Tenda wema siku zote ili ufurahie matokeo yake mazuri ubarikiwe na Mungu #love
Пікірлер: 549
@Maryjuvita3 сағат бұрын
Jamani kama unampenda baba karobo like from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎉🎉
@RashidKidume-w8e3 сағат бұрын
Leo mimi wa tatu nahitaji like zenu zote hasa wewe mama karobo wa mchongo baba karobo fasion shangazi wa karobo na wote mulioshiriki hii tamthilia
@abdullybinde3 сағат бұрын
wa kwanza jaman kama unamuamini mungu gonga like apa
@AzamMgasha-t5s3 сағат бұрын
Tokaa movie inaanza sijawah kuwah kama Leo embu msinipe like yoyote
@Austindaxoyoutube3 сағат бұрын
Wa kwanza leo kutoka Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@SaumuJumwa-u4vСағат бұрын
Kila siku huchelewa kutoka Kenya 🇰🇪 bwana yesu asifiwe watu wa Mungu baba karobo zidi kueka imani Kwa mwenyezimungu maana hajawahi shindwa na kitu chochote kile kma waamini atapona kupitia maombi gonga likes 🙏🙏🙏🙏🙏
@Lucywanjirukagonye3 сағат бұрын
Wakwanza kutoka Riyadh Saudi Arabia teem strong tupitianeni 🎉🎉🎉❤❤
@MagdaleneKilifi2 сағат бұрын
Kumbe tuko wengi kutoka Saudi ❤, kazi nzur sana baba kalobo
@loreenmwambinguloreen7373Сағат бұрын
🎉🎉🎉like za saudi Arabia
@MalkaNinikСағат бұрын
Tuko wengi tufurahie WIFI zawarabu kuangalie move
@Pauline-25449 минут бұрын
Nipitie pia ❤
@OmbeniShendwaDaniel3 сағат бұрын
Wakwanza leo jamani Anae ungana na mimi ya kwamba chiko atakemeya pepo zote za mama karobo. Tujuane apa
@simbadapanther73183 сағат бұрын
Nipe like zangu Mm WA kwanza,,,,,, from Kenya lamu
@YusraMshomary3 сағат бұрын
Mungu aturinde na watu wabaya mfano wa mama kalobo, 🤲🙏
@WazaTimothy-kh9ip3 сағат бұрын
Aminaa
@AthumanSaidati2 сағат бұрын
Amiin
@Arafa-dt9sh2 сағат бұрын
Ammin
@LovieBulenge2 сағат бұрын
Amen
@dularajabu8518Сағат бұрын
A
@IsmaelOkongo133 сағат бұрын
Mwenye atakaesoma hii comment Mungu ampe maisha marevu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@dhahabudeche9263 сағат бұрын
Amen
@JohayvinaMutembei3 сағат бұрын
Amen@@dhahabudeche926
@Lucywanjirukagonye2 сағат бұрын
Amen 🙏🙏
@Najmahnyangasi2 сағат бұрын
Ameen thuma ameen yarab
@PaulOjiambo-p1f2 сағат бұрын
ameni🙏🙏
@J742513 сағат бұрын
LEO WA KWANZA KUTOKA KENYA WANAO MKUBALI BABA KAROBO TUPENI LIKE NA COMMENTS❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
@elizabethwanjala96672 сағат бұрын
Nampenda sana baba yangu kibofu
@shasxthequeen2 сағат бұрын
Tushafika bwana
@AliMwaramwendo2 сағат бұрын
🎉❤
@AliMwaramwendo2 сағат бұрын
Umechelewa mm ndio nimewahi kutoka kenya bt nk oman😂😂❤❤❤
@elizabethkamene6497Сағат бұрын
Nampenda sana baba karono
@LewisHamiltonGLDСағат бұрын
Hapa kumefikia hatari sasa babake kalobo na mchungaji wa mungu na mama'ke kalobo na mchawi wake vita ndio imeanza lakini liwe liwalo mungu awezi shindwa na kiumbe chochote kile wenaokubali babake kalobo atakua mshindi katika hii vita gonga like tukisonga
@TatudamabakariTatudamabakari3 сағат бұрын
Kwakweli mungu yupo baba karobo atapona❤❤😊
@KassimAli-v9f3 сағат бұрын
Nimependa mama karobo kimbora nimemludi mwenyewe mama karobo kula chuma icho
@fatumariziki72762 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@loreenmwambinguloreen7373Сағат бұрын
😢😢😢umeona eee
@kombolela1828Сағат бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@EuniceMbuche-ez8ggСағат бұрын
😂😂😂
@marymele971434 минут бұрын
Na bado 😂😂😂
@HUGUESIRADUKUNDA-z8t3 сағат бұрын
Wakwanz leo naomba like zangu jamani🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@irineMusimbi-h8k2 сағат бұрын
Team strong kutoka Saudi Arabia a kenyan lady wapi likes za baba karobo❤
@wilmotkarisa61742 сағат бұрын
Yeyote atakaye tazama series hii Mungu ampe maisha marefu🙏
@jamesnduwimana35103 сағат бұрын
Leo inakuja mpema asante Baba joan
@wamboiwamboh3 сағат бұрын
Mko wap kumekucha❤❤❤jitu la ajabu daaah hyo mganga anatisha😢❤❤
@NadsmaaliAliСағат бұрын
Mzimu wa JB uwo
@akbartz43 сағат бұрын
Jambo sana wenye tulikuwa nahamu San yakuona mwendelezo naomba like zangu jamani 🤗 na mungu apeni maisha malefu
@tumainmumskiragastumain23483 сағат бұрын
Leo mm wakwanza naomba like ata mbili ❤❤❤much ❤baba Joan
@JosephineMomanyi-jp8tv2 сағат бұрын
Nuguti umejiingiza motoni mama caroboo na mpenzi wake mnajidanganya mungu ni mwanga na huyo mungu ameongeza mchungaji nguvu ujue mwisho wa dhambi ni mauti❤❤❤❤the story team strong saudia Arabia mkenya 🎉🎉🎉❤❤❤❤
@MarryJoshua-x5v2 сағат бұрын
Baba karobo oyeeee nimefurah sana kumwona mama karobo kombola likimrudia
@EmmanuelprodHazardBeatsaun-e5x3 сағат бұрын
Je vous suit dépuis le Congo 🇨🇩 Kinshasa
@shasxthequeen2 сағат бұрын
Atakae soma na kulike hii comment abarikiwe katika jina la Yesu christo, like na ujibu Amen
@ruth-lb4qf59 секунд бұрын
Ameen
@OmbeniShendwaDaniel3 сағат бұрын
Chiko jamani uwe na igiza sehemu ya uchunganji maana ume pendeza kuwa mchunganji
@JudithMunisi-r8h3 сағат бұрын
Fungeni mkiomba mungu ndiye muweza ya yote msikate tamaa 🎉
@lkibakefby71263 сағат бұрын
Nimewai nipeni lk hâta kumi❤
@modex_03763 сағат бұрын
NATAKA KUJUA NIKO NA MARAFIKI WANGAPI MIMI KATIKA MASHABIKI KWA BABA KAROBO NITAJUA KUPITIA LIKE ZENU NITAMIN JEE KENYA NA TANZANIA WANAELEWANA
@bongoswahilimax093 сағат бұрын
Wa kwanza
@MusaMaalim-c4q3 сағат бұрын
Nice movie munge tuwekea kila siku ni tamu hi movie na Ina tufunza megi thanks ❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@SantosOfficial.12 сағат бұрын
Alah,kutoka Kenya pia,,likes kwa Baba karobo jamani,,KAZI safiii,Kenya twakupenda
@SharifaShery3 сағат бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza jaman siamin
@Tush254163 сағат бұрын
Wakwanza leo nipeni likes zangu from garisaa🎉❤
@TwinkleTeneja-e7o3 сағат бұрын
Tuko wengi mwenzangu kutoka garisa
@faithhalima4513 сағат бұрын
Leo mi WA Kwanza kutoka Kenya naomba likes wapendwa❤❤
@Marry-u8m2 сағат бұрын
So amazing show 🎉🎉🎉❤❤❤hapa uta maliza mchawi wote vile ume ingie kwama obi🙏🙏🙏🙏
@Betty-t9qСағат бұрын
Leo nimechelewa kidogo ,,,,chiko kumbe uko na kipaji kweli wapi like ya chiko Mimi kutoka kenya❤❤
@MwajabuMtitu-co6wx3 сағат бұрын
Bd sijaielewa kbs imeniuzi karobo wamefanikiwa kumuuwa sijui
@IreneKitavi3 сағат бұрын
Leo nimewahi mapema nasitki like zenu 😢😢😢
@MateusPiusСағат бұрын
Leo mimi ni wankwaza kutoka Moçambique nipone like nangu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🤣🤣
@mohamedlopa84103 сағат бұрын
YEYOTE UTAKAYESOMA HII COMENT UWE NA SIKU NJEMA MUNGU AFUNGUE RIDHIK ZAKO INSHALAAA 🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤝🙏
@mohamedlopa84103 сағат бұрын
❤❤
@JacklineAlivitsa-cj5irСағат бұрын
nawe pia
@BothainaBothaina-k6c2 сағат бұрын
Baba karobo wewe ni Mwamba hakuna atakayekutingiza kamwe congratulations 👏 watching from Kenya 🎉🎉❤
@fruitfulchildrenshome94113 сағат бұрын
Natamani iendelee tumwone B.Karobo akiwa mzima na aendelee kuwasaidia hao wanaomsaidia sasa hivi. Pia tuone ndoa yake na Zujat
@HidayaHamisi-w5k3 сағат бұрын
Nimejitahidi like jamn
@JosephPongo-d8x3 сағат бұрын
Tuna kupenda sans baba karobo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@YusufuJaphal3 сағат бұрын
Da baba kalobo
@AnnaEugen2 сағат бұрын
Tunaotamani mama karoba na mpenzi wake wapinduliwa na mchungaji weka like
@FatmaAlly-d5v3 сағат бұрын
Dakika ya sita much love🎉🎉🎉🎉
@MateusPiusСағат бұрын
Pai calobo más força não volta para atrás irmão 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿💪💪💪💪💪💪
@AberiNyatsa3 сағат бұрын
Wakwanza mimi hapa nipeni lke zangu
@sjdjdj29092 сағат бұрын
Kazi mjema malafiki zangu❤❤❤❤❤
@OMMYWasingoe3 сағат бұрын
Wakwanza reo nipeni like zangu
@stephenwahuro2261Сағат бұрын
Mmm napenda kipindi inaelimisha sana nko kenya ❤❤❤
@merciendinda84873 сағат бұрын
Secret agenda nimekuona
@Nurubeb2 сағат бұрын
Kisicho n ubaya usikifanyie ubaya Niko n furaha kutoka taif❤❤
@EzekielJoseph-n7pСағат бұрын
❤❤❤❤❤Duh mpaka anakonda anaingia humu haya mmbea atakiwa kulala na ngongot ,mchungaji nae kashaingiziwa nguvu za kichawi kaanza kusinzia
@abrahamchengo51183 сағат бұрын
waaaah,inazidi kunoga
@SharonMokeira-ij7iq2 сағат бұрын
Jamani baba karobo weka hata ifike 30 movie ni nzuri lakn dakika ni chache sana
@florencengolo6480Сағат бұрын
Hili jitu s n lile jini la jb kule huba😂😂kama umekumbuka gonga like apa😊
@NAYPHATH3 сағат бұрын
Mimi Leo wakwanza jmni❤
@danielmutisya784Сағат бұрын
From kenya direct to Baba karobo❤❤like zangu zikuje
@SuzanJeremiaСағат бұрын
Nukti amekoma alikuwa msaliti😅
@ShadrackKosgey-p3h2 сағат бұрын
I like watching this movie from kericho Kenya
@Billiah3 сағат бұрын
Kali sana hii nipe like bc ata kumi
@housseinkalume54733 сағат бұрын
Shukran jazzillah kwa kazi nzuri unayoifanya baba Joan
@reginaIssa-m2j3 сағат бұрын
Good 👍 Job 👍nukuti kitakuramba
@RUIYAMOHAMED3 сағат бұрын
Nimewai leo wakwanza from Kenya, nawapenda nyote munaofatilia hii move ❤❤
@YusraSiyaleo-yk2fz3 сағат бұрын
Nupti umbea umemponza akome 😂😂😂😂😂
@Chairman18353 сағат бұрын
Kawaida wakenya tuko mbele
@Davidmtawala-b4y17 минут бұрын
Baba Joan tem hongera Kwa kazi nzur sana ila mnachelewa kutoa mwendelezo 🎉🎉🎉
@NahumSyombuaСағат бұрын
Namuonea nukti huruma sana. Goliath wa kenya wataka watoto na wajua huku kenya ukishapata watoto mama ndio analea pekeyake bila baba. Muhurumie nukti, atawacha umbea manake amepata funzo. Ama mnaonaje wakenya wenzangu? Team kenya ,team strong 💪 kujeni hapa nyuma ya tent tujiite mkutano kiasi 🇰🇪
@EdiokoAtembi40 минут бұрын
God his work is best back to sender Leo mama karobo na uchawi wake🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@NyirantokiZahara3 сағат бұрын
Muvi ilianza vizuri tu lakini sasa hivi imigeuka kuwa ya kichawi tu hatari kabisa
@aishaomar22873 сағат бұрын
Mauzauza kibao😮
@SafiaHamadi-vi4xvСағат бұрын
Wanatufundisha kuwa ukiamni ushirikina bas unakuwa mchawi.ndio maana yao
@nellyciakeonchaz3 сағат бұрын
@baba Joani Mungu akubaliki
@ZainabuMathias-x6p57 минут бұрын
Mungu nimwema 🎉🎉🎉🎉mama karobo hiyo inaitwa ubaya ubwela😅😅😅😅😅😅😅good job mimi nafamilia yangu tunawapenda sans time baba karobo❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@thomasmwita45863 сағат бұрын
Waaa surly sijapata hata like moja
@liliancharles81393 сағат бұрын
Baba karobo unaialibu muvi ilikuwa nizuli San sasa ivi sierewi
@housseinkalume54733 сағат бұрын
Baba Joan mbona munapunguza dakika hata zidi ya hio ya kwanza jamani
@jamilabaya40533 сағат бұрын
Wakwanza jomon naombeni like zenu😢 Watching from Oman
@OmarNzohabonayo2 сағат бұрын
Amrat tup😂
@mwanalimamwanlima19828 минут бұрын
Pamoja sana
@SusanMawia-kc4rg3 сағат бұрын
Mama karobo umeyakanyanga this time round utakomeshwa hkun ktu utawza
@JackxonJonte-xq8vv3 сағат бұрын
Mimi wa kwanza from kenya like zangu
@NiaAlinoti2 сағат бұрын
Mlishaaza kuiaribu hii movie uwondo uneisha kabisa naona mnako elekea mtaimaliza vibaya hii movie
@OscarAmbayi3 сағат бұрын
Mimi ninidhani baba karobo ataombewa aone Sasa angali anaingia kwa matatizo na karobo yupo wapi mama karobo asiwe amemtoa kafara 😂😂
@eunicewambui-v7k14 минут бұрын
Mungu azidi kumpa baba karobo nguvu na imani dhabiti hii vita sio rahisi
@mohamedgathu26763 сағат бұрын
Team strong .. watching @saudi Arabia
@OnesmusKyalo-wj9ex3 сағат бұрын
Kenya hoyee wapi likes za kenya 🇰🇪 😳
@kemboijoakim3 сағат бұрын
Any Kenyan wenye tunafuata baba Joan gonga like hapa tukisonga
@MwanaidiAbdulrahman10 минут бұрын
Safi sn mungu amlinde baba kalobo na mwanangu kalobo ila fasheni na mama kalobo waijue dunia
@philohmutua29683 сағат бұрын
Aki baba kalobo 😂😂😂nukuti umepatikana ulikuwa unajifanya sana kimekuramba
@MwanashaSuleimanTabwara2 сағат бұрын
Kabisa malipo ya usaliti
@AmenaMm-r5t14 минут бұрын
Oooo mungu awabarik san aallah awajalie mufik mbal na ss tunao wafatilia aallah atup maisha maref ishaallah
@nadiatanzania3 сағат бұрын
Hatar Leo wa kwanza
@princessElizabeth-f9c2 сағат бұрын
Alf si uyu mrefu n yule bodyguard wa rose muhando kwenye nyimbo ya secret agenda
@maylucson0012 сағат бұрын
Niuyoo pia ni mzimu wa jb kwenye huba
@Elizabeth-p3d3 сағат бұрын
Oooooh haleluya thank u Jesus
@Gracenelima2542 сағат бұрын
Team baba karobo mpo wapi like ya team strong
@BrendaKenzie2 сағат бұрын
Ni nzuri sana wow congrats❤❤❤🎉🎉🎉
@JohnThomas-mq5fwСағат бұрын
Yaan loy na fashion mnawaza uchawi tu hamfikirii Mungu hata kidogo
@NathanMuhindo36 секунд бұрын
Kazi nzuri ongereni from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@UbbaPrincessСағат бұрын
Nimependa Nubty kukomeshwa kwa umbea wake.hivi yuajuta.
@ibrahimlepa34062 сағат бұрын
Sema Wana zingua sana Hawa move sasaiv aielewek kabisa