HUYU HAPA JAMAA ALIYEPANDA NA WANAFUNZI MLIMANI, ASIMULIA YALIYOTOKEA JUU MPAKA MWANAFUNZI KUPOTEA

  Рет қаралды 99,086

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 323
@GamDuel-vr4hp
@GamDuel-vr4hp 4 ай бұрын
Mungu fanya wepesi kijana awe hai na apatikane naamini utatenda amen
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 4 ай бұрын
Inshaallah' atapatikana kwa uwezo wa ALLAH☝️
@rehemakitonge3833
@rehemakitonge3833 4 ай бұрын
Eeee Mungu namkabidhi mtoto huyu mikononi mwako arudi akiwa Hai
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 ай бұрын
Aamiin
@HalimaMayunga
@HalimaMayunga 4 ай бұрын
Amina
@itzsnazzyjazzy472
@itzsnazzyjazzy472 4 ай бұрын
Eeeeh mungu waongoze Hawa wazazi wa huyu mtoto wampate mwana wao akiwa hai mungu wanguuuu 😢
@sophsoph4740
@sophsoph4740 4 ай бұрын
Yan nais kulia uskie tu kwa mtu hili lisiewe kwako hili
@fidesbernard4835
@fidesbernard4835 4 ай бұрын
Kweli inauma sana, tuendelee kumwombea Joeli
@STEPHENKingu-yz2dk
@STEPHENKingu-yz2dk 4 ай бұрын
Jamani huyo mtoto yupo hai kabisa. Tungoje muda wa Mungu ufike
@alicejones6382
@alicejones6382 4 ай бұрын
AMINA
@AishaMaganga-vd1jg
@AishaMaganga-vd1jg 4 ай бұрын
Amin🤲🤲🙏
@CyphroseRobert
@CyphroseRobert 4 ай бұрын
Na iwe hivyo.Amina.
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 ай бұрын
Aamiin
@janemsamati6700
@janemsamati6700 4 ай бұрын
Amen ,NAMI naamini kabisa
@OluochGeorge-m7w
@OluochGeorge-m7w 4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amtunze uyo mtoto apatikane kwa wakati akiwa salama Amin
@mariyamgharib940
@mariyamgharib940 4 ай бұрын
Subhana Allah mtihani huu Allah afanye wepesi apatikane dah😭😭
@sadiqadam7971
@sadiqadam7971 4 ай бұрын
Amin InshaAllah 🤲🏾
@Winifridabaraka-b5q
@Winifridabaraka-b5q 3 ай бұрын
Kwnguvu ya mungu Na maombe yetu mtoto atapatikana akiwa Hai ee mungu tusaidie 🙏
@GladnessSamson-xk2ii
@GladnessSamson-xk2ii 4 ай бұрын
Jaman mtoto mzuri 😊 Mungu asaidie apatikane akiwa salama kabisaa😢
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 4 ай бұрын
Hakuna mtoto mbaya wewe
@AghataDominick
@AghataDominick 4 ай бұрын
Eeeh mungu muone uyo mtoto uko aliko damu yako akamfunike hakapatikane akiwa hai wewe pekee ndounajuwa wapi alipo tunakuomba 🤲🤲🙏🙏
@Sulekha-k8d
@Sulekha-k8d 4 ай бұрын
Mumumuuu jamani matumbo yanauma mungu watiye nguvu wazazi
@SalhaRamadan
@SalhaRamadan 4 ай бұрын
Duhh mungu amlinde huyo mtoto apatikane akiwa hai
@NaemaMousa-l4o
@NaemaMousa-l4o 4 ай бұрын
Watoto wasiruhusiwe kwenda maeneo hatarishi kama hayo
@mwanas2
@mwanas2 4 ай бұрын
Yani uzembe wa hali ya juu...Alafu pumbavu ya wanaosema eti mtoto kajificha sijui kaenda wapi sijui ushuzi.Kwa uhakika mpak sasa mtoto nikapotea tube Mungu apatikane salama joel Mungu alete muangaza tu
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 4 ай бұрын
Eti mm nilikuwa Kiongozi mwandamizi😅😅😅 Yani inaonekana hao watoto kila mtu alipofika huko juu walitawanyika hawakuwa na uangalizi
@NeemaJumanne-h5d
@NeemaJumanne-h5d 4 ай бұрын
Yaani mara hatua mbili mara heka mbili haeleweki
@HamisiForogo
@HamisiForogo 4 ай бұрын
Ni kweli kabisa kwa maelezo hayo ya huyu kiongozi mwandamizi inaonekana hakuna uangalizi uliokuwepo na walimu na nyie mkome kuandaa tua Kama hampo makini kuwalinda watoto wa watu
@NEEMANdembwe
@NEEMANdembwe 4 ай бұрын
Yanavohimizwa Sasa hayo matua utafikiri ndio kufaulu mtihani
@AsiaMalik-i2k
@AsiaMalik-i2k 4 ай бұрын
Mwenyezi mungu Amlinde mtt uko alipo mtangulizeni mungu Kwa kila kitachotokea yy ndo kimbilio letu🙏
@ZuhuraSaidi-y1j
@ZuhuraSaidi-y1j 4 ай бұрын
Mungu mwenyezi umlinde mtoto Joel popote alipo arudi salama kuungana na wanafamilia yake....Uwalinde watoto wetu wanapokuwa mbali nasi.
@sarafinabutashilaga6990
@sarafinabutashilaga6990 4 ай бұрын
Kwa maelezo ya wanafunzi wenzie hapo kuna mawili yawezekana kijana alikuwa anania ya kutoroka ila alikuwa anatafuta upenyo ,,,au yawezekana akawa kweli kapotelea mstuni lkn pia km ingekuwa yupo kwann aspatakane wkt wengne huwa wanapatkana Mungu amsaidie popote alipo hapo wanafunzi huwa wana mambo mengi sana hasa kwa umri alionao kijana ila tumwombee tu
@JoyceWamahoo
@JoyceWamahoo 4 ай бұрын
Poleni sana mungu atampigania atapatikana
@gwakisakaswaga5249
@gwakisakaswaga5249 4 ай бұрын
Mtu wa mwisho kuwa na joel au kumuona joel alikuwa ni nani na alimuona akielekea wapi?? au akifanya nini?? ..Huyo mtu wa mwisho kuwa karibu na joel anasema nini?? Lazima yupo aliemuona joel kwa mara ya mwisho kabla hajapotea?? Je alibaki nyuma kukojoa...au alibaki nyuma kwa uchovu au alikuwa mbele zaidi ya wenzie....???
@janemsamati6700
@janemsamati6700 4 ай бұрын
Eeeeh Mungu wetu hakuna lisilowezekana kwako, tunakuomba kwa mkono wako ulio hodari Joel wetu apatikane akiwa mzima , tunahuzunishwa na kusikitiahwa kwa tukio hili.
@MeckyBoy
@MeckyBoy 4 ай бұрын
Aiseee tunapotea tunapotea na tunaisha kwel watanzania😢😢😢
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 4 ай бұрын
Kazi.tq jeshi ninpamoja.nq matukio.km.haya. tz.hatuna vita
@lucyedgar4869
@lucyedgar4869 4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amtunze kijana wetu awe mzima huko alipo
@mallowmduhu4933
@mallowmduhu4933 4 ай бұрын
Dah!, maana yake kwenye hiyo Creta kuna mizimu?😢
@JULITHAJOHN-k1c
@JULITHAJOHN-k1c 3 ай бұрын
Jamani mungu atende miujiza huyo mtoto apatikane
@gwakisakaswaga5249
@gwakisakaswaga5249 4 ай бұрын
Mwandishi umeshindwa kumhoji vitu vya msingi sana huyu ndugu yetu.
@MariamSaid-k6g
@MariamSaid-k6g 4 ай бұрын
Mwenyez mungu Fanya kitu juu ya hili mtoto apatikane
@faithlutainulwa3832
@faithlutainulwa3832 4 ай бұрын
Mmmh! Huruma ya Mungu.
@charlesmayilla2926
@charlesmayilla2926 4 ай бұрын
Kumbe walimu wanapofika huko wanakuwa na mzaha hivi kwa watoto wetu,wapige marufuku watoto wadogo kwenda tour hatalishi namna hii
@CatherineLekule-l7z
@CatherineLekule-l7z 4 ай бұрын
Mungu akipanga amepanga hata waende study tour kwenye shamba la maharage kitatokea alichopanga
@MacrinaCaesar
@MacrinaCaesar 4 ай бұрын
Mimi miaka yote na kwa watoto wote,nilishakataa hizi tour.ni uzembe mkubwa sana.Mungu asaidie jamani
@hubimogela9167
@hubimogela9167 4 ай бұрын
Brother ujue kusema ni rahisi mno kwani unaangalia upande mmoja kwenye kundi la wanafunzi 100 na kwanini mmoja apotee na umeskia hapo alikuwa anapita njia zake kosa la walimu ni nini labda wangepoteza watoto watatu au wawili tungejua ni uzembe
@hubimogela9167
@hubimogela9167 4 ай бұрын
Kama walimu ni wazembe kwanini wameweza kurudi na watoto wengine wakiwa vyema na salama tusionee walimu noo
@joycesarakikya4211
@joycesarakikya4211 4 ай бұрын
@@hubimogela9167 kwa uelewa wangu mdogo,walitakiwa walipojua kuwa mmoja hayupo, wasitishe safari waanze kumsaka, lkn wao pamoja nakujua mmoja hayupo waliendelea na safari, je angekuwa mtoto wa huyo mwalimu angeweza kweli kuendelea na safari !!!!
@gelassmanyanga9280
@gelassmanyanga9280 4 ай бұрын
Inge takiwa wavyo kutana yule mama.akasema nimwona kijana anashuka huku juu wanatakiwa wa mbane huyo mama aseme vinzuri.ana jua kitu.ana weza kuwa hata mchaw wahuko porin alienda kufanyeje😢
@ZephaniahSekwa-fl2go
@ZephaniahSekwa-fl2go 4 ай бұрын
😂jamn kwamba mchaw Amna bwana labda alienda kukata kuni.
@monicamassawe3435
@monicamassawe3435 4 ай бұрын
Au Joel kaamua kwenda kutafuta maisha jamani
@GetuShayo-oy9or
@GetuShayo-oy9or 4 ай бұрын
Wangeruhusiwa wabebe cm jmn,angepatikana Kwa urahisi Mungu wngu Joel wa kakaangu uko wp??
@lisamulwa1420
@lisamulwa1420 4 ай бұрын
Yaan mimi nashauri mgawanyike then kila kundi lipitie njia ambayo mtakutana kileleni wote ili watu wakague kwenye hizo njia zote huenda ikawa mnapishana nae.
@InocentPius
@InocentPius 4 ай бұрын
Kilele ipi iyo bebi
@Maimunasimon
@Maimunasimon 4 ай бұрын
​@@InocentPiuskuma l mam ako
@InocentPius
@InocentPius 4 ай бұрын
@@Maimunasimon imefanyaje
@Niabebewamor413
@Niabebewamor413 4 ай бұрын
Eeeeee mungu baba nakuomba ufanye wepesi huyu mtoto apatikane akiwa hai innishallah kwa uwezo wake Allah 🙏🙏🙏
@AshuuuBakari
@AshuuuBakari 4 ай бұрын
Mwalimu ana makosa daaah. Ilitakiwa walima 3 mmoja mbele mmoja kati mmoja nyuma.
@MaishaBabu-m2g
@MaishaBabu-m2g 4 ай бұрын
Kwanini wapeleke watoto sehem hatari nini maana ya guide duh mungu amnusuru mtoto jamani sijui kaenda wapi kachukuliwa na mamizimu labda
@KhadijaMasoud-m6u
@KhadijaMasoud-m6u 4 ай бұрын
Mungu amsaidie awe Salama mtt
@remiomar7154
@remiomar7154 4 ай бұрын
Wakati mwingine hizi filamu tunaziangalia tunaziangalia kama kupunguza mawazo sikudhani kama inaweza kutokea kweli 😢 eee mungu mbainishe apatikane salama akiwa hai
@LwinziCharles
@LwinziCharles 4 ай бұрын
Mungu nakuomba huyu mtoto umnusuru kila aina ya shari na apatikane akiwa hai
@GraciuosGeofrey
@GraciuosGeofrey 4 ай бұрын
Ee Mungu tusaidie apatikane
@hassanaliamin1104
@hassanaliamin1104 4 ай бұрын
Nawashaur Hawa watafutaji wakiwa wanamtafuta watumie Ike mi spika ya mkono inayotumia betri huku ikiwa yaita Joel tunakutafuta upo wapi ,,joeli upo wapi hivyo yaan
@ifonlyiknew619
@ifonlyiknew619 4 ай бұрын
Umewaza Mbali saanaa Hii ni Nzuri au Tule twa Mende kunguni
@babalao910
@babalao910 4 ай бұрын
Waalimu acheni kuwapeleka wanafunzi tour, wakimaliza watapelekwa na wazazi wao.
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 4 ай бұрын
Anzeni sasa kuingia mtaani nyumba kwa nyumba tangazeni misikitin na makanisani atakuwa kwa rafiki zake labda😢
@MwanaidhMary
@MwanaidhMary 4 ай бұрын
lakini mimi najiuliza kwani kuna ulazima kipanda uko juu kwa kweli inauma mungu amsaidie aludi salama
@AsungaSteven
@AsungaSteven 4 ай бұрын
Hawa watu hawapo serious kabisa na maisha ya watu
@FELISTERPETER-jf9jv
@FELISTERPETER-jf9jv 4 ай бұрын
Jamani Mungu amsaidie huyu mtoto apatikane akiwa hai
@Gloriarespiki
@Gloriarespiki 4 ай бұрын
Uwii jamaniii ww mungu tunakuombaa mtt apatikane jamanii tuu akiwa mzmaaa😢😢😢😢😭😭
@sadamissa5687
@sadamissa5687 4 ай бұрын
Naona kama mazingaombwe vile maana anaitwa na wenzie ye anawakimbia Sasa daah aisee Allah ajaalie awe salama huyo dogo😢
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 4 ай бұрын
Labda wamemwacha kapotea vijiji vya kando mwa mlima mungu ni mwema ataonekana akiwa hai kwa maelezo ya huyu jamaa ataonekana Inshallah
@reubenshaban6488
@reubenshaban6488 4 ай бұрын
Naamini wewe unayesoma comment hii hatufahamiani, lakini ninakuombea heri na baraka tunapoelekea kuimaliza robo tatu ya mwaka 2024, Mungu akulinde wewe na familia yako na abariki kazi za mikono yako.😊
@ceedanstan6780
@ceedanstan6780 4 ай бұрын
Aminaaa kpenz nawe Mungu akubariki
@maryobedi6807
@maryobedi6807 4 ай бұрын
Ameeen 🙏
@mwasitigervas2624
@mwasitigervas2624 4 ай бұрын
Amina ♥️
@AminaJackson-w5h
@AminaJackson-w5h 4 ай бұрын
Ameeeen
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 ай бұрын
Aamiin YaaRabbal Alaamiin na kwako pia ❤
@BENTLEYB-n4p
@BENTLEYB-n4p 4 ай бұрын
Huyu kijana yupo tena yupo hai kbs
@EateryallyEstery
@EateryallyEstery 4 ай бұрын
Eeehe MUNGU ulie hai fanya hima mdg angu arud akiwa salama 🙏🙏
@teddymasharo9531
@teddymasharo9531 4 ай бұрын
Jamani hii nini mungu awape nguvu wazazi wa kijana huyu
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 4 ай бұрын
Mungu. Afanye wepesi apatikane
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 ай бұрын
Yn uwongoz washule aukuwa makini na wtt
@MagrethAndrew-hj5ur
@MagrethAndrew-hj5ur 4 ай бұрын
Mungu Baba Mwenyezi tunaomba mtoto huyu apatikane Baba hujawahi shindwa na jambo!
@RahemaJumany
@RahemaJumany 4 ай бұрын
Kumuomba Allah tu yupo salama tu inshaAllah
@AminaKassim-ni9wd
@AminaKassim-ni9wd 4 ай бұрын
Maskini uyu baba adi anatilia uluma ongea yake lakini Allah atawafanyia wepesi ataonekana akiwa hai watoto wa siku izi baadhi vichwa viko moto sana poleni sana mungu awaongoze alipo
@pastorlazarosamwelkilala5795
@pastorlazarosamwelkilala5795 4 ай бұрын
Kwa nini wa pandishe watoto mlimani
@neemamafie9092
@neemamafie9092 4 ай бұрын
Eeee mungu apatike akiwa hai tuu ndio namuombea mungu
@Shadia544
@Shadia544 4 ай бұрын
Huyo na mwalimu wabanwe ili wasemee ukweli jamaniii 😢sasaivi dunia sijui ndiyo inaishia hivi😢
@KuruthumKikuyu
@KuruthumKikuyu 4 ай бұрын
walimu wengi Wana roho mbaya sana upumbavu mtupu kwa somo Gani la kwenda mlimani
@GeorgeWasha
@GeorgeWasha 4 ай бұрын
Mungu asaidie tu familia ya mtoto huyo ipate furaha maana ni mawazo makubwa sana
@RamaMaulidi-zc8zo
@RamaMaulidi-zc8zo 4 ай бұрын
Walah ni mtihani mkubwa mno!!!pole sanaa na mungu azidi kukupa nguvu inshallah kwa uwezo wake atapatikana
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 4 ай бұрын
Mungu amlinde huyo mtoto apatikane akiwa hai
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 4 ай бұрын
Maelezo yenu yako tofauti sana 😢
@zepinashatibu5149
@zepinashatibu5149 4 ай бұрын
Tumtangulize Mungu kwa kuomba dua bila watumishi wa Mungu kukosa atakuwepo tuu bila hivyo kati ya walimu kati yenu anajua kilicho mkuta huyo mtoto
@HeleniPius
@HeleniPius 4 ай бұрын
Mungu asimani mtoto 😢❤
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 4 ай бұрын
Tatizo kubwa sana kwa watanzania wengi ni kuwa kujieleza ni shida sana. Kiongozi wa waongoza msafara hawezi kusema kinachoeleweka.
@SophiaPhills
@SophiaPhills 4 ай бұрын
Tusaidiane kumuombea jaman..ktk milima Kuna Mambo mengi...
@RehemaYohana-k9j
@RehemaYohana-k9j 4 ай бұрын
Wakati wa mungu niwakati sahihi
@HappyAsajile
@HappyAsajile 4 ай бұрын
Yan mlima unanyoka mbwa wakali unachukua watoto unapeleka du ajab
@ChristinaOnditi-el3xo
@ChristinaOnditi-el3xo 4 ай бұрын
Nasimamia my point kama haya anayoeleza huyu bwana ni Kweli basi kuna uzembe wa walimu kutokua makini kwenye hiyo ziara watoto hawawezi kuuwaamini wawe pekeyao nyuma jamani🙏😭😭
@ZephaniahSekwa-fl2go
@ZephaniahSekwa-fl2go 4 ай бұрын
Tayar imetokea hakuna namna Mtoto atafutwe kwanza
@MumyGifty-rs7yx
@MumyGifty-rs7yx 4 ай бұрын
Pole sana
@OstakiaCornely
@OstakiaCornely 4 ай бұрын
Mtoto anauma hata akiahinda bila kula hata mlo mmoja naumia je siku zote hizi mungu saidia
@HareneKipande
@HareneKipande 4 ай бұрын
MUNGU nakuomba fanya njia pasipo na njia awe hai tu eee Mungu tenda jambo la jaabu
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 4 ай бұрын
WAZAZI MBONA TUNAPIGIKA HIVI? 😢😢
@FatumaJuma-b2g
@FatumaJuma-b2g 4 ай бұрын
Mungu akulinde ulipo jmn uwiii inauma
@modestamodesta3940
@modestamodesta3940 4 ай бұрын
Kwann hawakutembea kwa makund jmn daah
@GraceMarine-vo9hu
@GraceMarine-vo9hu 4 ай бұрын
Huyu mwalimu kiazi sana, hawezi sema atakayechoka atarudi nyuma, arudi nyuma wapi sasa, hebu muwe mnazingatia na pesa za wazazi wanazolipia tour
@rosemarymunyi5035
@rosemarymunyi5035 4 ай бұрын
Kweli kabisa ansanjua maharishi ako kijana
@petro8010
@petro8010 4 ай бұрын
Ni vichochoro vya kupatiapo hela tu hamna lolote
@MRPRESIDENT-w4l
@MRPRESIDENT-w4l 4 ай бұрын
MWALIMU WA GEOGRAPHY NAKUTAFUTA 😂
@linahmacha370
@linahmacha370 4 ай бұрын
Mmmmh maelezo ya huyu mwongozaji mwandamiz sijayaelew
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 4 ай бұрын
Jamani jamani
@khadijaabdallah3074
@khadijaabdallah3074 4 ай бұрын
Hili jambo la kujufunza watoto Bora lifungiwe mara nyingi hutokea mara wamezama kwenye maji
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 4 ай бұрын
Ee Mungu wa ibrahim na yakobo mwokoe huyu mtoto
@wabikeog_373
@wabikeog_373 4 ай бұрын
Kumbe ukichoka unaweza kurud nyuma ,yawezakna alichoka akaamua kurud zake nyuma...
@MVUNILWATHADEO
@MVUNILWATHADEO 4 ай бұрын
Kwa nn alikuwa anapita njia zake jamn...walimu nao kwa nn mlikaa mbali nao???
@loner_wolf
@loner_wolf 4 ай бұрын
Huko kuna nyoka wakali sana . Kuna nyoka akikung'ata kabla hata hujajua ni nyoka sumu ishakustop mapigo ya moyo ( koboko) ..... so porini nendeni mchana kuanzia saa 6 -saa9 wadudu wanakuwa wamejificha lkn sio asubuh ambapo wanaluwa wanaota jua .tafuteni mtoto wa watu .
@joysekiza3944
@joysekiza3944 4 ай бұрын
Nahisi hato kua mlimani atakua kaenda pahara pengine yuko salama kwa uweza wa mungu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 4 ай бұрын
Kabisa
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 4 ай бұрын
Milard washauri hao wazee, waende kwa mganga mzuri. Halafu wapande mlimani wamchukue mtoto. Hayo mazingira mnayosimulia nayadananisha na mtt mmoja alipotea milima ya shule ya sekondari Nsumba miaka ya 2000. Wazazi wake walienda Magu, na mtoto alirudi nyumbani anakimbia akisema alikuwa anawaona watu wakimtafuta mlimani lkn alikuwa kashikwa na watu. Hao wazee waache kusinzia. Watembee.
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 4 ай бұрын
Kosa kubwa sana. Ilipaswa atafutwe siku hiyo hiyo. Si sawa kumuacha porini
@JULIANAMWENDWA
@JULIANAMWENDWA 4 ай бұрын
Hawapaswi kwenda na njia moja wote Wagawanyike njia zote wanazozijua
@ShabaniBakari-p4r
@ShabaniBakari-p4r 4 ай бұрын
Mbona maelezo yake hayaeleweki kama vile anasitasita kusema hivi,na inakuaje watoto wawe nyuma nyie wakubwa mbele ingekuwa vyema watoto wangewekwa katikati,mkubwa mmoja mbele mwingine mkubwa nyuma.hayo yote yamesababishwa na kutokuwa kwenu makini. Mungu ni mkubwa inshallah mtoto ataonekana muda wowote
@shanifesto9037
@shanifesto9037 4 ай бұрын
Naamini yuko hai kwa jina la yesu
@CyphroseRobert
@CyphroseRobert 4 ай бұрын
Sasa huyu ni mlevi au,hata simwelewi.😭. MUNGU WETU AMLINDE MTOTO POPOTE ALIPO.🙏🙏🙏🙏🙏
@mwitaagness455
@mwitaagness455 4 ай бұрын
Sasa mlima una manyoka, mlima hatarishi na wanajua wanafuata nini??? Mhhhh uzembe asilimia kubwa ya tour hazina maana wala...
@MarysedesNgowi
@MarysedesNgowi 4 ай бұрын
Huko mlima kwaraa kuna kitu siyo hivi hivi mwalimu alipewe lawama yoyote jaman
@AnnoyedBooks-kn5pm
@AnnoyedBooks-kn5pm 4 ай бұрын
Walimu nao wslifanya kosa Moja make hiyo siku ya msafala mwalimu mmoja angebaki nyuma ya msafala huo
@chichasam9032
@chichasam9032 4 ай бұрын
Uchaguzi ni mwakani nawajulishaaa...na kuwakumbushaaaaaa
@mathewungani9724
@mathewungani9724 4 ай бұрын
Huyu nae akamatwe tu....
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 4 ай бұрын
Wanadamu wamekuja kuku anapotea anatafutwa siku sita kama kukualiyeliwa na mwewe daah MUNGU onyesha mtoto huyo kwa jina lake lililo tukuka
@monicamassawe3435
@monicamassawe3435 4 ай бұрын
Au black mamba alimdunga mana sumu yake kali dk 10 haupo je mwili upo wapi e mungu msimamie
@mwajabumsangi9885
@mwajabumsangi9885 4 ай бұрын
Mungu wewe ndo wajua huyu mtoto alipo uwe mlinzi
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН