Goma DRC: Juhudi za kutafuta amani, M23 wakiendelea na mashambulizi

  Рет қаралды 50,042

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Goma DRC: Juhudi za kidiplomasia zinaendelea kujaribu kuleta mapatano na kukomesha mapigano yanayoendelea kushuhudiwa mashariki mwa DRC, ambako waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wameuteka mji wa Goma na wanaripotiwa kuelekea kusini kutwaa maeneo zaidi. Rais Tshisekedi ameahidi kwamba vikosi vyake vitaanzisha mashambulizi makali dhidi ya M23 - na kuongeza kuwa jumuiya ya kimataifa haichukui hatua za kutosha kuwakomesha waasi hao.

Пікірлер: 51
@fundiibrahimbilali1922
@fundiibrahimbilali1922 7 күн бұрын
Mr president take action please
@sabuscriber
@sabuscriber 2 күн бұрын
,;😢😢😢 poleni sana
@eatlawe
@eatlawe 3 күн бұрын
UNAFIKI WA DUNIA!
@raymonddamas1537
@raymonddamas1537 3 күн бұрын
wako pembeni wametulia
@joycemassawe1072
@joycemassawe1072 7 күн бұрын
EAC and SADC Tafuten aman juu ya CONGO
@mpefu_4936
@mpefu_4936 6 күн бұрын
Uraisi sio Dili Yani huyu Sasa anakunywa amesimama
@justinmwenda7449
@justinmwenda7449 6 күн бұрын
BBC ...NDIO WALEWALE
@mwema5009
@mwema5009 7 күн бұрын
Kisekedi ni muongo hana kitu atafanya amesema hiyo kila kucha .waasi walikua bado wamebana Bunagana mpaka leo goma imetekwa ni msafari huyu😅😅
@MatikoTopiwo
@MatikoTopiwo 7 күн бұрын
Poleni xanaa wa Kongo
@Majiifande
@Majiifande 6 күн бұрын
Ila katika siasa huwa hakuna bahati mbaya, kila kitu kinapangwa
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 күн бұрын
Hawa waasi ni hatari sana.. awana huruma na wanawake na watoto na watu wazee?. Dunia ingilieni vita hivi vya Afrika. Waasi kuweni na hofu ya Mungu mkuu kwa matendo yenu.
@OkediStephane
@OkediStephane 5 күн бұрын
Tuna wafata DRC mungu atuleteye amani
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 7 күн бұрын
Bbc ndiyo ovyo sana
@BritonNdishi-g6o
@BritonNdishi-g6o 7 күн бұрын
Kongo inaonewa kagame kagame acha chuki acha Vita Mungu atakulaani
@JonathanNelson-l8h
@JonathanNelson-l8h 7 күн бұрын
Mtu anapochukua sehemu ya nchi yako ni sawa na kuchukua utu wako jeshi la congo ni dhaifu sana ni bora nife vitani kutetea nchi yangu😢
@Majiifande
@Majiifande 6 күн бұрын
Hawa m23 ni wanyarwanda kweli??
@InsidetherevolutionaryMind-q3v
@InsidetherevolutionaryMind-q3v 6 күн бұрын
​@@Majiifandendiyo wanyarwanda
@PETERKAJANA-q3f
@PETERKAJANA-q3f 7 күн бұрын
Kwann mnasema M23 inaungwa mkoni na Rwanda wakati Rais wa Rwanda anakanusha hadharan!? Je mnao ushahidi wa kujiridhisha kwa taarifa hiyo!?
@Majiifande
@Majiifande 6 күн бұрын
Hata mimi nahoji hilo
@QueenlizzyQueenlizzy
@QueenlizzyQueenlizzy Күн бұрын
Kukanusha hadharan haimaanish lakin tazama ndan ya hiyo vita hao waas wanapata wap supporting na ukichunguza zaid unaweza ona kuna network iliyotanda hapo kwamba hata hao wa rwanda kuna shinikikizo au kuna support wanaipata another sid all in all waangalie foreigner wajao nchin hapo
@BahatiStephano-n7c
@BahatiStephano-n7c 4 күн бұрын
serekaliyakongo hawafai hatakidogo
@atkentravelafrica4361
@atkentravelafrica4361 6 күн бұрын
Hawa M23 wanatoka wapi! Naona Mzee kagame kakanusha kuwa sio wa Rwanda.
@sabuscriber
@sabuscriber 2 күн бұрын
kuba bake
@PascalBAHATIMAYELE
@PascalBAHATIMAYELE 5 күн бұрын
Sisi kama wa congo tuna uamuzi kwa ichi yetu kaname ni muhasi kwetu umoja wa ect africa hauta sema lolote kwetu
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 6 күн бұрын
Rwanda inatengenezwa iwe kama izrael kujitanulia maeneo kwa manufaa ya wamarekani na England na magharibi yote
@florencenyaremezo6152
@florencenyaremezo6152 6 күн бұрын
Congo ikesema m23 wana saidiwa na rwanda wao wanasaidiwa naincho ngapi?
@amedeonfikiri3181
@amedeonfikiri3181 6 күн бұрын
Ces vidéos ne sont pas téléchargée ? C'est un souci déjà
@rithaurassa
@rithaurassa 6 күн бұрын
HAWA WAAS WAMEZALIWA NANANI?? HAWANA HATA HURUMA NA MAM MA NA WATOTO.WAOMBE MUNGU AWAPE HATA MSHIPA WA HOF YA MUNGU.
@YorandaBonephas
@YorandaBonephas 6 күн бұрын
Sasa kwanini wanamnganganiza kagame je wanaushaidi wakujitoshereza?
@Majiifande
@Majiifande 6 күн бұрын
Nchi ya Congo, amueni kujilinda,
@Majiifande
@Majiifande 6 күн бұрын
Au mnamwandama tu Kagame?
@florencenyaremezo6152
@florencenyaremezo6152 6 күн бұрын
M23 niwa congomani niwatoto wamerudi kwao acheni mambo mengi
@InsidetherevolutionaryMind-q3v
@InsidetherevolutionaryMind-q3v 6 күн бұрын
Mtoto gani anaye rudi na bunduki mkononi nyumbani, jizi ao ni majambazi vibaraka wa mabeberu.
@yudachelango6824
@yudachelango6824 6 күн бұрын
​@@InsidetherevolutionaryMind-q3vna wale vijana waliochinjwa na waziri walikuwa ni wageni. Tatizo Kongo ni wapumbavu na wabinafsi ndo maana mnauwana wenyewe Kwa wenyewe
@InsidetherevolutionaryMind-q3v
@InsidetherevolutionaryMind-q3v 5 күн бұрын
@@yudachelango6824 tatizo waafrica tunaamini sana tarifa za mitandaoni bila kufanya research, uyo waziri alipo wauwa hao watoto uliona ao ulihadithiwa tuu na media.
@BritonNdishi-g6o
@BritonNdishi-g6o 7 күн бұрын
Tanzania tuwasaidie wakongo wanaonewa na kagame jamani viongozi saidie nchi ya kongo hata kama ni wanyonge,Mh, Rais Samia saidia kongo Mungu akuinue
@ZurehaMiraji
@ZurehaMiraji 6 күн бұрын
Wakongo wahurumiane na waache kuuwana wenyewe kwa wenyewe
@Majiifande
@Majiifande 6 күн бұрын
Ukweli ni upi hasa?? M23 ni Wanyarwanda au Wakongo? BBC msiwe na upendeleo, vinginevyo huu ni mchezo.
@christineangoro1097
@christineangoro1097 6 күн бұрын
lakini nyinyi wakongo mtenda jambo mbaya na mungu atawalipa mapolisi na huyo rais atakufa vibaya sana
@InsidetherevolutionaryMind-q3v
@InsidetherevolutionaryMind-q3v 6 күн бұрын
Jambo baya lipi, litaje kwa jina
@RomeoJose-yp2zw
@RomeoJose-yp2zw 4 күн бұрын
tanzania troops are hostage by m23 if u dont know
@dazyanck927
@dazyanck927 6 күн бұрын
Hakutakuwa amani congo yetu kwakutegemea mazungumzo pasipo kuipigania inchi yetu wenyewe. Raisi kama anaipenda inchi na rahia wake atowe uhamzi mmoja. Kwamaana tumezaliwa katika vita nakuzaa pia tukiwa ukibizini nabado tuna tegemea mazumzo
@chandabai366
@chandabai366 2 күн бұрын
Kama hali hii itaendelea basi naona m23 wakiiteka nchi nzima ya congo.
@TimotheoElias-r3f
@TimotheoElias-r3f 7 күн бұрын
Ndugu zetu wa congo kaeni mezamoja kumaliza mgogolowenu lisas pekeake hizta maliza mzozo wenu
@mariedelarie873
@mariedelarie873 7 күн бұрын
Jomoni mtangazaji unaongea Utumbo kagame kaongea ukweli wazalendo siyo wanyarwanda bali niwa congomani,pakiwa mnyarwanda umoja ru mnaanza kusema eti M23 niwanyarwanda kumanina zenu
@KalalaErick-n7d
@KalalaErick-n7d 6 күн бұрын
Ningekuwa rais wacongo BBC ningeifungia isifanye kazi inchini congo, watu wa bbc niwajinga sana, taarifa zenu zaurofa zakuaibisha inchi yacongo, eti amani imeanza kurejea na m23 wakishikiria mji, kwaiyo munatwambia wahasi wanaleta amani kuliko serekali ya inch, muwe munaacha kutangaza Mambo yaivo
@yudachelango6824
@yudachelango6824 6 күн бұрын
Wananchi wenyewe wanasema amani imerejea na wanarudi sasa wewe unalaumu BBC ndo wanarudisha hadi hao wakimbizi? Acha ujinga
@NTAGANIRAEugene-v6p
@NTAGANIRAEugene-v6p 7 күн бұрын
Hotuba ya cisekedi anakubari kuwa f d r r iko kongo kwanini aseme kagame ansaidiya m 23? Aache uginga uoga na uvivu wake arinde nchi yake
@AbdallahSalum-vi3tw
@AbdallahSalum-vi3tw 7 күн бұрын
Uri musazi... shut up don't talk what you don't know.
@JonathanNelson-l8h
@JonathanNelson-l8h 7 күн бұрын
Congo ni dhaifu kijeshi😢😢
M23 waandaa mkutano Goma
8:44
BBC News Swahili
Рет қаралды 24 М.
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Alhamisi 06/02/2025
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 19 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
Duniani Leo
29:31
VOA Swahili
Рет қаралды 6 М.
Trump: Marekani itaidhibiti Gaza
7:30
BBC News Swahili
Рет қаралды 4,5 М.
Umoja wa Mataifa  wazungumzia mafao ya wanajeshi waliouawa DRC
16:33
Habari za UN
Рет қаралды 248 М.
Aizawl a in American style a sak nalh leh lian em em kan fang A neitu Architect thiamzia a lang !
52:22
Mamawii Rivung— life, travel and adventure
Рет қаралды 122 М.
Ushahidi unaoonesha Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23
4:31
BBC News Swahili
Рет қаралды 96 М.
Undani wa mamluki wa Congo
4:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 34 М.
Juhudi mpya za EAC kupambana na waasi wa M23 zatoa matumaini
6:31
Goma DRC: M23 wasitisha vita
5:34
BBC News Swahili
Рет қаралды 44 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН