Lissa aachane na wote mr D , rafiki yake na huyo jarufu wake, vinginevyo hakuna siri tena , ajiandae kuwa single mother. Mnaokubaliana nami like hapa👍
@AminaAlly-v7e8 күн бұрын
Amna na hiy mimba atoe tuu maana n kumbkmb mbayaa ya maisha yake
@WinifridaKisinga8 күн бұрын
Mi nashauri atoe na Hiyo mimba aanze upya.
@VaneGesare-wf7oq8 күн бұрын
Ajane na wote kabiza akh wanamfanya anakoza amani
@ladye74648 күн бұрын
Atowe mimba tu
@jeniphermyingajeniphermyin80297 күн бұрын
@@natya4962 Kabisa
@Silvadsuzanabaixa8 күн бұрын
Ni wangapi tunaipenda ngoma ya before i meet you? Bas kama unaikubali ebu gonga like yako moja tu apa from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🗡️🗡️🗡️⚔️⚔️⚔️
@VeenVv8 күн бұрын
Lkn Mr D kaniboo
@ScholarMawia8 күн бұрын
Wenye tunachukia Mr D ngonga like apa
@leilayathumani22958 күн бұрын
Cmpend
@KhadijahKinyuri8 күн бұрын
Mm nampenda, Kwan huyu alivyolala na mtu mzima alifikiria nn❤
@mwatumbachirahishakiye13978 күн бұрын
Namchukia tena sanaaa kama Suzy
@SwabrinaamoohSwabrinaamooh-e3r8 күн бұрын
@@KhadijahKinyuriukumbuke ha kulala kwa kupenda alkuwa yuko kazini
@FatumaDullah8 күн бұрын
@@KhadijahKinyuritatizo watu wakipenda mtu hata acheze character mbaya wanansifu tu na kumuonea huruma
@LucienNdereyimana-v8l8 күн бұрын
Mimi naona Lissa aachane kabisa na Mr D na Jarufu pia aanze maisha mpa. haya nawapenda 🎉🎉🎉🎉❤
@MariaSalim-u5z8 күн бұрын
Yaan hapo ushasema na pia aachane na suzy aangalie Maisha yake shida haziuwi MTU na hayo yote chanzo ni suzy
@MathieuMahoro8 күн бұрын
Nikweli kbsa ,ila sibyo atateseka lissa
@Najmahnyangasi8 күн бұрын
Yaani kweli kabisa aky
@IreenAgustino8 күн бұрын
Uko sawa kbisa
@IreenAgustino8 күн бұрын
Lissa achana na wote t apo hakun siri mm nliwah kudet na mt na mdog ake na mdogo wake ndio akatak kunioa km hv hee naend kwa utambulisho nkakuta kaka ake nilipagawa 😅😅😅 ilibidi niachane nao wote nkaanza upya yalinkuta ila sikujuwa km ndugu maan moja alikuw dar ndug yak arusha yalinkuta
@Jacy_vaati8 күн бұрын
Wenye tunachukia suzzy nko wapi, gonga like😅
@Basilisa-vc2rl8 күн бұрын
Suzy hafai kbx kuwa rfkii,, snich sana
@maggiemuliri37398 күн бұрын
Wanatuboa na huyu Suzzy
@MwanalimaMwalimu-c4m8 күн бұрын
Mimi simpendi kabisa yaani
@JoyceSalvatory8 күн бұрын
@@Jacy_vaati Ahaa!Anitwa Suzy mi nampenda anavaa Uhusika sawasawa ndiyo maana unahisi kumchukia ujumbe umefika bila shaka
Mwenyezimungu niepushe na marafik weny roho mbaya kama suzy
@aziziyoungd84526 күн бұрын
INSHA' ALLAH🙏🙏 me kwenye movie yenu ntaishia hap maana sio kwa uvivu huuu bye 👋👋 wana DONTAplus. From zenj Young d
@YasintaMabumo-x5k8 күн бұрын
mambo ni fireeeeeeeeeeeeee em naomben like jmn wale 2liozaliwa mwez wa upendooooooooo
@LoiceKatana-ci1tx8 күн бұрын
Waa suzy sio rafiki jamani , kazi nzuri munatufunza sana 🎉🎉🎉🎉🎉
@MwanaishaFikiri7 күн бұрын
Lisa mwambie jarufu ukweli wote,achague mwenyewe awe nawe au laa. Mr D sio wa hadhi yako ni bora uwe singo mother tu kuliko huyo shetani. Anayekubariana na mimi gonga like hapa❤❤❤🎉🎉🎉
@gresimanity39468 күн бұрын
hii ngoma ni nzito jamani au mnasemaj
@marymbeyu45348 күн бұрын
Ila part ya wifi ilipata mchezaji bomba😂🎉🎉❤❤
@viviankemunto44358 күн бұрын
Hata sauti ya wifi ❤❤ imeweza
@jeniphermyingajeniphermyin80298 күн бұрын
Mr D Na Suzzy Wabaya Sana.hasa suzzy Mbaya Sana.pana somo kuwa sana.
@SamanthaJones-o1b8 күн бұрын
Wangapi wanachukia Mr D like apo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@pendochacha13268 күн бұрын
Kevin cha umbea 😂😂😂wa kumsaidia jarufu umepelekwa wapi jmn 😂😂😂nimemic unavyoshangaa ukimwona Mr D mtaani kwa akina suzy😂😂😂😂
@ChristineMaloba-hk9je8 күн бұрын
😂😂😂
@ShukuruSamwel-po1wh8 күн бұрын
Lisa na Hilo Dera Sasa hali badilishi
@AminaAlly-v7e8 күн бұрын
H movie mnatoa kwa wakat mpka rahaaaaa
@OmanOman-y7z8 күн бұрын
Lisa mkomoe uyoo Mr d toa iyo mimba na uwachane nao wote 😢😢 asante Kwa mafundisho mazur sanaa🎉🎉
@makanusaiid-e3o3 күн бұрын
Nakupenda sana Lissa unajua sana kuigiza utafika mbali sana wewe na kevin❤
@سيييققق8 күн бұрын
Wenye wanajua mr D ni mchawi gonga like tujuane 😂😂itakuwaje mkaza mwanao uendelee kumtumia tuu.😢
@HhVvh-ny9hz8 күн бұрын
Lisa toa hio mimba alafu uwache wote n umove on n maisha yako😢
@HajiboAli8 күн бұрын
Et atoe😮😮😮
@HhVvh-ny9hz8 күн бұрын
Eeeh sasa hio situation wewe huoni@@HajiboAli
@GisèleNdayikeza-d6f8 күн бұрын
😢😢
@ValerianaMdendele8 күн бұрын
Kutoa hapana atubu mbele za Mungu atamsameheee naatamfanyiaa njia pasipo nanjiaaa
@MwaJuma-x3t8 күн бұрын
Point taken 🎉🎉
@عائشة-ذ9م8 күн бұрын
Courage ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ErnesterAssenga-w1x8 күн бұрын
Mngekuwa mnatufanyiq iv n kweny penz la mtot wa boss aisee
@SakinaMariam-x8y7 күн бұрын
Kweli wallah wa nafanya vibaya😒
@JoyceSalvatory8 күн бұрын
Amina nakupenda unavaa Uhusika sawasawa.
@aishalovesesibe6 күн бұрын
Suzzy wewe mutoto mubaya rafiki mubaya huna ushauri wote kwa Lyssa unamudanganya tuuu😡😭🇧🇮🇸🇦
@GomachizinjaChizy8 күн бұрын
Hongera sana suzzy, nakupenda tu bure 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AnnEton-f2b8 күн бұрын
Kazi nzuri wanadonta 🥰 lakini mmesahau mtoto wa Boss
@AbdulyIbrahim-z4p8 күн бұрын
Jamn rafkizangu dahh huyu Amina haya mungu asaidie haya yaswe maisha yake maana duuhhh
@VioletteManirakiza-jf2rk8 күн бұрын
Wakwanza kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 naomba like zenu
@CallingsimonjamesCallingsimonj8 күн бұрын
wakwanz kuipata
@rtrw7088 күн бұрын
Ningekua lissa natoa mimba arafu suzi
@samjabri26118 күн бұрын
Uyu angekuwa mzuli kwaku ona mwenzie wabaya🎉🎉🎉
@jamilashabani85808 күн бұрын
Amina anajifnya hajui Ndio ataenda furahia
@nancepatrick47698 күн бұрын
Zusi ningekua karibu ungekula kibao we ndo chanzo unajifanya mwema kumbe shetani wanakubali weka like
@olicej78378 күн бұрын
Piga kabsaa nikuongezee Pepsi ya baridi 😂😂😂😂
@JOSEPHKabeya-t7y8 күн бұрын
Lovennes toaiyo Mumba umhache Mr g njarufu n Suzi
@EuniceOyamo8 күн бұрын
Yani lisa anataka gari zote zisimamishwa kwa barabara makubwa hyo😂😂😂😂
@Wamwakera2548 күн бұрын
Kiukweli tumejifunza kitu kupitia kw lisa na mr d sisi wasichana wasasa tujitume kutafuta hela kw njia nzuri lkn siyo ukahaba cz kuna maisha baada ya ukahaba 😢😢😢😢🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🇰🇪
Ila maya kafanana na wifi sana mashallah tabarakallah ❤❤❤❤
@TWOBULLETS-z6z7 күн бұрын
Kama unamchukia huyu mr D dunga like hapa mwanangu ,, Huyo Mr D ni Mzee mfala yaani kipuuzi sana, namchukia sana sana. Yaani Mr D haoni hata aibu huyo Mzee??😡😡
@mwendemercy44888 күн бұрын
Hila suzy mungu anisamehe kabisa sikupendi juu yaonesha atakwamaisha yakawaida unakaa kama uko hivyo tu.
@ConfusedBalkhHound-on2mx8 күн бұрын
Amina anachoyo ww si umejichubuwa na mikorogo Yako iyo
@LeilaAbdi-p4i8 күн бұрын
Yani tuko ndani kwampigo hakuna kuchelewa alooooo❤❤❤❤
@IreneErneus-w2n8 күн бұрын
Wakwanza kutoka mwanza nawapenda sana
@Ester-d7f8 күн бұрын
❤💯❤
@josphinekanario45368 күн бұрын
Kelvin alienda wapi nimemmiss kwa movie. Jamanii
@olicej78378 күн бұрын
Kelvin aliambiwa na jarufu aachane nae urafiki wao umeishia apo ngja tuone kama jarufu atamtafuta tena😂😂😂
@joycemuenimutua45068 күн бұрын
Siku mingi bna sijaona kipenzi changu Kelvin kwani ameenda wapi,mbona hatujaona Lisa akifukunzwa ❤ Kenya
@SamouOman8 күн бұрын
Kelvin jaman nampenda sana siwez ishi bila yeye 🥰🥰 napenda nimuone kul muda
@SamwelMartina8 күн бұрын
Hii movie sio nzuri kabisa, hebu kaeni mtulie mtoe movie Kali kama KESHO YANGU, kiukwel kesho yangu ilikuwa nzuri sana na imegusa angle nyingi.
@SophiaJoseph-n4o7 күн бұрын
Hayo nawewe ni mawazo Yako ebu tuache sis tujifunze vitu tofauti tofaut unataka kesho yang itazame Kila ck
@IRENEKOMANYA6 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@MagdalenaPaul-h1k8 күн бұрын
Weeeee ningekua mimi ndo lisa nilivyogundua kwamba jarufu ni mtoto wa mr d ningehama mji nabadilisha line uwiiii yaan ni mbele mbele yao🏃🏃🏃
@tonykonki14378 күн бұрын
Lisa shinda yako nple huelewi mwenye unamuamini huyu ndo handui mkumbwa,funga mndomo mama😊
@MaryamIsmaeel-v3i8 күн бұрын
Huyu suzi,yy ni maslahi kwanza,kujali baadaee❤❤❤❤❤
@EsperenceAyumba8 күн бұрын
We Lisa mbona auna akili umeisha juwa kwamba Mr D na jarufu ni mtu na babake kwa nini usiwaache wote. Ata jarufu akijuwa unatembeya na babake unafikiri atakuowa jmn like Ata 10 tu
@EuniceOyamo8 күн бұрын
Ni ayibu sana angewawacha day one kujia
@EsperenceAyumba7 күн бұрын
Ni mjinga@@EuniceOyamo
@MayanziMlingi-d8u6 күн бұрын
Na mimba Ina mtesa
@MwanalimaMwalimu-c4m8 күн бұрын
Kama ni mimi huyo mr D namuwa wallah najifanya nakupenda nakupoteza kabisa😢😢😢😢
@MapenziZuma-k7x8 күн бұрын
Ningekuwa Lisa ningetoa hiyo mimba na nikaachana nao wote, pamoja na suzy nikaanza maisha yangu kivyangu
@SdFft-j5g8 күн бұрын
Upo sahihi, ila asitoe mimba, yy awaache wotee na hta suzzy akate urafiki wao, alfu akae mbali nao woteee
@JoyceSalvatory8 күн бұрын
@@MapenziZuma-k7x Hapana kutoa mimba asitoe aachane nai wote lakini pia hii ni tamthiliya ngoja tuone itakuwaje?
@olicej78378 күн бұрын
@@JoyceSalvatoryila ningekuwa mimi ata huyo Suzi nikumnyamazia kbsaa sema Lisa nae akiri hakuna
@MulhatAmeir-c5x8 күн бұрын
Wow mapema tuu nawapenda km ivo
@HadijaVinyu8 күн бұрын
Wa kwanza Leo naomba like hata moja😂😂😂😢
@JohariHasham8 күн бұрын
Suzy rafki mbaya jaman hadi lissa haoni ukwer apana kweri mze mzima asiojiheshimu 😢😢😢😢😂😂😂😊😊❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
@WiltherArisa8 күн бұрын
Wazo langu lizza aambie jarufu ukweli na awaaje wote aanze upwa na kila kitu itakuwa sawa,
@MonalisaNdimbo-f8m8 күн бұрын
Amina amina jmn kama kacherean kanaongea hatar😂😂 ila mnapendeza wazur ❤
@JudithShikumo7 күн бұрын
Nmetokea kumpenda Maya jamani ana roho nzuri
@NasraIbrahim-dw1hr8 күн бұрын
Suz mshenz et ukubwa ndio huo sio upigiwe ngoma 😂muda nachek mud unaniuz kwa kipaji hicho hongera ❤❤❤
@mpagikhatib36848 күн бұрын
Halafu lavunes kilakitu unamuhadisia nahuyo ndio aduwi wako Amina nimbaya Sana hafai kuwa best wako
@WssWss-w3p8 күн бұрын
Good job guys am watching from saudi Arabia 🇸🇦 👏 ❤❤🎉🎉
@mwagombamwachupa33968 күн бұрын
Mimi nipewe tu uyu dadaake Jarufu,,mchangamfu ajabu😅😅🎉🎉
@sarahummy34028 күн бұрын
Funzo kwa wazee(sugar daddies) mnaotafuta ndogo ndogo mtalala na wakaza Wana.
@OmanJalan-xc8nx8 күн бұрын
Nyie sasa hapo mnatufundisha nn sasa bola mpango wa julius ungetimia kuwagonganisha kwa fumanizi ili wasikitike wote kwa walichokishiliki.ili ijulikane wazee waache kutembea na vibinti 7bu wanaweza kua wakwe zao sasa nyinyi mnatupeleka wapi ndo wazee waendelee kutembea na mabinti wadogo. mnafeli
@GladysKutuk8 күн бұрын
Lisa tembea na mr d kaa mara ya mwisho kisha mtilie sumu afue mbalii .... Linakera hilo lizee😂😂😂😂😂😂
@MDMehndiHassan-ve9zy8 күн бұрын
Sasa Lisa kubali kuwampweke kubali kukosavote achana namr d achana najalufu kwasasa naiyomimba ikiwezakana kuitowa bolauitoetu uwakatae mzima nauyo Amina siyolafiki mzuli kuwamakini😢😢😢😢😢😢
@AlbertAlfred-i1u7 күн бұрын
Suzzy we ni nyoko tena we mbaya sana
@Salama123-iw7hj8 күн бұрын
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nawapenda wote
@ElizabethAbedinego8 күн бұрын
Nampenda mayasa❤❤❤
@DuncanKipngeno-hl8nz7 күн бұрын
Mr D ndio shida
@muuminati7 күн бұрын
Suzy sio rafiki mzuri ata kidogo
@Mapeninah8 күн бұрын
Naomba like ni mimi pia ❤kabla mume wangu aninyanganye simu..
@clariszawadi20108 күн бұрын
😂😂😂😂
@RizikiZiki8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Mapeninah8 күн бұрын
@ yani tokea niuze ngo’mbe kununua Wi-Fi,makosa kidogo tu nitachukua hiyo simu🤣🤣
@sashaamoha8 күн бұрын
Jamani maya ongea yako tuuu ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ila suzy kijego 😂😂😂😂😂😂😂
@MilcahKawaza8 күн бұрын
Suzi. wewe umefurahia moyoni hapo kanafiki tu
@jacquelinekivamba85418 күн бұрын
Before I meet you tunako elekea mbona ni motoooo😂😂😂🎉🎉🎉
@KurthumAbdallah8 күн бұрын
asiachane najarufu amtafutie watu mr D wamkabe wampokonye simu
@faudhiashaban7898 күн бұрын
Daah hiiii situation ya lisaaa ucombee ikukuteee jmaaaan maishaaa hayaaa😢😢😢😢mungu tunusuruuuuu aiseeeee hasa cye watoto wa kikee daah maisha magumuu utaftaj mgumuuu daaah
@fatumaselemani38078 күн бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤
@JanetkalamaJanetkalama8 күн бұрын
Amina nakchukia San wew sio rafik mzuri shenzi San wew😡😡😡😡nngekuwa karib nawe Amina ningekutwika ngoto ad ukadidimia kimo
@NajmahAbdillahi8 күн бұрын
Tena ya nguvu
@IRENEKOMANYA6 күн бұрын
😅😅😅😅😅jmn anaigiza tu , ni uhusika kauvaa tu
@FurahaMbilinyi-f7v8 күн бұрын
Suzy mnafiki nawe lisa unajimaliza kwa suzy hadi unaniboa
@IreenAgustino8 күн бұрын
Lisa na wew usimwamby shoga ako kila kitu unajimliza san
@PhineasMunene-c8i8 күн бұрын
Dada wa kazi
@EliusMugisha8 күн бұрын
Uyooo suzzz simpend
@RoseKimath8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂suzy kibokooo😂😂😂😂
@AzizaJohn-w4u8 күн бұрын
Suzy ana wivu sana huyo
@FélicienMATENGA7 күн бұрын
Maya napenda kuigiza kwako
@JuliethaIssaya8 күн бұрын
We Lisa acha ujinga uyo rafiki ako ni mnafiki
@DaimaMrisho-z3j8 күн бұрын
😂😂😂 suz mapesa🎉🎉🎉🎉
@NdikiminweCéline7 күн бұрын
Jamani suzi😂😂😂❤❤ nakupenda sana unajuwa kucambana
@chunaabdullah13338 күн бұрын
Nasubiria Kelvin tu akirudi mniambie
@LipsDenda8 күн бұрын
Wangapi wanataka lissa asake mtu mwngne
@HudhaimatHaji-wf8nh8 күн бұрын
Maya unapendwa na mm❤
@GinaFaruqueFaruque-e6jКүн бұрын
Jamani nakupenda sana Maya mpole sana maya❤❤
@SurprisedHangingGondola-jz5bt7 күн бұрын
Ila suz jaman 😊
@SyombuaMuvengei8 күн бұрын
Jamani guys tujuane kwenye comment anayofanyiwa lissa kwakweli ayafahi huu rafiki yake mnafiki jamani amemtengenezea mwezake kamburi duuh 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Deborahdestiny-sy9ie8 күн бұрын
😂😂😂😂
@PaschalLadislaus-f1y2 күн бұрын
Sema dada ake jarufu nampenda bure. Ananafasi yake kwenye moyo wangu
@LilianShikuku-te3jy7 күн бұрын
Ila Mr.Dee kazidi jameni 😢😢wanaoungana na mm naombeni likes hata kama ni tani❤❤
@ZawadyAmosy8 күн бұрын
Movie bila kelvin hainogi jaman kaah mbna hamuelewi😂😂