Рет қаралды 72,407
Mtangazaji mahiri wa kandanda nchini kupitia kituo cha Azam TV, Baraka Mpenja, ambaye alikuwa sehemu ya safari ya kikosi cha Simba kilichokwenda Libya kwa ajili ya mchezo wa awali wa kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya.
Mpenja ameipa nafasi kubwa Simba ya kufuzu hatua ya makundi.