MTANZANIA ALIYE FUNGWA MIAKA 10 NCHINI IRAN ASIMULIA MAZITO / VIFO SINDANO YA SUMU /PART 1

  Рет қаралды 86,822

CLEFF MEDIA

CLEFF MEDIA

5 ай бұрын

Nili hukumiwa miaka 15 nkatolewa kwa msamaha, nilitumikia kifungo changu jela ndani ya miaka 10.
Mwenzangu tulivyo kuwa jela alichoma sindano ya sumu akafa, nimepitia mateso sana nchini iran sitokuja kusahau katika maisha yangu
#iran #jail #wafungwa #mateso
KUTAZAMA MUENDELEZO WA VIDEO HII GUSA LINK HAPO CHINI 👇👇👇👇👇👇👇👇
• MTANZANIA ALIYE FUNGWA...

Пікірлер: 241
@D_CLEFF_GOLDEN_VOICE
@D_CLEFF_GOLDEN_VOICE 5 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/m33Pl6OVosyFn80 👆👆👆👆 SEHEMU YA 2
@EsterbernardoVumo-kn2xv
@EsterbernardoVumo-kn2xv 5 ай бұрын
Pole Sana Kaka Yangu Na Mungu Akubariki.
@augustinomasigo268
@augustinomasigo268 23 күн бұрын
Hujui kuhoji kwa mpangilio mzee
@umfarooqjumbe1702
@umfarooqjumbe1702 5 ай бұрын
Duh jaman pole kaka' ingekua tz angetoka kesha zeeka
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 5 ай бұрын
Hii story mzuri Rakini Unababaika kuelezea vizuri mimi nimekamatwa tafutani border iran na Turk shukulu kutoka wairani sio watu wazuri 🙏👍✊🇹🇿🇬🇷
@MursalLusinde
@MursalLusinde 5 ай бұрын
Ana babaika coz aliye takiwa kumuongoza vzr ni mtangazaji lakini mtangazaji anamuacha asimulie yey kma yey ni vigumu kwa sabb hana uzoefu. Ila mtangazaji ukiwa unamuhoji hatua kwa hatua kuna wakati stori hta kma ilikua fupi lakini unajikuta inapatikana stori nyingine ya kuvutia bila kutegemea. Anaye kwambia ukweli ndo rafiki ili urekebishe anaye kusifia wakt unakosea huyo ni adui
@typhonesapali9054
@typhonesapali9054 5 ай бұрын
Nakubaliana na wewe huyu mtangazaji hana uzoefu wa kumhoji mtu
@Inukanaalmasipodcast
@Inukanaalmasipodcast 4 ай бұрын
Sio Mtangazaji tu ukweli mwingi unafichwa au anaona jau kuzungumza biashara alioendea,dhahaabu haitoki Iran kuja bongo hahhahaha
@Inukanaalmasipodcast
@Inukanaalmasipodcast 4 ай бұрын
Ila namkubali sana mwamba mpambanaji
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 4 ай бұрын
Mambo ya ngada😂anashindwa kunyoosha maelezo​@@Inukanaalmasipodcast
@fredricklumbala5299
@fredricklumbala5299 5 ай бұрын
Hujui kuhoji kabisa bro, kafanye training, huyu jamaa hatujui anaitwa nani, kesi haina maelezo maziri yaani kwa kifupi story haijitoshelezi
@venancebanda291
@venancebanda291 5 ай бұрын
Interview haijitoshelezi tunapoteza muda na mb kuisikiliza ovyo
@allanquality333
@allanquality333 5 ай бұрын
😂
@myself4128
@myself4128 5 ай бұрын
Serikali zetu za Africa Hazijali watu wao,ukishikwa Nje ubalozi wako unatakiwa ufahamu na wanatakiww wafuatilie kuhakikisha wanaitaarifu familia yako na pia Mfungwa ana haki zake,kuchomwa Sindano Ya Sumu sio Hukumu halali bali Unyama tu na wanatudharau sana washenzi hao
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 5 ай бұрын
Wewe uliyeenda nchi hiyo ndiyo unatakiwa uutafute Ubalozi ili wajue uko pale na Una-sign,ukienda kimipango huwa unajificha maana twajuana. Huyu jamaa kaongea mengi ila kaficha mengi..kipindi hicho kaenda kuna mfereji wa madawa ya heroin yanatoka Pakistan na Afghanistan,wanakaa nayo pale na kuangalia jinsi ya kuvusha,Iran ukitoka nayo na ukafika nchi uendayo hudhaniwi vibaya kwa sababu hayazalishwi Iran na sheria zao kali.Mchizi alienda kubeba pecking(kufungasha) na siyo kumeza(tank).Pia alikuwa na uelewa mdogo wa mambo kiasi hata hapo anashindwa kuelezea kuwa Iran wanafuata madhehebu ya Shia Ithnaasheri tofauti ya wao wanatoka kwenye Sunni ambayo hawapatani na Wanamfuata Hussein(mjukuu wa Muhamad kwa mdogo wake Seyyidna Ali aliyemuoa Mwanaye Fatma bint Muhamad na kuwazaa Hussein na Hassan..sasa Hussein alikufa kifo cha kuteswa na wapinzani (Sunn)i ndiyo sababu hiyo sehemu ya hijja yao huuita Mash-had(mashahidi) hivyo huenda pale huku wakijijeruhi ili watoke damu nyingi na ikitokea wanakufa basi peponi(jennah) ni mali yao...Na mshikaji huyu mpk anaondoka .ni wazi alishakuwa anatumia hizo dawa nina uhakika kabisa.Angeongea ukweli angesaidia watu juu ya adha aliyoipitia mfano kwenda kupandia ndege Kenya ni sababu tyr walijua Airport zetu wangewabana maswali lukuki na kuwabama wasingesafiri.Wale Airport ya kule mpk wanashituka kuona passport ya Tz ni kwamba walishawakamata kabla yao na Tz wanafuata U-Sunni...Mimi ni Mkristo ninapekea Dini mbalimbali na mitazamo yao kwetu.
@user-wu2er7go9j
@user-wu2er7go9j 4 ай бұрын
Wanawezaje kukupa ushirikiano ikiwa hawana taarifa zako? Ni jambo baya na ukatili ila ili upewe ushirikiano unapaswa kutoa taarifa katika Ubalozi wa nchini kwako ili ukipatwa na tatizo lolote waweze kuwa na taarifa zako
@user-ot1fy7ff4r
@user-ot1fy7ff4r 5 ай бұрын
Mimi nimeshikwa iran nimeka miaka miwili namiezi nane naongea kibiran kama nina hakili mbaya usiombe kaka kisha nchi ya watu una baba wala mama
@aboually2472
@aboually2472 4 ай бұрын
Aisee ulifnyaje
@alextercisio
@alextercisio 5 ай бұрын
Uliacha bibi akiwa na mimba 15yrs ago alafu ukarudi ukapata mtoi ako 8yrs ?? Wewe akili karukwa huelewi
@moseskinyanjui5838
@moseskinyanjui5838 5 ай бұрын
Jela miaka 15 ni Saba na nusu ako sawa
@georgeogutu4771
@georgeogutu4771 4 ай бұрын
Hawa waliende kwa biashara za magendo maneno yake hayaeleweki 😂😂😂😂
@saleemadhiyabalkhatri7800
@saleemadhiyabalkhatri7800 4 ай бұрын
Kaka yangu kweli dhahabu uifate inani siokwel8 ungesema kongo hapo sawa irani jamani irani inajulikana afughani stan pakistan meksico nchihizi zinajulikana bro sema kweli tu
@islammohamed9501
@islammohamed9501 4 ай бұрын
Kwli ajielewi
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 4 ай бұрын
Hi Story Kama Ni Tepu Inayoluka Luka Mwenye Kuoji Na Muojiwa Wote Mambumbumbu Kazaliwa Moro Imekuaje Mpaka Kusafili Na Wazo Ilo Alilipata Wapi Nakama Kwenda Kufanya Biashala Inamana Alikua Na Pesa Alifanya Kazi Gani Kupata Izo Pesa Nakama Kuzamia2 Atoe Ukweli Sitory Feki Hi Aina Cha Kujifunza Chochote
@kisanganyakiswanta1379
@kisanganyakiswanta1379 4 ай бұрын
Mzushi hata sijui anaongelea nini 😂
@africalumpu1166
@africalumpu1166 4 ай бұрын
Ngada walikuletea sio unajua ukitaka kutoa stori yako kuwa muwazi ili watu wakuelewe sio unaajing'atang'ata haueleweki unachokiongelea.
@user-me6yt2cx4g
@user-me6yt2cx4g 4 ай бұрын
Hakuna ukweli hapo kwenye kosa nahis ni madawa ya kulevya hapo
@jesusislord9190
@jesusislord9190 5 ай бұрын
Nyinyi mnao wafagilia waarabu walimchoma sindano ya sumu
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 5 ай бұрын
Hapana hao walifanya maovu Mimi naishihuku naijua irani sana. Nitaifa lenye nidhamu sana
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 5 ай бұрын
Ila yeye Ndio alifanyakosa kubwa ndiomaana kujieleza anashindwaa
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 5 ай бұрын
hao wote madawa tu halafu unakwenda katika nchi ambayo unajuwa sheria zake hawachukui rushwa unategemea nini
@maulidimpili698
@maulidimpili698 5 ай бұрын
Mbona usemi sheria za China au Korea kaskszini ukikamatwa na makosa kama hayo
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 5 ай бұрын
Wewe sema tu ukweli kuwa ni mbeba ngada
@funnuelmwalukasa4506
@funnuelmwalukasa4506 5 ай бұрын
Pumbavu jamaaa lenyewe Teja ujinga mtupu hamna point hapo
@castorymwalongo5122
@castorymwalongo5122 5 ай бұрын
X😂😂 halafu jongo
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 5 ай бұрын
Mtanzania eti unaenda kuishi Iran wakati kila siku unasikia Nyonganyonga ya Watu hasa Vijana wasio na hatia. Kuweni vijana kuweni makini mnapoamua kwenda nje Nchi kutafuta maisha😮😮
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc 4 ай бұрын
Maisha mazuri yapo Tanzania.
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 5 ай бұрын
Pole sanaa mwenyezi mungu awafanyie wepesi kule anakufa wewe ulikuwa na mungu kunyongwa kawaida sanaa
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 5 ай бұрын
Yaani Mungu atusaidie na ndg/vizazi vyetu,maelezo ya huyu kk HAYANA UKWELI KABISA na alichoendea huko Iran,unacngizia DINI,wkt c kweli,haihitaji usomi,huyo alienda na yake na akavuna alichofata.
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 5 ай бұрын
Kweli
@daudkhatib-qn5tr
@daudkhatib-qn5tr 5 ай бұрын
Uyoo jamaa anaonesha ni muuza madawa ya kulevyaa tu hajuwi hata kujibu anachoulizwaa
@zuberiyahya6090
@zuberiyahya6090 5 ай бұрын
Ndugu yangu siunajua maisha ya jelatena
@laylayl5166
@laylayl5166 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Inukanaalmasipodcast
@Inukanaalmasipodcast 4 ай бұрын
Jiongeze
@georgeogutu4771
@georgeogutu4771 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@saleemadhiyabalkhatri7800
@saleemadhiyabalkhatri7800 4 ай бұрын
Kabisa sio dhahabu halafu vipi ufiche kaona aibu kusema ukweli irani ufate dhahabu huko machimbo ya madawa irani inajulikana bhana hakuna cha almasi wala dhahabu
@user-jr6vq6rw3c
@user-jr6vq6rw3c 5 ай бұрын
Kwani kwanini usiseme ulikutwa na madawa ya kulevya? We unaacha dhahabu Tanzania ukaifate Irani?
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji 4 ай бұрын
Kweli voo
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 4 ай бұрын
Yes this is an illiterate man who was used to traffic drugs
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 4 ай бұрын
Kijana tafuta mtu wa maana wakuhoji ili upate content ya maana
@suleymanali431
@suleymanali431 4 ай бұрын
Vipi bro una oneka mic ina kuchokesha
@HarietDana-pb4iy
@HarietDana-pb4iy 5 ай бұрын
Hata hizi picha zilizo hapa zachela siyeye MTU mwenye ametiwa Pingu uko natatuu
@Painterkurwa
@Painterkurwa 5 ай бұрын
Hii stori imenigusa sana pole sana kaka
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 5 ай бұрын
Hamna mwandishi hapo na huyu ni muongo kwanza hatuelezi pesa walipata wapi
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 5 ай бұрын
Wauza ngada hawa
@nassoramour8598
@nassoramour8598 4 ай бұрын
Dhahabu Iran? Braza, sikupingi ila Iran ni route kubwa sana ya madawa kutoka Pakistan! Wa Pakistan kila siku wanafungwa kwa kupitisha madawa border ya Iran! Naamini dhahabu unamaanisha madawa ya kulevya!
@HasirIX
@HasirIX 4 ай бұрын
Hao ni Mashia bhana 😁😁
@judithsimon7892
@judithsimon7892 5 ай бұрын
Story imewekwa password kama simu ya mchepuko huyu alikua kontena akadakwa
@shegiahuseinshegia9008
@shegiahuseinshegia9008 5 ай бұрын
Pole ndugu,,waase vijana wasithubutu kupeleka mihafarati kwenye nchi ya kiislam.
@revocatuspaulo6716
@revocatuspaulo6716 4 ай бұрын
Ndo wanaongoja kulamadwa makuma tyu hao lifia dini ww
@happynelson1136
@happynelson1136 4 ай бұрын
Ashukuru Mungu katoka mzima, huko iran watu wanahukumiwa kifo kwa makosa madogo hiyo nchi hata kwenda kutembea tu siwezi
@hamynas
@hamynas 4 ай бұрын
si kweli...kama umeenda kwa shughuli za kihalali hawana tatizo lolote na wewe ,,,ukileta mibangi yako na ukora wako kuua au kubaka watu na kubeba miunga yako kifo kitakuhusu na ni fair punishment
@user-sn2ef2qt8r
@user-sn2ef2qt8r 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂Kweli ndiyo kama una vielelezo yako yako maharuhu visa yako Aina Shida wala Akuna tatizo Sema ndo ivyo izi nchi maneno mengi lkn mbona tupo tunaishi tu kiroho Safi ✅🙏🙏​@@hamynas
@happynelson1136
@happynelson1136 4 ай бұрын
@@hamynas kuna watu wamenyongwa huko iran kisa kuandamana pia hiyo nchi haina haki za wanawake sababu wanawake wakitetea haki zao wanafungwa wanawake wengi wamefungwa jela kisa kutetea haki zao
@happynelson1136
@happynelson1136 4 ай бұрын
@@hamynas iran na uturuki inaongoza mauaji ya wanawake mahusuano na ndoa zikiisha wanaume wanaua wenza wao wa zamani
@happynelson1136
@happynelson1136 4 ай бұрын
@@hamynas huko waandishi wanauliwa sana na waandishi sio waarifu, kuna mswid mmoja alienda kutembea iran walimkamata sasa hivi yuko gerezani eti walifikiri katumwa kuchunguza nchi yao na amehukumiwa kifungo cha kifo sasa hivi huko iran kuna waswid wawili wamehukumiwa kifungo cha kifo iran na Sweden haina ushirikiano ndiyo maana waswid huko iran wanakamatwa makusudi na kubambikiziwa kesi, mimi nikiwa naishi Sweden na ni raia wa Sweden siwezi kutembelea inchi ya iran
@MursalLusinde
@MursalLusinde 5 ай бұрын
Mtangazaji kwani ndo mara yako ya kwanza kufanya interview.? Story kma hizi mtu unaanzia kumuhoji kila kitu kuanzia wazo la kusafir alilitoa wap baada ya wazo aliuktana na nani na kwanin kilitokea nin mpka wakapanga safar.
@vicentmapunda3146
@vicentmapunda3146 5 ай бұрын
Mie ht mtqngazaj simuelew/mara tu baad ya kufk huko ilikuwqje!😅😅😅 aliendaje hatujui chochot token na interview
@yohanavenance1977
@yohanavenance1977 3 ай бұрын
Ndugu zao katika imani ila hawawatambui kabisa.
@thesethgenerationtv5630
@thesethgenerationtv5630 4 ай бұрын
Uongo huu aliingia je iran huyo mwenzake akiwa muadhirika....alipata visa vipi na zile nchi kuingia lazima medical
@castorymwalongo5122
@castorymwalongo5122 5 ай бұрын
Stor ya uongo kama hii ndo malakwanza kuskilza😮😮😮
@juliana26salvatory72
@juliana26salvatory72 5 ай бұрын
Sasa kwanini usikilize uwongo
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 5 ай бұрын
Tunao soma dini ndio tunawajua sana nawana tuaibisha sana kwa tabia zao chafu
@jesusislord9190
@jesusislord9190 5 ай бұрын
Waislam wanatudanganya ooo shia na sunn ni wamoja acheni uongo
@rosemarymwakitwange6257
@rosemarymwakitwange6257 5 ай бұрын
Hakukuwa na dhahabu ni Madawa hayo yaani uache dhahabu Tanzania ufuate Iran
@juliana26salvatory72
@juliana26salvatory72 5 ай бұрын
Hata Kama ni madawa we Ina kuusu nn akili Kama za kuku
@africalumpu1166
@africalumpu1166 4 ай бұрын
Hahahaha mla ngada huyu maana maelezo yake hayaeleweki
@Baba_levo
@Baba_levo 5 ай бұрын
Kuna nchi ukienda inabd uwe makini sana pole sana kaka
@Mpakauseme
@Mpakauseme 5 ай бұрын
Alibeba madawa huyo
@hujjatulasrsocietyoftanzan8420
@hujjatulasrsocietyoftanzan8420 5 ай бұрын
Eti huwezi chukuq dhahqbu za watu bila kibali maarum...😂😂😂😂
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 5 ай бұрын
Mtangazaji hajui kuhoji na msimulizaji hasemi ukweli ,,, sema alishikwa na usafirishaji wa madawa ya kulevya ,, Media nyingine ingemfata tupate ladha ya story yenyewe
@juliana26salvatory72
@juliana26salvatory72 5 ай бұрын
Sasa nyie ma kuku uwongo usinge sikilizia kuku ww
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 5 ай бұрын
@@juliana26salvatory72 Bata wahed nikalie kushoto
@thesethgenerationtv5630
@thesethgenerationtv5630 4 ай бұрын
Waaah ati wanaamini hakuna ukimwi na tena kama wanaamini ivo walimpima je
@D_CLEFF_GOLDEN_VOICE
@D_CLEFF_GOLDEN_VOICE 4 ай бұрын
Walimpima
@kyannickk2be
@kyannickk2be 5 ай бұрын
Directors wa Banged Up Abroad wakipata story yake tutapata documentary matata
@shamzone388
@shamzone388 5 ай бұрын
Kwa iran ni nchi iliyoshika dini sana….na hakuna nchi yoyote wanaopiga sindano ya sumu………sema mengine kwa hilo hakuna
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 5 ай бұрын
Mwongo wewe makafiri hao hawana dini wale
@ttss7716
@ttss7716 5 ай бұрын
Ukishikwa na madawa ya julevya ndo bala wengi washia 😢
@ImamshiraziMwidau
@ImamshiraziMwidau 4 ай бұрын
Bad bakti
@jeremiahmsemwa8323
@jeremiahmsemwa8323 5 ай бұрын
Interview haijaulizwa maswali mengi muhimu
@D_CLEFF_GOLDEN_VOICE
@D_CLEFF_GOLDEN_VOICE 5 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/m33Pl6OVosyFn80 👆👆👆👆 SEHEMU YA 2
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n 5 ай бұрын
Mashia ao..
@eliasray3212
@eliasray3212 5 ай бұрын
What is this country.....
@MgosoGwambasa
@MgosoGwambasa 5 ай бұрын
Mbona ajieleza haeleweki alifuata nini? Irani mtangazaji mnakula mb zetu
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
madawa tu hana jengine hasemi ukweli
@JuneJune-xf4pc
@JuneJune-xf4pc 5 ай бұрын
Madawa hayo mbona pont haipo hapo, mwandishi mwenyewe anazingua tuu😏😏😏
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
anajizima data ila tumemuelewa
@JuneJune-xf4pc
@JuneJune-xf4pc 5 ай бұрын
@@sabihaibrahim143 interview ya mchango hiyo anashindwa kumuhoji yaani upuuzi mtupu, hawana lolote wanajuana kwa vilemba ndomana mwandishi hatoboi maneno
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
@@JuneJune-xf4pc hahahahaaaa naona na miye sikuona faida hapo
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 4 ай бұрын
Huyu mbwana hanaelimu yoyote na anaficha alienda kufanya nini huko
@JumaKilipamwambu-kw2ln
@JumaKilipamwambu-kw2ln 5 ай бұрын
Mimi niko Zambia ilahapajilani
@bornfacechengah
@bornfacechengah 5 ай бұрын
Helo
@abdallahhamisi45
@abdallahhamisi45 4 ай бұрын
Dhahabu au madawa si aseme tu
@mwambaimara1950
@mwambaimara1950 5 ай бұрын
Watu wa dini dini gani hiyo? Unafanya maombi halafu unauawa ndio iimani gani hiyo?
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
ee dini ya kuuza unga mungu wake shetani
@user-vk7ly7nk3o
@user-vk7ly7nk3o 5 ай бұрын
Kifupi nimeelewa sana musioelewa basi nchi zakiarabu zote sheria nikari sana pole kaka jela haina mumoja
@mwenieliasa6517
@mwenieliasa6517 5 ай бұрын
Kweli kabisa yaani hizi nchi za kiarabu mtihani kwa kweli tunaomba mungu tu🙏turudi makwetu salama
@poulmbogo1770
@poulmbogo1770 5 ай бұрын
Jamaa hajui hata kuhoji irani alifata nini na kipi kilifany mpk akashikwa kuna sehem kasem kafata mzigo wake ni upe maswal muhim hauliz ovyo
@dm_hulsdv86
@dm_hulsdv86 4 ай бұрын
Kaka wewe hujui kusikilza jamaa si amesema amekwenda kama watu wadini
@dm_hulsdv86
@dm_hulsdv86 4 ай бұрын
Tujifunze kuapreciate tusiwe tunakosoa tuuu
@oyay2821
@oyay2821 4 ай бұрын
Husseni huyu wa Zanzibar?
@irenebarakelimnene4895
@irenebarakelimnene4895 5 ай бұрын
Umefungwa miaka 10 uliondoka ukamwacha mke ana mimba halafu ukamkuta mtoto miaka 8 mwe.kakanhiyo mwana sio wako
@owenog7390
@owenog7390 5 ай бұрын
😅😅😅😅, mi pia naskia kama story za jaba hizi..hazina hazinani...uongo
@user-um3ci6qs5p
@user-um3ci6qs5p 4 ай бұрын
Hatuaambii ukweli ila sisi tuna akili zetu huo ni unga alikamatwa nao
@aliyissa9857
@aliyissa9857 4 ай бұрын
Bhot achaye
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 5 ай бұрын
Huwa wanakuja namadawa ya kilevyiya na wakishikwa imekula kwao
@DCLEFF_GOLDEN_VOICE3
@DCLEFF_GOLDEN_VOICE3 5 ай бұрын
Masikini jamani huruma 😢 pole sana kaka angu
@rasjamal9854
@rasjamal9854 5 ай бұрын
Story mbona aileweki umefungwa kisa nini?
@fedricksanga7957
@fedricksanga7957 5 ай бұрын
Story za kutengeneza hizoo😂😂
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 5 ай бұрын
Ulifanya nini huko iran hata ukafungwa
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 5 ай бұрын
Mash-had amezikwa imam wa nane Ally bin musa Redhwa as.katika mfululizo wa maimamu wa kizazi cha bwana mtume swa na waumini wa dini ya kiislamu huenda kuzuru kaburi hilo.Hapo hussein as kaingiaje!
@TeamKRX
@TeamKRX 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@thomasluhumbika9606
@thomasluhumbika9606 4 ай бұрын
Mlitakiwa kujipanga kwanza ndo muirushe hewani. Story ni nzuri lakini haijulikani mwanzo wala mwisho.
@user-tm5ub6jv1v
@user-tm5ub6jv1v 4 ай бұрын
Hlo changa
@chrysanthushakaunga6560
@chrysanthushakaunga6560 5 ай бұрын
Mbona idadi ya watu gerezani alisema walikuwa 7 wakati kutaja ametaja watu 9?
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
anaficha
@AliAnswarabdul
@AliAnswarabdul 5 ай бұрын
Tama ilimpoza alitoka magetoni vibaya huyu
@ramadhanimgasu8616
@ramadhanimgasu8616 5 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@user-wl8uu4dw6n
@user-wl8uu4dw6n 5 ай бұрын
Pole Sana kaka mwombe mungu utatoka
@user-up2kg1wm9p
@user-up2kg1wm9p 5 ай бұрын
Wanajua tunachofata ndio mkalelekwahoteli yambali mchelewe. Wawakamate
@barikimoshi4443
@barikimoshi4443 5 ай бұрын
Sio I mean Nairobi, sema you mean Nairobi ndio ulipo ondokea? Cause sio wew liliye ondoka. But ni huyo unae mhoji.
@DCLEFF_GOLDEN_VOICE2
@DCLEFF_GOLDEN_VOICE2 5 ай бұрын
Inasikitisha sana pole kaka
@ttss7716
@ttss7716 5 ай бұрын
Ni kweli huko wakikukuta na ukimwi wanakudunga hiyo shindano ya kufa lakini saizi wanaelewa kiasi😢
@maulidimpili698
@maulidimpili698 5 ай бұрын
Magonjwa kama ukimwi yapo uku nch za kiafrika tu leo la wazungu kuja kuchukua mali zetu huku wakisema wanaleta misaada ila tunatakiwa tusome sana ili tujue ata vita sio makund ya kiislam ni mpango tu wa watu weupe hakuna dini inayotaka kuua bila sabab ona kwa Gaddafi walivyomuua wanateseka leo alitaka Africa tujitawale wenyew tutumie dola yetu
@jonathanmwanja3994
@jonathanmwanja3994 5 ай бұрын
Anaonekana kama baba wa aristote
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 5 ай бұрын
😂😂😂
@Ngufuboy
@Ngufuboy 5 ай бұрын
Pole Sana kakaangu
@kamole3
@kamole3 4 ай бұрын
Jamaa kuna mangi anaya ficha.
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 5 ай бұрын
Mbona huelezi ulikamatwa kwa kosa gani babu? Wairan ni watu bomba sana ,hawataki upumbavu.
@shaurisaidi7470
@shaurisaidi7470 4 ай бұрын
Kweli
@ShabaazHassan-vl2zp
@ShabaazHassan-vl2zp 5 ай бұрын
Unaongopa sio zahabu ni madawa ya kulevya
@user-iu4du7ws6s
@user-iu4du7ws6s 5 ай бұрын
Hakuna ukweli hapa
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 5 ай бұрын
Arabuni uku taxi wote ni askari kama mgeni tatizo
@maulidimpili698
@maulidimpili698 5 ай бұрын
Ukiwa raia mwema unaogopa askar kwann wakat ni usalama kwa raia
@HarietDana-pb4iy
@HarietDana-pb4iy 5 ай бұрын
Amechoma huyu eti anasema Mika 15 sasa Mika Kumi nabibi ulimuwacha namimba sasa ukimwi MTU anasifiri kweli
@khamisomary7428
@khamisomary7428 5 ай бұрын
Huyu jamaa ni muongo, kule unapokwenda kwa mambo ya dini yasni maelezo yako yataishia palepale airport
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 5 ай бұрын
Nlichokiendea nikaletewa "
@maulidimpili698
@maulidimpili698 5 ай бұрын
Anaonekana ni mtu wa madawa ya kulevyia alaf anadanganya dhahab wakat dhahab tz tunazo za kutosha unatoa dhahab Iran alaf unakuja kuuza tz inaingia akilini hiyo
@user-vb8ug7hp3q
@user-vb8ug7hp3q 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Sio poa
@user-op7vm9mr3z
@user-op7vm9mr3z 5 ай бұрын
Mtu mwenyewe hata kujieleza hajui mlienda kwa maswala ya dini aliyewapeleka ni nani mlifikia wapi mara unasemq ulichofuata wakakuletea ni kitu gani hicho ulifuata???
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 5 ай бұрын
A walikuwa wa mchongo u unaenda vio huko ulikosa nchi ya kwenda
@AllyZoroally
@AllyZoroally 4 ай бұрын
Kakamatwa na UNGA uyoo
@mrajani786
@mrajani786 5 ай бұрын
Cleff madia nyinyi waonga hii picha katika clip hiyosiyo ya jela ya iran hii bandera halafu mashahad hawasemi hussein hakuna mtu anakufa Huyu jama ametunga story
@D_CLEFF_GOLDEN_VOICE
@D_CLEFF_GOLDEN_VOICE 5 ай бұрын
Kiongozi hyo ni kava tu ya stor
@m404msigara7
@m404msigara7 5 ай бұрын
Ss picha ya bwana jera wa prison break inafanya nn apo
@giftkalenge418
@giftkalenge418 5 ай бұрын
Hela ulipata wapi Kwa matembezi hayo?
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
unga
@siasia5469
@siasia5469 5 ай бұрын
Gold ukaifuate Iran uilete Bongo!? 🐠Haya endelea kutupanga
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
zahabu ni unga
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 5 ай бұрын
😂😂😂
@rosemarymwakitwange6257
@rosemarymwakitwange6257 5 ай бұрын
Mwandishi takataka a aua story, yeye anachorukia ni huko majuu
@kyannickk2be
@kyannickk2be 5 ай бұрын
Japo sijasikiliza story based on comments
@Kabwela776
@Kabwela776 5 ай бұрын
Huyo alikamatwa na madawa ya kulevya alitaka kuyasafirisha kuja nayo Tanzania 🇹🇿 sio dhahabu kama anavyodanganya, madawa mengi ya kulevya iran 🇮🇷 yanatoka Afghanistan 🇦🇫 yanaingizwa Iran , alitaka aje nayo Tanzania 🇹🇿 na aliingia Iran kwa kufeki mambo ya dini . Ingekuwa sawa wangemnyonga na hata Tanzania hawa wafanyabiashara wa madawa ya kulevya wangekuwa wananyongwa!
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 5 ай бұрын
Uko vizuri ndugu mwandishi,siunajua hatakiwi kutoboa sir inabid ajifanye mentall
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 5 ай бұрын
Kweli ruti ya iran inajulikana ,mara nyingi inakuwa ni ya madawa ya kulevya
@Kabwela776
@Kabwela776 5 ай бұрын
@@khamisrubea5083 Na wanalima mlilimani Afghanistan opium Na Iran mateja kibao, Na ruti ya Iran ya miaka mingi sana wazungu wa unga wa mwanzoni ndio unga walikuwa wanautoa huko baadaye ikawa kuufuats unga Brazil Na India
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 5 ай бұрын
Kwanini uliondokea Nairobi wewe bingwa wa madawa inavyoonesha
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 35 МЛН
Binadamu mzee zaidi duniani anayepatikana Tanzania
27:20
Millard Ayo
Рет қаралды 420 М.
MFUNGWA MTANZANIA GEREZANI CHINA AMPIGIA SIMU MILLARD AYO
17:05
Millard Ayo
Рет қаралды 1,1 МЛН
'Nilishtuka na mwili kufa ganzi nilipohukumiwa kunyongwa'
37:06
BBC News Swahili
Рет қаралды 21 М.
MWIZI WA FTARI 2016#Part 1 _ Kachara I Mwinyi I King Majuto I Kitatange
1:02:48
Jufe Film Production
Рет қаралды 97 М.
HE’S BACK! 😰
0:11
HeyItzPuppies
Рет қаралды 13 МЛН
Мировой Рекорд по Засыпанию (@DazByron )
0:30
Голову Сломал
Рет қаралды 2,4 МЛН
ПОМОГИ РАЗБУДИТЬ ПИЛОТА 😱😱
0:16
ДЭВИД ЛАВА
Рет қаралды 3,9 МЛН