BARAKA MPENJA ASIMULIA YALIYOTOKEA LIBYA/FADLU DAVIDS ALIKUWA DARASANI/AIPA NAFASI SIMBA KUFUZU

  Рет қаралды 72,407

Mpenja TV

Mpenja TV

Күн бұрын

Mtangazaji mahiri wa kandanda nchini kupitia kituo cha Azam TV, Baraka Mpenja, ambaye alikuwa sehemu ya safari ya kikosi cha Simba kilichokwenda Libya kwa ajili ya mchezo wa awali wa kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya.
Mpenja ameipa nafasi kubwa Simba ya kufuzu hatua ya makundi.

Пікірлер: 87
@ROSWINTAFredrick
@ROSWINTAFredrick Күн бұрын
Mpenja unajua❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 Күн бұрын
Ahsante sana Mpenja kwa maelezo yako mazuri mungu akulinde sana na ikiwezekana mechi ya Jumapili uitangaze ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@RichardngohdaNuhun
@RichardngohdaNuhun 7 сағат бұрын
😅😅
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Күн бұрын
Safi sana MPENJA, ww ni mkweli sana
@RiwaniAthumaniAthumani
@RiwaniAthumaniAthumani Күн бұрын
Mwamba.kama.mwmba.mungu.akuweke.tuendelee.kuku.faidi
@khadijahussein5298
@khadijahussein5298 Күн бұрын
Amiin
@abdullmubaarakabdalah
@abdullmubaarakabdalah Күн бұрын
MPENJA, sema INSHA ALLAH
@MwajumaNgaruma
@MwajumaNgaruma Күн бұрын
Insha Alla
@kolosii4351
@kolosii4351 Күн бұрын
Jumapili itakuwa siki ngumu hata jumamosi.
@SanareLobulu
@SanareLobulu Күн бұрын
Ni kweli man...
@mandalumandalu-f7y
@mandalumandalu-f7y Күн бұрын
Ana kila sifa ya kuitwa mpenja
@Rajabu-n3q
@Rajabu-n3q 18 сағат бұрын
simbaaa
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Күн бұрын
Hapo mpenja umechapia dola moja kwetu huku hata lita moja haifiki maana ni 2800
@JIWEtv6484
@JIWEtv6484 Күн бұрын
Uwe unaelewa, kule wanamafuta siyo kwatu huku tuna nunua kutoka nje
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Күн бұрын
wewe Acha ushamba wa kulaumu kijinga.. unaambiwa Dola moja unajaza mafuta karibu Lita 57 kule Libya.. au hujui kiswahili..😂
@gipsonkisava1184
@gipsonkisava1184 Күн бұрын
Hajakosea kwa kule libya mafuta ni cheep
@fadhilichibupa1160
@fadhilichibupa1160 Сағат бұрын
kwakweli amepitiwa tu😂😂😂
@PaulKusaya-n5n
@PaulKusaya-n5n 44 минут бұрын
Baraka mpenja mwamba wa simba lakinipia nimoja yaaserti nzuri walizo nazo simba (sor)
@IzackfanuelMniko
@IzackfanuelMniko 18 сағат бұрын
Safi sana mpenja
@albertvalentino130
@albertvalentino130 8 сағат бұрын
Dunduka hilo linaunguruma -- " Hongera mpenja kwa kuwa wazi "
@suzanmziray3656
@suzanmziray3656 Күн бұрын
Inshalah
@jumamarco-mh1hg
@jumamarco-mh1hg Күн бұрын
poleni sana mpenja tv
@kigesomichael8061
@kigesomichael8061 Күн бұрын
Watu walio panda mwewe hongeren sn
@bahatimunyeti4002
@bahatimunyeti4002 9 сағат бұрын
Dah dakika 4.38 umetupanga
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 Күн бұрын
Mpenja apewe kazi Simba jamani .mbona utopolo Kuna watu wa media watano?
@emmanuelryoba2893
@emmanuelryoba2893 21 сағат бұрын
Inshall 😢
@aliissahaji33
@aliissahaji33 Күн бұрын
Kwaiyo hawakutaka kushinda Simba 😊😊😊😊
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 Күн бұрын
Kwahiyo nasi kwaiyo
@abdallajuma8211
@abdallajuma8211 Күн бұрын
Kwann manula lakin😅😅😅
@SAMADEE5426
@SAMADEE5426 19 сағат бұрын
Kwa hiyo mpenja ni msemaji wa simba au😂😂😂🙌🙌
@AlexSonza
@AlexSonza 20 сағат бұрын
Mpenja naomba rudisha koti langu,nimeliangalia ndani silioni mara naona unaongea na waandishi was habari na umelivaa. Ndo maana mmetoa sare ulichukua koti langu bila kuniomba usirudie tena kusafiri na makolo😅😅😅
@Fofo-z6t
@Fofo-z6t Күн бұрын
Na pale lupaso smba iwafunge mapema tuone km wataacha kucheza😂
@khalefally9818
@khalefally9818 Күн бұрын
Jahanam haijai na wala haitojaa
@magretpita3017
@magretpita3017 6 сағат бұрын
Mechi ya jumapili tunaomba utangaze kaka mpenja
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka Күн бұрын
Huna baya mwana waumalila
@user-hy4zb3eg1z
@user-hy4zb3eg1z Күн бұрын
Kombe la panya road lipo hivyo tulishawah pitia hapo fainali....kule Algeria au mmejisahaulisha?
@alexanderibrahim3481
@alexanderibrahim3481 Күн бұрын
Ww nimav kwel
@josephsamuel7088
@josephsamuel7088 Күн бұрын
Wewe unaandika kuhusu fainali ya juzi wakati Simba hayo hata tulishasahau kabla hujazaliwa tulishazicheza hizo. Usituletee mambo ya mihogo hapa.
@josephsamuel7088
@josephsamuel7088 Күн бұрын
Yaani wewe, hujielewi. Mmeambulia kagoli kamoja dhidi ya timu ya 'benki' halafu unatuletea nini hapa! Ninyi bado sana, ila kujaribu kujiinua kwa midomo. Hiyo fainali yenu ya juzi Algeria, kwa taarifa yako huko huko Algeria ndiko tulifuzu nusu fainali ya shirikisho na baadaye Fainali. Ninyi watoto wa juzi juzi mnalishwa mihogo na kuanza kuropokaropoka utumbo hapa.
@charleznicholas416
@charleznicholas416 Күн бұрын
Utopolo machoko nini nyie,,, ndio maana serikali imewatowa kijanja kwa Mkapa,, hamjazi uwanja ni hasara tupu kwa serikali.
@AljuhaniAllyy-dg4ld
@AljuhaniAllyy-dg4ld 20 сағат бұрын
Mpenja aiseee eti dar itakua km jihannam du!
@AljuhaniAllyy-dg4ld
@AljuhaniAllyy-dg4ld Күн бұрын
Nimeamini kweli jahannam watu ni wengi kuliko peponi mpenja ameani hivyo kasema kwa mkapa watu wawe wengi kama jahannam innalillah mpira
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 21 сағат бұрын
tuwe na uweledi wa kutafsiri mambo na siyo kuyachukulia kama yalivo. maana ya jahannam unaifaham? ni sehem ambayo haikaliki haivumiliki ina kila aina ya vitisho. hivo alimaanisha ahli wapaone kwa mkapa sio sehem salama kwao ina kila aina ya tabu na wateseke sana na wajutie kucheza hapo. hiyo ndo maana yake. na muda mwengine ndo mana waswahili wakasema asiyejua maana haambiwi maana jaribu ufikirie kabla ya kuandika.
@AljuhaniAllyy-dg4ld
@AljuhaniAllyy-dg4ld 21 сағат бұрын
@@hassanrashid9436 sikiliza vzuri maneno ya mpenja kasema kwa mkapa watu wajae kama jihannam halafu wewe unataka kupindisha usichoelewa hapo nini kama umeamua kupenda mpira penda tu lakini mpenja yuko sahihi kabisa kasema watu wajae kama jihannam, rejea kumsikiliza bro, kama kukosea kakosea mpenja, pia kasem dola moja unajaza mafuta fuul tank kwenye gari yako kwa dola moja wakati dola moja hiyo thamani yake ni shs 2800 za kitanzania, haya tafsiri na hapo
@RahimKulwa
@RahimKulwa Күн бұрын
Kinyo wa bunju@
@DanyEnto
@DanyEnto 21 сағат бұрын
😂😂😂😂ila apa mwishoni Baraka umetupanga🤣🤣🤣ni yeye alikwambia au wewe unatuambia😅
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Күн бұрын
Waamuzi kupigwa hakuna Wala kusikia
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 Күн бұрын
Kwa Nini mpenja hakutangaza
@omaryjuma6233
@omaryjuma6233 Күн бұрын
Na mm nitakuwepo😂
@CharlesKelemensi
@CharlesKelemensi 7 сағат бұрын
Sauti ya radi
@saidseleman-k7u
@saidseleman-k7u 22 сағат бұрын
Kawaida tuu
@ShedrackLawrence-u3p
@ShedrackLawrence-u3p Күн бұрын
Mbona una dharau sana yani wasiopanda ndege ndo wakupewa pole? Acha dharau huwezi jua kesho yako!
@mpisyeshabani3004
@mpisyeshabani3004 Күн бұрын
😂😂duh mpenja katuchota dollar 1 unajaza tenk
@isikesamike
@isikesamike 21 сағат бұрын
Umesikiliza vizuri kweli bro?
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 5 сағат бұрын
Kwao mafuta hayana Dili,wanachota2
@azadinzunda4327
@azadinzunda4327 18 сағат бұрын
Mpenja dolla moja ni sawa na sh laki mbili na sabini na mbili kwa leo, ila Kama utasema dola Mia moja apo sawaa
@boazmisango9797
@boazmisango9797 5 сағат бұрын
Eti😅😅😅😅
@JohnKisasi
@JohnKisasi 3 сағат бұрын
Acha uongo wewe, hizo dola wewe umesomea vichaka gani huko
@RosweLau
@RosweLau 22 сағат бұрын
Walishinda kiukwel
@errydeo8865
@errydeo8865 Күн бұрын
Kwa hiyo mpinzani hakumsoma Kolo? Wale watakuja kutafuta goli la mapema,kuwaweka simba on pressure! Walichokifanya ni kutoruhusi simba kuaata goli! Yanga walipata goli la ugenini( na wapumbavu mnaisema yanga) na Al watafunga
@PiterSiami
@PiterSiami Күн бұрын
We akir huna utopolo wewe
@errydeo8865
@errydeo8865 Күн бұрын
@@PiterSiami hajajibu hoja! Kwani wao hawakuwasoma! Kwani hawawezi kufunga wakija? KWANINI kolo hamkufunga? Hayo ndo maswali ya kujiuliza.kenge.we
@ibrahimdossy8347
@ibrahimdossy8347 Күн бұрын
Kwani we nani, hebu pumzika
@errydeo8865
@errydeo8865 Күн бұрын
@@ibrahimdossy8347 🤣🤣🤣hampendi kusikia REALITY sio? Probability ya simba kutolewa ni kubwa kuliko kupita( sisemi hawawezi kupita!) mi Naongelea mpira! Kama kuna kolo anaona kutoka sare Libya ni mafanikio na ni kitu cha kujivunia( anajivunia sare Ahamed siku hizi🤣) ,basi huyo sio shabiki anae jua mpira! Wale wata kuja na game plan moja,mbili! Ya kwanza, tafuta bao la mapema,pili! Frastuate them,kwa kulinda bao na kuwasubiri waachie nyuma,kwa kupoteza mda,kwa kulalamika! Shughuli simba mnayo!
@errydeo8865
@errydeo8865 Күн бұрын
@@ibrahimdossy8347 mwenye shughuli ngumu ni nani kati ya Yanga na kolo( be genuine,japo najua mpo shirikisho🤣) kama kweli unajua mpira!
@AbasiShabani-lw2fd
@AbasiShabani-lw2fd 21 сағат бұрын
Mwamba wa umalila
@athumanmfuchu8506
@athumanmfuchu8506 20 сағат бұрын
Dola 1= tsh 2600 tu
@ShabaniAlly-oz9te
@ShabaniAlly-oz9te 19 сағат бұрын
😢daah wengi tunaitaji elimu 😢😢
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 Күн бұрын
Sio kwamba mashabiki hawakuridhishwa na matokeo, Bali walichukizwa na maamuzi ya mwamuzi amewanyonga sanaaaa!
@JomvanMathy
@JomvanMathy Күн бұрын
Attention Yao walitegemea simba waifunge hamna Cha kuwanyonga wala nini acha gubu 😮
@laninjeje8290
@laninjeje8290 Күн бұрын
Yule mwamzi wako umwambie achezeshe yeye kwa Mkapa ili wasionewe tripoli
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 Күн бұрын
@@laninjeje8290 sawa Tatu Malogo
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx Күн бұрын
Ungechezesha wewe mchawiiinini
@magretpita3017
@magretpita3017 6 сағат бұрын
Kma wamenyongwa mbona awajafa kaaa
@Heniryahaz
@Heniryahaz Күн бұрын
WAKIJA kwwtu tunawapiga
@SAMADEE5426
@SAMADEE5426 19 сағат бұрын
Kwa hiyo mpenja ni msemaji wa simba au😂😂😂🙌🙌
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Күн бұрын
Hapo mpenja umechapia dola moja kwetu huku hata lita moja haifiki maana ni 2800
@AminiMsellem-gk3yy
@AminiMsellem-gk3yy Күн бұрын
Ni Sawa Mana dola 1 ni 1760 Leo hii
@Footballofficial100
@Footballofficial100 Күн бұрын
Sikiliza vizuri hujadanganywa hapa kaongelea dola moja unapewa mafuta kiasi hiko coz wanazalishha mafuta wao sio yetu ya kijiko
@georgematovu1317
@georgematovu1317 Күн бұрын
Libya wana mafuta hawanunui nje
@bartholomewasorael6616
@bartholomewasorael6616 Күн бұрын
Anazungumzia kwa Libya sii Tz acha ushamba nyie watu wagumu kuelewa kweli yani
@twalbikatanga8645
@twalbikatanga8645 Күн бұрын
Sasa Libya kila mtu anakisima Cha mafuta, utaikuta wap bei kubwa ya mafuta? Libya nimeishi mpenja hadanganyi😂😂😂
Amazing Parenting Hacks! 👶✨ #ParentingTips #LifeHacks
00:18
Snack Chat
Рет қаралды 18 МЛН
МАИНКРАФТ В РЕАЛЬНОЙ ЖИЗНИ!🌍 @Mikecrab
00:31
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 38 МЛН
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 57 МЛН