Tshisekedi aapa kukomesha M23: Dira TV Alhamisi 30/01/2025

  Рет қаралды 46,563

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
#goma #kinshasa #drc #tshisekedi #kagame #bbcswahili #bbcswahilileo

Пікірлер
@YorandaBonephas
@YorandaBonephas 6 күн бұрын
Basi kwaushauli wangu kagame kama huhusiki nahicho kikundi basi utowe ushirikiano wakuwatowa m23
@Mzalendo-n8q
@Mzalendo-n8q 6 күн бұрын
Yeah..hapo umeongea..Ili watu waaminj..yeye pia atume wanajeshi wake
@HomeboyTZ19
@HomeboyTZ19 7 күн бұрын
Rwanda ina Madini lakini hainunui Silaha za Maana sababu Viongozi wamekubali kutumika na Mabeberu.
@RashidAhmed-h7t
@RashidAhmed-h7t 7 күн бұрын
Shida sio kagame bila shika Kuna mabepari wapo nyuma yake
@shukurumsebaloli
@shukurumsebaloli 7 күн бұрын
Kagame nitatizo sababu amesha kubali kuwa kibaraka
@MosesMushi-p2p
@MosesMushi-p2p 7 күн бұрын
Tatizo ni ruto nashangaa anangangana kusuhulihisha ichi yake imemshinda anajifanya kusulihisha congo ruto ni mojawapo ya mporaji wa mali za congo
@tanzanitetv
@tanzanitetv 7 күн бұрын
Nchi kubwa kama Kongo DR wanasumbuliwa na kaichi kadogo hivi
@ThomasAssey
@ThomasAssey 7 күн бұрын
Umoja wa afrika na wa kikanda wa afrika mashariki ni kama wa kitchen party
@tanzanitetv
@tanzanitetv 7 күн бұрын
Wakongo hawana jeshi 100% ni wapuuzi sana,
@immaabukuku7180
@immaabukuku7180 7 күн бұрын
Ni bora ambavyo raisi wa Kongo hakuwepo wangapigana kabisa ona kilichotokea kati ya ramophosa na kagame
@afrakanaswahilitv5520
@afrakanaswahilitv5520 6 күн бұрын
Rais Tshisekedi wa DRC alishindwaje kujenga jeshi madhubuti la kulinda nchi yake dhidi ya makundi ya waasi?
@tanzanitetv
@tanzanitetv 7 күн бұрын
Tishekedi ni dhaifu sana na jeshi lake
@moussamoussa6166
@moussamoussa6166 7 күн бұрын
Unaitwa Rais, Una nchi, Una Usalama wa Taifa, Una Jeshi, kweli unapigwa na M23 wajinga wale, Ondoka Madarakani wachie wanaume waongoze Congo, Rais mzima anasimama kwenye TV anasema eti mataifa ya nje wameshindwa kunisaidia, Shwain kweli Tishekedi. Raisilimali zote za Congo nchi haina hata Silaha nzito za kupambana na M23, Hivi hao Viongozi wa Africa wana matatizo gani? Wamerogwaaaaaaa
@tanzanitetv
@tanzanitetv 7 күн бұрын
UN na USA 🇺🇸 na EU ndio wanafadhili m23 ,tishekedi act acha kulialia
@ThomasAssey
@ThomasAssey 7 күн бұрын
Tatizo la Kongo ni la udhaifu wa kikanda Afrika imeshuhudia Karne ya viongozi dhaifu mno ambayo hawajui sii tu Sheria bali hata wajibu wao kama viongozi! Ni aibu kuwa na viongozi wa namba hii Uporaji wa rasilimali Kongo ni wa muda mrefu umefanywa na Rwanda lakini mataifa ya afrika yameshindwa vibaya kuchukua hatua za maana ni aibu
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 7 күн бұрын
Viongoz wa africa ni washkaji watu wa kampani yaani kwaiyo wanalindana viongoz kwa viongoz kwaiyo mtu akipiga dililake usimtibulie yani hivyo kwaiyo kagame anatumiahio
@QaahtaQaahta
@QaahtaQaahta 7 күн бұрын
MUSIHARIBU KISWAHILI. ANDIKENI "SULHU NI NINI?" AU "KUNA SULHH GANI"
@rutimarlon
@rutimarlon 7 күн бұрын
Congo rais wao analia kwa rwanda makubwa kweli
@rwekazamugasha6448
@rwekazamugasha6448 7 күн бұрын
In 1961, the UN secretary Dag Hamasjòld died on the plane on the way to seek a cease fire in Congo. Today, 2025, the problem still exists 😢. President Kagame is 💯 right. No one is addressing the problem.
@tanzanitetv
@tanzanitetv 7 күн бұрын
Badala ya kuanza mapigano yy anatishia tu
@tanzanitetv
@tanzanitetv 7 күн бұрын
Ramaphosa naye ni dhaifu tu
@Randybury378
@Randybury378 7 күн бұрын
Acheeni mkwara mdomo tu wanakuja kuchukua kinshasa
@reface6780
@reface6780 6 күн бұрын
Shida Tchisekedi anafikiri umoja wa mataifa utaleta amani wakati wao ndo wanachangiya vurugu Congo, cha msingi raisi aamuwe vita kali tu.
@gefreymtalo5613
@gefreymtalo5613 7 күн бұрын
Kama m 23 sio ya ruanda kwanini hutoi ushirikiano kutoa hicho kikosi ?
@KondoAmini
@KondoAmini 7 күн бұрын
Hakika huu mgohoro ni mdogo sana bali unakuzwa baadhi ya mataifa kwa maslahi yao Yaani kama kweli Rwanda inahusika suluhu yake ni vikwazo yaani namaanisha vikwazo haitakiwi kuingia au kutoka kwa chombo chochote Cha usafiri katika Rwanda na ndani ya miezi sita tu watasalim amri ila shida maslahi binafsi ya baadhi ya mataifa
@NassorHassan-o8c
@NassorHassan-o8c 7 күн бұрын
Ndio jez ya Yanga ipo Rwanda kwenye Vita itakuwa M23 Yanga Dah tutaona mengi mara hii 2025
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 7 күн бұрын
😁😁😁😁 sie wananchi ni m23 aaah tutakeradh
@ThomasErro
@ThomasErro 7 күн бұрын
huyu dada ni ujinga wake imemponza, m nawashauri waache kujihangaixha
@jonasmpita2206
@jonasmpita2206 7 күн бұрын
wazungu wanatuvuruga, Kagame unatunisha msuli unawaweza Afrika kusini?
@JospinChikuru-y3g
@JospinChikuru-y3g 7 күн бұрын
Rais wa Kongo anataka heshima ya ibchi yake
@michaelbalele929
@michaelbalele929 7 күн бұрын
Ranga Ranga kwa Tanzania ni story tu utaskia hizo pesa tujengee shule😅😅😅😅😅
@MosesMushi-p2p
@MosesMushi-p2p 7 күн бұрын
Uyu dikiteta la Rwanda linatakiwa lichapwe tu viongozi wa africa mnamuchaje aendelee kytamba
@ANONYMOUS-v5t4x
@ANONYMOUS-v5t4x 7 күн бұрын
VIVE M23; MUTAONGEA MCHANA USIKU MUTALALA
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 7 күн бұрын
Rwanda nazan hakuna mtu mwengine anaeweza kuongoza taifalao kwaiyo kagame akitoka atawataftia nduguyake amuapishe ila kwa raiya wa rwanda sijaskia kua kunamtu hata wa kumkosoa kagame
@hemedbamja3197
@hemedbamja3197 7 күн бұрын
Kikwete ndiye alijua kuidhibiti M23;nakumbuka walipopelekewa moto na JWTZ wiki 2 tu wakaomba poo😅
@nzizajovinpaul4955
@nzizajovinpaul4955 7 күн бұрын
Kikwete bado yupo nandiye bado anaongoza Tanzania hilo linajulikana" mwambie awatume wanajeshi wengine kwani wengi wamekufia vitani. au unataka tukupe hidadi ya matekwa ya majeshi ya JWTZ au waliokufia vitani?? Unacheza na simba wa M 23 👮👮👮
@hemedbamja3197
@hemedbamja3197 7 күн бұрын
@nzizajovinpaul4955 : unachokiongea wewe ni habari ya kusadikika.ila mi nimekumbushia fact iliyotokea ambayo kila mtu aliisikia.kingine tofautisha mtu anayeongoza direct na indirect haiwezi kuwa sawa.hiyo idadi ya jwtz wanaokufa huwezi ithibitisha. Basi Wacha tusubir huyo Simba M23 akamate nchi nzima,atawale.ili raia waache kufa bure
@mupenziandre3910
@mupenziandre3910 7 күн бұрын
Mchambuzi mwelevu kabsa
@thedriver.michael.3975
@thedriver.michael.3975 7 күн бұрын
Suluhu ni nini? Badala ya suluhu ni gani. Kumwingilia badala ya kumwingililia . Alafu unasema BBC Swahili na ni waswahili kweli
@hasaniFransisKonk
@hasaniFransisKonk 7 күн бұрын
Nimeiona jezi ya yanga😂😂😂
@JospinChikuru-y3g
@JospinChikuru-y3g 7 күн бұрын
Tuunge Rais wa Kongo mukono eeeh umoja wa mataifa
@RabanReuben-q1h
@RabanReuben-q1h 7 күн бұрын
Jaman umoja wa mataifa UA ingilie jambo hili maana inaonekana kwamba ,inaweza kusababisha vita,na kusababisha madhara makubwa kwa wana nchi wao lakini pia kwa wana nchi wa wanchi jilan hasa wanao kaa mipakan kama watanzania,burundi ,uganda na hivyo vita kuhusiha nchi zote hizi
@danwayne786
@danwayne786 7 күн бұрын
Rwanda hawafai kuandaa mashindano ya langa langa il hali wana husika na vurugu Katika inchi zingine jirani. Africa kusini wapewe jukumu hilo.
@BarakaKusalula
@BarakaKusalula 7 күн бұрын
Kongo waache M23 wamiliki ardhi yao
@HillaryKemboi-w6h
@HillaryKemboi-w6h 6 күн бұрын
Ongera m23 zidii kusonga mbele,mungu ako nanyi na kilio chenu kitaskika,
@rebeccaselemani9597
@rebeccaselemani9597 7 күн бұрын
Tchisekedi hafai kuongea na ufaransa, hao wajinga
@JospinChikuru-y3g
@JospinChikuru-y3g 7 күн бұрын
Rais wa Kongo anataka heshima ya ibchi yake
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Alhamisi 06/02/2025
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 23 М.
M23 waandaa mkutano Goma
8:44
BBC News Swahili
Рет қаралды 33 М.
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
Trump: Marekani itaidhibiti Gaza
7:30
BBC News Swahili
Рет қаралды 4,5 М.
JESHI LA CONGO LAKANUSHA TUHUMA ZA KUMPINDUA RAIS TSHISEKEDI
3:04
Ushahidi unaoonesha Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23
4:31
BBC News Swahili
Рет қаралды 97 М.
Trump: Marekani itaidhibiti Gaza  DiraTV Jumatano 05/02/2025
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 27 М.
Goma DRC: M23 wasitisha vita
5:34
BBC News Swahili
Рет қаралды 44 М.
🔴 Al Jazeera English | Live
Al Jazeera English
Рет қаралды 7 М.
Juhudi mpya za EAC kupambana na waasi wa M23 zatoa matumaini
6:31
RR7125 TRANSKEI: SOUTH AFRICA'S BANTU HOMELAND
26:11
AP Archive
Рет қаралды 38 М.
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН