Makofi kwako kaka💚💛💚💛 nimekuelewa ila tunafelishwa sana,💚💛💚💛💚🥎🙏🙏
@Khajiadamseif13 күн бұрын
Kingoz nimekuelewa sana tena hko sahii kabsa.
@charleskuyeko440014 күн бұрын
Ukisikia shabiki anaanza kuilaumu Tff ati inapendelea Simba ujue huyo ni mpumbavu sana hata kama kasoma. Angalia Kyoko alivyowafanyia Simba against Yanga. Na hiyo nayo unaisemaje. Unashindwa kujua mlikojikwaa. Mtaendelea kulialia kama hamondoi waxee waliochoka. Na kwa upumbavu wenu ati mkasajili magarasa waliotemwa Simba ati kuikomoa Simba kumbe munajikomoa wenyewe. Eng. Herse naye ni jipu.
@wilsonmalosha333713 күн бұрын
Mpumbavu mkubwa ni ww usiyejitambua, kamwe huwezi kugeneralise vitu. Uwe specific unapoeleza kitu maana inaonesha uelewa wako mdogo. Pia, ni Shabiki Maandazi tu ambaye hawezi kutambua kuwa KOLO ni Mtoto anayebebwa na Mamlaka za Soka. Viongozi Wakuu wa hizo Mamlaka ni KOLO na wanatumia kila njia kuwabeba. Hao Viongozi Kolo wanajulikana bayana na yote wafanyayo ni bayana kupitia Waamuzi, upangaji wa ratiba na hujuma zingine kupitia Taasisi zao.
@VLADDYNDANZI9 күн бұрын
Huo ndo ukweli na hao watu wakiendelea huko TFF mtaniambia hasa huyo Msomali, Kidau, Mgoyi na yule Mwenyekiti wa kamati ya marefa hilo ndo kundi linaloiua Young-Africans
@TajiriPoti14 күн бұрын
Mwezi wa tatu nakunyoosha nyoko
@MarySemainda-l3z6 күн бұрын
Kweli watu walio vunja viti wameleta Hasara kubwa kwa Club. Wachukuliwe Hatua
@JosephMaganga-lz7ee13 күн бұрын
Mzee uko vzr, wasiowaelewa ndyo hawatakuelewa,ss waelewa tumekuelewa sn,
@ALLYMEMBE13 күн бұрын
sawa kbisa mzee ngulinga umetukuna sana
@AlfredBowa-b8r10 күн бұрын
Makalio wa tff amejaa undunduka sana anacheza na marefa ang'olewe
@ShabaniJuma-u4e8 күн бұрын
Wanaturoga ao simba
@happysanga68469 күн бұрын
Kiongozi wa tff ni mwanasimba nimoja kati yawanao sema yanga akishinda ata vunja kekodi kiukweli hatuna msaada ni mungu tu atatusaidia💚🥎💛
sasa tatizo wachezaji au kiongozi wa tff mbona ueleweki
@JonasAthanas-m5n13 күн бұрын
Wengine akili finyu hasa.makolo.unaposema kukomoa yanga inakomoaje wakati uliwaacha mke ukimuacha akiolewa unasema aliyeoa kakumoa kumbe mmekuwa sitaki nataka
@CarlosRule-p6v12 күн бұрын
Kayoko fc inauma eeeh mkuki kwa nguluwe kwabinadam mchungu 😂
@JonasAthanas-m5n13 күн бұрын
Nyie makolo hamna timu ya kuifunga yanga pigeni kelele mkipigwa mtasema mmejifuna mara mnabebwa
@mohammedmdangwe205614 күн бұрын
Huyu jamaa point sana wanayanga mujirtafakari yanga mnakoekeya siko
@josephmpagike248114 күн бұрын
Huyu Mzee kachananyikiwa na yanga mechi2 mlizopoteza ndizo zilizowagalimu siyo mechi na mc algear
@Shubbykm9 күн бұрын
Nakubaliana na wewe baba kwa Chama kutotumika kiasi cha kutosha.
@Shubbykm9 күн бұрын
Kupoteza kwa MC ALGER kuna shida iliyotokea upepo mbaya ulipita, mambo ya kujifunza yapo. Kama ulivyosema baba. Yote kwa yote wachezaji wa yangu ni bora na uongozi ni bora Mungu atangulie katika mashindano yaliyobakia.
@HamisiMtengwa14 күн бұрын
Mzee ngulinga ww unajua uongozi kwani unachoo gea ni sahihi kabisa kwani kujifunza Kwa mwingine sio vibaya kwani hata kujifunza Kwa Simba sio vibaya
@AbdulkareemSalimu14 күн бұрын
sasa makosa yote hayo ujinga wenu wenyewe hio tiff anuhusikaje nyie wabovu mumeumia sana ubaya ubwela
Acha unafiki wee unataka umoja baada ya kufurushwa. Ulikuwa unashiriki kupokea mahasimu wa SSC hukuona
@jumakibasame321014 күн бұрын
Uko Sawa , kaka hili linafahamika, alifungiwa Haji baada ya kiongozi mkuu WA tff, kiambiwa ukweli anaihujum yanga. Kiongozi mkuu WA serikali ameubadili mchezo WA Simba na yanga toka SAA 10, 11,mpaka saa1mpira haukuchezwa. Waliotoa viingolio hawakurudishiwa, heti Tu wameogopa kufungwa mikia huuu ni upumbavu
@isayamlala307514 күн бұрын
Huyu Mzee aache upumbavu...Hakuna uhusiano WA Tff na matukio ya kutolewa Angalieni matatizo Yenu ya ndani...Tff timu zikifanya vizuri wap wanakuwa na nguvu zaidi CAF
@BoscoMsigwa-e9j13 күн бұрын
Tatizo GSM kwenye ligi mnabebwa Yanga na vile vilubu 7 msipo badirika msimu ujao makundi hamuendi
@HamisiMtengwa14 күн бұрын
Ukiendelea kuikomoa simba ndivyo utakavyozidi kufeli mwaka hadi mwaka kwani simba ni taifa kubwa na timu kubwa barani africa
@RashidRamadhanmkunda14 күн бұрын
Kama umezoea kutegemea kubebwa huko CAF hakuna mbeleko.
SISI KAMA SIMBA HATUTAKI UMOJA NA YANGA. KWENDENI KULE MKISHAFELI MNASEMA TUWE KITU KIMOJA. HAKUNA UMOJA HAPA. HUNA TIMU WACHEZAJI WAKO NI WAZEE
@philiposilasi213513 күн бұрын
Wewe nyamaza mzee pumba tu hizo
@DeoNsemwa-g1m14 күн бұрын
Siku zote hawa jamaa wakiferi lawama kwa rais wa Tff wanapofanikiwa raisi mzuri huyu sio mtu wampira nimiga kelele ,na manara alishatuambia idadi yawenye akili pale yanga
@abdallahshariff655514 күн бұрын
Mlikuwa mnaenda kupokea wageni airport wewe ilikuwa wapi usitowe hizo nasaha?Kila timu ibebe mzigo wake,hakuna utaifa kwenye club,Taifa stars ndio utaifa,wewe umia tuonane mwakani,Timu yenu mbovu ndio maana umekosa point 1,TFF ifanyeje,hii sio NBC
@awetumtengera114714 күн бұрын
Hata nyie makolo mlishawahi kupokea wageni hivyo hivyo kama mlivyo wapokea Hawa warabu safari hii fuatilia historia uko nyuma utaona. Ila saizi mpira wetu umekuwa tubadilike uzalendo kwanza ni sifa kwa Taifa letu tukufanya vizuri.
@MrishoMindu-zq7mz14 күн бұрын
Mwiko huo umeingia kwa msimu tu. Hivi wewe uko huko kijijini kwenu mfiraMbwa uswekeni huko. Ujue Simba kawa pokea waarabu. Walio kwenye lami wasi waone Simba wakipokea wageni. Uje kujua wewe unaye Shinda na Nyoka Porini huko?@@awetumtengera1147
@LilianBitwale14 күн бұрын
Huo ushenzi muliuanza nyie mkilipiziwa ndo mnajifanya kubeba mabango mxsiuuuuu
@yunusimchala656914 күн бұрын
Tutakuwa tunatafutana hii haileti Richards mzuri iPod cku wachezaji watakufa uwanjani maana kila mtu anaweza
@abdallahshariff655514 күн бұрын
@@awetumtengera1147 Simba ndio club iliyo kuwa ikicheza mashundano ya CAF,twende tukawapokee wageni gani,mmefika kikomo hatuendi tena kupokea wageni wenu😂😂😂😂
@amangeza962313 күн бұрын
Enjinia kakuelewa? Kwenye swala la usajili sipo pamoja nawe. Tunatakiwa kukemea usajili kabla ya matokeo mabaya. Kuhusu tff nakubali hata rage uko sahihi. Rage mpenda maendeleo ya nchi. Hata kipindi cha uongozi wake hakufanya upendeleo. Viongozi wa yanga wanatakiwa kujua kuwa wao ni watoto wa kufikia.
@mohayussuf205714 күн бұрын
Acha kusema watu wewe acha uongo wewe😊
@AminaJofrey-u8m14 күн бұрын
Huoni aibu unajiita Mzee unaongea vitu vya ajabu. Viongozi wa TFF ulitaka wasimamie wachezaji wako walevi? Wanaleweshwa na mbunge Msukuma usiku wa kuamkia mechi unatagrmea Nini?
@justineMbukwa13 күн бұрын
Mkuu nimekuelewa sana. Sisi hatuna uzelendo wa kujua team hizi zinapotuwalilisha kimataifa Nini maana yake kwa Kwa nchi? Elimu hiyo ni ngumu sana hata kuliko degree moja au hata PHD. Mtu anadiriki hata kusema anafurahi Simba au yangu kufeli kimataifa. Hata mwaka Jana watu wengine walifurahi kuona yangu ameporwa matokeo na mamelody sundowns. Hatari sana kwa taifa letu
@stellamhagama318613 күн бұрын
misingi hii ameipanda Yanga.
@davisbwatwa11514 күн бұрын
dah kuna kazi tff angalia hizo mechi alionapekee,eti refa alikuwa anwabeba simba kwanza hajajua alichotaka kuwasilisha
@kankukelly61411 күн бұрын
Huyu jamaa wa utopolo anaeongea hana kitu kichwani kabisa. Aliwahi kuongea Haji Manara kuhusu ufahamu wa viongozi wa utopolo. Huyu jamaa anaongea utumbo kabisa.
@danielelikana261514 күн бұрын
Nguringa bhana...eti the simba they kolify the robo fainol 5 time!! Daaah
@IddyyFumbwe14 күн бұрын
Kaka okra magiq hajasajiliwa kutoka simba, alitokea kwao akiwa bora lkn kwa bahati mbaya alipata majeraha, hapo ndipo alipopotea.
@AdamAhmad-j5g14 күн бұрын
Andaa timu acheni lawama,yanga mkifanya vizuri hakuna kiongozi yeyote anaelaumiwa,mkifanya vibaya Kwa uzembe wenu lawama zote Kwa karia,Mpira hauchezwi modomoni,Mpira ni kua natim Bora pia kuiandaa vyema
@YohanaJumanne-v3v14 күн бұрын
GSM kawaponza Yanga mechi xa ndani hawana ushindani zaidi ya Simba na Azam tu team nyingi ni Gsm hilo litazamenii mkipuuza kikombe mtaendelea kukinywea
@TatsonEfesi8 күн бұрын
Chunga sana ulimi wako,kama huna point bora unyamaze tu
@AllyKhamis-xr9cs14 күн бұрын
Acha ujinga huo mechi za yanga! Simba anazicheza San t, ile mech yanga asingeshindw kuingiz goli! Hak y mungu sik yanga akijenga uwanja wake mtamuona fainal pale
@charleskuyeko440014 күн бұрын
Unashindwa hata na Dosa anajua kujenga hoja ya kujua kinachowafelisha ni nini!! Wewe umekalia kusema Simba ndiyo inawafelisha. Jitathimini ubongo wako. Unajua uzembe upo kwa viongozi wenu halafu unatafuta mchawi wakati wachawi ni ninyi wenyewe. Vijana wenu wanakesha vilabuni mnategemea nini. Hoyo nayo ni Karia kasababisha? Pumbavu.
@josiahsinkamba13 күн бұрын
Kupokea timu pinzani Airport Simba ndiyo walianza
@Ahmed-l7k6y14 күн бұрын
Hawa uto ni kulalamika fc wamezoea ligi kupewa point za bure na dabi ya GSM wanataka huruma
@mussamwasongela246814 күн бұрын
Sasa mzee unataka tufanyeje 😊😊😊😅
@mohayussuf205714 күн бұрын
Utoporo mlikua mkipokea timu zinazocheza na simba mmesahau hii hatusahau mlitukosea mpaka viongozi wa yanga walikua mpaka wanavaa jazi kusaporti timu pizani
@bashirjama822514 күн бұрын
Wamezidiwa kiwango anachoongea blablatu
@Ahmed-l7k6y14 күн бұрын
Wanahisi wanavopewa point huku kwenye ligi sasa wanaona huku makundi hawapewi
@AbdulkareemSalimu14 күн бұрын
sasa makosa yote hayo ujinga wenu wenyewe hio tiff anuhusikaje
@binbadru840814 күн бұрын
Mlechi yenu na mc alger mlishindwa kufnga wenyewe kwa ubovu wa timu yenu,timu imekaa nyuma muda wote dk 90 mkashindwa kufunga,mnasingizia tff
@josephmpagike248114 күн бұрын
Hawa ndiyo yanga bwana washaanza kupoteana mbona tare8 Iko mbali sana
@mohammedmdangwe205614 күн бұрын
Viongozi wa yanga ni walimbukeni sana
@JonathanMgaiwa14 күн бұрын
Huyu mzee kenge sana. Mwambie gsm aanze kudhamini timu za CAF, kente wewe
@yusufufikiri500514 күн бұрын
ACHA UJINGA WEWE. USIWAONGOPEE WATU. KWA TAARIFA YAKO CHAMA, BALEKE, MKUDE WALIACHWA NA SIMBA BWEGE WEWE
@philiposilasi213513 күн бұрын
Huyu chizi
@HamisiMtengwa14 күн бұрын
Kwa upande wa kupendelewa hujasema kweli ww ukweli timu yako nidhaifu tu umesajili kwa kumkomoa simba ukiona mchezaji kaachwa nasimba uyo muache hakufai kwa ulimbukeni wako hukulijua hilo
@JonasAthanas-m5n13 күн бұрын
Inaelekea Makolo inawachoma Yanga kumchukua chama hivi chama nyie wa nini si ulisema mzee hata shabalala na kapombe ila yote mmesahau
@bashirjama822514 күн бұрын
Hakuna utaifa kwa watu walikua wanawapikea wageni
@TajiriPoti14 күн бұрын
Unajuwa mashabiki wa kolo ni matahaila yanga.abebwe kolo.atapakatwa kolo ame tolewa mara mbili taifa hatukupiga kelele ww bebwa kimataifa utakuwa ynaishia robo
@Samwel-y4d14 күн бұрын
Utopolo bwan nyiy wajinga kweli simba kutolewa lin makundi nyiy feliasi hmn timu pl simba kuishia robo sahau
@ernestkamata255514 күн бұрын
Huo ndo udogo wa timu😊
@BenikikoyosekiYacob14 күн бұрын
Hakuna uzalendo kwenye clabu ndiomaana mchezaji wa nnchi yoyote analuhusiwa kucheza Tanzania au nnchi yoyote hizo nihasila
@binbadru840814 күн бұрын
Wkt mwengine mie hua nashangaa nyie waandishi kuwahoji wajinga,mmesahau Jamal Malinzi alivyoifanyia Simba? Mmesahau tff ilivyowabeba mechi 10 zote Dar bila kutoka nje ya mkoa?
@christinawarioba822614 күн бұрын
Bangi hizi huyu mzee
@yusufufikiri500514 күн бұрын
MLICHOKOSEA NI KWAMBA HAMKWENDA NA REFA WENU KAYOKO
@christinawarioba822614 күн бұрын
We mzee Kuma bangi pombe zinakualibu
@ramadhanichubi913914 күн бұрын
Asilimia 80 upon kimpira baba,umeeleweka
@charleskuyeko440014 күн бұрын
Hayo unayoyasema ni kweli lakini yanga ndiyo wabaya zaidi. Waliwahi kuwa wanawapokea airport wapinzani wa Simba waje kutudhuru. Lakini Simba haijawahi kupokea wageni wa yanga. Tena miaka ya nyuma Simba waliwahi kuwapa yanga wachezaji wazuri ili wawasaidie. Yanga wana roho mbaya sana halafu wengi hawajaenda shule kama wewe. Kinachowaumiza yanga ni udhamini wa gsm kudhamini timu xaidi ya 6. Hizo timu haziwapi changamoto. Zinajiachia zifungwe na yanga. Kukosa tough team za kupambana nazo kwenye ligi kuna walemaza yanga. Mechi za Caf hazina lelemama mliyoizoea. Mtaendelea kufungwa tu. Mlipokuwa hamdhamini timu nyingi mlifika fainali.
@josiahsinkamba13 күн бұрын
We ni muongo kwani mo hakudhamini timu zaidi ya moja acha uongo kwani hizo zilizobaki kwa nini msizidhamini
@RudonongoR-ub9et14 күн бұрын
Mara 6 si 5
@Mariam99-ld4gw14 күн бұрын
Hata mm namini hivyo sio yanga kukosa matokeo wametaka hao viongozi tff tufeli ila limeisha hilo Tunashukuru
@Samwel-y4d14 күн бұрын
Kwahyo tff ndo walikuwa wanacheza utopolo nyiy kweli akili zenu ni zero
@TajiriPoti14 күн бұрын
Sema baba ni karia huyo
@TajiriPoti14 күн бұрын
Kolo kwenye rigi kabebwa mechi 9 matako
@bakanga141014 күн бұрын
mkundu kunuka ww
@bashirjama822514 күн бұрын
Caf hakuna kayoko
@Rajabu-m9q13 күн бұрын
Makolo Hamna.lolote
@ahmadkhamis232613 күн бұрын
Huyu Mzee ana ongea kweli kabisa hata mm nimemwelewa sana ni ukweli karia na kidau ndiyo wanawakwamisha yanga bila kutoka hao yanga hawatoboi ktk mpira wa nchi hii
@MjaryaToto13 күн бұрын
Pumbavu sana kwani tff ndo walicheza na waarabu
@christinawarioba822614 күн бұрын
Wilabu 8 vinaiyaribu timu yetu
@SULEIMAN-l8v14 күн бұрын
Chakujiuliza mna timu nzr kweli au nzr yakufikirika ,Simba amehusikaje ,tff wanaingiaje mbona mkiwa sawa hamuwasemi wala hamupongezi inaonesha mnataka mshinde kwa mbinu chafu mlizoeya Wajinga wakubwa ,mmesahau kuwa mshapewa mpk mdege bure mwaka jana tu .tafuteni kilichowakwamisha msilete sbb za kijinga
@JonasAthanas-m5n13 күн бұрын
Simba amna timu ya kuchukua kombe la shirikisho
@Kabelwamalogo-s6c14 күн бұрын
Chama amna kitu
@tintz315714 күн бұрын
Ama kweli akili ni nywele km Huna nywele akili unazitoa wapi
@mohayussuf205714 күн бұрын
Hujuo unachoongea
@binbadru840814 күн бұрын
Caf hakuna udhamini wa gsm
@awetumtengera114714 күн бұрын
Ila ligi kuu tumewadhamini mpaka makolo tunawafunga tunavotaka ni tawi letu
@christinawarioba822614 күн бұрын
Acha hizo wewe
@awetumtengera114714 күн бұрын
Hizi ni mbinu zilishatengenezwa toka kwa viongozi wakubwa kabisa , mbinu ya kwanza ilikuwa ni kuchezesha mechi kila baada ya siku mbili au tatu wachezaji waliumia halafu mbele tunaenda kucheza kimataifa . Tfff wanahusika sehemu kubwa.
@bakanga141014 күн бұрын
sindano hakuna ndo maana uto walilalamika kwa nn maafisa wa caf walikuja kusimamia mechi yao
@binbadru840814 күн бұрын
Hueleweki nini unaongea mara usajili wenu mmbovu mara tff kuna kiongozi anawaonea mara hivi mara vile kiufupi mmeumia sana kutolewa lkn mnazunguka zunguka tu