Ngoma kali sana 📌 Sio kama hizi taarabu za asaivi kama uko pamoja na mm 2024 weka like yako basi📌❤️
@bibletruethstudy28958 ай бұрын
2024 Bado nipo nipo ...sumu ya penzi never gets old
@shukurumsebaloli Жыл бұрын
Waliokuja kuicheki 2023 baada ya Harmonize kuimba kwenye stagini wekeni like zenu apa jamani 😅😅
@laiceymusalia7968 Жыл бұрын
Tuesday May,16th sumu ya penzi
@FreddyMicho-nk4nz Жыл бұрын
@@laiceymusalia7968may 25 😅
@allyyuzo9382 Жыл бұрын
Mimi mmoja wapo
@361NEWS Жыл бұрын
Am here 11/06/2023
@Zaphenath_paneah37 Жыл бұрын
Mimi 3-7-23
@frankmarvin50864 жыл бұрын
2020 kama unaikubal ngoma hii gonga like twende sawa
@zurphamakota94564 жыл бұрын
Tupo
@liliankimaro11683 жыл бұрын
Umefanana nae
@mossesmtundi97823 жыл бұрын
Noma sana
@mussamsuya51093 жыл бұрын
Tupo mwenetu
@veronicandahani Жыл бұрын
@@mussamsuya5109 gghjúúúglfskg Fskg Fskg 😅
@flexkings87623 ай бұрын
Belle 9 should consider doing a remake on this hit song.....I guess it would propell him to greater heights...LEGENDARY LYRICS.
@user-xv1bg3jo7l5 ай бұрын
2024 let's gather here ❤
@superninjaofficiel.29163 ай бұрын
Here 🎉🎉🎉
@zubeaslay65662 ай бұрын
😂😂here
@danmwanzia21902 ай бұрын
here❤
@Justin-eb2xn2 ай бұрын
😅
@ZachyForoАй бұрын
Aloo😂
@kiningabinking12855 жыл бұрын
Ngoma za zamani ndio zangu guys😍😍😍😍😍😍😍😍 Kam nipo sahii ngonga like twende SAWA😍😍😍😍
@alfredomusula73045 жыл бұрын
not only you but also me, kama bado unaskiza 2019 chill na mimi
@washingtonlijondo6368 Жыл бұрын
Kabisa
@kimilasayi26268 ай бұрын
Ngoma kali sana kuacha za kina diamond
@davisalphonce70015 жыл бұрын
daah hii ngoma inanikumbusha mbali kishenz. R.I.P mpenz wa moyo wangu Belina E Mfuruki.Ntakupenda cku zote ingawa Mungu alikupenda zaid
@Manjalino5 жыл бұрын
Davis Alphonce pole broo kaza roho
@atashaisha87065 жыл бұрын
Kazi ya mungu haina makosa pole 🙏
@masanjalweyo30314 жыл бұрын
Dah pole san brooo dunian tunapita
@aboutrika4124 жыл бұрын
Pol san mwamba
@asmaaalike12404 жыл бұрын
Pole dear
@qaltumsaid30954 жыл бұрын
2020 anyone ??? kama unaikubali hii ngoma gonga like ili tuende sawa👍
@anatolemani79433 жыл бұрын
Ndio kama wengine na wewe unajua ngoma hii niya maisha.
@derekmbeikya59453 жыл бұрын
✊✊✊
@martinomwenga40603 жыл бұрын
@@derekmbeikya5945 ppl m
@queenandchill915 ай бұрын
Penzi ni kitu ambacho kinaweza kukupa furaha maishani mwako.... Vile vile penzi linaweza kukupa huzuni milele moyoni mwako.... Ukashindwa kuelewana na ndugu, rafiki hata na wazazi wako.... Utakosa raha ya maisha hata kama una pesa..... Vitalala viungo vyako kimawazo utakesha..... •••Sumu ya penzi ukishailamba hata kwa maziwa huwezi kupona••• 🙌🏽 ❤❤❤❤ 2024
@alinemauwa47805 жыл бұрын
Wangapi tunaangalia hii video 2019 gonga like twende sambamba sumu ya penzi ukisha lamba hufi ila cha moto utakipata
@elardmadeez33825 жыл бұрын
tuko hapa
@goeffreyokello76465 жыл бұрын
Jeff j
@المهلهلالحراصي5 жыл бұрын
Nipo hapa naangalia hii video nimechoshwa na nyege nyegezi nipo hapa kwenye mafunzo tele hizi ndo bongo flava cyo hizi za leo wanaimba matusi matupu
@elvisnyagwachi16245 жыл бұрын
@@المهلهلالحراصي tuko mbele pamoja
@jemimamayasa185 жыл бұрын
Oi
@XHAYLE_0193 жыл бұрын
I remember the first time I had this song I was probably 10 years old, and I feel in love with bongo🇰🇪
@MaddieMoreno-i7i8 ай бұрын
2024 how I used to love this guy I traveled back home to look after him when I was a teenager 😂 ujana nilitaka aniowe and I was 17 Yani nitoke Sweden nikaolewe home na nibaki huko 😂
@kingskoligih69253 ай бұрын
Much ❤..open up.
@faithmuthoni901319 күн бұрын
Na ulioleka😂😂
@kelvinzablon20903 жыл бұрын
JULY 2021 bado iko form kabisa.. the lyrics, the beat, the harmony
@shadiaahmed81933 жыл бұрын
👌🏽👌🏽👌🏽🥰
@everlineatieno10334 жыл бұрын
2020 gonga like sumu ya penzi nishalamba
@Calvinnyila5004 жыл бұрын
Noma san sum ya penzi mzee baba
@frankferbbizzoh21533 жыл бұрын
Fire,,,,,inafanya nachizi bana
@hazinacharles4323 жыл бұрын
Bonge la ngoma
@hamzamasudi10023 жыл бұрын
@@hazinacharles432 binge la ngoma halipingwi
@brendagitonga83732 жыл бұрын
I can't believe I'm still jamming to this in 2022..I love itt🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@peaceandlove71412 жыл бұрын
Zile enzi mapenzi ilikua mapenzi 😪
@faridmwinyi94622 жыл бұрын
Good music right here🔥
@Bloomychere Жыл бұрын
Am listening right now ...it's 2022 damn☺️
@ernestetole628 Жыл бұрын
Nice tune
@maxwellreuben2777 Жыл бұрын
this shit couod blow one mind haha
@VallentinoEmmanuel7 жыл бұрын
Belle 9 is one among the artist from Tanzania who live a simple life compared to others, i like this guy. He is simply the best.
@janetaswa85905 жыл бұрын
Yeah
@mickyleneatieno25345 жыл бұрын
apo sawa inaweza bado after listen it four yes back
@alfredomusula73045 жыл бұрын
this the man chill 2019
@jimira90684 жыл бұрын
Yap! bro
@Supernovaz120144 жыл бұрын
He is soo humble ive always like this dude ever since masogange song
@imanilomo63353 күн бұрын
ilikua bongo music kweli kipindi hiki mnaenda kwa jirani kuangalia tena umeme sio tanesco wala sola tiger ila inaishi 2024 moyo unasita gonga like
@wybzokizzy4416 Жыл бұрын
Belle 9 remains my favourite artist in Tanzania. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤣
@michaelkichaka75965 жыл бұрын
Watu wa 2019 like zenu hapa Jini ili iendeleee Belle 09
@edgarzakaria80755 жыл бұрын
Micheal Kichaka
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Mm kilasku na xkiza
@dianapolesanadeus67874 жыл бұрын
Micheal Kichaka tupoo
@mohadinn4169 Жыл бұрын
Sumu ya penzi reminds me of a family guy who now resides in U.S singing way back in 2009. He was in love and it was really touching during primary school days. Good old days
@wybzokizzy4416 Жыл бұрын
Sumu ya penzi 💞💞what a banger I used to sing every line back in primary school days. More love from Kenya Mr Belle 9 🇰🇪🇰🇪
@Lifestylek2l Жыл бұрын
2023 bado huu wimbo unanithibitishia mapenzi n miyoko ukisokea kupenda🙌🙌
@FishaniMhango-i8q7 ай бұрын
Here we go 2024 still listening🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼
@Maya-xm5jx3 жыл бұрын
July 2009 Summer memories in Dar...nakumbuka hii nyimbo was playing everywhere.😍 I Miss Tanzania so much..🇹🇿❤️
@brianm7658 Жыл бұрын
Where are you now?
@barakapaulmakaka2205 Жыл бұрын
Kalibu nyumbani
@charo-ko5gf3 ай бұрын
Kama nawewe una fatiliya huu wimbo panoja nasi nipe like 2024
@malukone38814 жыл бұрын
2020 I’m here 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 this song makes me forget Diamond Platinumz 🔥🔥🔥
@beckersserumaga70913 жыл бұрын
Walaiiiii
@sarahnjambi33103 жыл бұрын
Me too ❤️those days
@omaryswalehe12253 жыл бұрын
The song was released exactly the same time when I separated with my long time lover back in 2007. The song still my favorite even in 2021
@voicejoachim13702 жыл бұрын
ohh
@kaporosalum61232 жыл бұрын
2007 Abel wasi still at school
@puretv87422 жыл бұрын
Nope its 2009 April I remember very well I was buying my Nokia 6300 and this song was allover the radio stations even though am not a fun in this such songs
@djbenkingston Жыл бұрын
@@puretv8742 nope it was 2020 when I was still not born
@mjombawallace4966 Жыл бұрын
Baba ngoma hii ni kali 👉Kazi nzito kutoka kwake Belle 🙏🙏🙏🙏
@dabwaytv5 жыл бұрын
Nan anasikiliza ih ngoma mpka leo kama me gonga like tujuane
@reubenfavour Жыл бұрын
Old School Is Gold... Asante Wana Tanzania 🇹🇿 , I Love You Guys
@yohanamalugu6740 Жыл бұрын
Nakubli hili goma mpk now
@kareemmuhode27348 жыл бұрын
i heard this song for the 1st time when i was 17 yrs old...now am about to begin 24 yrs old and i am still listening this song...belle 9 kipaji kisichochosha.
@gracejangama73823 жыл бұрын
Tunayoingalia mpaka sasa 2021 gonga like tujuane ❤🇹🇿
@hopecollins96636 жыл бұрын
I'm not even a tz but his song heal my heart when a Tanzanian hurt my heart n leave me pregnant after falling pregnant in his perants house but God knws best....bell 9 u r the best
@ceo97844 жыл бұрын
Who’s still listening to this song in 2019-2020
@labanmwadime93674 жыл бұрын
Me
@jmathai14184 жыл бұрын
Niko apa....
@abdul36092 жыл бұрын
I'm still there even in 2022
@youngkoza5082 жыл бұрын
2022
@loicwest99612 жыл бұрын
2023
@themwauras87533 жыл бұрын
2021 still listening,I sing it sometimes today I started looking for it,he got strong vocals I hope he still sings#TZ people
@nurukhamis95003 жыл бұрын
Yeah
@alvinroimen617211 ай бұрын
belle tisa
@fabianosoro92664 жыл бұрын
nahisi huyu jamaa belle 9 bado hajapewa support yenye inaitajika kwa kazi yake safi, huyu jamaa ako na pure talent watanzania nawaomba msupport, imebidi hadi yaani nimefuatilia na kulike +254 representing.
@evalynkemumamagoma97953 жыл бұрын
My favourite,God bless you brother.The message in this song never fades.Thumps up if conquer with with the message here.
We didn't search for old songs, we searched for old memories.
@elmanchuyare94712 жыл бұрын
One of the best love Songs in bongo still Now in 2022 no song to beat it one of my fav back in school to date big up belle n9ne
@timolivier411Ай бұрын
Aliyo tena 2024 tujuwane kwa likes
@allyomary53294 жыл бұрын
sis bado tunaitazama na kuinjoy mpka leo.. hii ngoma jiwe jaman.. mwenye mawazo sahihi na fanya kugusa like
@rudomgera63945 жыл бұрын
Kama unaamini hii nyimbo ilikusaidia kuvuka hatua katika mapenzi like 2019
@atashaisha87065 жыл бұрын
Weacha tu noma
@masanjalweyo30315 жыл бұрын
inanikumbusha mbali san hii ngoma
@missp40142 жыл бұрын
This is the kind of song that gives you goosebumps without a heartbreak...yaani you feel It deep down..24.21.21
@billgadgetsproduction5 жыл бұрын
Still watching 2019 fire🔥🔥🔥🔥
@omarjuma83015 жыл бұрын
Lait ingekua kuna dawa yamapenzi ningejifunga nsipend: I'm still watching 2019?
@khamismole45983 жыл бұрын
The time when bongo music 🎼 was so pure and real
@sarahnjambi33103 жыл бұрын
Every time I listen to this song I remember back those days when I was young n inlove
@amoskagika88846 жыл бұрын
Inanikumbusha mbali sana hii ngoma, kipindi naenda kuanza form five 2008 ilikuwa inapigwa kwenye gari
@المهلهلالحراصي4 жыл бұрын
Wewe unaenda kidato cha tano mimi ndo nahitimu la saba
@KingCyrus-iw9yx2 ай бұрын
A certain lady broke my heart when I was all green 😢 this was my console 18 years ago big tune 🇰🇪
@francis.w75482 жыл бұрын
Those good times tukisave hizi wimbo Kwa memory card
@jacksonnganga694Ай бұрын
+254 kenya, TZ mad respect.one my fav. bongo track old school.
@saddamtuku31784 жыл бұрын
One of the best songs ever recorded in E. Africa.
@thomasmackenzie87667 ай бұрын
Back to back..when you love a girl and she's not sure you are the one , you try hard to win her trust but doesn't work that way ! That's my story.
@ezekiafilbert48966 жыл бұрын
still watching in 2018
@thomsonmekelani243720 күн бұрын
My first visit to Tanzania 🇹🇿..My first song i felt in love with till this day..2011
@dannybillykega4 жыл бұрын
wangapi wanaona zino ngoma 2020 gonga like twende
@dismasngicho50942 жыл бұрын
utakosa raha ya maisha hata kama una pesa bana 😢😢😢sad reality 🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥
@peaceandlove71412 жыл бұрын
Very sad
@terrywatahi12032 жыл бұрын
❤️❤️❤️my favorite song since I was a teenager...them days 💯💯💯
@geoffreybasesa20153 жыл бұрын
2021 still feeling the hit🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮. Real song with real meaning not those "Unasondokojo, i like it" what the hell does that mean🤣. I miss these days
@nelsonkagema39648 жыл бұрын
penzi kweli sumu i love this bro toa nyingine kama rimix
@kennedykarisa43275 жыл бұрын
Manzee Mimi nampenda huyu jamaa Yuko na mistari karibu yote
@paulmsape1634 жыл бұрын
Tunakumbuka mbali sn pamoja sn
@pollyodeny50475 жыл бұрын
Dah imenikumbusha mbali 09 nikiwa na my best friend wuod Jo Masiro Ochoblo, rip rafk yangu.
@angelstacy75924 жыл бұрын
Pole sana..
@sonitonuriat90093 жыл бұрын
This’ll be my forever favorite song ❤️ 🥰🥰 🇷🇼
@fidah32485 жыл бұрын
Real bongo began here,my all time best song❤❤❤❤I wish to meet you belle 9
@wybzokizzy4416 Жыл бұрын
2023 here we go 🇰🇪🇰🇪
@ZakariyeMaxamed-vj5ot6 ай бұрын
Mambo 2024
@wybzokizzy44166 ай бұрын
@@ZakariyeMaxamed-vj5ot sumu ya penzi bado ni chungu vile haijabadilika😂😂
@ZakariyeMaxamed-vj5ot6 ай бұрын
@@wybzokizzy4416 ukuweli lakini uchue watu wame endelea sana unafa ku penda nafsi yako kwanza na nda gyj runinng anything good for u ukisha fanya uta penwa na uki penwa ni mzuri zaidi kuli uoendane one love bro from somalia capital city
@evanstarus1444 ай бұрын
2024
@josuebirhaheka7727 Жыл бұрын
Nime chake songs zako zote 2023. Belle 9 Musiki ilikuwa ni kwa siku hizo za kale. Siku hizi ni kelele... Hakuna ma fundisho...
@samweliecawilondja50376 жыл бұрын
Duh! Kitu kizuri Diamond Kaja kutuambia kutuletea stile za kishetani kwenye mziki miziki ya zamani uki isikia Kweli ina weza kukupa mashauri sio aya yetu ya leo duh!
@aljimmykabumbabinazam99043 жыл бұрын
RIP my best stars, 2021 kama una kubali ngoma iyi gonga like ili tu songe mbele
@CyrillOkoti4 ай бұрын
I love it
@jayfrank53182 жыл бұрын
Do this legends still alive.....if yes,,, big up to them koz they remind me alot back then
@yasrmugheiry57163 жыл бұрын
Dahh hii song haimalizi utamu hadi dunia itaisha ahh fundi #belle9 #kitambo sanaa #respect🙌🏽 #2020
@shameemrashid52195 жыл бұрын
2019 still waching ,, my favourite song
@kenanimaliga87423 жыл бұрын
Huu wimbo ni wa miaka 11 iyopita ila leo juni 2021 nimeusikia unapigwa kwenye basi daaaah real ngoma ilibamba sana
@timasiri1136 Жыл бұрын
This songs still hits soo hard even after a decade now❤
@masanjalweyo30314 жыл бұрын
Dah hii ngoma inankumbusha mbali sn apo nakumbuka ilkuwa tarh 12/06/2010 sku ya jmoc naenda kuangalia Kombe la dunia sa mbl usku napta kw mzee wang kumpa hai kwnye biashara yake natoka dkk tano baadae mzee wang anavamiwa na wat wasiojulkana wnamuua dah nlkuwa muda huo mm nausklza huu wimbo nliskitka sn R.I.P baba ang ntakukumbuka daima💛💛💘
@iphily204 жыл бұрын
pole sana kaka 😔 pole sana
@saidfitness86205 жыл бұрын
2019 March still watching
@jj24kith28 Жыл бұрын
My fav tz musician....❤from kenya
@dominicantweve15884 жыл бұрын
Nimekuja hapa baada ya kusikia kapata ajali😥😥😥😥 mungu akujalie upone haraka
@sumahtanzania49914 жыл бұрын
Love you to so much my brother ber tisa💕
@rajabukulala66695 жыл бұрын
I nyimbo haichuji , naingalia Leo Jun 28 -2019
@eriquecnyua6064 Жыл бұрын
This is the kind of music that made people from 🇰🇪 love bongo music and not what kina diamond are singing this days. 2023 hands up ✋ ✋
@beuntflyhusnakasy93206 жыл бұрын
Mpk now bado naipend san hii ngomaaa love belle 9
@babyhayra55932 жыл бұрын
Sema uyu jamaa alikua anaimba jmn nikisikiliza hizi nyimbo zake za zaman namkumbuka sana my fist boy alikua anamkubali sana alikua akikalili nyimbo zake na anakuja kuniimbia
@Jimson20003 жыл бұрын
This man had content 🔥🔥 I love his songs,2021 still hitting 🔥🔥
@faizaahamd20524 жыл бұрын
❤❤❤❤💕❤ I love my brother Ber,9Nyimbo .nzury yan raha sana💕❤💕❤💕❤💞💕❤
@InformaGraph6 жыл бұрын
Its 2018, and still listening to the song , 10 years later, still fresh!! Greatest of all time
@Efootball_konami12 ай бұрын
Daaah Aiceee ihii ngoma inanikumbusha mbali sana🎉🎉🎉
@kenbaroofficial Жыл бұрын
Before greedy brokers ruined the music market with bubble gum music. This jam is genuinely tight!
@djumaamisi93334 жыл бұрын
Wangapi 2020 I love this song inanikumbusha enzi nilikuwa nawarafikiyangu cinema tunafata movie afu mwenzangu anakuja na hi song we was very much happy
@blasskameta9444 жыл бұрын
Wimbo hauishi utamu penda sana wimbo huu
@PeninahAukot-dh5um Жыл бұрын
Back in the days KeTaU express KBC reminds me the good old days
@AhazyStanley8 ай бұрын
I love this song 🎧 ❤🥰😘😍2021,2022,2023,2024Listening
@cheptookorir17513 жыл бұрын
I still love belle 9..aki endelea kuimba tu..been long..still my fav songs..