Viwanja vya ccm vikalabatiwe na ccm wenyewe haiwezekani vikalabatiwe na pesa ya serikali ambayo ni mlipa kodi baadae ccm waende kuchukua mapato hiyo itakuwa sio haki
@albertvalentino130Ай бұрын
CCM walivipataje hivyo viwanja vinavyoitwa viwanja vya ccm --- je,walivijenga kwa fedha zao ? Kama ndivyo mbona hawajengi vingine ! Lakini hata kuvifanyia ukarabati vilivyopo,kwanini wanashindwa,ikiwa walivijenga wao !
@Machozihussen-er8cpАй бұрын
Safi sana maelezo yako, some people wavivu kufikiri na wepesi kuongea bila ya kujali wanachokiongea
@hilarylaurian7896Ай бұрын
Vile ni viwanja vya serikali
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Tumejenga cha MKAPA na tunajenga tena DODOMA.
@khalidmasoud1323Ай бұрын
Viwanja nimali ya ccm hapo yatakiwa chadema nao wajenge vyakwao tenaingekua vizuri kwasasa kuelekea mashindano ya afcon
@anodearsulusi7536Ай бұрын
Atauza mechi tena au asicheze kabisa akiwa simba 😂😂😂😂😂
@adilhabib8988Ай бұрын
Aback benchi kama akirud
@subiraaddo864Ай бұрын
Hatumtaki simba, aende huko huko utopolo
@AbdallahMnyiwe-he2zuАй бұрын
Hata katiba ya CCM hakuna mahali wamejenga uwanja
@user-yz6ds9hn9lАй бұрын
Mwana FA ni mtumwa na kibaraka wa yanga tena chawa akiwa michezo ya yanga anavaa jezi yanga, akiwa ktk mechi za smba anavaa jezi ya taifa huyo ni mnafki mkubwa mwanya kama shimo la panya,
@salmamustapher5611Ай бұрын
hiyo ni mali ya serikali cyo mali ya sisiem jamani hiyo ccm ilitoa wapi hizo hela za kuje ga hivyo viwanja??? hiyo ni kondi ya wanyonge msitulishe matangopor
@domymerinyo8165Ай бұрын
Tulikua tunachangia ccm wakati tunasoma hivyo viwanja vinatskiwa viwe vya serikali
@jumanneally3303Ай бұрын
ayo magari ya VAR yakatumike kwenye uchanguzi 2025
@adilhabib8988Ай бұрын
Ahahhahahhahahahahha wala sio uongo
@tjenruzoka7814Ай бұрын
Fact...
@BaiterMkepuleАй бұрын
Kweli mpira cyo maneno ni vitendo
@user-ff1it9og8yАй бұрын
Ccm ni kichwa cha serikali hivi wewe unamtoto ama watoto wako usiwatume kufanya kazi muone tumia hekima.et Tz natawaliwa na siasa na wajenzi ni Ccm wangine watulie Amani ipo
@AbdallahMnyiwe-he2zuАй бұрын
CCM ichunguzwe juu viwanja wanavyodai nivyake.kuanzia ujenzi .sijaona kuwa CCM walijenga uwanja Bali uporaji walipora mali za wanainchi
@user-cu8dm6eh3gАй бұрын
Bax kama watabak 12 bax fanyeni kwenye mchezo watumike wachezaji 6 tu pamoja