Wewe ndiye Jemadari wa siasa Baadhi ya Wanasiasa ni walevi wa madaraka ASANTE Dr Bashiru
@sophiaabeid60243 жыл бұрын
Uko wapi sasa.msiwemnaongea.mnamaliza maneno.
@philipkomba5525 Жыл бұрын
😀😀 na baadae akateuliwa ukatibu mkuu kiongozi lkn hakuukataa
@jeffcash54375 жыл бұрын
Safiii kamanda
@paschalmakondo31635 жыл бұрын
Namfananisha na nyerere
@ameniameni6173 жыл бұрын
Uongo dhambi yaani
@petershokolo98943 жыл бұрын
Mbona sasa umeteuliwa ubunge umekubali tonge linamambo kweli 🤣🤣🤣🤣
@abdul27803 жыл бұрын
HIT MAN WA MAGUFULI.NI BORA SASA UPUMZIKE WATU WAKU SHUGHULIKIWA RAIS SAMIA HANA. LAKIN TUNAJUA ULIKUA UKIFANYA NINI.ALLAH ANAKUNGOJA.
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Hahahaaa,,,,,ni mapema mno ndugu Bashiru!!!!!!!!
@michaelmugashe59632 жыл бұрын
vp saiv alikataa ubunge wa kuteuliwa?! Je alikataa katibu mkuu kiongozi? aisee
@eddybayzor50725 жыл бұрын
Safi sana baba
@seifmassoud26863 жыл бұрын
Kiongozi akiwa hana agenda ya kuongelea huwaga anaropokwa tu hahahaha
@idifonceshizle5 жыл бұрын
Safi
@labanbishirabandi37403 жыл бұрын
Hili ni linafiki hakuna mzalendo hapo
@hajihassan54335 жыл бұрын
Hilo sio sawa, kuwa Katibu Mkuu wa CCM kama chama tawala ni cheo kikubwa zaidi kuliko Waziri Mkuu, hakuna tena nafasi ya uteuzi inayomfaa labda aombe Urais wa Nchi. Katibu Mkuu wa CCM ni Mkuu wa Watumishi wote wa Serikali isipokuwa Rais tu ambae ni Mkuu wa Serikali, Nchi na Amiri Jeshi Mkuu. Naomba UIANGALIE Zanzibar katika utekelezaji wa majukumu yako. Kwa kutotekelezwa makubaliano ya Muungano CCM wa Zanzibar tunapata shida sana kukinadi chama chetu baadhi ya mambo yanayoelezwa na wapinzani wetu kuna asilimia fulani ya UKWELI.
@peterchibukumakomeo30313 жыл бұрын
Jamani mie hii CCM imenitia maradhi, imefikia kitu chochote chenye hizi rangi za ccm miye huwa nakitilia mashaka, huwaga najitahidi kujizungumzisha lakini haisaidii, na hii inafanya maisha kuwa ngumu, hata kama wala sipo tena huko Bongo karibu miaka 30 kwa sasa.
@godfreymbwambo44605 жыл бұрын
UTABAKI KUWA JUU, BABA!!! AINA HII NDIYO YA VIONGOZI NDIYO TUNAOWAKOSA KTK MIAKA HII, BADALA YA YAKE NI VIONGOZI UNAONA WATU KAMA WAKINA MBOWE WAKIJIMILIKISHA MALI ZA VYAMA MA KUBAKI MADARAKANI MUDA WOTE!!
@lugelosanga57983 жыл бұрын
2025
@eutychusthiongo13353 жыл бұрын
Dr Bashiru atakuwa Rais ndani ya miaka 10 ijayo
@richardsoka24003 жыл бұрын
Keshakiuka ahadi yake hiyo! Mdomo huumba!!!
@justinewaziri70825 жыл бұрын
aise. huyu kiongozi atabak kuwa juu. tuna imani na ww katibu
@mwanaidizumo63643 жыл бұрын
M
@akwanzamtenga21745 жыл бұрын
Ngonjera anamdanganya nani? Eti huo ndiyo utamaduni wa CCM. Ebo
wenye akili wamemuelewa! "Tumikia nafasi uliyonayo kwa weledi bila kuwaza kwamba nafanya ili nije nipate madaraka ya juu, ukitumikia vema ulipo sifa zako zitakubeba"
@gbbuku47145 жыл бұрын
Aisee katibu Umeziba pengo mpaka imekua ova halijawah kung'oka
@akwanzamtenga21745 жыл бұрын
Bashite je? Utamaduni wa CCM?
@raphaelsamwel26405 жыл бұрын
Utamaduni wa ccm? Mwongo!!!
@kijanaabdu77325 жыл бұрын
Kwa nini huyu jamaa anasema maneno haya?
@mamamunira2365 жыл бұрын
Kijana Abdu kashaona ngoma ngumu
@eddokasanga63385 жыл бұрын
Unamaanisha au ?????
@godfreymbwambo44605 жыл бұрын
KAMUULIZE MEMBE ANA MAANA GANI, NAFIKIRI YEYE ATAKUWA ANAELEWA ZAIDI! MAANA HABARI ZA WATU KUWA NA MIKIA MIFUPI MEMBE ANAZIELEWA ZAIDI.