Asante sn Mama Samia, na Hongera sn Dada kwa kupambania haki yenu. Safi.❤
@MohamedSarahani-gk6jx3 ай бұрын
Asante Sanaa mweshimiwaa raisii naa waazirii waa ardhii mungu awapee maishaa marefuu
@samirasalim42032 ай бұрын
SubuhanaAllah, Allah atupe njoyo za kukinai. Maisha ya dunia tunapita tuu. Huyo aliyomiliki yupo wapi inalilah wainailah Rajiun. CC ní wapita hapa duniani.
@Farryunique2 ай бұрын
Well done maa, Allah akupe uzima afya njema kusimamia haki yako. ❤❤
@1961nungwi3 ай бұрын
Kazi nzuri sana hongereni wote. Haki huinua taifa. Taifa hili litasimama.
@ashuraomar49353 ай бұрын
ALHAMDULILLAH,MWENYEENZI MUNGU UAMUA HAKI HALALI ,WASIOWAJUA NDIO WATASEMA UJINGA WAO, WATUULIZE SISI TUMEKUWA NAO HAWA WASICHANA WOTE,NA MIMI NIKIWA BEST FRIEND WA FAIZA BAHSHWAN NA WOTE HAO NAWAJUQ VIZURI NA SANA NA MAMA NA BABA WOTE SINCE WHEN WE WAS TEENAGER.URAFIKI WETU ULIKUWA NI NDUGU KABISA MPAKA HII LEO KUANZIA SISI MPAKA WAZAZI WETU WAMEKUWQ KAMA NDUGU KWENYE HIZI FAMILY SABABU NI FAIZA NA MIMI.ARAFAT ANATUSIKITISHA SANA SISI DADA ZAKE, SABABU HAKUNA ASIOJUA KUWA HILI GHOROFA NI MALI YA DADA ZAKE,HALAFU ARAFAT NI MDOGO SANA KWA WOTE HAO WHY AMEKUWA TAPELI KIASI HICHI.YAANI ANAMPA SHIDA SANA MAMA. AMBAE AMESHAKUWA MTU MZIMA SQNA KWA SASA ,ARAFAT KWANINI HUWEZI KUHESJIMU MAMA NA DADA ZAKO HAKIKA ANATUSIKITISHA SANA SISI WOTE TULIKUWA NJE YA NCHI. HASA KUMTESA MAMA NA DADA ZAKO AMBAO NI BABA MMOJA MAMA MMOJA ,HUMUOGOPI MWENYEENZI MUNGU WEWE MBINA NI MDOGO SANA KWENYE HAYA MAMBO YA UTAPELI? YAAN TUSIKITIKA SANA TENA SANA SISI TULIO KUWA PAMOJA .WHY USIFATE MFANO WA AKINA BUI? JINSI GANI ANAVYOWAPENDA DADA ZAKE? MBINA MOHAMED NA SAEED HAWAINGILII MALI YA DADA ZAO ,WHY YOU ARAFAT.UNATIA AIBU SANA ESPECIALLY KWENYE FAMILY ILIYOKUWA NA UPENDO NAMANA HII UNATAKA KUMUUMIZA MAMA ARAFAT.NASEMA KWA UCHUNGU SANAA BAADA YA KUSIKIA HII STORY FROM LONDON WATU WANANILETEA VIDEO ZA SABAH NA MAMA WANALALAMIKA KUHUSU DHULUMA UNAYOWAFANYIA.EMBUBRUDI KWA MOLA WAKO MDOGO WANGU UNATUSIKITISHA SANA SISI AMBAO TUNAOKUJUA TOKEA UNAZALIWA TUNAKUONA WHY ARAFAT.UNATAKA KUMUUA MAMAKO HUNA IMANI NA MAMAAKO? MFIKIRIE JAMILA NI MLEMAVU UNAMDHLUMU WAKATI UNAJUA FIKA ANA WATOTO WANAMTEGEMEA.ARAFAT UNATUSIKITUSHA SANA. SABAH JONGERA SANA MDOGO WANGU UNESIMAMA KAMA WEWE NDIO MKUBWA KWA AJILI YA DADA ZAKO MWENYEENZI MUNGU AZIDI KUKUSIMAMIA INSHA ALLAH.
@AnethMushi-c3e3 ай бұрын
Amina
@shadyalardhi78543 ай бұрын
Sabaha hongera mungu akulinde tunampongeza mheshimiwa mama samia na slaa
@MosesShileka3 ай бұрын
Oh N
@MosesShileka3 ай бұрын
Mjkom ol
@muhammednassor35692 ай бұрын
Mama uko vizuri
@wahiwaziri73633 ай бұрын
@jambotv hongereni sana kwa kazi nzuri, mmefanya jukumu mama kama chombo cha habari, online media zingine igeni mfano huu na sio kuripoti ujinga ujinga tu
@bongo393 ай бұрын
Hongera sana sabah kwa kusimamia haki ya ndugu zako huyu arafat hongera mama samia slaa na bwana kyando mungu atawalinda
@zitongwang62782 ай бұрын
Wow big up Sana her excellent Samia suluhu Hassan, na waziri WA ardhi , na hongera Sana Dada Kwa kupambania haki yenu, tunaomba HAO mapolice uchwara walivokuwa wakisimamia uhalifu washughulikiwe na KAZI Yao isitishwe.🙏🙏🙏🙏
@husseinkarim76633 ай бұрын
Arafat kweli Tapeli hata mama yake amemkataa kuwa Bi Nuru si mama yake. Huyo mkurugenzi afukuzwe atatoaje demolition order bila kuwapa notice wapangaji atleast miezi 6
@othmana23 ай бұрын
Very sad
@shanibaniyas63082 ай бұрын
😢
@shanibaniyas63082 ай бұрын
@@othmana2😢
@Omari-d2h2 ай бұрын
Yaani mkurugenzi useless easy ananunuliwa brother
@monicasemsey11253 ай бұрын
Safi sana hongera sana mama. Samia kwa kufanya haki kwa akina dada hao
@ashachitemo78163 ай бұрын
Mkurugenzi anashirikiana na Matapeli.Hana maadili.
@JohnP-gl1ie3 ай бұрын
FUTA kazi
@jamalahmed70573 ай бұрын
Lakini mkurugezi hawamtaji kama amekiuka maadili alipaswa wamchukulie hatua
@tusekilemwakatobe77632 ай бұрын
Hii ndio serikali ya mama Samia haki itendeke hati tu inaeleweka kwa Nini mizunguko iwe mingi kiasi hicho nahamini serikali ya mama yetu Samia Hassan suruhu ni sikivu l love you mama ❤❤❤❤
@husseinkarim76633 ай бұрын
Ndugu hao baba na mama mmoja,pesa mbaya sana,huyo Arafat ametumbua pesa aliopewa na baba yake, akamatwe na kupelekwa mahakamani, tapeli huyo ndugu.
@wardalardhy86693 ай бұрын
Safi sana dada ! Halali yako !
@abdallahmmary85913 ай бұрын
😂😂😂😂 kijana mjinga atajua hajui baadhi ya vingoz ni mishenzi wanakula rushwa leo imefka mwisho
@leokamil62843 ай бұрын
Kila Mkoa zipo shida kama hizi
@AnethMushi-c3e3 ай бұрын
Hao msimbaz hao Mungu anawaona!!
@jessekigona41022 ай бұрын
kazi nzuri jambo tv
@MwajumaSaidi-e1x2 ай бұрын
Inshallah mungu atawasimamia wa dada Hakii ya mtu haipotei huwainachelewa tu ...Ameen. Ahsante sana jambo tv kwa kufikisha habari hii mahala husika kwa wakati Mali za watu zilikuwa zinapotea bila sababu maalum.
@FatumaSaid-t4r3 ай бұрын
Asante boss umemsaidia waziri.
@shmohd113 ай бұрын
Safi sana, Kazi Iendelee Mhe. Slaa
@changanikisesa70212 ай бұрын
Mashallah Alhamdulillah
@christianjohnmwalugaja80903 ай бұрын
Hongera Kamishna wa Ardhi Msaidizi Shukrani Kyando.
@kavyashortsleon2 ай бұрын
Huyo mkurugenzi achukuliwe hatua anaichafua serikali za mama yetu Samia
@khaliduhadi23363 ай бұрын
Huyo Arafat Kwa maelezo hayo ni tapeli mwizi anatakiwa ashitakiwa na kwenda jela miaka thalatha na arudishe kodi zote alizochukuwa
@hawaelymaricca76023 ай бұрын
Huyo mkurujenzi afukuzwe kaz anakula rushwa kuwanyanyasa watu na haki zao
@kavyashortsleon2 ай бұрын
Kama kweli ndiyo hivi afutwe kazi kabisa siyo kuhamishwa
@Omari-d2h2 ай бұрын
Wako Sana watu WA hivyoo Nina kaka yangu msomali nae matatizo sana
@Omari-d2h2 ай бұрын
@@kavyashortsleonafukuzwe
@jomba65143 ай бұрын
Asanteni sana serikali yetu kwa kutenda haki
@mpefu_49363 ай бұрын
Pole wadogo zangu huyo mdogo wenu jambazi
@RAMADHANCHANDE-cg9sy3 ай бұрын
Huwa nachukiwa sana kuona mwanaume mwenzangu kugombania urithi
@ashachitemo78163 ай бұрын
Yaani kuwa na ndugu wengine ni mtihani kwa kweli Arafat umekuwa mwiba kwa dada zako
@abcstudiostanzania2 ай бұрын
Kaka Kyando. Asante sana
@bakariomari24omar212 ай бұрын
Hongera serikali kwa kupigania Haki
@husseinali-fc2xl3 ай бұрын
Hongera jambo T.V.
@farajaMezza-qn4be3 ай бұрын
Mungu anisamehe lain naona pia kama mheshimiwa ameonja kitu kidogo
@samsonsamsonbayyo3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@alihussein43033 ай бұрын
Poleni Sisters, Big up yourself Stand up for ur right. Well done Jambo Tv
@SalimKombo-xo4pq2 ай бұрын
Mzee kafanya vizuri sana kuwa risisha mabinti zake mapema❤❤❤
@mindicarrashid31313 ай бұрын
Mama samia❤❤❤❤❤❤❤❤
@hawaelymaricca76023 ай бұрын
Safi sana serikali kuwasaidia hawa wakina dada. Arafat weka ndani kabla hajawaumiza dada zake.
Mkurugenzi alitaka kununua yeye kimeo fukuza KAZI huyo
@MwanaishaShattry3 ай бұрын
Hueleweki
@YusuphMwangobola2 ай бұрын
Kabisa
@knight67573 ай бұрын
Pesa zimetembea !!
@yudanziku60303 ай бұрын
Uko sahihi sana afisa
@themaestro-242 ай бұрын
NILIONA NDUGU ZA MUME WANGU WAKIWEKA VIKAO VYA SIRI KUMDHULUMU NDUGU YAO ASIPATE KITU.MJITU MIZIMA KULISHWA NA WAZAZI AIBU
@jamalahmed70573 ай бұрын
Bado kuna tatizo kwenye system serekalini mpaka Rais au waziri waingilie kati ndio jambo lipate ufumbuzi police wanahusika wazi kwenye kuchukua rushwa na manispaa lakini wao wapo salama ila arafati pekee yake ndio anayetajwa hapa
@AnethMushi-c3e3 ай бұрын
Kweli mtoaji na mpokeaji wote hatiani
@hawaelymaricca76023 ай бұрын
Who is SAGARA. Fukuza arafata na sagara weka ndani. Acheni hao madada wapate haki yao, Naamini Wazir Silaa na mh Mama yangu Rais Samia , mtapata haki yenu
@2003hintay3 ай бұрын
Marhum namfaham maskini inasikitisha sana kusikia haya
@Farryunique2 ай бұрын
Well done Sabah 😊❤❤❤
@hamisidale27042 ай бұрын
Watu wachache wenye ngozi mchanganyiko wanakuwa na kiburi cha kutoheshim mamlaka,huyo alieomba kibali cha kuvunja usiku wa manane lazima achukuliwe hatua! Na ili apunguziwe adhabu amtaje aliemtumia kuchomoa karatasi katika hilo faili ili na yeye awajibishwe! Mh Jerry silaa kazi Anza na Arafati"Akwambie kamuonga nani kuchomoa karatasi hakuna kulindana
@Nedjadist3 ай бұрын
Hii nchi haitaendelea. Uongozi dhaifu unaodhoofisha institutions kwa maslahi yao, ili wawe na madaraka zaidi; matokeo ni vijikesi vidogo vidogo hivi lazima viamuliwe na Mkuu wa Mkoa, Waziri na hata rais!
@abuumuhammad71333 ай бұрын
Ndio Serekali ya Mama Samia inayetatua matatizo ya watu hivyo nyie mtateseka sana na anayoyayafanya Mh.Rais Samia
@deven.oauditx75472 ай бұрын
Ndiyo tatizo la kupewa kazi kwa kuangalia kadi ya chama tawala.
@ajoseph312 ай бұрын
Ingekua uyu dada ajitambui, bila shaka wangerushwa hi mali
@sofiakhan97063 ай бұрын
Tunamshukuru Dr slaa na kamishna na rais samiha kwa kuwa wasikivu
@HashimYahaya-hd3zm3 ай бұрын
Hongera sana dada yangu mungu yu pamoja nawe arafat taperi kuna watu wapo nyuma yapazia
@caesar77452 ай бұрын
Nyie viongozi mnafanya kazi nzuri sana lakini tatizo moja tu. Watendaji wenu wananuka rushwa. Sasa kama mama kamtafuta mkurugenzi na yeye ndiyo kasababisha haya madudu na bado na kazi😅😅😅😅. Ifike pahala Rais awe anafukuza hawa watu. Siyo kuwahamisha. Sasa hata polisi nao rushwa tu. Mnampelekea defenda na hati mnaziona. Tena mwammnke. Pole mama
@wardalardhy86693 ай бұрын
Na sisi huko kigamboni tungwi , mali ya marehemu baba yangu imetekwa na Fahad mwenye company ya RIO na mdogo wangu Mohamed akabampikwa kesi ya jinai , tumefika sector zote za serikali tunazungushwa tuu .
@1961nungwi3 ай бұрын
@@wardalardhy8669 nendeni kwa Waziri Silaa. Imekwisha hiyo!
@aediayumgo85463 ай бұрын
It's vyombo vya habari ongea Na Jambo TV watakusaidia
@sheilalolila22333 ай бұрын
Jamani nenda Millard watakusadia pole
@MwanahamisHussein-dp2if3 ай бұрын
Allah awafanyie wepesi
@wardalardhy86693 ай бұрын
@@MwanahamisHussein-dp2if Ameen
@dayuunassirnassir58543 ай бұрын
Hongera dadangu kwa kupambania haki yako
@sleyumrashid77943 ай бұрын
Mkurugenzi mtu Wa Dili hafai kukaa ofisini
@rosehaule67653 ай бұрын
😂😂ntu wa dill mkurugenzi
@salehemsumi6153 ай бұрын
@@rosehaule6765Ntu wa dili Nkurugenzi,kataa!
@joysekiza39443 ай бұрын
Mungu wangu miaka kumi mungu atawapa hathabu ya mioyo yenu
@hamisidale27042 ай бұрын
Aliechomoa karatasi kwenye faili ni nani lazima mtu awajibishwe! Hiyo itakomesha watendaji wasio na maadili ya kazi zao" Jerry Silaa Mheshimiwa anzia na kwenye faili nani kazichomoa karatasi kwenye hilo faili"
@Omari-d2h2 ай бұрын
Mkurugenzi bongo hatari
@rahimhassan67222 ай бұрын
Good work 👏
@TwalibKambangwa3 ай бұрын
Dadanakupamauwayako.🎉
@mwanahawanyambi94403 ай бұрын
Allah akulinde Rais Samia na watendaji wako haki zitendeke kote. ulinzi uimarike kwa Sabah kwa kupambania haki yake na nduguze Arafat Umtake Radhi mama yako .
@arafahhh55743 ай бұрын
Kikubwa mkifanikisha tu mliuze ili muepukane na hilo tapering likaka lenu
@TwalibKambangwa3 ай бұрын
Tunamjua.arafat.nitaperi.sana
@MaabeshFungurume3 ай бұрын
bro huyo Arafat ni bonge bonyeye au huyo mwingine ana upara
@charlessentiyongo84843 ай бұрын
Safi sana kiongozi, watendee haki, hao wadada, hata huku Mbeya wapo wanaodhurumu haki za watu ,hasa ardhi na makazi, ingekuwa vizuri mje hata huku.
@KhadijaSalum-nf5mf2 ай бұрын
Alhamdullillah
@wahidaaidha5443 ай бұрын
Namna hiyo
@sheryphamwenevalley61242 ай бұрын
😂😂😂 TZ 🇹🇿 ofisi zote utapeli mtihani,
@aqthamsalim67752 ай бұрын
Allah awasimamie juu ya hilo
@ruqaiamohammed3453 ай бұрын
Arafati ulivyodhulumu inatosha tubu mungu atakusamehe jua kabisa haki ya mtu haipotei
@bongo393 ай бұрын
Huyo arafat atafutwe na achukuliwe hatua za kisheria ni mwizi ni tapeli msanii mshenzi mkubwa
@MohamedIbrahim-bn1gz3 ай бұрын
Kwani msanii
@AllyMaya-yj3xd3 ай бұрын
Msenge sana huyo dogo
@graceadam83903 ай бұрын
@@AllyMaya-yj3xd Pp P P Pp P Pp P I P P P P
@ZalkhaRawahi2 ай бұрын
Mama Samia angalia hili kwa jicho la taifa ikiwa Arafat kataka kuwadhulumu ndugu zake lkn kuna viongozi wa serekali wanaonesha wazi kuwa wanalidhumu taifa Arafat ataadhibiwa kiupande wke lkn na hw viongozi wawajibishe kwahisani yko mama
@abcstudiostanzania2 ай бұрын
Balton umenenepa sana Kaka. Fanya matizi Mashavu yataziba Macho
@tusekilemwakatobe77632 ай бұрын
huyo arafaty ni tapeli kweli pesa mwana haramu😭😭😭😭
@aminaosman33153 ай бұрын
,zulma aliyofanyiwa mjane na yatima wake mama samia msaidie apate haki zake mafaili yapo kila wizara husika lipo lakini wanalifumbia macho mama wa wanyonge msaidie mjane
@twahambowe4402 ай бұрын
Vyombo vya usalama viwajibike kwa kumtafuta, maana huku ni kujipatia mali kinyume na sheria (utapeli)
@allykimbulaga88852 ай бұрын
Hivi inakuaje kumfikia RAIS iwe rahisi KULIKO mkurugenzi aliyeteuliwa na RAIS amsaidie? Hii Nchi tunaipeleka wapi? Muheshimiwa RAIS ANA KAZI KUBWA KULIKO INAVYOONEKANA
@saidmakombeni51553 ай бұрын
Katajwa Mkurugenzi pia polisi msimbazi mbona hawawajibishwi?
@sheryphamwenevalley61242 ай бұрын
😂😂😂wanakula kwa urefu wanoamba zao
@iddykhamis45582 ай бұрын
Pamoja na muheshimiwa kuingilia kati hili swala Kuna watu hapo chini wanatakiwa kuwajibishwa kwanini mpaka Rais aingilie kati wakati Jambo lipo wazi zulma ya wazi kabisa yaani muhalifu alikuwa anasikilizwa kuliko wenye Mali Kuna watu wakuwajibishwa kabisaaaa
@SalimKombo-xo4pq2 ай бұрын
Huyo kaka yao ni mnyama asana anawadhulumu dada zake. Tunaiyomba serikali imchukulie hatua kali sana. Huyo ni hatari sana tapering mkubwa huyo mshenzi. 😢😢😢
@hajjiomary23833 ай бұрын
Hata cjui watu wanashida gani sasa kuuza jengo kila mtu apate chake mmiliki alishakufa tatizo watu wanapenda vitu .
@blandinamwarabu50252 ай бұрын
Kwanza jengo limeishaoza tafuteni mbia achukue jengo
@allykimbulaga88852 ай бұрын
Wateule wakishateuliwa wanachokijua KUWA wamepewa nafasi ya ULAJI sio kumsaidia Rais kutatua kero za wananchi
@dignakanje45082 ай бұрын
Yaani yanaumiza yanaumiza hya mambo yafamiliya sana .Anatokea mtoto mmoja tu anahodhi mali zte kma zakwake,unahangaika mhkmn mpka unakataa tamaaa,Baadhi yaayendaji wamahkm sio waaminifu hawana huruma nafamiliya zawatu,wanatoa hki upande mmoja,hta upeleke ushaidi hawakuelewi.Watapindisha pindisha mpka kesi inakuwa ngumu
@themaestro-242 ай бұрын
MAMA SAMIA NAKUPA HONGERA SANA MAMA KWA KUSAIDIA AWA MABINTI