BARAKA ZA MAMA EP 16

  Рет қаралды 49,342

SAYUKI TV

SAYUKI TV

Күн бұрын

#kicheche #clam #stevemweusi #kingwendu #mtangacomedy #bambocomedy #kuchekesha #wasafi.
if you find any error in our published content please take a minute to tell us we will resolve it at the earliest.

Пікірлер: 208
@taqiyyamwijage3324
@taqiyyamwijage3324 25 күн бұрын
Sio vizuri kuchanganya vazi la hijabu kwenye mambo haya mtasababish wasio waislamu kutudharau cjapenda kabsaaaaa
@bishunuahmed6191
@bishunuahmed6191 26 күн бұрын
Mm sijapenda vazi la hijabu kutumika vibaya, unadhani jamii wataelewa vipi kuhusu vazi hili la heshima la waislaam kutumika vibaya itaonekana kama waislamu ni watu wabaya.
@Official83640
@Official83640 26 күн бұрын
Hilo vazi ndy linatumika kwenye wizi km hujui ukitaka kujua nenda mahospitalini hasa Muhimbili watu wanalizwa cm utasema sio wao ule msikiti wa Muhimbili ndy chimbo lao ukisema naswali na waislam wenzangu kumbe pochi yako weka shingoni mama yng kalizwa mule mule msikitini anasujudu mtu kapita na pochi kasepa vazi ndy hilo na pale munchwar kwenye kukaa kusubiri kuaga kuweni makini vazi la stara lilikuwa zamani sasa ndy lakufanyia uhalifu
@user-eo2nw3mh2r
@user-eo2nw3mh2r 26 күн бұрын
Bora hawa wanaigizia uku tanga na dini yao yote lakini wanaibia watoto
@FatmaMusaifa
@FatmaMusaifa 26 күн бұрын
Nikweli kabisa
@zawadiabdallah8342
@zawadiabdallah8342 26 күн бұрын
Kweli kabisa hata mm sijapenda
@user-en9qq1cy9x
@user-en9qq1cy9x 26 күн бұрын
Ndiyo hapo wamekosea
@aishaomar9621
@aishaomar9621 26 күн бұрын
Mbona mwatumia vazi la kiilsamu vibaya hapa mjirekebishe 😢zuu we mbaya sna😢 alafu anaekata kutekwa n bahati jamani 😢Mungu amnusuru kwa hili 🙏
@RajabCharo-jl9ue
@RajabCharo-jl9ue 26 күн бұрын
Enyi mnao cheza Sanaa ya kuigiza angalieni mavazi msitumie hijab vibaya
@FatmaMusaifa
@FatmaMusaifa 26 күн бұрын
@@RajabCharo-jl9ue kiukweli yaleo imeboa sehem zote
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz 26 күн бұрын
Huyu mwanammke mchawi kweli ht kwenye maisha ya kawaida
@EdnaJohn-c5x
@EdnaJohn-c5x 26 күн бұрын
Mm nim kristo ira kwenye ilo vazi amja lite ndea aki ubunifu zilo apo
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 23 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team kapipi
@zuhuraabdallah2124
@zuhuraabdallah2124 26 күн бұрын
zuu mpaka macho yako yanaonekanwa ni makali yanatisha isiwe mchawi kwelii mbona unaendana nao
@RukiaKhamis-pu9zv
@RukiaKhamis-pu9zv 26 күн бұрын
Sijapenda kuvaa vaz la kiislam nakufanya mambo yasiyofaa kwa ajil ya kuchafua din yetu ya kiislam
@aishamuhammad7785
@aishamuhammad7785 26 күн бұрын
Ni washenzi tu hao
@user-lu1by6yp4t
@user-lu1by6yp4t 25 күн бұрын
Tena sana hatamie pia wamenikera kutumia vazi Hilo vibaya
@user-lu1by6yp4t
@user-lu1by6yp4t 25 күн бұрын
🙆 sijaipenda kuzalilisha vazi la kiislamu kufanjia mambo mabaya hapo mmefeli
@user-wm7gu8os2i
@user-wm7gu8os2i 25 күн бұрын
Mvi nyengine hazifudishi Zina potisha vizazi😢
@thamratysuleiman3053
@thamratysuleiman3053 25 күн бұрын
Tena wasirudie
@user-di5fc5td6y
@user-di5fc5td6y 23 күн бұрын
Mmekosea sana kutumia vaz la kiislam kufanyia mamb ya ajabu muache bhna
@faridasaleh4982
@faridasaleh4982 25 күн бұрын
Mnatuharibia vazi letu mnamaanisha nn
@bas2823
@bas2823 26 күн бұрын
AUDHU BI LLAH" MINA SHAETTAN RAJEEM😢"
@msokole5050
@msokole5050 26 күн бұрын
Wa 9 Leo naomben like zangu na mm
@user-cr4wv7ic9c
@user-cr4wv7ic9c 26 күн бұрын
Kwahy mnatak kuniambia majambaz wote hupendelea nguo hiz au kiukwel mmetudhalilisha waislam
@BensonLukas-pn3xh
@BensonLukas-pn3xh 25 күн бұрын
Yani Mii huyo dada kiukwel nime toka kumchukia kinoma noma yan
@aishaadam-xp7yl
@aishaadam-xp7yl 24 күн бұрын
Jaman bahat pole 😮
@user-vj4ig9yr8b
@user-vj4ig9yr8b 24 күн бұрын
Legeza bc sauti uwe kma mke bc zuu sauti gn hiyo Kam a wanaumewote khaaa😂
@AmnaAmna-l3u
@AmnaAmna-l3u 26 күн бұрын
Wakwanza leo nipen like 20
@ZainabuMussa-ni4qo
@ZainabuMussa-ni4qo 25 күн бұрын
Uu ni ushetani jamani
@user-fs2cf9ct2n
@user-fs2cf9ct2n 26 күн бұрын
Na umezidi kuroga dada mwanaume arogwi mdomo wako kauli yako na kumdikiliza mume nn anataka na sio ndumba dada weeeee puuuuu Kwa uchawi Noma
@user-xy5go4ks1z
@user-xy5go4ks1z 25 күн бұрын
Kwaiyo roho mbaya yauyo mkeo ukimununuliya gari satagonga watu ovyo
@user-uk1oc7xb4r
@user-uk1oc7xb4r 25 күн бұрын
Duh nimecherewa
@LightnessUrio-fo7mq
@LightnessUrio-fo7mq 26 күн бұрын
Kando na kucheza move huyu dada atakua ana roho mbaya sana maana uchawi uko kwa dam
@Khadijah-eq2oe
@Khadijah-eq2oe 25 күн бұрын
Ww pia umeona
@azinaabdallah5337
@azinaabdallah5337 26 күн бұрын
Sas mwakoseya bui bui na ninja ndiyo zakuuwa au au zakubaikiya jamani mwakoseya Sasa
@NicholausMziray
@NicholausMziray 25 күн бұрын
Ila da zuu unajua kuvaa uhalisia wako maana tunakusema vibaya unathani ni kweli mimi nilikuwa Skupend ila saiv nakupenda Sana❤
@user-fs2cf9ct2n
@user-fs2cf9ct2n 26 күн бұрын
Hii muvie ni mzuri ila zuuu eeeeee punguza tabia mbaya dada kama aujazaliwa jmn puuuuuu
@MboniSendekwa
@MboniSendekwa 25 күн бұрын
Tena apo mnakosea jamani seehemu iyo ilekebisheni msitumie ilo vazi
@SAYUKI513
@SAYUKI513 25 күн бұрын
Sawa
@SmartTz-y5z
@SmartTz-y5z 22 күн бұрын
Nyiee niwakiristo ndomana muna chafuwa ijabu Nani haro wbiya irovazi rinatumika katika maovu iro rinatumika katikamematu nsibada naorewenu rienderehe
@ElizabethJackobo
@ElizabethJackobo 15 күн бұрын
Eeuyu dada sauti ngum sula ngum loho ngum
@user-cr4wv7ic9c
@user-cr4wv7ic9c 26 күн бұрын
Wangp hatujaielewa hii movie
@SAYUKI513
@SAYUKI513 26 күн бұрын
Endelea kuangalia utaelewa
@SAYUKI513
@SAYUKI513 26 күн бұрын
Epsode 17 utaelewa
@KhadijaShabani-iv4zl
@KhadijaShabani-iv4zl 25 күн бұрын
Amina mashaallah
@mahramarswad6041
@mahramarswad6041 25 күн бұрын
Dah inaskitisha maskin bahati wanezungukwa na madui tunawapenda from uk 🇬🇧
@user-st3wo7qi2v
@user-st3wo7qi2v 25 күн бұрын
Zuu wisho waubaya aibu litakukuta jambo
@patridabernard9148
@patridabernard9148 26 күн бұрын
Yaan mwanamke mbaya kuulazimisha upendo Kwa ulozi kaaa!!!! Namchukia had bas
@SAYUKI513
@SAYUKI513 26 күн бұрын
TUENDELEE KUFUATILIA SAYUKITV KWA SUBSCRIBE, LIKE,COMMENT AND SHARE USISAHAU KUWASHA BATANI YA TAARIFA ILI UWE WA KWANZA KUPATA TAARIFA TUKIPANDISHA KAZI MPYA.
@bisalamahamisi550
@bisalamahamisi550 25 күн бұрын
Tamthilia ni nzuri kwa malengi mema. Kuna kipande ambacho kuna vazi dini ya kiislam lilivyotumika linahitaji marekebisho kwa sababu: 1. Utukufu Wa vazi lenyewe kwa mujibu Wa dini ya waislam na maelekezo ya kitabu chao. 2.tafsiri ya lilivyotumika katika kipande cha tamthilia hii. 3.kuna uwezekano kupoteza mashabiki au wafutiliaji hasa waumini Wa mavazi hayo. 4.kuwaharibia soko katika filamu zenu.
@minduchudi9121
@minduchudi9121 25 күн бұрын
Ss huy bahat kafanya nn mpk wamteke mnaharibu mchezo
@BoniphanceChitulo
@BoniphanceChitulo 25 күн бұрын
Apo mmefeli sana mambo yakutekan tena aaa so kwel. Vip mama na mtoto walio potea Kwa mazingira ya kutatanisha
@elizamwacha7458
@elizamwacha7458 25 күн бұрын
Mnaharibu kwa kutekana. Hata havihusiani. Bahati hana hela ni housegirl, hana hata ndugu wa damu mwenye hela. Sasa siwaelewi
@SAYUKI513
@SAYUKI513 25 күн бұрын
Angalia Ep 17 utaelewa
@jacklinejohnkombe1617
@jacklinejohnkombe1617 26 күн бұрын
Huyu dada jamn mchaw huyo duh
@AymanAbdalla-s7j
@AymanAbdalla-s7j 24 күн бұрын
Kwa huyu hafai kupewa ata pipi
@w4058
@w4058 25 күн бұрын
Na sio vazi tu hata hizo tasbih kwenye gari haipendezi hapo
@w4058
@w4058 25 күн бұрын
Sijapenda huu mchezo umeanza vyengine unaelekea kwengine hauna raha tena ilikuwa uendele vile vile imekhusu nini na kutekewa watu director aaa
@user-en5sg8bs4p
@user-en5sg8bs4p 25 күн бұрын
Mumekoswa chakuigiza sa bahati anamakosa gani adi hatekwe
@SAYUKI513
@SAYUKI513 25 күн бұрын
Hii ni hadithi endelea kuangalia vipande vijavyo utaelewa
@valencelaswai7486
@valencelaswai7486 22 күн бұрын
Mbona uwalabuni watu wanavaa ijabu na wanajitoa mhanga na kuuwa mamia ya watu wengi duniani kwahiyo acheni watu wafanye kazi yao musiingize udini kwenye kazi ya watu
@SAYUKI513
@SAYUKI513 22 күн бұрын
Shukran kwa exposure nzur .
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w 26 күн бұрын
Ila kweli vazi la ijabu linatakiwa lieshimiwe cn kiukweli
@FatimaFatima-bx8ez
@FatimaFatima-bx8ez 25 күн бұрын
Kazi nzuri nawapenda ❤😢
@user-rg5im1ls4j
@user-rg5im1ls4j 25 күн бұрын
Masikini Bahati mungu akulinde utoke kwa mikono mibaya
@user-nh1pi8xq1d
@user-nh1pi8xq1d 25 күн бұрын
Ilo ndio linatumika sana kwenye mambo ya ovyo
@HappyDaudi-hl7rt
@HappyDaudi-hl7rt 24 күн бұрын
Kabisa Wala co uongo😢
@EmmanuelSamamba-z9h
@EmmanuelSamamba-z9h 24 күн бұрын
Sasa ndo utekaji gani huo mnazingua
@user-lu1by6yp4t
@user-lu1by6yp4t 25 күн бұрын
Surambaya👌 rohonbaya pia
@AgnessMasanja-m8j
@AgnessMasanja-m8j 25 күн бұрын
Sijapenda hata mimi kuigizia mavaz hayo kwaubaya
@minduchudi9121
@minduchudi9121 25 күн бұрын
Mchezo ovyoo mnauharibu
@user-ko6lg9tw6w
@user-ko6lg9tw6w 25 күн бұрын
Ww mdada ukome km ulivokoma kuwacha kunyonya siulikuw uvaye kinyago umeonae waisilamu Hilo vaz linatumika hvo leyo umenikera sn cjapenda 😮
@leahmunyiva4857
@leahmunyiva4857 26 күн бұрын
Aki huyu mchawi kabisa
@IdiSwalehe
@IdiSwalehe 25 күн бұрын
Yaani mafundisha watu kwamba hijabu ni vazi BAYA na huyu alovaa pingine sio muislam wa kweli
@BonideeNiyonkuru
@BonideeNiyonkuru 25 күн бұрын
Vazi ni vazi nyie washamba hapo ni kuigiza tu mbona mnajifanya watu wa Mungu sana kwani Mungu kaumba nguo au watu tokeni hapo
@RukiaKhamis-pu9zv
@RukiaKhamis-pu9zv 25 күн бұрын
Tena wakirudia tutawashitak
@SAYUKI513
@SAYUKI513 25 күн бұрын
Umeshawahi kuingia super market umevaa ijabu ? kama wanazui kwann wanasema uvue tumia akili hii ni sanaa je kutumia ijabu SAYUKI TV Ndo wa kwanza asijifanye mjuaji fanya utafiti halafu uje na hoja hapa na sio haja.
@MahaSaeed-hf3gs
@MahaSaeed-hf3gs 25 күн бұрын
Move inafundishs sana duuh godbless you
@AhmadAlly-q4z
@AhmadAlly-q4z 24 күн бұрын
Tuwe tunaheshim mavaz ya watu lkb
@AhmadAlly-q4z
@AhmadAlly-q4z 24 күн бұрын
Tuwe tunaheshim mavaz ya watu lkn
@zenamtembezi4921
@zenamtembezi4921 25 күн бұрын
Wamwisho nipeni like zenu😊
@MwanaDimas
@MwanaDimas 25 күн бұрын
Kabs huyo dd mwang
@StellaKugomwa
@StellaKugomwa 25 күн бұрын
Mmmh mbona sijajua kinachoendelea juu ya bahati
@SAYUKI513
@SAYUKI513 25 күн бұрын
Utakua epsode ya 17 endelea kuangalia
@RukiaKhamis-pu9zv
@RukiaKhamis-pu9zv 26 күн бұрын
Huyu dada atakuwa mchaw kwel
@challemartin
@challemartin 25 күн бұрын
Zuu ni jini wa mguu mmoja huyo
@taqiyyamwijage3324
@taqiyyamwijage3324 25 күн бұрын
Haki mmenikera
@SAYUKI513
@SAYUKI513 25 күн бұрын
Hutakiwi kukereka hii ni fasihi tu
@FloraGervans-xy5fk
@FloraGervans-xy5fk 26 күн бұрын
Hamuelewi kabisa
@hawaa2227
@hawaa2227 16 күн бұрын
Sijapenda hijab mlivyolitumia vibaya heshima yetu hiyo nyie vipi
@ZainabAbdullahZaza12
@ZainabAbdullahZaza12 25 күн бұрын
Hijabu inadhaliliswa naomba hili liangaliwe sana, mavazi ya kidini yasitumike kabisa kwenye maigizo iwe mavazi ya askof au masister au mautadh au maustadhat
@taqiyyamwijage3324
@taqiyyamwijage3324 25 күн бұрын
Hakika
@user-lu1by6yp4t
@user-lu1by6yp4t 25 күн бұрын
Nikweli kabisa liangaliwe nahili pia
@user-lu1by6yp4t
@user-lu1by6yp4t 25 күн бұрын
Nikweli kabisa
@MariaAgustinou
@MariaAgustinou 26 күн бұрын
Yaani nyinyi juuya iikaziyenu mshidwe na mlegee tuna mtukuza Mungu sishetani na matunguli yenu
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 25 күн бұрын
Kumbe mashabiki w Simba kazi yao kuokota wanawake😂😂😂😂😂 barabaran
@joycemaregesi18
@joycemaregesi18 25 күн бұрын
Sijaelewa kosa la bahati kutekwa ni nn😢
@SAYUKI513
@SAYUKI513 25 күн бұрын
Utaelewa epsode ijayo
@LovelyCows-dq2uv
@LovelyCows-dq2uv 25 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@merinazyd0532
@merinazyd0532 25 күн бұрын
Huyu dada hata kawaida mchawi sio move tu
@user-dq1lm2be2u
@user-dq1lm2be2u 26 күн бұрын
Mlianza vizuri mnakoendea hata siko
@SAYUKI513
@SAYUKI513 26 күн бұрын
Endelee kuangalia epsode ijayo utaelewa usihukumu kabla hujaelewa
@user-dq1lm2be2u
@user-dq1lm2be2u 26 күн бұрын
@@SAYUKI513 ok
@annamlay6192
@annamlay6192 26 күн бұрын
Mh yaani huyu mdada kweli mwanga
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 26 күн бұрын
Chezen.kawaida kwenye ujambaz bado.amjaweza
@user-kf1zo6ir3i
@user-kf1zo6ir3i 26 күн бұрын
Kwenye ujambazi mnachemsha aki
@PaulineNyamoita-ee1et
@PaulineNyamoita-ee1et 26 күн бұрын
Tabia mbaya,hawesi kuwacha uchawi.
@minduchudi9121
@minduchudi9121 25 күн бұрын
Ovyooo
@user-jn9br9kf5y
@user-jn9br9kf5y 25 күн бұрын
🙏🙏🙏❤️❤️🇧🇮🇧🇮
@methodpeter-l8x
@methodpeter-l8x 26 күн бұрын
Wewe yalyokukuta na mmeo na mi yamenikuta nichek in bobo tuyajenge
@VeronikaEmanuel-yq3ss
@VeronikaEmanuel-yq3ss 26 күн бұрын
Huyo dada hafai hata kidogo mh
@Khadijah-p8v
@Khadijah-p8v 26 күн бұрын
Wajua mwanamke mzuri kweli ww kaka jamani huyo mwanamke si ni zaidi ya jini
@user-rs6ue5pg7d
@user-rs6ue5pg7d 25 күн бұрын
😢😢😢😢😢sijaoenda hiyo staili yenu iv munajua thaman ya hilo vaz
@user-if8yg9sl4i
@user-if8yg9sl4i 25 күн бұрын
Mbona kudhalilisha vazi la stara ya dini kutumika kwa ujambazi huu ni kudhalilishaji mkubwa sn tafadhali SAYUKI TV mulirekebishe hili kabla wakuu wa dini kuliingilia.
@BensonLukas-pn3xh
@BensonLukas-pn3xh 25 күн бұрын
Yani huyu dada ata kuwa mwanga kiukweli Yan ana kera kinoma
@taqiyyamwijage3324
@taqiyyamwijage3324 25 күн бұрын
Mnahisi sisi tunao vaa haya mavazi ya kiislam wanatutafsiri vp wanao tizama tamthilia hii?jirekebisheni bwana
@VeronicaKasanzu
@VeronicaKasanzu 25 күн бұрын
Jaman kunawengine kweli wanayafanya mambo mabaya kwa kutumia hayo mavazi ,kukaba watu kuuwa watu na kujifanya mwanamke kumbe si mwanamke
@Riziki-s1y
@Riziki-s1y 25 күн бұрын
Hili igizo ni zuri ila mavazi kwanini hijabu ivaliwe sehemu ambayo sio yakwake? Tunalaani hilo
@user-sc5gt6gs3s
@user-sc5gt6gs3s 26 күн бұрын
Qca afukize ubani maana ilo kwapa. Ndani yanyumba. Linasambaratisha 😂😂
@user-uq8ey8bz3t
@user-uq8ey8bz3t 24 күн бұрын
😂😂😂😂weeee kumbe umeliona Ilo kwapa
@user-sc5gt6gs3s
@user-sc5gt6gs3s 24 күн бұрын
@@user-uq8ey8bz3t lina tisha undungu wangu. 🤣🤣
@swalehehashim1568
@swalehehashim1568 26 күн бұрын
Wapuuzi kweny Hijab tena
@augustinesombi6285
@augustinesombi6285 25 күн бұрын
Sijaelewa episode ya leo
@SAYUKI513
@SAYUKI513 25 күн бұрын
17 utaelewa vema
@saidmohd2491
@saidmohd2491 26 күн бұрын
Uisalm haufundishi ujambaz
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 26 күн бұрын
Hyo kwapa vp huyu binti, mwny roho mbaya
@MadamOrida
@MadamOrida 26 күн бұрын
Jamanii bahati kafanyajee tenaa😢
@jedenecosta
@jedenecosta 26 күн бұрын
Yuu Mwana mke Niyeye Anajikosea Sababu Ya.uchawi Yake
@MaulidMalik-ej6nc
@MaulidMalik-ej6nc 26 күн бұрын
Halaf kwann amevaa mavaz ya kiislam maana wanovaa hivyo ni majambaz kwa kweli sjapenda
@WINFRIDAWANUSA
@WINFRIDAWANUSA 26 күн бұрын
Story nyingi sana punguzeni itapendeza
@MariaFransis-g6l
@MariaFransis-g6l 26 күн бұрын
Hapo wanataka wakamteke bahati
@hamisimwagarashi9501
@hamisimwagarashi9501 25 күн бұрын
Vazi hili hutumika vibaya kwingi na niombe tunao fanya hivyo tuache....maana ni makuruu.
@user-qv8zq3fy7f
@user-qv8zq3fy7f 26 күн бұрын
Hzi dawa sidhan km zitfaulu umeumbuka mdaaa unpnda shirk wwww utakuf vby
@matatomlik1846
@matatomlik1846 26 күн бұрын
Huyu mwanamke dòmo kubwa kama uchawi wake nyoka huyu
BARAKA ZA MAMA EP 17
20:46
SAYUKI TV
Рет қаралды 47 М.
KILLAMAN PART 568:MY HEART 447:HAKOMEJE gushya
50:24
KILLAMAN EMPIRE
Рет қаралды 13 М.
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 1,7 МЛН
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 44 МЛН
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
PAPA SAVA EP1085:NYEREKA NYASHI!BY NIYITEGEKA Gratien(Rwandan Comedy)
39:20
Niyitegeka Gratien
Рет қаралды 74 М.
DESTINY | PART 05 | Full Episode ♥️ | Dubu tz
1:03
PHILIP RAITU tv
Рет қаралды 10 М.
MKOBA WA MAMA  Episode| 1 |
22:24
TANU PLUS+
Рет қаралды 295 М.
BARAKA ZA MAMA EP 26
25:57
SAYUKI TV
Рет қаралды 24 М.
MAMA ALIVYOHARIBU NDOA YA MWANAE TAZAMA KILICHOTOKEA MBELENI
33:32
MKOBA WA BIBI |ep 1#clamvevo #kipalavevo #kakoso #mwakatobe #mwinyimkuu
20:58
Malaika episode 1
16:19
Poyaga Lucy n You
Рет қаралды 18 М.
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💕💕 NA WAKE WENZA PART 1-5 love story
1:00:14
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 1,7 МЛН