BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 1

  Рет қаралды 21,558

ZamaradiTV

Ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 207
@user-td8bp9kz8d
@user-td8bp9kz8d Ай бұрын
Tatizo divà anaumwa kisaikolojia anatakiwa aseme am Diva at work and am Diva at home I suppose to do this and that to my husband as a Diva and to be proud of lkn kulalamika kunfanya ajihisi anaonewa au anashuka kibrand
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 Ай бұрын
Ungesema2 mganga kaka mbona sisi tunakuelewa kabisa 😊hii sasa ndiyo maisha harisi siyo ile ya gigi🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
hapo mwisho sijapenda😢 yan ningekua ni mimi ningempiga huyu mwanamke angerudi nyumbani wigi mkononi
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 29 күн бұрын
Ni kweli kushikashika maji sana pete zinaharibika au ngozi zetu haziendani na madini fulani
@zenaali8696
@zenaali8696 Ай бұрын
Diva kutopika ama kutojua kupika anaona ni sifa 😊
@WinWilly4162
@WinWilly4162 Ай бұрын
Diva udiva wako utakuangusha sana kwenye ndoa.. Ni kheri ungekua unautumia nje ukiingia ndani unabaki getini
@JOCENTE
@JOCENTE Ай бұрын
Atakwabwanae anamutishiya brand
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 Ай бұрын
Nawaza tu kwan kwenye ndoa uliingia kwa kutamani au???kweli diva sio mke ni wakupiga na kusepa😂😂
@nsajigwaburton
@nsajigwaburton Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@steveabel5819
@steveabel5819 Ай бұрын
Sura ya diva siielewag😂😂hanaga sura moja😅
@LevinaMiteo
@LevinaMiteo Ай бұрын
😂😂😂 nikajua nimie tuu Bora aendelee na kuvaa miwani
@alsam4881
@alsam4881 Ай бұрын
Diva ana sura nzito sana na umri umeshaenda.
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 Ай бұрын
😅😅😅😅miwan inambeba😊
@sophynatch7327
@sophynatch7327 Ай бұрын
😂😂😂😂
@LevinaMiteo
@LevinaMiteo Ай бұрын
@@alsam4881 ukiisikia kwenye redio sauti jina lake na ukimuoña ni watu wa watatu tofauti
@Irenes_Kitchen
@Irenes_Kitchen Ай бұрын
Mbona kama movie alafu sielewi 😂
@annamussa185
@annamussa185 Ай бұрын
Hakuna mke wala mume naona ukatuni tu😂
@happybryce1269
@happybryce1269 Ай бұрын
Wanaboa hasa uyu dada
@maidimples8236
@maidimples8236 Ай бұрын
Good this was’nt bored for sure
@user-qq2oc4bt3i
@user-qq2oc4bt3i Ай бұрын
Ni nzuriii saaaanaaaaa mashallah
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl Ай бұрын
chai aweke mwenyewe hujafunzwa ww
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 Ай бұрын
Mwarabu wa kipilipili😂😂😂
@KSJ6569
@KSJ6569 Ай бұрын
😢😢😢Duuh aibu naon mim km mtoto vile
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 15 күн бұрын
yaani unjua umeolewa unasema hela aloacha umenunua chips hakunaga mwanmme bwege wa kuvumilia haya mambo asee
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj Ай бұрын
😂😂😂abdul razak anajua anachokifanya amna mke hapo😂😂
@MariamJuma-nj9fc
@MariamJuma-nj9fc Ай бұрын
Aibuu jmn😢..
@alsam4881
@alsam4881 Ай бұрын
Huyo diva anaishi maisha feki sana ya mitandaoni, aende akalipe madeni ya watu anayodaiwa kwanza.
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Atha serekali yadaiwa kwani yuaanza yeye madanii😏😏😏😏
@athumanbakari-hy7xb
@athumanbakari-hy7xb Ай бұрын
wewe sio shekh wewe ni mganga uwezi kua shkh huna hadhi na ushekh usiukosee hishima
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Ай бұрын
Ni mzuri diva hamjawahi kuonana nae laivu afu msiwe mnakomenti komenti za kuumiza watu
@haskao77
@haskao77 Ай бұрын
Na hata hapa kwenye hii video, hana ubaya wowote
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 15 күн бұрын
😂😂😂😂😂Ila diva😂😂😂😂eti nachemsha maziwa yanataka kumwagika😂😂😂😂😂nakupenda diva
@edwardyessenessen8737
@edwardyessenessen8737 22 күн бұрын
Tumia microwave wew si diva bana 😅😅😅😅😅
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 Ай бұрын
Paka maziwa unwasha lakutoa harufu njee 😂😂😂😂kweli mwanammke umepumbaa paka kuchemsha maziwa ujui wapiga nduru😂😂😂
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg Ай бұрын
Ndo hata ham kiss akiingia mpaka amuombe 😂😂oooh baby
@MariamJuma-nj9fc
@MariamJuma-nj9fc Ай бұрын
😂😂😂jaman, yan abdul anaonekana hayuko comfortable na hio gram😂😂😂.. mwanamke anatoa siri zote
@user-ts5bu7os5d
@user-ts5bu7os5d Ай бұрын
Hata akitoa,,,lakini chini Abdul kashakufunua sana,,,Bora angekaa kimya maana wanaume wakiamua kutuumbua mmmh,,,ndoa sio mchezo
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 15 күн бұрын
😂😂😂😂😂Nakupenda diva😂😂😂😂😂yani ata mimi😂 napenda kumtuma bwanaangu anachukia😂😂😂😂😂ila tunapendana sana😂😂
@NaomiKasimu
@NaomiKasimu Ай бұрын
Hapo kwenye dener nilivotoa macho khaaaaaaaa😊
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th Ай бұрын
tafuta bwana michunusi imekuzidi sanaa
@shabanimpalazo2695
@shabanimpalazo2695 17 күн бұрын
Ana mapungufu ya Akili sio mwanamke wa maisha ni mwanamke wa starehe
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Ай бұрын
Wewe ni mvivu dada sasa unataka ulivyokuwa peke yako na ukiwa na mume iwe sawa wewe ni mvivu
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
anataka tu kifo cha mende
@bintabou828
@bintabou828 Ай бұрын
😂😂😂😂😂 Una haki Ya Kuoa mke mwengine aisee 😂😂😂😂😂😂😂
@hafswahamisi9685
@hafswahamisi9685 Ай бұрын
😂😂😂 kwa style hii n Haki yakee
@MariamJuma-nj9fc
@MariamJuma-nj9fc Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 kweli
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija Ай бұрын
Sasa movies hii ao mnatumalizia Bundle zetu??😅😅
@faridahalil4456
@faridahalil4456 Ай бұрын
Kwani huyu Diva hajui majukumu ya mke, kuonja mkono wako, this is a must. Huo mkate utamfungisha choo. Kwani kuolewa uliona kupaka lipstick na kubadilisha mawigi??
@Anna-jl2ie
@Anna-jl2ie Ай бұрын
Sasa mizagamua atakupaje unamnywesha chai😂😮
@righitkileo
@righitkileo Ай бұрын
Ha ha haaaaaa,ha ha ha haaaaaaaaaaa.ntakufa kucheka .eti ile hela ulioiacha nimenunua chjps.uwe unanunua mkate .jmn😂😂😂😂
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 15 күн бұрын
😂😂😂Yani wewe ucheki kama mimi nacheka mwenzako akili za diva nazipenda😂😂😂yani yuko vizuli na wala afeki maisha😂😂😂
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Ай бұрын
Diva ukimtizama kwa nyuma akitembea nikama mm tu😂😂😂
@JOCENTE
@JOCENTE Ай бұрын
Eti baba yake kamwambiya aweke miguu juu yameza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nurathyswalehe4208
@nurathyswalehe4208 Ай бұрын
Imagine 😂😂😂
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 15 күн бұрын
😂😂😂😂Ila diva
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji Ай бұрын
Diva umenene sana yaani umeharibika
@victormkello9575
@victormkello9575 Ай бұрын
😂😂😂 ila wabongo. Comments zenu zinafurahisha, kwani wamemikosea nini wapendanao hawa.
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
😂😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
😂😂😂 mbona izo features za bibi ni kama anajisema yeye, et sura nzito, shingo pana mgongo na tumbo havieleweki...ni yeye mwenyewe mbona😂
@WinWilly4162
@WinWilly4162 Ай бұрын
😂😂
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 27 күн бұрын
Kumbe hii ndiyo Tz ok 👍
@user-ls2cm8pw5x
@user-ls2cm8pw5x Ай бұрын
Tulete Na Ya Gigymoney😂😅
@NanaNana-oe5ft
@NanaNana-oe5ft 16 күн бұрын
Diva mbaya bila mekap
@barikiwa22
@barikiwa22 Ай бұрын
Mwanamke mzee hujui kupika unaona sifa 🥱
@MuhamadiAli
@MuhamadiAli Ай бұрын
Huyu diva sauti na sura ni tofauti
@user-ir5ec5jn3w
@user-ir5ec5jn3w Ай бұрын
Sheikh gani mkeo Anavaa Mawigi tena mpaka jikoni Masheikh wakina Othman Maalim, Nurden Kishki
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Abdul wafanyishwa diet ya lazima😂
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k Ай бұрын
Nice couple mashallha
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj Ай бұрын
Mziki wenu unakera bhnaaa
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 Ай бұрын
Tuleteeni episode ya 2 upeai
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c Ай бұрын
Abdul razak...haujaona waswahili wenzako...mpaka.umchukue huyo mzungu
@JOCENTE
@JOCENTE Ай бұрын
😂😂😂😂
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 Ай бұрын
Ndiomaana mumeo msumbufu sana ana majina mengi hivyo pekee yake😂😂😂😂
@user-td8bp9kz8d
@user-td8bp9kz8d Ай бұрын
And Abdul unatakiwa uweke mfanyakazi wa kupika ili Diva awe anarest na anapokua na wewe usimtume tume hapendi
@annamontana2854
@annamontana2854 Ай бұрын
Kwan hii haikuisha??
@boubabizo246
@boubabizo246 Ай бұрын
Camera imemkosea Diva.. she doesn’t look like that.
@RandB_Channel
@RandB_Channel Ай бұрын
Zilipendwa hizo jamani
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 Ай бұрын
Bado kuna ndoa kumbe..!😮
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Ndoa yako diva umeamua kuweka mitandaoni pole 🤐
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th Ай бұрын
matako ya diva ni kama bAmina za morogoro
@patriciaboniface9975
@patriciaboniface9975 Ай бұрын
😂😂😂😂😂dah
@user-cd5by9vc5i
@user-cd5by9vc5i Ай бұрын
Ndoa gani iyooo jamanii😢
@RAHMASULEIMAN-mh6ul
@RAHMASULEIMAN-mh6ul Ай бұрын
Ndo dini yako ilipokufikisha mungu akuongoze
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
sio mungu ni Mungu "MUNGU "
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c Ай бұрын
Anasura ngapi jamani huyu binti
@faridahalil4456
@faridahalil4456 Ай бұрын
Kwa yote unavyo jieleza inaonekana hauko SECURED and PARANOID
@AsiaSiraji-ud9ju
@AsiaSiraji-ud9ju Ай бұрын
Nitakujuza ila Bado sana
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri Ай бұрын
Ko hadi kupika na wigi😅😅
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 Ай бұрын
Sasa Diva anamsema mwenzake sura nzito sijui hana shape, ye hajioni?😎
@GiftAbduly
@GiftAbduly Ай бұрын
I'm a diva mpaka nyumban diva n kazin ukirud nyumban shika majukum yako A's a wife sasa kwahiyo life ya vyakula vya hotel unanunua ulitegemea abdul asioe???? Hata mm ningekua mwanaume ningeoa nikakuacha na hiyo akili yako ya I'm divaa diva ya nyoko
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
💯💯
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x Ай бұрын
na tena wako wawili mume anatakiwa kupikiwa 😢😢namuonea huruma huyu kaka diva anaonekana mbishi sanaa
@happybryce1269
@happybryce1269 Ай бұрын
Uyu dada jmn😅
@user-td8bp9kz8d
@user-td8bp9kz8d Ай бұрын
Mbadilishe taratibu ataanza kupika na kufanya kila kitu
@floraflora9490
@floraflora9490 Ай бұрын
Kwaivo talaka hakuna tena😂
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Kuachika hawezi wachezeaaaaaaaaa🍍🍍🍍
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Ай бұрын
Waislum wa buza ila naowajua mimi mmh
@RutyNatalia-uu5uj
@RutyNatalia-uu5uj Ай бұрын
Mume anahaki ya kuoa mke mwingn ndoa ni mahaba diva sijuh anashida na akili
@JOCENTE
@JOCENTE Ай бұрын
Sijambo lakujiuliza hana urafiki na akili kbs
@WinfridaNdege
@WinfridaNdege Ай бұрын
Pamoja na mapungufu yote ya diva hata mm nisingekubali kuamshwa usiku eti kupika chai😮 labda kama mgonjwa huyo mume
@user-is9he3pb3b
@user-is9he3pb3b 28 күн бұрын
Pete.ni.pambo.tuu..kwa.waislamu.ndowa.nikwenye.napsi.ya mtu..kupendana heshima.na kustahamili na kusaidiana
@Teddy_jones
@Teddy_jones Ай бұрын
Huyu diva hajuw uyu mwanaume n muislam anaoa wake 4 my sister grow up your too big to this
@user-sf5lk3qo4s
@user-sf5lk3qo4s Ай бұрын
Da uyu diva
@Juke995
@Juke995 Ай бұрын
Kama shida ni pete basi abdul ana shida ya iron deficiency yan upungufu wa madini ya chuma ndo maana silver inamletea shida na dhahab hataki kuvaa dini imekataa😂😂
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n Ай бұрын
na dida hatak kumpikia japo dagaa😅 aengze madini chuma
@HusnaMuhammed-yx8nl
@HusnaMuhammed-yx8nl Ай бұрын
Wewe nae unachosha kila siku abduli amekuchoka hujiongezi
@user-ts5bu7os5d
@user-ts5bu7os5d Ай бұрын
Mnitafute niwauzie yangu haichubuki haikwajuki
@patriciaboniface9975
@patriciaboniface9975 Ай бұрын
Diva na mawigi 😂
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 Ай бұрын
Yaan umpige kisa hajapika wakat unaweza kupika mke sio mtumwa
@tanzaniawomenyouthempowerm267
@tanzaniawomenyouthempowerm267 Ай бұрын
Inabadilika badilika tokana na make up anayopaka
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 Ай бұрын
Huyu mwanaume hovyo kweli yani mi uniamshe usingizini nikqkupikie surely usinitanie km kuna kitu sikipendi nikuamshwa usingizi kbs coz hata mimi mtu akiwa amelala cpenda kumuamsha na pia divi im here you're twin pia sipendi kutwa nitu kidogo baada ya hao na wewe fanya mwenyewe km unataka kitu anasema amesoma dini dini haijasema mwanamke ni mtumwa bali ni utulivu wako ni pumbazo lako so ukitaka awe mfanyakazi wako ndio pale mwanamke anafanya kazi kutwa nzima tokea ulivyomuacha asubuhi na jion unamkuta hivyohivyo na kachoka analala km punda
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 Ай бұрын
Diva wewe sio shangazi ni mamkubwa😅😅😅😅😅
@aishabakari8040
@aishabakari8040 Ай бұрын
😂😂😂😂
@Shuu.A
@Shuu.A Ай бұрын
Pacha na dida huyo 😂😂😂
@MuhamadiAli
@MuhamadiAli Ай бұрын
English kila wakati. Wakati kiswahili ndio lugha ya taifa
@saidgawawa
@saidgawawa Ай бұрын
Mtu na
@ramhuudulla8921
@ramhuudulla8921 Ай бұрын
Hakuna mume hakuna mwanamme, Naona UFYOROTO AMKA ABDUL UNATIA AIBU WANAUME WENZAKO MKE HAWEZI KUTOA AIBU ZA MUME HADHARANI KISA DIVA WHO IS DIVA BY THE WAY, DIVA BONGOÒ
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 Ай бұрын
Hatimae sura 199 leo nimeona sura ya 200😂
@user-ts5bu7os5d
@user-ts5bu7os5d Ай бұрын
Make up 😅😅😅😅
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 Ай бұрын
Wapi hapo?
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Kenya mpenzi 😜
@Tuu2019
@Tuu2019 Ай бұрын
Good quality congratulations... mengine ya ufake tumuachie Diva Nangai
@user-do6tg8ot7x
@user-do6tg8ot7x Ай бұрын
Ila jamani nimecheka kwa nguvu. Eti Diva Nangai😂😂😂😂
@marieiradukunda9298
@marieiradukunda9298 Ай бұрын
Uyu diva avaa aje lkn?🤭
@jocelyneliaminarukundo3633
@jocelyneliaminarukundo3633 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jocelyneliaminarukundo3633
@jocelyneliaminarukundo3633 Ай бұрын
Nibara
@aishabakari8040
@aishabakari8040 Ай бұрын
😂😂😂😂
@user-st1zs1ng2x
@user-st1zs1ng2x Ай бұрын
Sasa shee saa tisa ucku unataka upkiwe ugali😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
😆anatoka kazin Njaa inamuuma, kufika nyumban chai mkate kwann asitake ugali saa 3AM
@user-st1zs1ng2x
@user-st1zs1ng2x Ай бұрын
@@nancyg8664 😂😂😂
@annamussa185
@annamussa185 Ай бұрын
Kumbe anavipele na viini vya macho kama paka la Bar,sasa hiyo dini yenu na uchawi siwaelewagi
@user-vs8ht4uy8p
@user-vs8ht4uy8p Ай бұрын
Rihanna 😂😂😂😂
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c Ай бұрын
Sasa wedding ring...kwani wewe ni mkristo...ndio wenye kuvaa wedding.ring
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Ай бұрын
Umesikia hapo wamesema walikubaliana au maskio machafu
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 29 күн бұрын
Diva"i hope this is only a reality tv show""i hope so but if its real in real life?? mhhhh""That one,second don't you ever ask a man(yr husband) provocative questions like that on your dinner date((((out dinner date)))wooooow.as i said before i hope this is only for TV shows not in real life.
@rehemapeter8621
@rehemapeter8621 Ай бұрын
Kwamba? Akale kwa mama yake kwako? Et unapenda kuorder seriously?kwenda sokoni Sawa sasa ata kama ni malikia ndo usioshe vyombo? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MariamJuma-nj9fc
@MariamJuma-nj9fc Ай бұрын
Yan vyakukoment haviishi .😂😂😂😂😂😂diva atar
@rehemapeter8621
@rehemapeter8621 Ай бұрын
Ni vile naandika nakuchoka huyu kazidi😁
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
@@MariamJuma-nj9fc 🤣🤣🤣
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl Ай бұрын
una ushekhe gani ww mpuuzi
@hamisaabdalah6232
@hamisaabdalah6232 Ай бұрын
Diva kumbe una umbo baya hivo
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
😆😆😆😆😆
@sund2553
@sund2553 Ай бұрын
Diva😂ndio maana huwa hajiamin hajikubali alivyo