Kama unaamini Kwamba ni kendi ndiye alietumana watu wamteke Jasmin gonga like hapa
@user-un2gd1hc6i2 сағат бұрын
Sidhani ka n kendi juu huyo jamaa amekuja hapo ni rafiki wa papa
@TanashaPamelah2 сағат бұрын
@@user-un2gd1hc6i na papa ajui Kai ...mtu anafuatilia Kai ni kendi tu
@FrankManyilizuСағат бұрын
Huyo ni papa
@addandendyaСағат бұрын
Atakuwa boss wa Kai!
@VeromwatuСағат бұрын
Nahisi ni boss wa kai
@mohamedlopa84102 сағат бұрын
Yeyote utakayesoma hii coment uwe na siku njema mungu akufungulie lizik zako inashalaaa🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤲
@mohamedlopa84102 сағат бұрын
❤
@ramasalim57122 сағат бұрын
Amiin inshallah amiin
@mohamedlopa84102 сағат бұрын
❤❤❤❤❤
@PaulOjiambo-p1f2 сағат бұрын
amina🙏🙏🙏❤❤
@rukiahashim80792 сағат бұрын
Amina
@SadaDjuma-e9b2 сағат бұрын
Ewe Mungu wetu ulie umba Mbingu n,Ardhi, tubariki ss ote tunaefuatiliya hii movies. Aaaaameeen🤲, na Ninawapenda saan.
@saumodzumbo967150 минут бұрын
Allahuma amiiiiiiiiin twakupenda pia ❤❤❤❤
@SadaDjuma-e9b35 минут бұрын
@@saumodzumbo9671 Maa nshallah 🤝🤝🤝💐💐💐
@KenethMwasenga-x2i2 сағат бұрын
😊😊wakwanza Leo jameen naomben like mungu awe pamoja na ninyi mnoa fuatilia hiivta msiliaya house girl
@BeatriceMvaty2 сағат бұрын
Duh m nilijua nitakuw wakwanz kumb wap duh naomben like bx jmn😊
@AllyMkola-u7e2 сағат бұрын
Muvi hii ina maadui wa3 kay ana wawili nao ni bosi wake na mtalaka wake na adui wa3 ni chiko kwa tasha na bibie
@HoHo-l1r2 сағат бұрын
Wewe batuli sijui litakukuta Jambo mpaka ushangae mtu mwema kwako ukitaka kumlipa mabaya yote yankuludi wewe mwenyewe...
@jobsimpamba712 сағат бұрын
Namimi wapili leo naomba like zangu ❤
@OfficialEmmy-b8r2 сағат бұрын
Jaman like ata mbili
@Fatuma-y9k2 сағат бұрын
Bibi zulu msaidie kilamba, wenye tunakubaliana na ilo gonga laiki.
@WinnieNtoitiСағат бұрын
Pia mm naomba bibi zuu amsaindie kiramba kasononeka sana walahi mpaka kipindi kinamboeka
@Hapygideon2 сағат бұрын
Leo kidogo camera imemn'garisha zuu anaonekana vizuri,au alivosuka ndio kumempendezesha hivo,,tunawapenda sana mkaze buti❤❤
@tauhidakhamis165729 минут бұрын
Leo kamera ipo fresh
@JudithSimiyu-ps7ee27 минут бұрын
Lakini angewekea zile ndogo izi kubwa zinachoma alafu zatiti matiti yako inje mumeniangusha kwa kweli
@henrymasika3122 сағат бұрын
Kazi safi movie tamu hongera Kwa wote❤❤❤❤❤❤❤
@SikuJuma2 сағат бұрын
Jamani leo zuu amependeza sana
@DinaSamwel2 сағат бұрын
Ambao hatumwelewi papaa , maana nyumba tayari imeuzwa 😂😂😂😂
@Nassrah7372 сағат бұрын
Hivi nyiee mnao omba like kabra ya. Kuangalia mna jielewa
@saumodzumbo967142 минут бұрын
Washenzii hao
@SiaGervas2 сағат бұрын
Waliokuwa wanaisubir ep 5 gong like apa
@FarhhFarhhСағат бұрын
Batuli nafik hawutofawulo tama itakupomza zoo ikiopamoja namwenyezi mungu 😉😉😉😉
@tigejuma98652 сағат бұрын
Kumbe watekaji n wakina papa misifa....Mzee wa bakongo😢
@ignitiussilungwe79302 сағат бұрын
Candy! Sania! Masosi wote Wana huska juyahuo mufanya kazi mpya alowekwa kwa Kayi!
@user-iv2ni4bz6n2 сағат бұрын
Yeyote anayesoma hii comment namtakia maisha marefu❤
@saumodzumbo967141 минут бұрын
Nawe pia
@AdhisJulia10 минут бұрын
Amen 🙏 🙏 nawe pia
@MaryMervin-n8v2 сағат бұрын
10:45 jaman wa pili Leo naombeni like ❤
@susana76452 сағат бұрын
Zuu anaendelea kupendeza juu ya mapenzi ya khai
@SabrahNibukaСағат бұрын
Watekaji nawo wanapangiwa kutekwa😂 jamani leo naomba like ❤❤😂
@coolboymicky36512 сағат бұрын
Wakwanza naomba like 🎉🎉🎉
@RoseKagaiСағат бұрын
Namimi wapili naomba like zangu❤❤❤❤❤❤
@Shinyg3l59 минут бұрын
Nimemmc bibi zuu jamnii kwann yotee hayo yatokeee wakati nilijua baada ya dhiki falaja🥺🥺
@DennisKimanthi-yf1py2 сағат бұрын
kila siku two epsodes ama vipi viwers,kama weli si lyk hata moja 🤏🤏🤏
@SamouOman2 сағат бұрын
jaman nawapenda mno hamchelew
@AnnAnn-i4xСағат бұрын
Kibendu❤❤❤❤❤hautishwi hongera
@LynEliza-u8t2 сағат бұрын
Kwan hiyo like n chakula ama munafanyia nn
@EnjoyJosephElikanaСағат бұрын
Anae amin zuu nakai watashindi kupitia kwa nn zuu weka like
@Betty-t9qСағат бұрын
Huyu ataeza kuwa kendi au boss wake kai
@Hapygideon2 сағат бұрын
Mama candy 🎉🎉🎉yako ila kulazimisha sana mahusiano na mtoto kama huyo utapata uchizi bure,hapana muache aende atakapoona panapovuja ndio atajua kuwa wewe ni mama sio kwa dharau hizo,,ndio maana vitoto vya 2000vimeiga tabia ya Sania na candy hovyohovyo majibu yao,,nasemaje mwanangu uje unijibu hivi siku Moja nakurudisha kwenye korodani za baba ako labda hukupaswa kuwekwa kwangu,pumbavu
@SarahRichard-iv2dlСағат бұрын
Ifike mahala mtupumzishe jamani sio neno mtakalo sema lazima mtaje watoto wa 2000😂😂😂😂😂
@TeresaSefuСағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@JescaYusuph-m4yСағат бұрын
Ndo maana kila siku kwenye maombi yangu house girl isiishe mapema kila kosa vitoto vya 20000😂😂😂😂😂
@SarahRichard-iv2dl59 минут бұрын
@@JescaYusuph-m4y 🤣🤣🤣🤣🤣 mbona candy ndoa imemshinda na yeye ni mtoto wa 2000
@JescaYusuph-m4y50 минут бұрын
@@SarahRichard-iv2dl dah! kwel ni🔥🔥😂😂
@DoreenJovinus2 сағат бұрын
Batuli naona angalia anajutia anayofanya kwa zuu
@KhadijaMdee2 сағат бұрын
Hoyeeeeee kabla ya waomba like tujuane Mara
@Tatu-r2h2 сағат бұрын
Kazi nzuri busati tv naombeni like pia mimi 😂
@NuruenezaJosephEnockСағат бұрын
Candy,Sania na Batuli niwape poleee tyuuuu maana saiz mnajikuta wajanja sana nyie ndo nyie mnajitamba sana ila niwape tyuuu taarifa kuwa wakati wenu unakuja kwa hayo matukio yalote mnayoyafanyaa na kuwafanyia watu Kwan anaeuwa Kwa upanga atakufa Kwa upanga vilevile na hizo pesa za muda mfupi tyuuu huwez kutambua nazo miaka yote poleni sana
@BurhanImamu2 сағат бұрын
Bibi wa zuu amsaidie zuu kwenye janga landoa yake pamoja na jasmn
@OmarJaffar-fw4lt2 сағат бұрын
jamani bibi yuko wap Mbona kama batuli anaharibu😅😅😅😅😅
@ميريم-ط1سСағат бұрын
Hawana lolote huyu papaa na huyo mfuasi wake sijui wako wann humu wasio tafta pesa zao wapo wamekodoa macho kwa pesa za watu
@ZainabuKabache-tx7tu2 сағат бұрын
Kiramba pole jamani mpumbavu mwenzako atarudi
@MwajumaAthuman-wv9mo2 сағат бұрын
Kibendu big up xana mwanangu
@MtumishiEstonFidelMtumishiEstoСағат бұрын
Papaaa yeye kaz yake kumpka jina lingne kila siku hakuna anacho fanya kama unaelewa dondosha 🎉
@aishaomar2287Сағат бұрын
Anatumia watu vibaya
@CharmingAngel-wx2skСағат бұрын
Hebu mkamtoe bibi zuu kwa jiya mmurudishe huku before it's too late😂😂😂😂😂
@berthadaudi6433Сағат бұрын
Da batuli mnafikiii haufai hata kwa dawa😂😂
@YusraSiyaleo-yk2fz19 минут бұрын
Waoooooh nilihisi toka episode ilopita kwamba batuli kamteka jasmin ili amfanyie vitimbwi zuli bila kipingamiziiiiiih
@hafidhabdulmalik3799Сағат бұрын
Wadau mko faster, dkk 49 views zaidi ya elf 5, kiukweli filamu ya house girl ni motoooo 🔥 🔥
@Hapygideon2 сағат бұрын
Mungu awe pamoja nanyi mliokopa bando na MMEKUJA BUSATI TV kuwaangalia ndugu zetu🎉🎉🎉
@BettyChai-x3qСағат бұрын
Mm leo wa kwanza naoba hata like moja jameni wafuasi wedzangu ❤❤
@EvethaSimba-i1cСағат бұрын
Candy litakukuta jambo na kamkonde mtajuta yaani mtaikumbuka hiyi nyumba ya mama yako siku zako zinahesabika
@hawaali837147 минут бұрын
Mke Wa Kilamba Kutekwa😂😂. Labda Nimbinu Ya Kuuza Nyumba. Basi Acha Tufike Mbele Tutajua Hatma
@FATMARAHMA1222 минут бұрын
Wanaona zuu unyumba umemufanya rangi orenge akawa mzuri sana gonga like😂😂😂
@SaumuJumwa-u4vСағат бұрын
Lakin mm naona huyu kiraba anamjaribu Tasha na Kai aone kma ni marafiki wa kweli kwake kma waamini Jasmin ametekwa Kwa mchongo gonga likes 😂😂😂
@FaridiAminiKajembe2 сағат бұрын
Mm wa4 leo
@chelahkenyah3596Сағат бұрын
kuna watu hapa wanahtaj watolewe coz toka move ianze sijawah kuona umhim wao yule mkongo na kikosi chake
@BoniphaceNhunhu-f4xСағат бұрын
Nipen likes namm has kila SKU nachelewa
@Starlex812 сағат бұрын
Nmewahi jaman
@AgnesMiyiСағат бұрын
Zuuh amesababisha na huyo kilabwa mkwaju kwanini mlimpokea huyo batuli sasa mmeyatafuta sasa mtakipata na bado 😂😂😂😂
@IreneMaganga-l8eСағат бұрын
Zuu kasuka Kawa mzuri
@Hapygideon2 сағат бұрын
Leo nimewahi
@JuliteNabwire2 сағат бұрын
Nikendi amemuteka nyara ndio mufanyakazi aliyepeleka kwa zuu afanye kazi aliyemutuma kufanya kwa zuu na zuu Ako na mungu
@Asiamohammed13172 сағат бұрын
Nimeshinda njaa vile mnataka huku house girl, huku my mother, tunyoosheni tu 😂😂😂
@كامليا-ر7ز2 сағат бұрын
Pole Sana kiramba. ila candy asiye skia la mkuu huvunjika guu alfu kwa hyu papaa analazima gni n candy jmn waaah weka like kwa kiramba tu y pole yke
@meryJoel-h7hСағат бұрын
Mauzauza kila sku fanyeni iishe maama mnazunguka sana
@DivineIngabire-lj3sr2 сағат бұрын
Candy wew nakucukia kabisa lakini dunia itakufundish bila cahier utaona😢😢
@RIZIKIRAMADHAN-eu1fp2 сағат бұрын
Mungu hawape hekima na Afya njema
@Ummyrahy66662 сағат бұрын
Mtekaji ni candy😢 sasa antka kujua nn na ashajua kila ktu kuhusu kay mbona mpuuz sas
@yonisabdullah2528Сағат бұрын
Kabisa ni Candy amemuteka ndio mtu wake batuli afanikishe zaki yake 😂😂😂
@joharirizikiСағат бұрын
Kwakweli mnaharakisha sana hadi raha kweli?mungu awazidishie
@FatmaMwinjuma-p5uСағат бұрын
Bibi zuu njoo umsaidie zuu nauje upige tatuli
@EuniceEunicemoraa-f6w2 сағат бұрын
Yaani waomba likes mtakuja kuanguka😢
@levinaernest4364Сағат бұрын
😄😄😄😄
@FATMARAHMA1230 минут бұрын
Wanao wona mke wakiramba katekwa na chiko sasa yakufikia tasha like hapa
@LilyMbembat2 сағат бұрын
Hatimae Leo nipo kumi dakika za mwanz
@Mariam-ju4rqСағат бұрын
Zuu anapendeza sai🎉
@buru1235Сағат бұрын
Candy wallai utalipia so umepeta pesa then unatesa MTU mwenye ana kosa lolote wallai l shower to God utalipia Kwa hili eeeh😢
@omardouble32 сағат бұрын
Hii movie ifike mahala iishe sasa😮
@esterkimalio88462 сағат бұрын
Ili iwe nn kwani unatununulia bando wewe
@SelinaDorcas2 сағат бұрын
Inamana ww haufurahishwi na mafunzo
@FaridaAbdallah-xt1dj2 сағат бұрын
Na ndio kwanza imeanza😅😅😅
@McT-m1m2 сағат бұрын
Wewe kama unataka iishe usiangalie
@aishaomar2287Сағат бұрын
Majibu kayapata huyu
@RukiamashaMasha2 сағат бұрын
Alie teka bibi ya kiramba ni boss wakai 😢
@MalkaNinik2 сағат бұрын
Chiko ama boss wakai
@RukiamashaMasha2 сағат бұрын
@@MalkaNinik wajua boss wakai siku ya harusi alikueko sa ywajua hao wana ukaribu na kai huenda ikawa ni yeye
@JanetChisagaСағат бұрын
Munafiki huyo anajua chenye kinaendelea munafiki kabisa
@joyleenivayo369913 минут бұрын
Aaaa nyie mnatuboo nyie akina sede senge
@priscahmahenzo64247 минут бұрын
𝐌𝐝𝐮𝐚𝐝𝐳𝐢𝐢😂😂😂😂𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐧𝐧𝐢 𝐤𝐢𝐩𝐞𝐧𝐝𝐮😅😅😅😅😅
@shukurukimenaСағат бұрын
Pole sana mpumbavu mwenzangu
@افلينافلين-ي9كСағат бұрын
Baturi ni vigumu ku mushitukia ila apa cini ya jua hakunaga siri. Najifunza kitu. Mambo ya uruma uruma mm na stop
@AshaHassan-i6x2 сағат бұрын
Kwn wanamtak nn zuu jmn
@jubaidamiss24092 сағат бұрын
Next ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Johar9032 сағат бұрын
❤❤❤❤❤kazi nzuri sana
@selinaselina39332 сағат бұрын
Kiupande wangu mm nihisi chiko na group yake ndio wanahusika na utekaje wa jasmini
@SadaDjuma-e9b2 сағат бұрын
Alhamdulillah nimekua w5
@RenathaKalamage2 сағат бұрын
Kumbe anaitwa jasmine mi nilijua mpembavu mwenzangu
@MwanamkasiBakari-pb2gw53 минут бұрын
😂😂
@valentinembwika23212 сағат бұрын
Naona sichaachwa nyuma kidogo
@Lucy-jj1hl2 сағат бұрын
Nimejaribu leo❤
@agapegodson16142 сағат бұрын
😂😂😂😂ety mpumbavu wake anamwitaaa dah😢😢😢
@MwanamisiMunaСағат бұрын
Kibendu ni wakilishie huo candy kwan iko nn anazengua tu snaa,,
@AnnaBura-p2g2 сағат бұрын
Batuli batuli mwisho wa ubaya aibu
@Blandinakanini2 сағат бұрын
Nauliza je pili zuu yuko wPi
@AsharobiMwita54 минут бұрын
Jamani jina la wimbo
@busatitv50 минут бұрын
House girl
@sofiakinyia27342 сағат бұрын
Ila candy wew una laana🎉🎉🎉🎉❤❤❤😮😮😮
@rumbebilali2737Сағат бұрын
Hhhhhhh
@EmmilianaWekesa2 сағат бұрын
Much love from Saudi Arabia ❤❤❤🎉🎉🎉
@زينه-ل4ح2 сағат бұрын
😢ninahumiy kuhus kilamb😢
@SaumuJumwa-u4vСағат бұрын
Maskin niraba amechanganyikiwa 😭😭😭pole sana jamni 🥲🥲🥹🥹🥹
@GilberthRajab-n4x2 сағат бұрын
Wakwanza leo jmn
@عباسعلي-خ3صСағат бұрын
Pole sana kiramba unapitia wakati mgumu kwa kweli😢😢