na wewe utapona unaishi maisha magumu sana aki lakini hapa Kuna funzo penda mtu alivyo fumuliana Kwa shida na Raha roho yaniuma sana 😢😢kipindi baba karobo anapitia mengi
@mwanalimamwanlima198Ай бұрын
Watching it from Imarat ..shuqrn sana baba karobo
@user-oq5py5fv8tАй бұрын
Watching from kenya hii movie ina funzo kubwa sana thumbs to the starring baba karobo 👏 👏 👏
@user-ie8om7kh5wАй бұрын
Wow congratulations tasha kwa kukamilisha ushahidi wote thank you very much wow team nasra kibanio na mumeo Nasra congrats guys❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@jaycburundi257Ай бұрын
Wa ine kutoka Burundi Munigongeye likes ba brothers Tumuonyeshe upendo baba kalobo❤❤❤
@WilliamJoel-kz2jvАй бұрын
Kazy nzur sana hatuchez mbar na baba kalobo❤
@IssaMusa-44Ай бұрын
I’m watching from USA 🇺🇸
@KalPeters-dr3vkАй бұрын
Nice to meet you kaka
@esterester3628Ай бұрын
Baba Kalobo umenfurahisha Sana Kwa hio msimamo wako big up sana❤❤❤🎉
@thomasmwita4586Ай бұрын
Leo mimi wa kwanza kutoka Kenya nipe like
@EvodiaDominicАй бұрын
Baba Joan hongera sana kazi nzuri aisee na dakika za kutosha
@pendoelias1792Ай бұрын
Ni nzuri san hii move tunaomba muwe mnaiwahisha kidogo
@shilaanyangoАй бұрын
Am enjoying the movie 🎥,,, from Uganda
@SamyBoudanАй бұрын
Kwa Leo nime ji tahidi fika mapema 😅😅 naombeni like jamani
@PatrickPeter-ce9znАй бұрын
Wakwanza team baba Joan gonga like hapa tujuane
@LayanLayan-np6qbАй бұрын
Hongera sana Baba Joan 🎉🎉🎉kazi yako nzuri
@CarineJean-bi7sqАй бұрын
Kaka hongera sana umeva uhusika kabisa umefanya nipende iyi filamu
@IyshaSaidiАй бұрын
Jaman ii mov n nzur Sana baba kalobo unatuburudisha
@HarunaDanielmbanzeofficialАй бұрын
Nimefika Kwa dakika5 Baba karobo kingereza kinakuchanganya jaman
@matronicsuzie4829Ай бұрын
Nimeliwait sana hili film safi sana lakini mnatueka sana angalao kwa siku tuweke mbili tutashukuru moja haitoshi samahani ❤
@LenaMasingaАй бұрын
Njooo kwangu baba karobo❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Deborahdepsy-qh4rjАй бұрын
Nimechelewa ila likes mbili tu ya kunionyesha upendo tuuu
@jollymunezero4629Ай бұрын
Kirundi sasa cakwetu nip like please
@ChristabelShumiraАй бұрын
Wooow 🎉movie mzuri sanaa baba kalobo,,yani ina mafunzo daaah
@JaneWanjiru-g3cАй бұрын
Aki napenda karobo sana , mtoto ndogo mwenyewe akili zake zimezidi mtu mzima 🎉🎉🎉🎉❤❤much love karobo from Nairobi Kenya
@EmmyMoАй бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@chunaabdullah1333Ай бұрын
Sasha ukivaa baibui wapendeza MashaAllah, na design ya corecod mtu sio hii..
@user-bx1eo2wc4hАй бұрын
❤❤ nzur Sana sema imechelewa kidogo Baba kalobo
@mkasykhamisi2587Ай бұрын
Congratulations nawapenda sana baba Joan na team yako❤chukua maua yako bb Joan🌹🌹🌹💐💐
@AshaBinmorishoАй бұрын
Leo nimekasirika sana kwanini wame mu iba simu
@khamismwamguza523214 күн бұрын
Wameniuzia mm ucjali
@FestoMgallah-l9jАй бұрын
Baba joani me shabiki yako kutoka mozambique naomba ujitahidi kuwahisha kazi tunasubiria sana mpaka hamu yakufatilia inaisha jitahidi sana mashabiki zako tunaenjoy sana na kazi zako
@user-wv3du7ld2pАй бұрын
Yani Hulu kila MTU anaomba like nyie Vipi, anyway Baba karobo I was waiting ukweli ijulikane oooohbut anyway KAZI nzuri Sanaa keep it up
@SetianKarinoАй бұрын
Jamàni nimefika kwa wakati nipeeni like ❤
@adielndayishimiye2122Ай бұрын
Tunashukulu sanakwa move hiyi nikali sana be Gap 💪💪 🇧🇮🇧🇮
@mohammedikimbuteАй бұрын
Good Mr kandibele
@MamabelindaBelinda6 күн бұрын
Baba Joan hongera Kwa movie nzuri
@Joharishaban-ji5emАй бұрын
Wakwanza jaman kutoka oman jamn kama tupo pamoja like kumi tu ♥️
@JoriJori-es2reАй бұрын
Tuko pamoja kabisa❤
@user-vh9lx6zo7xАй бұрын
upo Oman sehem Gani habibty
@phyilicereanson4975Ай бұрын
Oman wanalipa ngapi habibty
@user-vh9lx6zo7xАй бұрын
@@phyilicereanson4975 kutokana na nyumba utakayopata kama ni kubwa bhc na mshahara unakuwa mkubwa
@user-vh9lx6zo7xАй бұрын
@@phyilicereanson4975 na kama ulishawahi kuja kwa mara ya kwanza ukarudi tena yaan namaanisha ex gulf hao hela yao Huwa ni kubwa hata kama nyumba ni ndogo kwa sababu wanajua kila kitu
@FrenkiManizo-bx1utАй бұрын
Safi kabisa nimekubali sana
@glorymanga3650Ай бұрын
Nikooo hapaaa wa kwanzaa🥰🥰🥰🥰
@user-yg7zp3my9gАй бұрын
Kazi nzuri keep up movie tamu keweli
@user-qv9ju5jc7uАй бұрын
shetani anaona wivu kwajili ya mamakarobo😅😅😅😅😂😂
@ZaynabShabani-bk8muАй бұрын
Jamani mie nimekuwa wakwanza leo like zenu❤
@karembo7082Ай бұрын
Haya time baba karobo twendeninalo hadi tamati😂😂
@RoseOdiloАй бұрын
Hongera baba Joan na team nzima ya baba yangu kipofu kwa kazi nzuri na yenye mafunzo M/Mungu azidi kuwainua❤❤❤ 🙏
@user-su9hn8es9nАй бұрын
🎉 ❤ kazi nzuri kutoka kenya
@user-md5xi3bi8gАй бұрын
Hongera baba kalobo
@Lilly-ec4bsАй бұрын
Whaaaa hivi mama unataka baba awendani kashakua gogoo chukuo maua kalobo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-qc9xc3ff3eАй бұрын
Indeed mama karobo mwanamke hofyo mbaya haezi hata oshea mwanamume wake nguo akabadilisha moja tu siku zote ghai sina ubaya watching from kenya🇰🇪🇰🇪♥️♥️
@ruthwatitu89Ай бұрын
Watching from Kenya napenda vile munaigiza
@Aimable-o6rАй бұрын
Following you 5/5
@MaestroRugaminaАй бұрын
Mungu azidi kukupa maisha marefu iliuendelee nakutu burudisha nakutupa mashauri zaidi baba kakupenda kweli❤🎉🎉
@sofiakinyia2734Ай бұрын
Mungu nipe uhai nielew watoto wangu mwenyewe🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@nurafedrick378Ай бұрын
Hiloo jina aisee mbona refuuuu hivyoo tena jina lakuchanganyaaa🤣🤣🤣🤣🤣wakuitee tuuu baba karobo baba Joan halafuu Mr jacob
@CharityNyaboke-gv7lgАй бұрын
😂😂😂karobo umepata boyfriend 😢
@alvezog_3836Ай бұрын
Ila Hapo Kwenye Kuibiwa Simu Yani Ulikua Inajulikana Kama Sim Itaibiwa Tu,Hapo Baba Kalobo Fanya Kitu Wakati Wengine Tusijue Kinachofata..
@user-hb9eq2fo6zАй бұрын
Ivyo bro ata ndio nashangaa😢😢
@user-ec2cj5om7vАй бұрын
Kweli
@PentergonHonestyАй бұрын
Thanks too much babajoan struggle & ilove your work so much god be with you and to bless your works to grows away
@esterkimalio8846Ай бұрын
Nataka wanangu wawe na akili ya kalobo nakupenda sana kalobo,,,uko wapi nikupe zawadi yako mtoto mzuri
😂😂😂😂 baba joan!!! eti mama karobo ni mbaya hadi shetani anamuonea wivu noma sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 pokea upendo wa dhati kutoka kenya, sisi ni maandamano tu.
@NancySibiaOnguti-gb9yqАй бұрын
Baba kalobo, kalobo amepata mjumba 😂😂😂 na mjumba wa kalobo ndo ako na simu ya usaidi wa kumwangamisha shetani mama kalobo 😂😂😂😂😂like zangu jameni ndo kufika kutoka Kenya 🇰🇪
@EliezerIrakozeАй бұрын
Congratulations. Good Job
@user-yc4tu1zy9iАй бұрын
Baba joani asante kwa kazi nzuri mungu awatangulie mumalize salama movie yenu
@user-vr4dz4jb2tАй бұрын
Uyo kalobo ilo shavu anakunywa sana maziwa au lakuzaliwa nalo😂😂😂😂😂😂😂
@NellyKandoloАй бұрын
Wa mwicho leo nipeni like zangu 😂😂😂
@marthawanjiru6675Ай бұрын
Karibu nilale ndaa nikapata episode 16 ipo wow baba kalobo❤❤❤🇰🇪
@RizikiNzallaАй бұрын
Baba Joani nakubalisana kazi nzury sana na nimeendelea kuwafatilia muda mlefu so kitu ambach nakiona mbeleyako ni utakuwa msanii mkubwa sana tanzania
@user-ff6ez9zp3gАй бұрын
Huyo demu anaye kufukuzia aiseee ungemuona namzimia kinyama pole sana daah kumbe huoni big up wewe ni moto wa kuotea mbali
@KizaDesire-f4pАй бұрын
Utafika mbali
@user-rf1ut3zc6lАй бұрын
❤❤❤❤😂😂😂😂 naku miss kwakwel
@user-vs7hs5fy7pАй бұрын
Nawapenda sana kutoka 🇰🇪 Mungu azidi kuwabariki sana maana munatupa mafunzo ya kimaisha ❤
@J74251Ай бұрын
Nimechelewa Sana hata 😢😢😢ila ninaraha nimefika Kwa mda mzuri Sana 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤tamu sanaaa ❤🎉❤🎉❤
@user-rt6fh1wf3tАй бұрын
Aki hii series ni tamu sana aki
@maylucson001Ай бұрын
Tamu na tena ni tamu tena yaniii❤❤❤❤😂
@user-ti1ol3ti9jАй бұрын
Wa 🇧🇮 tujuwane baba karobo ❤❤❤❤❤
@BeltesaMuhasa-mo8tiАй бұрын
Asante sana kwa kazi ndugu yangu, hii kazi ni Noma sana , ni watakiye kazi njema baba
@aishaomar2287Ай бұрын
Kazi nzuri baba joan🎉🎉🎉🎉 ushauri wangu apo kwa kurecord wakt mwengine mboreshe...kwasababu kwa hali ya kawaida hio simu ilivyoshikwa mtu anaezashuku kama anarekodiwa
@winnieWangechi-gb7zzАй бұрын
Nimekuwa nikimtafuta hii comment tell them again apo nimewapa 10%
@faithhalima451Ай бұрын
Naomba likes wapendwa kutoka kenya
@zebedayonyataige6516Ай бұрын
Aste aste❤
@judithmutindi1227Ай бұрын
Baba kalobo umeweza kabisaa ❤❤❤ toka pande za Kenya,,,oyeee babake
@zephbarakaАй бұрын
Thanks for your concern..... following from Kenya Good work @babajoani
@MwaliSuleihАй бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ahsante xan wadau Masha'Allah kazi inazid kubamba jamn hongereni xan Mungu azid kkuza vipaji na mnazidi kutufunza jamn ❤❤❤❤❤❤❤❤ mzidi kuendlea