Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 207
@user-td8bp9kz8dАй бұрын
Tatizo divà anaumwa kisaikolojia anatakiwa aseme am Diva at work and am Diva at home I suppose to do this and that to my husband as a Diva and to be proud of lkn kulalamika kunfanya ajihisi anaonewa au anashuka kibrand
@salhamrishoi4943Ай бұрын
Ungesema2 mganga kaka mbona sisi tunakuelewa kabisa 😊hii sasa ndiyo maisha harisi siyo ile ya gigi🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
@nancyg8664Ай бұрын
hapo mwisho sijapenda😢 yan ningekua ni mimi ningempiga huyu mwanamke angerudi nyumbani wigi mkononi
@blandinamyinga948929 күн бұрын
Ni kweli kushikashika maji sana pete zinaharibika au ngozi zetu haziendani na madini fulani
@zenaali8696Ай бұрын
Diva kutopika ama kutojua kupika anaona ni sifa 😊
@WinWilly4162Ай бұрын
Diva udiva wako utakuangusha sana kwenye ndoa.. Ni kheri ungekua unautumia nje ukiingia ndani unabaki getini
@JOCENTEАй бұрын
Atakwabwanae anamutishiya brand
@TrinaRoman345Ай бұрын
Nawaza tu kwan kwenye ndoa uliingia kwa kutamani au???kweli diva sio mke ni wakupiga na kusepa😂😂
@nsajigwaburtonАй бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@steveabel5819Ай бұрын
Sura ya diva siielewag😂😂hanaga sura moja😅
@LevinaMiteoАй бұрын
😂😂😂 nikajua nimie tuu Bora aendelee na kuvaa miwani
@alsam4881Ай бұрын
Diva ana sura nzito sana na umri umeshaenda.
@shantellemwanakombo3703Ай бұрын
😅😅😅😅miwan inambeba😊
@sophynatch7327Ай бұрын
😂😂😂😂
@LevinaMiteoАй бұрын
@@alsam4881 ukiisikia kwenye redio sauti jina lake na ukimuoña ni watu wa watatu tofauti
@Irenes_KitchenАй бұрын
Mbona kama movie alafu sielewi 😂
@annamussa185Ай бұрын
Hakuna mke wala mume naona ukatuni tu😂
@happybryce1269Ай бұрын
Wanaboa hasa uyu dada
@maidimples8236Ай бұрын
Good this was’nt bored for sure
@user-qq2oc4bt3iАй бұрын
Ni nzuriii saaaanaaaaa mashallah
@JechaMakameIssa-gs2blАй бұрын
chai aweke mwenyewe hujafunzwa ww
@chunaabdullah1333Ай бұрын
Mwarabu wa kipilipili😂😂😂
@KSJ6569Ай бұрын
😢😢😢Duuh aibu naon mim km mtoto vile
@reginamluviji940515 күн бұрын
yaani unjua umeolewa unasema hela aloacha umenunua chips hakunaga mwanmme bwege wa kuvumilia haya mambo asee
Ndo hata ham kiss akiingia mpaka amuombe 😂😂oooh baby
@MariamJuma-nj9fcАй бұрын
😂😂😂jaman, yan abdul anaonekana hayuko comfortable na hio gram😂😂😂.. mwanamke anatoa siri zote
@user-ts5bu7os5dАй бұрын
Hata akitoa,,,lakini chini Abdul kashakufunua sana,,,Bora angekaa kimya maana wanaume wakiamua kutuumbua mmmh,,,ndoa sio mchezo
@walizanasiri496315 күн бұрын
😂😂😂😂😂Nakupenda diva😂😂😂😂😂yani ata mimi😂 napenda kumtuma bwanaangu anachukia😂😂😂😂😂ila tunapendana sana😂😂
@NaomiKasimuАй бұрын
Hapo kwenye dener nilivotoa macho khaaaaaaaa😊
@wemaMichael-fr4thАй бұрын
tafuta bwana michunusi imekuzidi sanaa
@shabanimpalazo269517 күн бұрын
Ana mapungufu ya Akili sio mwanamke wa maisha ni mwanamke wa starehe
@tinnahagustinolyelu4247Ай бұрын
Wewe ni mvivu dada sasa unataka ulivyokuwa peke yako na ukiwa na mume iwe sawa wewe ni mvivu
@nancyg8664Ай бұрын
anataka tu kifo cha mende
@bintabou828Ай бұрын
😂😂😂😂😂 Una haki Ya Kuoa mke mwengine aisee 😂😂😂😂😂😂😂
@hafswahamisi9685Ай бұрын
😂😂😂 kwa style hii n Haki yakee
@MariamJuma-nj9fcАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 kweli
@SuleimanKhdijaАй бұрын
Sasa movies hii ao mnatumalizia Bundle zetu??😅😅
@faridahalil4456Ай бұрын
Kwani huyu Diva hajui majukumu ya mke, kuonja mkono wako, this is a must. Huo mkate utamfungisha choo. Kwani kuolewa uliona kupaka lipstick na kubadilisha mawigi??
@Anna-jl2ieАй бұрын
Sasa mizagamua atakupaje unamnywesha chai😂😮
@righitkileoАй бұрын
Ha ha haaaaaa,ha ha ha haaaaaaaaaaa.ntakufa kucheka .eti ile hela ulioiacha nimenunua chjps.uwe unanunua mkate .jmn😂😂😂😂
@walizanasiri496315 күн бұрын
😂😂😂Yani wewe ucheki kama mimi nacheka mwenzako akili za diva nazipenda😂😂😂yani yuko vizuli na wala afeki maisha😂😂😂
@zuwenasalim2794Ай бұрын
Diva ukimtizama kwa nyuma akitembea nikama mm tu😂😂😂
@JOCENTEАй бұрын
Eti baba yake kamwambiya aweke miguu juu yameza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 mbona izo features za bibi ni kama anajisema yeye, et sura nzito, shingo pana mgongo na tumbo havieleweki...ni yeye mwenyewe mbona😂
@WinWilly4162Ай бұрын
😂😂
@ashminaabdulla894627 күн бұрын
Kumbe hii ndiyo Tz ok 👍
@user-ls2cm8pw5xАй бұрын
Tulete Na Ya Gigymoney😂😅
@NanaNana-oe5ft16 күн бұрын
Diva mbaya bila mekap
@barikiwa22Ай бұрын
Mwanamke mzee hujui kupika unaona sifa 🥱
@MuhamadiAliАй бұрын
Huyu diva sauti na sura ni tofauti
@user-ir5ec5jn3wАй бұрын
Sheikh gani mkeo Anavaa Mawigi tena mpaka jikoni Masheikh wakina Othman Maalim, Nurden Kishki
@AmanaHusseinАй бұрын
Abdul wafanyishwa diet ya lazima😂
@user-dn7gn6ib4kАй бұрын
Nice couple mashallha
@OmanOman-vb4ujАй бұрын
Mziki wenu unakera bhnaaa
@mwanaikaomar8628Ай бұрын
Tuleteeni episode ya 2 upeai
@user-og4wh1xr2cАй бұрын
Abdul razak...haujaona waswahili wenzako...mpaka.umchukue huyo mzungu
@JOCENTEАй бұрын
😂😂😂😂
@pikanaauntzuu1466Ай бұрын
Ndiomaana mumeo msumbufu sana ana majina mengi hivyo pekee yake😂😂😂😂
@user-td8bp9kz8dАй бұрын
And Abdul unatakiwa uweke mfanyakazi wa kupika ili Diva awe anarest na anapokua na wewe usimtume tume hapendi
@annamontana2854Ай бұрын
Kwan hii haikuisha??
@boubabizo246Ай бұрын
Camera imemkosea Diva.. she doesn’t look like that.
@RandB_ChannelАй бұрын
Zilipendwa hizo jamani
@agwalubifaridah7079Ай бұрын
Bado kuna ndoa kumbe..!😮
@AmanaHusseinАй бұрын
Ndoa yako diva umeamua kuweka mitandaoni pole 🤐
@wemaMichael-fr4thАй бұрын
matako ya diva ni kama bAmina za morogoro
@patriciaboniface9975Ай бұрын
😂😂😂😂😂dah
@user-cd5by9vc5iАй бұрын
Ndoa gani iyooo jamanii😢
@RAHMASULEIMAN-mh6ulАй бұрын
Ndo dini yako ilipokufikisha mungu akuongoze
@nancyg8664Ай бұрын
sio mungu ni Mungu "MUNGU "
@user-og4wh1xr2cАй бұрын
Anasura ngapi jamani huyu binti
@faridahalil4456Ай бұрын
Kwa yote unavyo jieleza inaonekana hauko SECURED and PARANOID
@AsiaSiraji-ud9juАй бұрын
Nitakujuza ila Bado sana
@UmayyaNkya-ze3riАй бұрын
Ko hadi kupika na wigi😅😅
@witnessmlay7415Ай бұрын
Sasa Diva anamsema mwenzake sura nzito sijui hana shape, ye hajioni?😎
@GiftAbdulyАй бұрын
I'm a diva mpaka nyumban diva n kazin ukirud nyumban shika majukum yako A's a wife sasa kwahiyo life ya vyakula vya hotel unanunua ulitegemea abdul asioe???? Hata mm ningekua mwanaume ningeoa nikakuacha na hiyo akili yako ya I'm divaa diva ya nyoko
@AmanaHusseinАй бұрын
💯💯
@user-wd2bc7bf5xАй бұрын
na tena wako wawili mume anatakiwa kupikiwa 😢😢namuonea huruma huyu kaka diva anaonekana mbishi sanaa
@happybryce1269Ай бұрын
Uyu dada jmn😅
@user-td8bp9kz8dАй бұрын
Mbadilishe taratibu ataanza kupika na kufanya kila kitu
@floraflora9490Ай бұрын
Kwaivo talaka hakuna tena😂
@AmanaHusseinАй бұрын
Kuachika hawezi wachezeaaaaaaaaa🍍🍍🍍
@tanzcanmediatv4473Ай бұрын
Waislum wa buza ila naowajua mimi mmh
@RutyNatalia-uu5ujАй бұрын
Mume anahaki ya kuoa mke mwingn ndoa ni mahaba diva sijuh anashida na akili
@JOCENTEАй бұрын
Sijambo lakujiuliza hana urafiki na akili kbs
@WinfridaNdegeАй бұрын
Pamoja na mapungufu yote ya diva hata mm nisingekubali kuamshwa usiku eti kupika chai😮 labda kama mgonjwa huyo mume
@user-is9he3pb3b28 күн бұрын
Pete.ni.pambo.tuu..kwa.waislamu.ndowa.nikwenye.napsi.ya mtu..kupendana heshima.na kustahamili na kusaidiana
@Teddy_jonesАй бұрын
Huyu diva hajuw uyu mwanaume n muislam anaoa wake 4 my sister grow up your too big to this
@user-sf5lk3qo4sАй бұрын
Da uyu diva
@Juke995Ай бұрын
Kama shida ni pete basi abdul ana shida ya iron deficiency yan upungufu wa madini ya chuma ndo maana silver inamletea shida na dhahab hataki kuvaa dini imekataa😂😂
@user-zl5mt6lk4nАй бұрын
na dida hatak kumpikia japo dagaa😅 aengze madini chuma
@HusnaMuhammed-yx8nlАй бұрын
Wewe nae unachosha kila siku abduli amekuchoka hujiongezi
Huyu mwanaume hovyo kweli yani mi uniamshe usingizini nikqkupikie surely usinitanie km kuna kitu sikipendi nikuamshwa usingizi kbs coz hata mimi mtu akiwa amelala cpenda kumuamsha na pia divi im here you're twin pia sipendi kutwa nitu kidogo baada ya hao na wewe fanya mwenyewe km unataka kitu anasema amesoma dini dini haijasema mwanamke ni mtumwa bali ni utulivu wako ni pumbazo lako so ukitaka awe mfanyakazi wako ndio pale mwanamke anafanya kazi kutwa nzima tokea ulivyomuacha asubuhi na jion unamkuta hivyohivyo na kachoka analala km punda
@estherminnahboaz6956Ай бұрын
Diva wewe sio shangazi ni mamkubwa😅😅😅😅😅
@aishabakari8040Ай бұрын
😂😂😂😂
@Shuu.AАй бұрын
Pacha na dida huyo 😂😂😂
@MuhamadiAliАй бұрын
English kila wakati. Wakati kiswahili ndio lugha ya taifa
@saidgawawaАй бұрын
Mtu na
@ramhuudulla8921Ай бұрын
Hakuna mume hakuna mwanamme, Naona UFYOROTO AMKA ABDUL UNATIA AIBU WANAUME WENZAKO MKE HAWEZI KUTOA AIBU ZA MUME HADHARANI KISA DIVA WHO IS DIVA BY THE WAY, DIVA BONGOÒ
@khalsasalim7930Ай бұрын
Hatimae sura 199 leo nimeona sura ya 200😂
@user-ts5bu7os5dАй бұрын
Make up 😅😅😅😅
@souvenirweber7169Ай бұрын
Wapi hapo?
@AmanaHusseinАй бұрын
Kenya mpenzi 😜
@Tuu2019Ай бұрын
Good quality congratulations... mengine ya ufake tumuachie Diva Nangai
@user-do6tg8ot7xАй бұрын
Ila jamani nimecheka kwa nguvu. Eti Diva Nangai😂😂😂😂
Kumbe anavipele na viini vya macho kama paka la Bar,sasa hiyo dini yenu na uchawi siwaelewagi
@user-vs8ht4uy8pАй бұрын
Rihanna 😂😂😂😂
@user-og4wh1xr2cАй бұрын
Sasa wedding ring...kwani wewe ni mkristo...ndio wenye kuvaa wedding.ring
@tanzcanmediatv4473Ай бұрын
Umesikia hapo wamesema walikubaliana au maskio machafu
@blandinamyinga948929 күн бұрын
Diva"i hope this is only a reality tv show""i hope so but if its real in real life?? mhhhh""That one,second don't you ever ask a man(yr husband) provocative questions like that on your dinner date((((out dinner date)))wooooow.as i said before i hope this is only for TV shows not in real life.
@rehemapeter8621Ай бұрын
Kwamba? Akale kwa mama yake kwako? Et unapenda kuorder seriously?kwenda sokoni Sawa sasa ata kama ni malikia ndo usioshe vyombo? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂