Nawapa pongezi mabaharia wenzangu lakini huyo dogo wa miwani mshamba tu wakawaida
@alfanramadhan90872 жыл бұрын
Nawapa pongezi mabaharia wenzangu lakini huyo dogo wa miwani mshamba tu wakawaida
@aronpaul2331 Жыл бұрын
Nyieee mmemsikia tin ni uyoo uyooo😅😅😅😅 mamae wamepigwa za kichwaaa
@jacksonmtazama28214 жыл бұрын
bhana kazinzuri nakupa star tano...... big up.....hongera kaka kwavitu latest kama hv sio wachimba chumvi wengine
@h20tiger4 жыл бұрын
Jama yuko sawa tu kama hangeongea hivyo mungekosa chaku sema heri aliongea hivyo ilimuseme....
@andodully38003 жыл бұрын
Tray mtu mbadi sanaaa
@khalidkhatibdashbway5007 Жыл бұрын
Sema rasta hujui kuect kama mtu wa mbele tafuta style nyengine bro
@bonifasikibasomba7054 жыл бұрын
Uyu jamaa kuma make amearibu movie nalasauti lake laajabu
@magrethclement58534 жыл бұрын
Yani mimi vipande va uyu jamaa miwani nasogeza dakika mbele basi nimejikuta nimeimaliza move kwa mda mchache sana kama yupo aliengalia kwa kulusha lusha kama mimi anipe raiki tujuane😁😁
@modazen71784 жыл бұрын
Sijamuelea
@godfreymanyaga26974 жыл бұрын
alafu ndo nyingi mbaya
@fransimgaya79404 жыл бұрын
Atamm sijamsoma atakidogo
@ibrahimjoseph27894 жыл бұрын
Inawezekana wengi wenu kutokana na kurusharusha ndio maana hamujailewa mbona mimi naona kapatia tena sanaaaaaa
@ally17024 жыл бұрын
Nakukubali Sana kamanda
@khalidkhatibdashbway5007 Жыл бұрын
Ah unaboa bob sema ndo vile wamo mastar tu wanakuficha maharo yako
@robisonignas97224 жыл бұрын
Mkn sana kazi zuriii
@SamuelMwendwa-d9m Жыл бұрын
Mkojani cez ngakusahau kaka😅
@prosoerngelangela80464 жыл бұрын
Dogo ungeongea sauti ya kawaida move ingekuwa tamu sana lkn nawapa asilimia 50
@mwinyimtengwa55154 жыл бұрын
Hahahahahaha nakubali
@yohanapetro49374 жыл бұрын
Pat 2 tiniwhit msisahau
@himdiizzyog85874 жыл бұрын
Ng'oombee we weeeee
@nyimbizikamtima13564 жыл бұрын
Aisee huyo Kuma mlimtoa wapi kaharibu movie mlimuokota wapi fala Sana kanimalizia bundle langu
@noelerasto304 жыл бұрын
Jamaa kachemka saut mbaya kama yy alivyo tin,Ringo mnatuchosha
@daemuularmmy52804 жыл бұрын
hawa watu wa miwan wasenge saaana walla siez angalia hii movie nikaimalza mbwa yye
@abdillahimustafa4978 Жыл бұрын
Exaggeration ni mbaya....na inafanya sinema inakaa vibaya.....sinema zenu ni nzuri tatizo mumezidisha sifa paka zakera😏😏😏😏
@abadanwar20814 жыл бұрын
Kwani huyu angeongea tu sauti ya kawaida hii movie isingekuwa nzuri eeh
@ibrahimjoseph27894 жыл бұрын
Ila kweli kila mtu na maoni yake mimi nimeitazama mpaka mwisho ni nzuri sana kila muusika kacheza nafasi yake na uyo dogo ndio kainogesha na ina funzo kubwa sana,
@richrov50444 жыл бұрын
Movie mbaya kwel
@abubakarmpole40004 жыл бұрын
Huyu dogo wa macho manne ananiboo saana katika hii movie
@imaranali82254 жыл бұрын
Abubakar huyo ni mtu wa machomanne ya wapi au Pemba?
Tena kaigiza vizuri sana nawasiwasi wametazama juu juu to, hawajaitazama yote sikuhizi wanatuelimisha Sana mpaka raha, wabongo tulivyo angeongea kimang'ati wangekosoa kwa kusema ajaendana na uhusika,
@fatumaselemani6614 жыл бұрын
mambo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@neemaclement22894 жыл бұрын
Uyu kaka mnamlaum bure hii sauti katumia kutokana na play part ake
@kiswaswadu21323 жыл бұрын
Hatukatai lkn angeongea kawaida ingekuwa taamu zaidi
@erickcharless61754 жыл бұрын
tisha sanaaaaa
@saidahmed96882 жыл бұрын
good movie
@herydoraz20394 жыл бұрын
huy fala kachafua movie na xaut yake kama anaongelea kwapan hv
@ambaneentertainment20434 жыл бұрын
Uyo sauti yake aipendezi dah angeogea voice yake ya real
@emmyyahya83584 жыл бұрын
Mmejitaidi
@zawalil70044 жыл бұрын
Laba Lolo
@masoudhamad10474 жыл бұрын
Mambo ya kisengesenge tu mwaleta
@donaldelias66894 жыл бұрын
Achen kutumia kiki za watu tin yupo WAP
@farisjl58644 жыл бұрын
Donald Elias yupo
@AhmedSalah-ri3es4 жыл бұрын
Donald Elias kma hujaangalia movie usicoment unamjua kweli tiny?
@donaldelias66894 жыл бұрын
Mmmh BA's nliwah kukata tamaaaa😔😔😔😔
@tausabuu25394 жыл бұрын
dha atali
@richrov50444 жыл бұрын
Huyu kazuvulunda
@shabaniekyoci86284 жыл бұрын
Kwanini ufosi sauti kaweye
@scaniainternationaldecorat98993 жыл бұрын
Hahahaha
@bladechiko35124 жыл бұрын
Nasoma comment naona kuna mtu analaumiwa na sauti kabla sijaona filamu sijui niangalie.....?????? Wacha nijioneee dogo yupi huyo kaaribu filamu na sauti yake mbaya...........natazama nikiwa dubai